Rais Magufuli na yoote mazuri ila hapa sijakuelewa

Kama nimemuelewa mleta mada yeye anataka kujua economuc impact yake hilo daraja. Ndiyo maana ameingelea population ya wakaaji wa masaki na oysterbay ukilinganisha na maeneo mengine ya jiji ambayo yana population ya kufa mtu.
Ferries zingetosha sana kuhudumia wakaazi wa oyesterbay/masaki wajao mjini.
Maana hiyo barabara haitakuwa na kuchepuka, ni moja kwa moja and so is ferry. Hiyo pesa ingekua relocated maeneo mengine .
Barabara haitakua limited kwa wakazi wa masaki tu,ht we ukitaka zunguka pita kule
 
Na hatujui ni kikao gani cha bunge au kikao gani cha halmashaur kimelipitisha nambo hili, huu ni ukurupukaji wa aina yake nao
Tatizo lenu mnalala tuu bila kufatilia.. hata kusoma mavivu. cha ajabu Google ipo na hizo taarifa unajifanya kulalamika.hapa jf. Mradi wa muda mrefu. Magufuli sio.mjinga asijuie taratibu?
 
Mimi nashangaa rais wangu JPM ameelekeza nguvu zote Dar ambako hawakumpa kura wakati sehemu zingine za nchi hajui kuwa barabara zote zimekatika mvua zimezidi, watoto sio tu kukaa chini hata darasa hawana. Yeye na Dar sana sana alienda Arusha ambako pia hawakumpa kura. Anyway ndio kwanza ana siku 100 ngoja tusubiri
Mambo yote Dar..Hata kazi tu,kwa miundombinu ya barabara mkoa upi una shda zaidi ya Dar?
Ila msijali atakuja tu
 
Na hatujui ni kikao gani cha bunge au kikao gani cha halmashaur kimelipitisha nambo hili, huu ni ukurupukaji wa aina yake nao
Hivi wewe unaamini hili bunge tulilonalo ndilo la kulipelekaa maamuzi ya maendeleo? Ukifanya hivyo tu ni lazima ukwamishwe na hasa ikiwa mradi wenyewe utatishia maslahi ya watu fulani fulani. Sasa hapa dawa ni kuamua na kupitisha tu. Ni heri kukiuka kanuni kwa njia ambayo inaleta faida na neema kuliko kufuata kanuni ambazo unajua zitafungulia mwanya wa neema hiyo kuzimwa. Isitoshe, kwani hizo kanuni walizozitumia kupitisha kila aina ya uozo tunaolia nao leo zimetufaidia nini?
 
Jamani huu mradi nliusikia kwenye sera za ccm kama miaka miwili ilopita so hata jana nlivosikia nlijua ni mwendelezo wa sera zao
 
Jibu ni rahisi tu. Wenye magari wengi wanaishi pande za huko daraja litakakojengwa, huko karibu kila nyumba ina gari. Huku Gomsi na Mbagala and the like ktk nyumba ishirini, moja ndio yenye gari. Hivyo dala dala zinawatosha. Kumbuka daladala moja inabeba karibu abiria 50, kule masaki ni sawa na gari hamsini, sasa piga mahesabu sehemu gari 50 zinachukua na pale inapochukua eicher moja.
 
Hivi wewe unaamini hili bunge tulilonalo ndilo la kulipelekaa maamuzi ya maendeleo? Ukifanya hivyo tu ni lazima ukwamishwe na hasa ikiwa mradi wenyewe utatishia maslahi ya watu fulani fulani. Sasa hapa dawa ni kuamua na kupitisha tu. Ni heri kukiuka kanuni kwa njia ambayo inaleta faida na neema kuliko kufuata kanuni ambazo unajua zitafungulia mwanya wa neema hiyo kuzimwa. Isitoshe, kwani hizo kanuni walizozitumia kupitisha kila aina ya uozo tunaolia nao leo zimetufaidia nini?
Kuliko kupeleka miswada kwenye bunge hili la Ndugai, Tulia na Chenge ni heri serikali ijiamulie mambo yake tu. Hakuna bunge pale...nionacho mimi mule ni mijitu iliyokomaa viganja vya mikono kwa sababu ya kupiga makofi kushangilia kila ujinga.
 

Bado natafakari na nashindwa kupata majibu ya ujenzi wa daraja kwa mujibu wa Hotuba yako ya jana litakalo pita baharini likitokea Coco beach mpka Hospitali ya Aga Khan, najaribu kukokotoa mahesabu yanakataa kabisa, na mimi sijisifu lkn niko vizuri kiasi fulani na namba lkn kwa hili bado nashindwa kupata jibu embu ngoja nililalie labda kesho asubuhi nitapata jawabu lkn mpaka sasa hivi nimeshindwa!

Hili daraja ni la nini?
Mambo ambayo nimekuwa najiuliza wakazi wote wa Masaki na Oysterbay ni wachache sana lakini na zaidi ya hapo Masaki na O'bay kunagota yaani hakuendelei hivyo ina maana ni br. itakayaotumiwa na watu wale wale tu kila siku na isitoshe wakazi wa hayo maeneo ni kati ya watu ambao foleni kwao siyo tatizo kubwa kama wengine leo hii kama wanaingia kazini saa moja na nusu wanaondoka saa moja kamili dakika 15-20 wako mjini na kurudi karibia hivyo hivyo sasa mahesabu yangu hayanipi kabisa kama nilivyosema ngoja niliache mpaka kesho asubuhi labda nitapata jawabu!
Litasaidia jpili kwenda coco beach. Hata mimi sioni mantiki. Lakini Magufuli kakuta huu mradi umeshaenda mbali. Nadhani hata mtoa pesa ameshapatikana.
 
MSEZA MKULU andiko langu umelielewaje kaka?
unapoonnyesha upenzi wa hapa kazi tu na kuwaona wakosoaji wa vitu vya msingi unaonyesha unaupenzi usiona na faida kwa taifa.

labda kama uniambie leongo la mradi ni kupamba jiji au kuwawaisa vigogo wa chama kuwahi kulala masaki na oysterbay. Sioni value for money.
 
Daah!! You have a lost brother, I wonder why! Yaani mimi niishabikie Serikali ya ccm au watendaji wake watokanao na mfumo wa chama? Hata kama wawe wanakun.ya dhahabu bado nitaziba pua nikijua hiki ni kin.yesi. MSEZA MKULU
 
Na hatujui ni kikao gani cha bunge au kikao gani cha halmashaur kimelipitisha nambo hili, huu ni ukurupukaji wa aina yake nao
Kujenga daraja had bunge likae.....acha ujinga ww.....kwanza inaonekana hufuatioii mambo
 
Daraja la kigamboni -bilioni 200
daraja la koko beach-bilioni 200
daraja la furahisha mwanza-bilioni 200
mabasi yaendayo kasi dar-bilioni 200 au zaidi
upanuzi wa barabara dar-chalinze-zaidi ya bilioni 200.....


Wakati gharama za kujenga udom ni bilioni 25
gharana za kuweka treni ya umeme Addi Ababa ,Ethiopia ni dola milioni 430 tu....
 
Daraja la kigamboni -bilioni 200
daraja la koko beach-bilioni 200
daraja la furahisha mwanza-bilioni 200
mabasi yaendayo kasi dar-bilioni 200 au zaidi
upanuzi wa barabara dar-chalinze-zaidi ya bilioni 200.....


Wakati gharama za kujenga udom ni bilioni 25
gharana za kuweka treni ya umeme Addi Ababa ,Ethiopia ni dola milioni 430 tu....
unauhakika boss
 
Back
Top Bottom