Simulizi: Mke Mrembo, Kiongozi, Tajiri na Mcha Mungu

kendy

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
266
494
Sehemu ya Kwanza

Nikiwa tayari nimekaa kwenye kiti changu ndani ya Basi, nasubiri muda ufike tuanze Safari kuelekea jijini Mwanza, tukitokea jiji la Dar es salaam.

Natazama nje ya Basi naona abiria wakielekea maeneo tofauti tofauti hapa kituoni Ubungo kupanda mabasi mbalimbali yanayoelekea nje ya mkoa huu.

Namuona msichana mmoja mzuri akipanda Basi nililopanda,akiongozana na Dada mmoja wa makamu hivi, natamani Sana yule Dada mzuri aliyeongozana na huyo Dada wa makamu aje kukaa nami, lakini bahati sio yangu anakaa kiticha tatu nyuma ya dereva,yaani baada ya dereva unahesabu viti vitatu nyuma inyake,hapo wanakaa na yule Dada, hapa bila kuhoji unafahamu tu kuwa Hawa ni ndugu ama wako pamoja.

Nakata tamaa,kwani hamu yangu ya kusafiri na msichana MREMBO inayeyeuka utadhani nilikubaliana muuza tiketi kua huyo MREMBO aje akae nami,kumbe ni tamaa zangu tu za kutaka kuifanya Safari ndefu inoge na iwe fupi.

Hata hivyo sikukata tamaa,nikapata wazo la kutafuta njia ya kumshauri ili aje akae pamoja nami,yaani ahamie kwangu. Ntaanzaje? Sijui.

Nikaanza kupata majibu mepesimepesi kwa swali gumu, kuwa akija mtu kukaa hapa nitamshauri wabadilishane nae, nitamweleza kua huyu ninaetaka aje kukaa nami ni mfanyakazi mwemzangu tuna Safari moja, isipokua tulikata tiketi kwa nyakati tofauti. Hii imekaa vizuri nilijisemea.

Sasa ntaanzaje kumshawishi yule MREMBO,hiyo ikawa changamoto nyingine, hata hivyo nikaanza mchakato wa kutafuta namba yake.

Nitaipataje namba yake,hiyo nayo ikawa changamoto nyingine.

Sehemu ya pili

Tafakari Kali zikaanza kinijia ni jinsi gani naweza pata namba ya simu ya huyu Bidada Kisha nikaanza kazi ya kumshawishi ahamie kwangu,Basi wakati nikiendela kuumiza kichwa mawazo yakaanza kuhama kidogokidogo huku nikiendelea kutazama nje, wasafiri wakihaha kutafuta mabasi yanayowahusu.

Nikiwa katika mtanziko wa mawazo yasiyo na nguvu kuhusu tamaa ya kuwa na yule binti ili kuepuka kukaa na mtu ambae atanifanya niione Safari kuwa ndefu na inayochosha ghafla natazama nje na kumuona Dada mmoja mzuri balaa,anaonekana mtulivu Fulani,sio mrefu sio mfupi,sio mweupe Wala sio mweusi sio mnene.ana wembamba wa wastani lakini Ana umbo zuri sana.

Huyu Dada akiwa nje ya Basi nilopanda amesimama na Kaka mmoja mtu mzima.wanaongea kwa mda mfupi Kisha anasogea kwenye Basi na kuanza kupanda,namuona kua huyu dada anaonekana ni mkubwa kidogo kuliko yule MREMBO aliye nipagawisha,anaanza kutafuta nafasi ya kukaa kwa kutazama namba ya kiti kwenye tiketi yake, wakati akiyafanya haya naanza kuuona uzuri wake usio na kifani,uzuri wake wa kimataifa, uzuri ambao anastahili kabisa kushiriki mashindano ya urembo was dunia na kuibuka katika nafasi tano bora,nami naendelea kumfuatilia hatua kwa hatua Kila anachokifanya bila yeye kujua Wala mtu mwingine yeyote yule kutambua kua namtathmini.

Amini usiamini Dada huyu anakuja kukaa kwangu,kitendo hicho kinanikera Sana kwa sababu anazima kabisa Nia yangu ya kutaka kumhamishia yule dogo mahala hapa,anaifanya kazi yangu kuonekana kuwa haiwezekani Tena.

Naanza kufikiria upya ntafanyaje, huyu dada aliekuja kukaa pamoja nami, ni mzuri sana kumshinda yule dogo, lakini anaonekana Kama MKE wa mtu, anaonekana ni mkubwa kidogo kiumri kuliko yule dogo, anaonekana ni matawi ya juu Sana kwangu, anaonekana ni mjivuni fulani hivi, sio mtu wa kuongeaongea,Wala sio mchangamfu, kwa kifupi sio mtu wa hadhi yangu, sio saizi yangu, simuwezi hata.

Ananisalimia Kisha anakaa anaweka kimkoba chake juu na mkoba mdogo anakaa nao,anatoa simu yake anaandikaandika kidogo Kisha anatulia na kutazama mbele akisubiri gari ianze Safari.

Napata hasira kidogo Kisha natoa simu yangu pana Sana Kisha nafungulia mtandao wa kijamii unaopendwa Sana hapa Afrika mashariki na Kati mtandao uitwao JamiiForums, naanza kusoma vitu.

Simfatilii Tena Dada huyu akili yangu naielekeza sehemu mbili tu, Jamii Forums na kwa yule Dogo MREMBO aliyeivuruga akili yangu,kwani namuona huyokua ni was hadhi na saizi yangu.

Huyu mdada niliyekaa nae alionekana ni mtulivu utadhani anatazama filamu ya majonzi. Tayari Safari ilikwisha Anza tumekwisha safiri umbali mrefu tu, hatimae tukawa tumefika mkoa wa Morogoro, na watu wakapewa dakika chache kuchimba dawa ndani ya stendi.

Watu walianza kushuka. Kwa mbali nilimwona yule dogo akishuka,huyu mdada niliyekaa nae Wala hakua na mpango wa kushuka, huku nikiwa namtazama yule dogo hatua kwa hatua akishuka nami nikaamua kushuka ili nijaribu tu, walau kuomba namba.

Basi bwana nikaenda nje ya mlango wa choo cha stendi nikaanza kumsubiri akitoka nimuombe. Akatoka, nikajitambulisha na kujieleza, natokea wapi,naenda wapi, gari nililopanda, nimeanza kumuona tangu wapi.
Dogo akanielewa,nikaomba namba, dogo akasita kidogo, kisha akanitajia nikawa naandika, kumbuka abiria ni wengi na Kila mtu Ana Mambo yake, wala hakuna aliyekua anatufatialia,sio walobaki kwenye basi Wala walio nje.

Kwa kupewa namba nikawa nimepiga hatua muhimu sana.

Sehemu ya tatu

Tayari Basi imekwisha ondoka Morogoro,nikiwa na furaha kidogo ya kupata namba yasichana yule niliyetamani kukaa nae kiti kimoja ili tuweze kuwa tunaongea,ili pia niwe nachombeza mawili matatu,lakini huku nikijua ugumu wa mpango mzima wa kuanza tu kumvamia mtu amabae hujui anatokea wapi na anakwenda wapi kuanza kumomba ahame mahala pake aje akae na wewe hiyo itakua sio akili ya kawaida,lakini hapa chini ya mbingu hakuna lisilowezekana kwani Kuna watu hujaribu kutanya kill kisichowezekana kwa wengine lakini kill ambacho my ataona kinamfaa,hatimae watu huja na uvumbuzi ama ugunduzi wa kipekee.Kujaribu katika Kila Jambo ndo njia yaafanikio.

Wakati mda ukienda tartibu hatimae nikaanza jaribu kuanza kuwasiliana na yule msichana niliyechukua namba yake,nilianza kuwasiliana na kwa njia ya meseji,nilianza kwa kumuuliza jina,
"Mambo,naitwa Stain,wewe unaitwa Nani"?
Akajibu,"unashida gani Kwanza"?
Nikajibu,"samahani naelekea Mwanza,wewe unaelekea Mwanza pia"?
Akajibu,"ndio ulikua una shid gani Sasa"?
Nikajibu,"nilikua napenda tufahamiane",
"Halafu tukishafahamiana,"
Nikashindwa kujua nimjibu Nini kwa haraka ikabidi,nitafakari haraka kidogo.
Nikaanza kutafuta hoja,
Nikamuuliza kiuchokozi
"Mbona mkali Sasa?"
Akajibu,"ukali wangu uko wapi?"
Kabla sijajibu akatuma ujumbe mwingine.
"uliomba namba,nimekupa,nikitegemea una kitu cha maana unataka kuuliza lakini matokeo yake,huulizi,husemi,Sasa Mimi nakuuliza shida yako unaniambia Mimi mkali,ulitaka niganueje labda?"
Lo! Nikapoteza mwelekeo,lakini nikawa neshajua kua huyu MREMBO niende na kwa umakini na tartibu.
Wakati tukiendelea kuwasiliana na huku nikitafuta hoja,huru Dada mkubwa nilie kaa nae hapa akawa anapitiwa na usingizi,akawa anapatwa na usingizi,akawa mara nyingine Kama akisinzia anataka Kama kuangukia mkono wa kulia halafu anashituka,anajiweka sawa na Safari inaendelea. Mimi nimekaa mkono wake wa kushoto,nimekaa upande wa dirishani.Wakati Safari ikiwa inaendelea mara nyingine usingizi ukiwa umempitia akawa anasinzia kuelekea kwangu,akishituka anajiweka sawa,aliendelea Sana kuteswa na usingizi,ilitokea akawa akisinzia akawa akimilalia upande wa bega langu la kulia, akishituka anaamka ghafla,ilitokea hivyo mara Kama tatu hivi akiniegemea akiwa na usingizi, Mimi sikujali Sana nilimhurumia tu, sikumwambia Wala sikutaka kumzuia asinilalie, Wala kumtoa, ukizingatia mtu mwenyewe ni dada halafu mzuri,angekua mwanaume ndio ananiegemea vile nakuhakikishia ningemuambia alale vizuri,kwani kwangu Mimi kuegemewa na mwanaume mwenzangu ni kinyaa na naona Kama mikosi tu.

Wakati hayo yakiendelea nami huku nikawa nimepata hoja,nikamwandikia yule mrembo ujumbe kwa kumtega kuwa "shida yangu ni kutaka kujua Kama unafika Mwanza na Mimi nafika Mwanza pia, nitafurahi Sana Kama tukifika, kesho tuonane, ili tufahamiane zaidi"

lakini pale mwanzo nilitamani Sana uhamie hapa nilipokaa ili tuwe tunazungumza, ni kiasi tu cha kuwaomba Hawa tuliokaa nao tubadilishane, hili ndio lilikua lengo lagu, samahani lakini Kama nimekukwaza".
Ukaingia ujumbe, "ha ha ha wewe, haiwezekani, hivyo unavyotaka haiwezekani"

Nikabaini Kama kawa mpole kidogo kwa ujumbe wake huo,nikaanza kuona kwa mwanga kwa mbali.
"Haiwezekani kivipi?" Nikamuuliza,
Akajibu,huyo uliekaa nae ni Nani kwani?"
"Ni abiria tu Kama Mimi",
"Sasa so uongee na huyo?" Alisema
Nikajibu,"huyu Ana roho mbaya",
Kwa jibu Hilo nilimuona kwa mbali akilipuka kwa kucheka Hadi kwa aibu akainama kujificha uso,kwani alitoa sauti peke yake ndani ya Basi.
Baada ya mda ujumbe ukaja,"Ana rohombaya au unamuogopa?"
Nikajibu,"AA wapi"

Akajibu, since uongee na huyo,kwa Nini mimi tu,wakati una jirani abiria mwenzio Tena Yuko vizuri tu?"
Nikajibu,"huyu anaonekana Ana hasira Sana ya maisha,Wala hatuwezi kuelewana,ila tu ninachoweza ni kumuomba aje happy naweza uje hapa,au huyo wako aje hapa nami Nike hapo".

Akajibu,"ha ha haa", haiwezekani kwa sababu Kwanza huyu nilienae ni dada yangu,na tayari amenionya kwa jinsi nilivyocheka peke yangu".

Nikamuuliza,"je tutaweza kuona a kesho?"
Akajibu,"kwa sababu namba ninayo, nitakupigia Kama nitapata nafasi, nike nisikie unataka nikusaidie Nini".
Tukaendelea kuwasiliana kwa njia ya ujumbe wa simu.

Safari iliendelea,watu wengi walikua kimya,wengine wakilala,wengine wakitazama filamu,wengine wakisoma Mambo kwenye simu zao,Kila mtu alifanya Jambo lake.

Huyu Dada mzuri Sana kuliko Dada yeyote ndani ya Basi hili ambae nilipata bahati ya kukaa nae ambae Sina faida nae kwa sababu ya utulivu wake,ujivuni wake,Hali yake ya uzuri uliopitiliza na muonekano wake wa kuwa ni dada mwenye maisha ya Hali ya juu Sana kwa Mimi kuweza kuongea nae ilinifanya nisiwe na wakati nae,sikutaka kumsemesha Wala yeye pia hakutaka kunisemesha.

Hata hivyo siwezi kumlaumu kwa chochote,Bali ni Mimi mwenyewe tu mimejiongeza nikaona huyu ahatuendani,Yuko juu yangu Sana mara elfu,ntaishia kupoteza muda wangu to kuongea na mtu ambae najua Sina faida nae,au sintapata chchote,sio wa hadhi yangu,bora niwasiliane na yule msichana Alie mbali lakini naweza nikapata chochote,tutaweza tukaelewana,isitoshe hata na yeye ni mzuri,Tena kwa viwango vua kwangu.

Hata hivyo pamoja na kutojishughulisha na huyu niliyekaa nae lakini ukweli utabaki palepale kuwa huyu ni mdada mzuri kwelikweli, ni Moto wa kuotea mbali,ni maji marefu. Sifa zote za uzuri alikua nazo.
Safari iliendelea, ukimya ulitawala,nikiendelea kuwasiliana na dogo yule kwa Mambo ya kawaida tu.

Pamoja na yote hayo akili yangu ikaanza kumtathmini huyu Dada niliyekaa nae,alikua anateswa Sana na usingizi,aliendelea kuniegeme begani pale usingiIzi ulipomkolea,alikua hapendi happy hiyo, lakini unajua usingizi hauna heshima, alipokua akinilalia aliposhituka akawa anaamka na kuniomba samahani, nami nikimwambia,asjali ni Mambo ya Safari tu hayo, kwani mtu yeyote amaweza kupatwa na Hali hiyo.nilimweleza mara moja tu, nilaendelea kusoma Mambo ya JamiiForums, baada ya kupumzika kutuma ujumbe.

Sehemu ya nne

Usingizi ulikua mzito Sana kwa jirani yangu,akawa amejiachia kabisa begani pangu, Hali hiyo ilinitoa kwenye Mambo yote niliyokua nayafanya,niliacha kutuma ujumbe Wala kusoma Mambo ya JF, nikiendelea kishika kifaa change ninachotumiaa kusoma, nikaanza kumtaza huyu Dada kwa kuibia, nilanza kumtaza a kwa kumkagua kill jicho langu lilipoweza kufika akiwa ameniegemea, niliangalia mapajani, matiti, vidole vya mikononi,nilinusa harufu yake, alikua ananukia vizuri Sana, nilianza kubadilika kihisia, ulijali ukaanza kinijia taratibu,mtu mwingine yeyote angekuja pale angeweza kugundua Hali ya ulijali ulionijia hata yet mwenyewe angeamka ghafla angekuata Hali hiyo, lakini nilijitahidi kufunika na kifaa nilichokua natumia kusoma.

Nilianza kuhisi Raha ya kuegemewa na huyu msichana mzuri zaidi ndani na nje ya Basi.Niliipenda Hali hiyo,nilitamani ingekua usiku ningeanza kumtomasatomasa,lakini baadae nikaogopa Sana kuwa pengine angeniabisha. Nilijituliza ili aendelee kunilalia.

Tulifika sehemu ambapo barabara haikuwa vizuri kidogo,ilikua ikirukaruka, Dada akaamka,akajikuta ameniangushia kabisa kichwa chake begani kwangu Kama vile ni Hali yake, au Mimi ni mtu wake ambae anastahili kuniegeme kiasi kill,hi kwake ilikua ni mbaya kiliko zote,alijiweka vizuri, Kisha akasema, "samahani Sana Kaka yangu, ninakusumbua Sana,nina usingizi mzito."

Baada ya kusema hayo nikajibu kihuni sana tena kwa kujiamini kwa sauti ambayo aliweza kusikia yeye na Mimi tu huku watu wengine wasiweze kusikia kwa kwa sababu ya makelele ya filamu na muungurumo wa Basi.

Nilimjibu kiungwana lakini kihuni,"aisee Dada yangu usijali kabisa,wewe endelea kuniegeme tu,ni Nani asiejua adha ya usingizi?hata hivyo Mimi Sina tatizo kwa wewe kunilalia,natamani hata ungenilalia mapajani kabisa,ni mwanume gani atakataa kuegemewa na Dada mzuri Kama wewe? Kwangu Mimi dada kuegemewa na wewe ni faida zaidi kuliko hasara, ningeweza wapi maishani kupata bahati Kama hii ya kuegemewa na mwanamke mzuri wa kiwango chako? Uwe na amani Dada yangu, wewe nilalie tu bwana, mimi nimeridhia,na mini nimeweka rekodi amabyo sitaweza kuivunja ya kulaliwa na mrembo wa kiwango chako, sisi wengine pengine ndio bahati yetu ya kuwa na wanawake wazuri imeishia hapo".

Wakati nikisema hayo,huyu msichana akiwa amekaa aligeuka mzima,akanikazia macho,akanitazama moja kwa moja, nilyaona macho yake mazuri, niliiona midomo yake mizuri,niliona akiwa Ana nywele fupi nimekaa kwa mtindo wa kuvurugika kidogo, akiwa amekaa vihereni vizuri shingo yake ya wastani lakini imekaa vizuri, kisha akuguna tu kwa kwa sauti ya chini niliyoisikia Mimi tu kwa kufanya,"mhuu!!"

Baada ya kuguna akaendelea kutazama mbele bila kusema kitu chichote, mimi nikaongeza,"Dada yangu niliyokuambia ninamaanisha, sisi wore ni wasafiri na msafiri kafiri,hiyo Hali uliyonayo naweza kuwa nayo hata Mimi, au mtu yeyoye, aliendelea kunisikiliza bila kujibu kitu, nikiendelea kwa kusema," wewe endelea kulala na ili ulale vizuri naomba uje ukae upande huu wa dirishani ili ukipatwa na usingizi usiweze kuanguka kwa sababu kushoto Kuna ukuta wa Basi na kulia nitakuzuia Mimi".

Akajibu tu mara moja,"Asante".

Alivyosema tu Asante, Mimi Wala sikuchekelewa nikashika vifaa vyangu nikasimama kumpisha,akaguna Tena Safari hii "mhuu" huku akitoa kitabasamu kidooogo.

Nilipoinuka kumpisha akaona hamna namna akasoge na kuketi upande wa dirikani, hivyo kwa upande wake wa kulia nikawa namkinga Mimi. Hakuongea chochote Tena,akaendelea kutazama mbele. Nami nikaendelae na Mambo yangu.

Pamoja na haiba nzuri ya huyu mdada niliekua nimekaa nae hapa, bado Wala sikua na mawazo nae kabisa, nikiendelea kumchokoza yule msichana aliekaa mbali nami, ingawa hakua akitoa ushirikiano vizuri, katkia mawasiliano yet aliniambia kua yeye ni mwajiliwa wa kampuni moja ya simu afisa mauzo,anakwenda Mwanza likizo, kabila lake ni kutoka Ukererewe Yuko na Dada yake, lakini makazi ya wazazi wake ni Buhangija Mwanza, kazi anafanyia Dar na anaishi na Dada yake huyo ambae ni Mwalimu wa Sekondari.

Aliendelea kunielezea no kuwa Kama nitakua na hoja za maana ataweza kunisikiliza ama kunisaidia,zaidi ya hapo utanisamehe,alinieleza kwa kujiamini. Hata hivyo nikaanza kujipa moyo Kama atakua anafanyia kazi Dar iko siku tutakutana tu midam amenipa namba yake ya simu, nikijiambia nisipompata Mwanza nitampata Dar, nilijisemea hivyo kwa kujipa moyo, nikiendelea kijipa moyo Tena kwa kusema,aah hata hivyo Mimi nilikua nataka tu msichana wa kukaa nae kwenye Basi ili kunogesha Safari, kuchombeza na ikiwezekana kutengeneza mahusiano,nikiendelea kujifariji kwa mtindo wa sizitaki mbichi hizi ikiwa nitakutana na pingamizi, nilianza kuhisi pengine,ni mchumba was mtu,au mpenzi wa mtu na ana malengo nae, nilianza kuwaza pengine ni MKE wa mtu ambae Hana mda mrefu ndani ya ndoa,nilijiuliza maswali mengi na kujijibu,yote hi ikiwa ni kuanza kukata tamaa na kujiandaa kisaikolojia.

Hata hivyo nikiendelea kujipa moyo Tena kuwa ninae mpenzi wangu ambae Yuko Chuo mwaka was tatu,akimaliza akirudi tukaendelea na mahusiano,niliendelea kukumbuka na kuwaza.

Sehemu ya tano

Pembeni yangu huyu mrembo aliendelea kujisinzilia tu kimagumashi. Alishituka na kuanza kuangazaangaza baada ya kusikia kelele za abiria wakijiaandaa kushuka kwa akili ya kwenda kupata chakula,Basi lilikua limesha kata Kona kuelekea mahali ambapo abiria hupelekwa kwa ajili ya kujipatia chakula.

Nami Kama sehemu ya abiria niliinuka nikapanga foleni ya kushuka,nikaanza kutembea kidogokidogo kwa kufuatisha mwendo wa abiria waliokua wakishuka taratibu. Wakati nikiendelea na msafara nilimuona yule dogo akiwa tayari ameshafika eneo la chakula na huduma nyinginezo akiwa ameongozana na Dada yake.

Niliposhuka chini nilitaka kuzunguka nyuma ya Basi ili Kwanza niende haja ndogo,nilisikia sauti ikitokea dirisha la gari upande ule nilikua nimekaa ikisema "Kaka naomba unisubiri"

Nilifatilia Kama ombi Hilo linanihusu Mimi,nilitazama sauti ilipotokea,nikamuona mtu aliekua akisema, na hapo ndipo nikatambua kua aliyekua akiombwa kisubiri so mwingine,Bali ni Mimi mwenyewe,na aliekia akiomba nimsubiri ni yule Mrembo niliekua nimekaa nae,mrembo wa Hali ya juu mwenye viwango vya kuwa mrembo wa dunia.

Nilisibiri huku nikiwa najiuliza ni kitu gani kimemfanya aniombe nimsubiri,niliwaza kidogo,lean sababu Dada huyu sikuwahi kuongea nae kitu chochote cha maana zaidi ya kuonesha kumhurumia wakati alipokua akiteseka na usingizi.

Nilifikiri pengine nimedondosha kitu au pengine nimeacha ama nimesahau kitu,hivyo anataka aniletee.
Nilisibiri,hatimae akawa amefika,huku nikimtumbulia macho,Kisha akasema,"naomba tuongozane Kama unakwenda kula"

Nilishusha pumzi kidogo Kisha nikajibu huku nikiwa na hofu Fulani,kwani sikutegemea hoja hiyo,nikaanza kuona haya kidogo,nilisema "sawa"

Niliona haya kidogo kuongozana nae kwani Kila tulipopita watu walikua wakimtazama yeye tu.
Hata Mimi pia nilitamani kuanza kumtazama vizuri inagawa Hadi hapo nilikua namtazama kwa kuibiaibia.
Ndugu msomaji, Mungu ni Fundi, mwacheni Mungu aitwe Mungu, huyu msichana alikua ni mzuri Sana lakini Wala hakua amejipamba, nilimwangalia kwa kuibia sehemu yake kwa nyuma, Ana makalio ya kistaarabu, sio makubwa Wala sio madogo, ni makalio ya wastani,alikua amevaa suruali lakini sio jinsi,alikua amependeza Sana,alionekana evaa kiheshima Sana ingawa umbo lake lilitamanisha.

Tulielekea mahali pa kujisitiri Kwanza, tulifika nje ya kijumba kimoja kizuri nje kuna maandishi yaliyoelekeza kuwa kushoto ni wanaume na kulia ni wanawake, tulipofika hapo akaniomba nimshikie simu na kimkoba chake, nikajiuliza kimoyomoyo kulikoni, lakini nikatii, baada ya muda akatoka na Mimi bila kumueleza chochote nikaelekea upande wa wanaume, baada ya dakika chache nikatoka,lakini kwa mshangao mkubwa nikamkuta akinisubiri tukaondoka kuelekea wanapouza chakula,palikua panauzwa chakula ndani ya hoteli na nje,tulitazama nje tukaona wanauza nyama za kuchoma za ng'ombe, mbuzi kuku, ndizo choma na chipsi.

Nilishangaa Tena aliponishirikisha kwa kuniuliza ,"Kaka wewe uatakula Nini?"
Nilimjibu,"aah Mimi napenda nyama ya mbuzi na ndizi",
Nilimjibu huku nikiwahi kuomba mchoma nyama aniandalie.
Dada yule aliniambia,"aah Basi hata Mimi ntakula hivyo hivyo".
Kisha harakaharaka akamwamuru mchoma nyama atufungie mafungu mawili ya nyama na ndizi tatutatu, yaani nyama ya mbuzi ya kuchoma fungu moja na ndizi tatu, aweke hivyo mara mbili, alimaanisha fungu moja la kwake na jingine la kwangu, Kisha akalipia mafungu yote mawili yeye mwenyewe.

Wakati akitanya hivyo Mimi nikwahi kwenye vinywaji,nikaomba nipewe maji ya kunywa chupa kubwa mbili na box mbili za juice, wakati nataka kutoa hela mikamsikia akisema hela hii hapa alilipia vinywaji kabla yangu Tena, hali hii ilinishangaza kidogo, hivyo kumfanya awe amelipia vyakula na vinywaji vyote kwa ajili yangu na yake.

Nilichokifanya ni kuwa mpole tu na kumuambia,"Asante",
Naye akajibu,"Asante kushukuru".
Tukaelekea kwenye Basi kwa ajili ya kujiandaa kuendelea na Safari.
Kumbe wakati hayo yote yakiendelea yule Dada mdogo mrembo akilikua akinifuatilia hatua kwa hatua Kila nilichokua nafanya na huyu Dada mrembo mkubwa,ilikua ni zamu yangu Sasa kuchunguzwa bill Mimi kujijua.
Alikua akinitathmini,akinichunguza na kunikagua huku akiwa mbali,alifanya makusudi kuwahi kushuka na kufanya Mambo yake mapema ili ibaki kazi ya kunifiatilia.

Sehemu ya sita

Nilikua kufahamu kuwa Dogo ambae nilikua kujua jina lake alikua akiitwa Erica,kumbe alipata wasaa wa kunichunguza wakati tulipokua tukiongozana na Bidada Mkubwa.

Nilikua jina lake baada ya kufanya Kama namtumia pesa kwa njia ya simu,baada ya kujaribu kutuma jina lililokuja ni Erica David,baadae nikaja kuthibitisha kwa kumtaja kwenye ujumbe wa simu, alishituka na kutaka kujua nimelijuaje jina lake, nilimweleza nilivyocheka hakua na namna,Bali alikubali, nae akafanya hivyo kujua jina langu na kujua kua naitwa Stain Antonio.

Erica alikuja kunza kunifatilia na kua making na Mimi zaidi mara tu tulipoongozana na huyu Bidada Mrembo,ambae kwa kweli Kila aliyemuona alishangazwa kwa uzuri ule,Hali hiyo ya uzuriiliwavutia wanaume na wanawake,mmoja wa waliovutiwa ni pamoja na Bi Erica,ambae tayari niliomba namba yake na kutaka ahamie kwenye kiti nilichokua ili tuwe tukiongea, ingawa kwa kweli, nia ni kumtongoza, nilivutiwa nae na kwa vile ni wa hadhi yangu ni wa hadhi yangu kuliko huyu ninae kaa nae,huyu namuona ni wa hadhi ya juu Sana kwangu,hata tu kumuoa siwezi, naona kuoana na huyu ni kukitafutia shinikizo la damu tu, simuwezi, simmudu, ni wa gharama Sana,atakua yeye kanioa Mimi, hata nikimuoa watu went nguvu za uchumi na mamlaka hawataniachia peke yangu, mbali na hayo Kwanza najua hawezi kunikubali,hivyo nikaona Sina haja ya kupoteza mda wa kumfikiria na kumfatilia.

Wakati nikitafakari yote haya Basi lilikua linaendela na Safari,watu walikua wakiendelea kula vyakula vyao walivyokua wamenunua kule tuliposhuka kwa ajili ya chakula,kwani watu walikua wamefungasha vyakula vyao.
Tulikua tunakula kimya kimya Mimi na huyu Bidada, ni m chache Sana wa maneno dada huyu, sijui ni maringo,dharau au kiburi,neno pekee alilosema baada ya kutoka kununua chakula aliseme hivi,"nyama hii imeiva vizuri",baada ya kua ameishakula finyango kadhaa,Mimi hapo sikujibu kitu.

Mimi ni muongeaji Sana,lakini kwa huju jirani yangu nimekwama,huyu haongei kabisa na hayuko tayari kuongea,aliponishirikisha twende pamoja kwenye chakula nikajua tukitoka huko ni mazungumzo kwa kwenda mbele,lakini sivyo.

Maswali mengi yakaja kichwani,kwa Nini aliniomba twende pamoja kutafuta chakula? Na kwa Nini baada ya kurudi haoneshi kutaka mazungumzo na mimi? Ni Mimi ndio simsemeshi? Namuogopa? Nina hofu? Sijiamini? Kama ni hayo mbona Erica nimemsemesha na angalau anaweza hata kujibu ujumbe wangu? Mbona aliweza kunipa namba yake ya simu?

Kwa maswali hayo machache nikahitimisha tu kua namuogopa,kwa Nini namuogopa? Mwonekano wake ni Msichana Mzuri kuliko viwango vyangu nilivyovizoea na isitoshe sio mtu wa kutoa mwanya wa kuzoeleka,pia ni wa hadhi ya juu ya uwezo wangu.

Baada ya kuyafikiria hayo nikaamua kuachana nae kimawazo na nikaanza kumuona Kama kikwazo cha mipango yangu ya kufahamiana zaidi na Erica.
Wakati Niko katikati ya tafakari ujumbe ukaingia kwenye simu yangu,"nadhani huhitaji Tena mtu wa kuongea nae,niliwaona mkitoka kununua chakuala"
Nikajibu,"aah huyu mtu niliekaa nae sijui ni bubu!"
Akiniuliza,"una maana gani kusema ni bubu?
Nikajibu,"ameongea maneno Saba tu tangu amekaa hapa"

Nikaongeza,"unajua Mimi napenda Sana kuongea Sasa mtu huyu sio wa hivyo,sijui Ana mawazo ya Nini"
Sikujua kuwa kitendo cha kwenda kula na huyu Mrembo mkubwa kilinipa daraja kubwa sana kwa huyu Mrembo mdogo,alikua Kama ananiona mhuni Fulani,lakini kwa kuongozana tu na huyu Dada kimemshitua kidogo Erica,niligundua kutokana na baadhi ya ujumbe zake,alionesha Nia Sasa ya kutaka kunisikiliza,alinihakikiahia kua kesho atatafuta nafasi ili aje tu kunisikiliza Nina shida gani nae au ninataka msaada gani nae.

Kwa mfano baadhi ya ujumbe zake moja iliuliza hivi,"bado utakua unahitaji kuongea na Mimi kwa Sasa?"
Mwingine aliuliza hivi,"Safari yako Sasa itakua fupi",
Mwingine aliuliza hivi,"umeshamuambia jirani yako aje kukaa huku na Mimi Nike huko?"
Kusema kweli ujumbe ulikua mwingine kidogo lakini jibu lake lilikua ni moja tu,kwamba huyu mtu niliekaa nae Hana faida Wala msaada kwangu,no hasara tu, nilimjibu pia kwamba ikiwa kesho atapata nafasi tutaongea,atanisikiliza na atanielewa zaidi.Nilimjibu kwamba huyu niliekaa nae hawezi kunisaidia kwa sababu haonekani kuwa mtu wa maaada Wala kusikiliza,anaonekana ni mchoyo na mbinafai,nilimponda bila kujali Kama kaninunulia nyama na ndizi,nilifanya hivyo ili kumuinua na kumsifu Erica ili kesho awezw kuja halafu nipate urahisi wa kumtongoza,kwa kifupi niliona Kama kumponda huyu na kumsifu yeye ndio njia ya kumlainisha,ili kesho kazi iwe rahisi.

Kwa ujumla tuliendelea kumteta huyu Dada bila yeye kujua.Mimi niliipenda hiyo Hali kwa sababu ilikua imanipa faida kwa matamanio yangu ya kumtongoza Erica,Erica umri wake ni Kati ya miaka ishirini Hadi ishirini na mbili,Mimi umri wangi ni miaka ishirini na nne, huyu dada yeye anaonekana ni Kati ya miaka ishirini na
nne Hadi ishirini I na Saba, Hivyo namuona Erica ni saizi yangu kuliko huyo Dada,achilia mbali muonekano na Tabia zake ndo zinanifanya nisiwe na hamu ya kuzoeana nae.

Safari yetu ilendelea,mida nayo iliziidi kupotea,tuliendelea kuacha mkoa mmoja baada ya mwingine,ukiondoa mida,hata majira Sasa yalikua yamekwisha badilika,maana tuliondoka Dar alfajiri,ikaja asubuhi,ikaja mchana,ikaja jioni,na Sasa ni usiku,Tena sio usiku tu,ni usiku wa saa nne,siku ya ijumaa, watu kwenye Basi wanaonekana kuwa wamechoka Sana,Wana hamu ya kufika makwao,hapa tulipofika Sasa ni maeneo ya Mkoa wa shinyanga,watu wachache sana wameshuka shinyanga wenge wamebaki,na Hawa wengi waliobaki watashuka Mwanza mjini,na ndio mwisho wa Basi,ingawa abiria wengine watatawanyika kuelekea wilaya na maeneo mengine,Mimi kesho nitakaa mpaka jioni nikimvizia Erica,baada ya kumalizana na Erica nitavuka kukatiza ziwa viktoria kwa kutumia kivuko,kwenda kwetu Sengerema.

Abiria wengi walionekana kuchoka,ilikua imeshafika saa tano kasoro dakika ishirini na tano,baadhi ya abiria walibashiri kuwa tutafika Mwanza Kati ya saa tano na nusu au saa sita kamili.

Jirani yangu,kwa maana ya abiria mwenzangu niliekua nimekaa nae kiti kimoja,alivunja ukimya akniuliza,"Safari yako itaishia Mwanza mjini?"
Nami nikajibu,"hapana,kesho asubuhi nikaanza Safari nyingine ya Kama robo saa kuvuka maji ya ziwa viktoria kwenda kwetu"

"Kwenu wapi",aliuliza,
"Wilaya ya Sengereama" nilijibu,
Aliuliza Tena ,"Kuna umbali gani kutoka Mwanza mjini na Sengerema?",
Nilijibu ,"niwendo wa dakika arobaini na tano ziwani,na nusu saa barabarani"
Aliuliza Tena,"usiku huu kuanzia saa sita hakuna usafiri wa kufika huko?"
Nikajibu,"hakuna",

Anauliza Tena,"Sasa una mahala pa kulala usiku huu wakati ukisubiri kesho kuendelea na Safari yako?"
Nikajibu,"wasafiri wengi wenye kuendelea na Safari siku inayofuata hulala kwenye mabasi kwa mda huu uliobaki,hata Mimi nitalala kwenye Basi"

Kabla hajauliza swali jingine nikaongeza maelezo,"wasafirishaji wengine wenye mabasi Wana sehemu maalum kwa abiria wao kulala,hata hivyo ni mda mfupi Sana ya kulala,kwani Hadi mtu ulale itakua imefika was Saba usiku,itakubidi uamke saa kumi na moja ujiandae na kuelekea kwenye vyombo vya usafiri,watu wengi hupenda kuanza Safari saa kumi na mbili alfajiri ingawa kwangu sio lazima,nioimaliza kufafanua"
Akakaa kimya kwa mda mrefu bila kuuliza kitu,kisha aliiniuliza tena ,"unaishia Dar au Mwanza"
Nikajibu,"Dar"
Aliuliza,"Dar sehemu gani"
Nikajibu,"Mwenge",
Kabla hajaendelea na maswali zaidi Basi likawa linakata Kona kuingia stendi kuu,stendi hii ndio mwisho wa Safari ya Basi hili,kwa maana nyingine tayari tulikua tumefika Mwanza.

Abiria walianza kukusanya mizigo yao,nasi pia tukafanya hivyo,Basi likasimama na abiria wakaa za kushuka.
Dada Mrembo akanitazama Kisha kwa sauti ya upole kabisa akaniambia hivi,"Kama hautajali naomba nikisaidie"
Niakamuuliza,"unisaidieje?"
Akajibu,"naomba unifuate",
Nikaanza kimya na kuanza kumfuata kuanzia alipokua akishuka kwenye Basi Hadi chini,tukaelekea moja kwa moja Hadi sehemu ambayo haikua na watu wengi happy kituoni.Akatoa simu yake akabonyeza atatafuta majina Kisha mikamsikia akisema tumeahafika,nipo hapa jaribu na huu mgahawa wanapouza chips.
Baada ya dakika chache nikamuona Kaka mmoja akija kumpokea,akatusalimia,Kisha akachukua mizigo yake tukaelekea sehemu ambapo kulikua kumeegeshwa gari dogo Aina ya "Ford double cabin"
Tukaingia ndani ya gari,na gari ikaanza kuondoka.

Nilikua kimya kwa upole,utulivu, tahadhari na umakini mkubwa Sana.

Sehemu ya saba

Gari hii ilielekea nisikokujua sikua na wasiwasi juu ya usalama wangu,ila nilikua na maswali mengi juu ya huu msaada anaoelekea kunisaidia huyu mrembo.

Gari ilinyoosha,ikakata kushoto ikaingia kulia ikazunguka kwenye mzunguko wa barabarani ikaenda kulia kidogo mara nikaona inakata Kona kuelekea kilimani kidogo, mahala ambapo palikua Kuna miti mingi na mawe makubwa,nilishuhudia nyumba nzuri ikiwa imezungukwa na mawe makubwa na madogo pamoja na Miti ya asili na miti ya kupandwa.

Nje na ndani ya nyumba hii kulikua kunawaka taa.Baada ya dakika chache dereva akaegesha gari,kisha akashuka dereva Kwanza. Mrembo akageuka nyuma kwa sababu alikua amekaa kiti Cha mbele na Mimi nyuma yake,akaniambia,"tushuke timefika".

Nilishuka na kuanza kuangazaangaza na kimkoba changu cha kubeba mgongoni, ndipo nikaona maandishi yakionesha kuwa hapa ni hotelini.

Ilikua ni hoteli nzuri kwa kweli,ila sikuweza kutambua mara moja Kuwa ni hotel yenye hadhi ya nyota ngapi,lakini ilikua in muonekano mzuri sana.Yule dereva alibeba kimkoba kidogo cha huyu Mrembo chenye magurudumu, akaanza kukikokota kuelekea ndani ya hoteli, Mimi na huyu Dada tukawa tunamfuata kwa nyuma, wakati huo Dada huyu alikua ameweka kwapani mkoba wake mdogo na kimfuko kingine amekikamata.

Tulipofika mapokezi Mrembo alienda moja kwa moja kwa afisa mapokezi kwenye kaunta. Akaongea kidogo wakati huo Mimi na dereva tulikua tumekaa kwenye makochi kwa mbali tukitazama bila kujua anaongea Nini,waliongea kidogo wakamaliza, Dada akaja kwa dereva akamshukuru Kisha nikasikia akimwambia,"nitakupigia nikikuhitaji".
Dereva akasema,"sawa bosi",
Kisha akaondoka.

Mrembo akanifuata Mimi akaniambia," twende".
Akaja mhudumu akachukua baadhi ya mizigo yetu akapanda nayo ngazi Kisha tukawa tumefika ghorofani tukaelekea kushoto Hadi nje ya mlango wa chumba.Mhudumu akafungua mlango Kisha akatukaribisha ndani.
Tukaingia ndani ya hiki chumba,ambacho kwa kweli ni kizuri Sana. Kunana kitanda kimoja,kikochi kimoja TV na vitu vichache lakini vyote vilionekena Kama ni vipya.

Kwa hakika kilikua ni chuma cha gharama kubwa.

Wakati nikitazama yote hayo nilipatwa na mawazo milioni moja kwa sekunde,nilijiuliza Mambo mengi Sana, nilifikiri kuwa, huyu Mrembo huenda baada ya hapa atanipeleka na mimi kwenye chumba changu, ama pengine ni nje kwenye nyumba ya wageni huko mitaa mingine maana huko nje ya hoteli sikuona nyumba yeyote,nilijiuliza mengi Sana.

Baada Kama robo saa hivi mhudumu akabisha hodi,akafunguliwa,akaingia na chakula,akaondoka.Mrembo akanikaribisha chakula tukala, chakula ambacho kwa hakika kilikua kitamu Sana.

Aisee hapa nimapoongea ndugu msomaji nilikwisha poteza mwelekeo kabisa,nilikua Kama mateka huru,nilikua mtulivu huku nikijiweka tayari kupokea amri yeyote kutoka kwa Mremno huyu, nilijisemea moyoni siulizi chochote nitafuaya Kila kitu atakachoniamuru kufanya

Tukamaliza kula,akapiga simu ya humu chumbani,akaja mhudumu akatoa vyombo.
Mrembo akavunja ukimya akaanza kwa kusema,"Kaka,unakumbuka kwenye Basi pale Jana?",
Maana saa hizi ilikua imetimia takribani saa Saba na dakika ishirini na tano usiku

Aliendelea kusema,"unajua Kwamba uliniambia maneno ya faraja na ya kiungwana Sana?,lakini kubwa ni jinsi ulivyoniruhusu nilale begani pako,kwa kweli nilikua na usingizi mzito Sana,ulinisaidia hata pale uliponipisha nikae upande wa dirishani,ilinisaidia nililala vizuri San.Sasa kitu kilichoniuma ni pale kwenye Basi uliposema ukifika wewe utalala kwenye Basi halafu kesho ndio uendelee na Safari yako,Mimi kwa kweli sikupenda,niliumia Sana,kwa sababu ulijitolea nikulalie,ili nisipate taabu naomba na Mimi nijitolee tubanane humuhumu chumbani halafu kesho uendelee na Safari yako."

Baada ya kumalizana tu kusema hivyo Mimi moyo wangu ukafa ganzi,nikajiuliza hivi Mimi huyu leo hii nalala hapa kitanda hiki kidogo cha futi tatu kwa sita na huyu Dada ambae kwa kweli ni Kama Mrembo wa Taifa,anastahili hata kutwaa taking la Urembo la Dunia?

Mungu wangu nitalalaje nae huyu,kutakucha salama kweli bila kugusana!Au pengine ameona ni Bora nilale kwenye hiki kikochi chumbani kuliko kulala kwenye kiti cha ndani ya Basi?
Nikasikia, "Kaka ngoja Basi Mimi nikaoge"

Nikajibu,"sawa",
Nilikua nimekaa kwenye hicho kikochi,nikaamua kuwasha TV, yeye akenda karibu na mlango wa kuingia bafuni na karibu na kabati ya kuwekea nguo na mizigo.

Akawa anavua nguo alizokua amezivaa toka asubuhi,sikuweza kumtazama kwa sababu nilimpa mgongo, na kugeuka nikawa naogopa,lakini maswali yanazidi kuongezeka.

Nadhani hata wewe msomaji utakua unajiuliza maswali mengi, nikasikia anarudisha kimkoba chake kabatini.
Baadae akaingia bafuni,nikaongeza sauti ya TV kidogo,baada ya dakika Kama ishirini hivi akawa ameshatoka bafuni,amejifunga khanga moja tu,kaifunga juu ya matiti hivyo ikawa imeishia juu ya magoti,Moyo wangu ulilipuka "paaa",baada ya kuiona migui yake kuanzia mogotini kushuka chini.

Miguu ilikua imejaza hatari,miguu ilionekana niikubwa na yenye kupendeza, migui mizuri utadhani huwa hatembei,imeshiba vizuri kuanzia mogotini Hadi chini.

Hayo yote nilyaona kwa sekunde chache kwa jicho la ndege tai.

Sikua namtazama moja kwa moja,nilitazama kwa kuibia huku nikijifanya natazama TV.
Hakika ndugu msomaji, kwa kutazama miguu tu nilihisi kitu kinainuka ndani ya suruali niliyokua nimeivaa,nilishitushwa Tena kwa sauti yake,"Kaka nenda ukaonge na wewe,Mimi tayari",
Nkajibu neno moja tu,"sawa".

Sasa kazi ikawa nitainukaje na huyu jamaa yangu kishasimama hatari.
Nikajibaraguza,nikajinyonganyonga Kisha nikainuka haraka na kugeuka,nikaelekea bafuni nikiwa tayari na mswaki na dawa yangu ndogo ya meno,nikajisafisha kinywa Kisha nikaoga,nikajikausha maji kwa kitaulo changu kidogo cha Safari,huku nikiendelea kujiulza hapa tutalalaje?

Nilipokua nikitoka bafuni nilijijipa moyo,kuwa ni yeye ndio alienialika kuja hapa na ni yeye ndiye atajua cha kufanya,Mimi sitasema chochote namuachia yeye ndio ataamua,nitatii Kila kitu atakachoniamuru kufanya, na sitafanya chochote kibaya kwa huyu dadakwani ni muungwana Sana,ameniamini,sitamuangusha,Wala sitamuudhi,kesho asubuhi ntajiendea kwetu.

Ndugu msomaji katika vitu ambavyo viliwahi kunipa mawazo na woga lakini sio woga wa kuumizwa mwili ni hiki. Nilijiuliza huyu Dada mzuri namna hii anajiamini Nini kukubali kulala na Mimi kitanda kimoja?au Kuna sehemi ntaenda peke yangu kulala?Huyu dada kwa Nini kajiamini namna hii? Yuko sawa kweli huyu?,
Lakini kwa jinsi nilivyomuona Hadi kuingia hapa ni mtu makini sana,muungwana,mstaarabu anaejiheshimu na anaejua anachokifanya.

Nilipokua nageuka nikitokea bafuni, moyo wangu ulilipuka tena kwa mara nyingine baada y kumuona tayari mwenzangu alikua amekwisha lala kitandani,ingawa ni dhahiri hakua amesinzia,amelala kiubavu akiwa ameelekea ukutani,ubavu wa kulia uko chini ubavu wa kushoto uko juu.akiwa bado amevaa khanga yake moja tu.

Moyo wangu ulipasuka Tena baada ya kuona mapaja yake,kwani khanga ilikua imepanda juu.

Ndugu msomaji taa ya chumbani ilikua bado inawaka niliona mapaja mazuri, meupe, yameshiba vizuri.Nilianza kutetemeka,mashine yangu iliinuka kwa nguvu kubwa hadi nikaanza kuhisi maumivu.

Kwa kawaida huwa navaa bukta peke yake nikitaka kulala,lakini ilinibidi nivae bukta na boksa ndani ili kuizuia mashine isisimame zaidi ili asiweze kuiona.Lakini wapi,haikusaidia kitu,nilijaribu kutembea nikiwa nimeimana lakini wapi.

Wakati nikipambana na hiyo hali,nikaanza kujiuliza, Sasa nitalala wapi,sijakaribiahwa kulala kitandani na sijaambiwa kulala kwenye Kochi. Nilijiuliza ndani ya sekunde moja hayo yote. Kistaarabu kabisa nikaona ngoja nikae kwenye Kochi tu,Kisha nisubiri maelekezo. Ningeweza kumfuta kitandani na pengine kuanza kumuomba penzi Mimi Kama mwanaume,lakini je akionekana kutokubaliana na hatua hiyo niliyochukua, Nini kitafuata?ataniondoa usiku chumbani kwake au itakuaje? Tutatazamanaje?

Nikajiuliza ninajuaje Kama huu ni msaada wa kulala tu?
Nikajiambia,kuna wanawake wengine wana misimamo, akikuambia ni msaada wa kulala ni kulala kweli na si vinginevyo,nikijifanya kidume naweza ingia kwenye kesi ya kubaka bure. Inawezekana Mrembo ana Tabia za kizungu ama ameish i Ulaya, pengine ana matabia ya kizungu, anapokuambia nakupa msaada wa kulala anamaanIsha kulala.

Nilizima taa nikaenda kukaa kwenye Kochi kwa utulivu kabisa.

Baada ya Kama dakika tano nikasikia sauti ikinisemesha,"Kaka mbona hauji kulala?",
Nikashusha pumzi,nikamuuliza,"hapokitandani"?
Akajibu,"he, hapa hapa, wewe unataka kulala wapi Tena"?
Moyoni nikasema "Lohl mtihani mwingine huu"!
Nikaenda kitandani kwa heshima kabisa,kwa uaminifu mkubwa nami nikalala Kama yeye kiubavu lakini nikielekea upande ilipo TV na Kikochi.Yaani ubavu wa kushoto ukiwa chini na wa kulia ukiwa juu,kwa maelezo rahisi tulipeana mgogo.

Kwa kawaida vitanda vya hotelini hutandikwa kwa mtindo wa Kama mfuko fuiani hivi,yaani mtu huingia ndani ya shuka au shuka na blaketi kwa sehemu zenye baridi.

Lakini Mrembo alianza kulala kwa kulala juu bila kuingia ndani,nadhani alikua Ana maana yake,nami nikafanya Kama yeye.

Hakika ndugu msomaji mpaka hapo sikua na tone la usingizi.

Baada ya Kama dakika kumi hivi toka nimejilaza kitandani pembeni ya Mrembo,sijasinzia na yeye hajasinzia,nilihisi mkono wake wa kushoto ukitua kiunoni kwangu,akageuka mwili wake kutazama juu Sasa,akanipapasa kidogo Kisha akaacha.

Akageuka kuelekea Kama nilivyo lala Mimi,yaani wote tukiwa tumetazama upande mmoja,akawa nyuma yangu,mkono wake wa kulia akauleta kifuani kwangu,akaanza kunipapapsa kuku akishusha mkono wake chini,mapigo yangu ya moyo yaliongezeka mara dufu Hadi akagundua Hali hiyo,akagusa mnara wangu akagundua umesimama imara nilisikia maumivu Kama unataka kukatika,alipoona umesimama vile alicheka mara moja tu hivi,"mhuu,"

Kisha akaniambia ,"pole"
Halafu akaniacha huku na yeye akiwa anahema na kutetemeka kidogo,nami pia niliyasikia mapigo yake ya moyo,nadhani pengene yeye mapigo yake yalikua maradufu zaidi yangu,aliponiacha aligeukia Tena ukutani alipokua amegeukia mwanzo.

Na kuanzia hapo nikawa nimekwisha jua anachokitaka.
Niliona ni Kama ndoto, Yule Mrembo niliekua namwogopa Jana asubuhi Sasa hivi Niko nae kitandani,Tena kwa juhudi zake mwenyewe,woga wote ulinitoka,mawazo yote yalinitoka,nikaanza kupata mawazo mapya.
Nilifiurahi Sana kwa Mwanamke Mzuri wa kiwango hiki kuwa mikononi mwangu ,Tena kitandani na akiwa na khanga moja tu.

Nilianza kuwaza kumpa kichapo ambacho hata kaa anisahau maishani,na Kama Ana mtu wake amwache,niliwaza kumpa penzi ambalo litamfanya awe haoni Wala hasikii kwangu,niliwaza kuikamata akili yake,niliona itakua hasara Sana kwa Mwanamke Mzuri namna hii atoke kwangu,aende kwa mwanaume mwingine.Aniache. Niliwaza kumpa Raha ya kitandani na maneno ambavyo vitamfanya amsahau mtu wake.Niliwaza mengi.

Alipogeukia pembeni nilimuona Kama kaishiwa nguvu hivi,nami nikageukia kwake,upande aliokua akitazama,nami nikawa mgongoni kwake nikamwambia hivi,"samahana dada",
Akaitikia,"mmmh"
Nikamuuliza,"naweza nikapapasa mwili wako?"
Akanijibu,"ruksa".

Sehemu ya nane.

Nilisikia furaha Sana kupewa ruhusa kushikashika mwili wake,niliinua mkono wangu wa kushoto na kumshika kiunoni,alishituka Sana halafu akatulia,nikaanza kumpapasa taratibu bila kipngamizi kwa Kila sehemu ya mwili wake Kila nilipotamani kupapasa,nilimsogelea shingoni,nikambusu shingo,nikambusu sikioni,akasikika akitoa sauti ,"aaaah",

Nikaendelea kumbusu huku namshikashika,nilishusha mkono kutoka kiunoni Hadi matakoni,nilimshikashika matako Sana,Hadi nikaona anvuta pumzi nyingine na kushusha,nilianza kuyaminyaminya taratibu,nikamwona anaanza kusungua vidole vyake vya miguuni,vidole kirefu cha Kati cha mguu akikisugua na kidole gumba,alifanya hivyo kwa sababu alikua anasikia Raha ya kishikwa makalio,nikaanza kulamba lamba shingoni,mgongoni,mashavuni,mara nyingine nikimbusu mashavuni,nikaanza kukunakuna kwa mbali na vidole mgongoni,nikaona Kasi ya kupumua inaongezaeka,huku milio ya kimahaba ikiongezeka.

Nilitambua kuwa anasikia Raha Sana kufanyiwa hivyo. Nilimgeuza taratibu Hadi akawa ananitazama Sasa,ingawa alikua amefumba macho,niliyaona matiti yake. Aisee huyu Mrembo ana matiti mazuri Sana,matiti laini sio makubwa Sana Wala sio madogo,vichuchu vimechongoka vizuri, niliyashikashika matiti yake taratibu,alisikika akimeza mafunda ya mate Kila sekunde,huku akikigeuzageuza kichwa chake,mara ageukie kulia mara kushoto. Nikaacha kushika matiti Sasa, nikaanza kuvinyonya vi chuchu taratibu,mara kichuchu cha kushoto,mara cha kulia.

Nilimsikia akianza kulia kwa sauti ya chini,aah,aah,aah,mmm,mmm,aiiii,aii,ashii,aashii.
Aliendelea kuteseka kimahaba huku Mimi nikiwa makini kuvilamba vichuchu polepole bila kumsabibishia maumivu,hatimae nikaanza kumnyonyanyonya taratiiibu matiti yake sio kwa ajili ya kufyonza au kunyonya majimaji yaliyomo ndani yake yaani maziwa, la hasha,Bali kwa ajili ya kummpa Raha.

Wakati nilipokua nikimshikashika matako na kuyaminyaminya nikastaajabu kua kumbe alikua hajavaa chupi,aisee kwa Hali hiyo Mimi mnara wangu ulikua umeshasimama Kama kipande cha chuma,
Wakati wote huo nilikua sijafika mapajani.

Nilianza kupapasa mapaja.Mrembo Ana mwili laini utadhani huwa hatembei,mapaja laini Kama Nini,ngozi laini,nilimshikashika sehemu za tumboni kushuka chini,nikasikia ananiambia,"naomba Sasa,jamani nisaidie,nipe bwana,mie siwezi tena kuvumilia kaka,ai wewe nifanye Basi Kaka yangu,nateseka jamani,naomba mpenzi wangu"

Kusikia hayo maneno na neno mpenzi wangu,akili ndo ikaruka kabisa,nilikua tayari nimeshaitoa khanga,akawa Kama alivyozaliwa,wakati alipokua akiongea hivyo,mkono wake wa kushoto alikua ameupeleka kwenye uume wangu nae akawa anajaribu kuuminyaminya huku akihangaika kutaka kuutoa ndani ya bukta na boksa,lakini akashindwa,nikamsaidia,nikavua bukta na boksa, nikazivua zote kwa pamoja,lakini sikutaka kumpa Kwanza.
Niliendelea na zoezi la kumlamba sehemu mbalimbali kuanzia shingoni,masikioni,nilimlamba midomo yake, nilikutanisha ulimi wake na wangu,niliunyonya ulimi wake kidogokidogo,,nilinyonya mdomo wake wa juu Kisha nikanyonya wa chini,ana midomo laini halafu mitamu Sana,nilimlamba Tena kidevu,nikaa shuka kwenye matiti tena,nliiendelea kulamba vichuchu na kumnyonyanyonya vimatiti vyake.

Alijitahidi kwa shida Sana naye kunipapapsa mgongoni na sehemu chache alizoweza kufika,kwani nilionekana kutawala mchezo,sanasana aliishia kulialia na kutoa sauti za kimahaba. Nilikua na hamu kweli kwa kumpata lakini sijui nilitoa wapi ujasiri wa kuvumilia hivyo bila kuingiza kwa mda mrefu.

Wakati huo yeye alikua anahangaika kunitaka niingize, lakini masikini nguvu hakua nazo kabisa kwa sababu ya michezo niliyokua namfanyia. Baadae akaanza kuomba Tena kwa kusema,"kaka nihurumie,Kaka nisaidie Basi,mimi Niko tayari jamani,unanitesa jamani,ingiza Basi, huku nae akijaribu kunishika mashine yangu na kufanya Kama aniachua hivi ili kunipa hamu.

Akapata nguvu kidogo akaniletea mdomo wake,nikaanza tena kumnyonyanyonya midomo yake,niliendelea hivyo huku nampapasa kiuno, tumbo, mapajani.

Hatimae nikaona Sasa nishuke kwenye tunda,hapa sikukaa Sana,kwani nilipoanza kushika kwenye kiharage alianza kutetemeka na kuniambia,"usipoteze, usipoteze, Mimi ntamaliza,ingiza haraka, ntamaliza, ooh,aah,aah"
Alikua alimaanisha nisimwache amalize kwa kumchezea, Bali niingize ili ikiwezekana tumalize pamoja.
Wakati huo na Mimi Hali ilishaanza kuwa tete.

Nikamweka vizuri harakaharaka,nikamweka kwa mkao wa asili,maarufu kama kifo cha mende,nikaanza kumsugua juu ya kiharage kwa dushe Kama sekunde kumi hivi,alikua kalowana hatari,alisikia utamu Sana kwa kitendo hicho,alisikika akisema,"tamu,tamu,tamm.tam ingiza sasa, ingiza sasa"

Nikaona Sasa ni muafaka kuingiza nikaingiza dushe,sikuamini Kama nilikua naingiza kitu changu ndani ya kitu cha Mremb.,Mwanamke Mzuri ambae sikutegemea kulala nae kitandani.

Ijapokua alikua amelowa,lakini papuchi yake ilikua inabana Sana,hivyo nikawa naingiza taratibu,ana papuchi tamu Sana,nikawa naisikilizia dushe inavyomezwa ndani ya papuchi ndogo yenye joto Kali, inaingia hatua kwa hatua,mwanzo nilihisi nakula msichana bikira maana sio kwa udogo ule wa papuchi, kwa umri wake kuwa na papuchi ndogo Kama ya mtoto wa kidato cha kwanza.

Niliingiza taratibu Hadi ikaingia yote,nikaanza kusukuma ndani na nje huku nikiendelea kumlambalamba midomo na vichuchu na kumbusubusu masikioni. Nikawa namsikia akisema,"Kaka unanipa Raha ambayo sijawhi kupewa hapa duniani. Alilia,"Aah,ooh,Asante,polepole,tamu,tamu jamani,usimalize".
Baada ya misuguo Kama thelathini hivi nikamsikia akiliaa,"aaaah,iiiih,aaah,ntamaliza,namaliza,namaaliiiiiiiza,namaliiii."

Wakati huo na Mimi nikasikia vitu vinakuaja kwa mbali,"Ah,oh,oooh,oooooh,haaaaaaah,".
Tukamaliza pamoja,nikiendelea kumkumbatia kwa dakika chache,halafu nikageukia pembeni.Tukawa tunahema utadhani tulikua tumekimbizwa na Simba.

Sehemu ya Tisa.

Nilishitushwa baada ya kumulikwa na mwanga mwembamba wa just uliopenya kidogo kupitia kwenye kisehemu Cha dirisha ambapo pazia haikufunga vizuri.

Nilitazama huku na huko,huku dushe yangu ikiwa imesimama juu imara kabisa.

Mrembo alikua bado amelala,ilikua imekwisha fika saa mbili asubuhi,tulipitiwa na usingizi kutokana na mambo mazito tuliyoyafanya usiku wa manane,na ukichanganya na uchovu wa Safari,tumelala sana,nimepitiwa hata mda niliojipangia wa kuondoka saa Kumi na mbili alfajiri.

Nilimtazama Mrembo wangu,Looh! Aisee alikua amelala kifudifudi akiwa Kama alivyozaliwa,nilimwona vizuri Sana Sasa hivi kuliko usiku,mdada Ana umbo zuri sana,taking la kistaarabu,sio kubwa la aibu,lakini sio dogo pia,liko wastani.

Miguu ndo usiseme,imejaza vema kabisa.
Kiuno chembamba utadhani hua Hali.
Nilimkagua vizuri tu,sikuona kasoro hata moja.Dushe ilisimama kwa nguvu Sana.
Nikaona kwa vile alishaniruhusu nitanye nae mapenzi na mda wangu wa kuondoka umeshapita, nimechelewa, itaninibidi niondoke tu, lakini siwezi kumwacha hivi hivi, lazima tuagane. Kumuamsha niliona huruma, kwani huwa sipendi kumkatishia mtu usingizi wake.

Nilipata wazo,niloamua ngoja nikaoge kwanza akiamka ntaomba mechi ya marudio. Niliamka nikaenda bafuni hivyohivyo bila kuvaa bukta.

Nilisafisha kinywa,nilijisafisha,Kisha nikaoga. Nilioga dushe likiwa bado limesimama.
Nilipotoka kuoga nikamkuta amegeuka akinitazama, kumbe pilikapilika za kuoga zilimwamsha,akatabasamu kunioma vile, nimetoka kuoga na dushe limesimama imara.

Nae akasimama akanikumbatia,akanibusu, kisaha nae akaingia bafuni kujiweka Safi.
Alipotoka bafuni akanikuta niekaa kitandani ili nimwambie mpango wangu wa safari.
Akiwa bado amesimama anajifuta maji na taulo,nikamfuata nikamkumbatia nikaanza kumbusu Kila sehemu huku nikimnong'oneza,"Dada naomba tufanye Cha kuagana,nimetoka kukupenda Sana,ntakukumbuka sana,Mwanamke mzuri sana wewe",

Akaniambia,"unataka kuondoka,
? aah usiondoke bwana,baki Kwanza na Mimi walau Hadi jumatatu asubuhi,nikiwa naenda kazini na wewe ndo uondoke,nakuhitaji Sana,nakuomba tafadhari usiondoke leo",alisisitiza.

Kabla sijajibu akaongeza,"kwani ni lazima na muhimu ufike huko leo?Kama sio muhimu kufika Leo naomba nibaki na wewe Hadi jumatatu asubuhi, sawa?

Nilifiurahi Sana kusikia kuwa anataka nibaki has jumatatu,nilijua ntakua nae jumamosi na jumapili.
Haraka haraka nikajibu,"aah naenda likizo ya kawaida tu,tena naenda kimsalimia Babu yangu,amabe ni rafiki yangu mkibwa.

Tuliongea yote hayo huku tukiwa tunashikana shikakana,nilifiurahi Sana kuminyaminya makalio yake laini,nilimbusu Kila sehemu,alianza kunishika mpini wangu Mambo yakazidi kunoga,tukapelekana kitandani,tukaendelea na vurugu ya kutiana nyege,aisee Safari hii na yeye alijitahidi,maana nae alianza kunishika sehemu muhimu zote, tuliendelea kushindana kunyegetushana, wore tukawa Moto kwelikweli,mchezo huu ulikua mkali kishinda wa usiku, hakuna sehemu sikumshika, nilikuala mate yake Sana, militia ulimi masikioni na puani,nilimlamba makalioni na mgongoni, wlipagawa kwelikweli, kwa sababu ilikua asubuhi,nilimuona vizuri maungo na yake na umbo lot,niliyaona vizuri matako na matiti,niliyaona vizuri mapaja na kiuno chake,niliyaona macho yake yalivyolegea.

Hakika nilishindwa kuvumilia, hata yeye alishindwa kuvumilia, tulishindwa.
Nilimwomba apige magoti happy kitandani, nikamweka vizuri, nikamuomba ainame, alaze kichwa chake kwenye mto au kwenye godoro, awe Kama anasikiliza kitu kwenye mto au godoro, akafanya hivyo huku akiwa amepiga magoti, mtindo uliotokea akawa amebinuka huku nyuma,makalio you yalikua juu, huu mtindo wengine huuita chuma mboga,wengine huuita mbuzi kagoma.

Baada ya kumweka vizuri nikabusu makalio yake,nikamshika na kumpapasa kidogo makalioni, nikapitisha kidogo mkono kwenye papuchi, nikawa nsugua kidogo kwa kidole,akaanza kulalamika Tena Kama usikuu,huku akihema harakaharaka, akaanza kuniomba Tena niingize.

Nilipoona amekwisha lowana vya kutosha nikamsogelea mimi nikiwa nimepiga magoti,dushe imesimama thabiti,nikaanza kumsuguasugua kwa dushe kwenye papuchi yake kuanzia chini napandisha juu,nilifanya hivyo mara nyingi,nikaona anaongeza makele Hadi nje wakawa wanasikia.

Nikaona Sasa ni muafaka kuingiza,nikaingiza taratibu,hatua kwa hatua,ilipofika nusu nikaitoa nusu halafu nikawa nafanya juujuu tu bila kuingiza yote,alilalamika Sana akiniomba niingize yote, alilia, aliteseka, alinibembeleza hatimae nikaingiza yote kabisa,nikaanza kuizungusha kwa ndani alifurahia Sana utundu wangu,alinipa kila Aina ya sita,aliniitaajina yote ya kunisifia aliyoyajua,hatimae nikaacha kuizungusha kwa ndani,Sasa nikaanza kumfanya kwa kuingiza na kutoa.

Niliendelea hivyo Mara nyingi kadri nilivyoweza Hadi niksikia akipiga makelele akiashiria kufika kileleni,nami niliongeza kumsugua Hadi Mami nikasikia kumalizana.Hatimae tukawa tumaliza pamoja.

Akanyoosha miguu huku dushe bado imo,nami nikafanya Kama yeye ikatokea nikawa nimemlalia mgongoni, nikamkumbatia, tukapitiwa na usingizi mfupi Tena.Tukaamka saa tano kasoro robo.

Akanibusu,akaniahukuru, akanisifia kwa kumpa Raha amabayo kwa kauli yake anasama,hakuwahi kupewa Raha namna hii kitandani.

Anasema hakujua kuwa kumbe kufanya mapenzi ni moja ya starehe kubwa sana,hakujua kuwa kumbe wanaume wanatofautiana kustarehesha.

Akaniuliza," unaitwa Nani?"
"Stain Antonio"
"Unafanya kazi gani?"
"Benki"
"Kama Nani?",
"Mkaguzi wa ndani"
"Benki gani?",
"DB Bank"
"Dar ipi unatokea?",
"Mbezi temboni"
"Una rafiki wa kike?",
"Ndio"
"Yuko wapi?",
"Chuo"
"unampango wa kumuoa"?,
"hatujawahi kuzungumzia kuoana",
"Unampenda?"
"Ndio",
Aliishia hapo hakuuliza Tena.Nami nikapata fursa ya kumuuliza Kama yeye alivyoniuliza.
Alianza kwa kuniambia yeye amaitwa Kalunde Edom Mihayo

Anafanyia kazi Kampuni ya Kigeni ya EU inayo shirikiana naTanzania, ambapo EU inamiliki asilimia 51 na Tanzania asilimia 49.

Yeye Ni Mkurugenzi Mkuu.
Anaishi nyumba aliyopangishiwa na Kampuni,iliyoko maeneo ya Goba.
Ana rafiki wa kiume ambae hawajakutana kimwili kwa miaka miwili na miezi mitatu,

Hampendi huyo Mkaka.
Hana mpango wa kuendelea nae Wala kuoana.
Wala hana mpango wa kuolewa naye.

Nilistaajabua kusikia hampendi,nikamuuliza kwa Nini Kama ni mpenzi wako halafu hampendi,akaniambia ni hadithi ndefu iko siku tukibahatika kukutana Tena atanisimulia sababu za kutompenda.
Tulikua kimya kidogo huku tukibusiana na kusifiana kwa Mambo tuliyofanyoana.
Kisha akaniomba nitoke mgongoni kwake,akakaa kitandani kwa kukuja miguu kwa kuipishanisha Kama wafanyavyo watoto wakikaa kwenye mikaka kwa ajili ya kula ubwabwa au wali.
Akaniita,
"Stain"
"Naam"
"Unanipenda?"
Nikajibu,"da aisee!nawezaje kutokukupenda mwanamke mzuri namna hii?",
Akajibu,"tumefahamiana Jana tu?",
Niakamuuliza,"wewe hujanipenda kwani?"
Akajibu,"nimeshakupenda tayari",
Tukacheka kwa pamoja,"hahahahaa"
Akaniambia"kusema kweli maneno yako ya Jana ndani ya Basi wakati nateseka na usingizi yalinifikirisha Sana ni vile wewe tu hukujua,maneno uliyosema ni Kama ulinitongoza tu,yalinichoma,nikawa natafuta namna ya kukujibu,ingawa sikujua Kama tutafikishana hapa.Najua hukunitaka kimapenzi lakini ulivyosema kwamba uko tayari hata nikulalie,ukasema,na wewe hiyo ndio furaha yako ya kulaliwa na msichana mzuri wa kiwango changu,kuwa wewe bahati yako huenda ndio imeishia hapo you kulaliwa na Mrembo Mimi,kwamba kwa wewe kulaliwa na Mimi kwako wewe ni kumbusubusu tosha! Kwa kweli maneno hayo yalikua ni utongozaji wa Aina yake,niliumia Sana lakini sikua na neno la kumuambia,ila niliona ni Bora tukanunue chakula pamoja nami niwe nimeweka kumbukumbu ya kutambua heshima uliyonipa,alifafanua Kalunde.

Akanitazama Kisha Tukacheka Tena pamoja,"ahahahahaaa".
Akaniambia tuamke twende tukaoge halafu tukanywe chai.
Tukaamka tukaingia bafuni Kama tulivyokua kitandani,tukaanza kuoga,akaanza kuniogesha,Kisha ikaja zamu yangu kumuogesha.

Nilipata sabuni nikaanza kumsafiaha,nilisafisha kila sehemu ya nje ya mwili wake,nilisafisha mgongo,makwpani ambapo alianza kuchekacheka kwa mrekenyo,nilisafisha mbavuni,mapajani,matako,katikati ya mapaja,tumboni,mabegani,kila sehemu.Wakati niendelea kumsafiaha mwili wake ulikua unateleza vizuri Kama samaki kambale,sio Siri wakati huo dushe iko juu,juu,juu zaidi.Wala sikupata shida kujua kua alishalegea saa nyingi.

Bao la tatu tulilipigia hukohuko bafuni,Safari hii tulitiana tukiwa hukohuko bafuni,Safari hii mechi ilikua ya kusimama na kuinamishana tu,hakuna kulala.tulimaliza kuoga na mambo mengineyo tulitoka bafuni Tunacheka kwa furaha. Tulivaa nguo,Kisha tukatoka chumbani kuelekea mgahawani kunyawa chai.
Wakati huo ilikua yapata saa tano na nusu asubuhi.

Sehemu ya kumi

Baada ya kumalizana kupata kifungua kinywa tukakubaliana twende kutembea kidogo. Tukatoka nje ya hoteli,tukaingia mitaani,tukatembelea duka kubwa (super market) kubwa ya hapa mjini Mwanza.
Takanunua vitu kadhaa tulivyokua tunavihitaji.

Tulikwenda solo la samaki kutazama biashara ya samaki, tulikwenda mwaloni. Tukaambizana twende tukaangalie wanyama katika kisiwa Cha Sanane,tukaona tutakua mizunguko mingi sana tukasitisha tamanio Hilo.

Mda wote huu tulikua tunafurahiana sana,tulitembea sambamba,Mara nyingine tukitaniana,Mara nyingine tulifanya Kama kununiana pale tulipotofautiana Jambo dogo tu. Tuliombana samahani kiutaniutani.
Kila tulipopita watu wore waliotuona walitutazama,lakini aliyekua mlengwa wa kutazama ni Mrembo Kalunde,Kalunde alikua kivutio kwa kila aliemuona.

Nilimtania,"Kalunde",
"Abee"
"Unajua watu wanakuangalia Sana wewe,?je hawawezi kukuiba?"
"Aah unajua Mimi ndio naogopa zaidi,kwa jinsi mwanume wewe ulivyoniruhusu mzuri sijui Kama wanawake wa Mwanza hawatakuiba",
Tukacheka huku tulitembea.
Tulitembea sehemu mbalimbali tulizojaaliwa kufika,tukakubaliana Kama tukichoka kutembea tuchukue taxi.
Tukajipa Moyo kuwa sio lazima tupande taxi kwani kutembea ni kufanya mazoezi kwani sisi bado ni vijana.
Baada ya mizunguko mingi tukarudi Hotelini,na tayari I mida ilikuwa imeshakwenda.
Tulipofika hotelini hatukuenda chumbani moja kwa moja,tulivikabidhi mapokeI vitu tulivyo vinunua sisi tukaenda kukaa upande wa bar ndani ya hoteli hii.

Safari hii kila tulichotaka kununua tulishindana kulipa,nilimlazimisha nilipie kila kitu,lakini alikataa akaniambia kua Mimi bado Nina Safari ya kwenda kwa Babu.

Tulikua bar,kulikuabkuna watu wachache Sana wahindi,wazungu,waswahili na waarabu. Wengine walikua wakitazama Luningabhuku wakinywa vinwaji, wengine wakinywa vinywaji mbalimbali huku wakiongea Mambo yao. Tulichagua meza tukakaa,tukaagiza vinywaji tuvipendavyo,Mimi niliagiza bia yeye akaagiza sharubati.tukaanza kunywa,tukiongea,kucheka na kufurahi.

Tuliagiza nyama choma ya mbuzi na ndizi za kuchoma, tukala, tukanywa na kuongea.
Kalunde akaniambia,
"Stain"
"Naam"
"Uko mzuri"
Nikamjibu,
"Kalunde"
"Abee"
"Uko mzuri"
Akasema
"Asanteeee"
Akaniuliza,
"Mbona wewe hujaniambia asantee?"
Nikamjibu,
"Asantee?"
Tukacheka.
Itaendelea..

Sehemu ya kumi na moja.
 
Sehemu ya Kwanza



Nikiwa tayari nimekaa kwenye
kiti changu ndani ya Basi,nasubiri muda ufike tuanze Safari kuelekea jijini Mwanza,tukitokea jiji la Dar es salaam.
Natazama nje ya Basi naona abiria wakielekea maeneo tofauti tofauti hapa kituoni Ubungo kupanda mabasi m alimbali yanayoelekea nje ya mkoa huu.
Namuona msichana mmoja mzuri akipanda Basi nililopanda,akiongozana na Dada mmoja wa makamu hivi,natamani Sana yule Dada mzuri aliyeongozana na huyo Dada wa makamu aje kukaa nami,lakini bahati sio yangu anakaa kiticha tatu nyuma ya dereva,yaani baada ya dereva unahesabu viti vitatu nyuma inyake,hapo wanakaa na yule Dada,hapa bila kuhoji unafahamu tu kuwa Hawa ni ndugu ama wako pamoja.
Nakata tamaa,kwani hamu yangu ya kusafiri na msichana MREMBO inayeyeuka utadhani nilikubaliana muuza tiketi kua huyo MREMBO aje akae nami,kumbe ni tamaa zangu tu za kutaka kuifanya Safari ndefu inoge na iwe fupi.
Hata hivyo sikukata tamaa,nikapata wazo la kutafuta njia ya kumshauri ili aje akae pamoja nami,yaani ahamie kwangu.Ntaanzaje?,sijui.
Nikaanza kupata majibu mepesimepesi kwa swali gumu,kua akija mtu kukaa hapa nitamshauri wabadilishane nae,nitamweleza kua huyu ninaetaka aje kukaa nami ni mfanyakazi mwemzangu tuna Safari moja,isipokua tulikata tiketi kwa nyakati tofauti.Hii imekaa vizuri nilijisemea.
Sasa ntaanzaje kumshawishi yule MREMBO,hiyo ikawa changamoto nyingine,hatahivyo nikaanza mchakato wa kutafuta namba yake.
Nitaipataje namba yake,hiyo nayo ikawa changamoto nyingine.

Itaendelea....

Sehemu ya pili

Tafakari Kali zikaanza kinijia ni jinsi gani naweza pata namba ya simu ya huyu Bidada Kisha nikaanza kazi ya kumshawishi ahamie kwangu,Basi wakati nikiendela kuumiza kichwa mawazo yakaanza kuhama kidogokidogo huku nikiendelea kutazama nje, wasafiri wakihaha kutafuta mabasi yanayowahusu.
Nikiwa katika mtanziko wa mawazo yasiyo na nguvu kuhusu tamaa ya kuwa na yule binti ili kuepuka kukaa na mtu ambae atanifanya niione Safari kuwa ndefu na inayochosha ghafla natazama nje na kumuona Dada mmoja mzuri balaa,anaonekana mtulivu Fulani,sio mrefu sio mfupi,sio mweupe Wala sio mweusi sio mnene.ana wembamba wa wastani lakini Ana umbo zuri sana.
Huyu Dada akiwa nje ya Basi nilopanda amesimama na Kaka mmoja mtu mzima.wanaongea kwa mda mfupi Kisha anasogea kwenye Basi na kuanza kupanda,namuona kua huyu dada anaonekana ni mkubwa kidogo kuliko yule MREMBO aliye nipagawisha,anaanza kutafuta nafasi ya kukaa kwa kutazama namba ya kiti kwenye tiketi yake,wakati akiyafanya haya naanza kuuona uzuri wake usio na kifani,uzuri wake wa kimataifa,uzuri ambao anastahili kabisa kushiriki mashindano ya urembo was dunia na kuibuka katika nafasi tano bora,nami naendelea kumfuatilia hatua kwa hatua Kila anachokifanya bila yeye kujua Wala mtu mwingine yeyote yule kutambua kua namtathmini.
Amini usiamini Dada huyu anakuja kukaa kwangu,kitendo hicho kinanikera Sana kwa sababu anazima kabisa Nia yangu ya kutaka kumhamishia yule dogo mahala hapa,anaifanya kazi yangu kuonekana kuwa haiwezekani Tena.
Naanza kufikiria upya ntafanyaje,huyu dada aliekuja kukaa pamoja nami,ni mzuri Sana kumshinda yule dogo,lakini anaonekana Kama MKE wa mtu,anaonekana ni mkubwa kidogo kiumri kuliko yule dogo,anaonekana ni matawi ya juu Sana kwangu,anaonekana ni mjivuni Fulani hivi,sio mtu wa kuongeaongea,Wala sio mchangamfu, kwa kifupi sio mtu wa hadhi yangu,sio saizi yangu,simuwezi hata.
Ananisalimia Kisha anakaa anaweka kimkoba chake juu na mkoba mdogo anakaa nao,anatoa simu yake anaandikaandika kidogo Kisha anatulia na kutazama mbele akisubiri gari ianze Safari.
Napata hasira kidogo Kisha natoa simu yangu pana Sana Kisha nafungulia mtandao wa kijamii unaopendwa Sana hapa Afrika mashariki na Kati mtandao uitwao Jamii Forums,naanza kusoma vitu.
Simfatilii Tena Dada huyu akili yangu naielekeza sehemu mbili tu, Jamii Forums na kwa yule Dogo MREMBO aliyeivuruga akili yangu,kwani namuona huyokua ni was hadhi na saizi yangu.
Huyu mdada niliyekaa nae alionekana ni mtulivu utadhani anatazama filamu ya majonzi.
Tayari Safari ilikwisha Anza tumekwisha safiri umbali mrefu tu,hatimae tukawa tumefika mkoa wa Morogoro, na watu wakapewa dakika chache kuchimba dawa ndani ya stendi.
Watu walianza kushuka.
kwa mbali nilimwona yule dogo akishuka,huyu mdada niliyekaa nae Wala hakua na mpango wa kushuka,huku nikiwa namtazama yule dogo hatua kwa hatua akishuka nami nikaamua kushuka ili nijaribu tu, walau kuomba namba.
Basi bwana nikaenda nje ya mlango wa choo cha stendi nikaanza kumsubiri akitoka nimuombe. Akatoka,nikajitambulisha na kujieleza,natokea wapi,naenda wapi,gari nililopanda,nimeanza kumuona tangu wapi.
Dogo akanielewa,nikaomba namba,dogo akasita kidogo,Kisha akanitajia nikawa naandika,kumbuka abiria ni wengi na Kila mtu Ana Mambo yake,Wala hakuna aliyekua anatufatialia,sio walobaki kwenye Basi Wala walio nje.
Kwa kupewa namba nikawa nimepiga hatua muhimu Sana.

Itaendelea....

Sehemu ya tatu

Tayari Basi imekwisha ondoka Morogoro,nikiwa na furaha kidogo ya kupata namba yasichana yule niliyetamani kukaa nae kiti kimoja ili tuweze kuwa tunaongea,ili pia niwe nachombeza mawili matatu,lakini huku nikijua ugumu wa mpango mzima wa kuanza tu kumvamia mtu amabae hujui anatokea wapi na anakwenda wapi kuanza kumomba ahame mahala pake aje akae na wewe hiyo itakua sio akili ya kawaida,lakini hapa chini ya mbingu hakuna lisilowezekana kwani Kuna watu hujaribu kutanya kill kisichowezekana kwa wengine lakini kill ambacho my ataona kinamfaa,hatimae watu huja na uvumbuzi ama ugunduzi wa kipekee.Kujaribu katika Kila Jambo ndo njia yaafanikio.
Wakati mda ukienda tartibu hatimae nikaanza jaribu kuanza kuwasiliana na yule msichana niliyechukua namba yake,nilianza kuwasiliana na kwa njia ya meseji,nilianza kwa kumuuliza jina,
"Mambo,naitwa Stain,wewe unaitwa Nani"?
Akajibu,"unashida gani Kwanza"?
Nikajibu,"samahani naelekea Mwanza,wewe unaelekea Mwanza pia"?
Akajibu,"ndio ulikua una shid gani Sasa"?
Nikajibu,"nilikua napenda tufahamiane",
"Halafu tukishafahamiana,"
Nikashindwa kujua nimjibu Nini kwa haraka ikabidi,nitafakari haraka kidogo.
Nikaanza kutafuta hoja,
Nikamuuliza kiuchokozi
"Mbona mkali Sasa?"
Akajibu,"ukali wangu uko wapi?"
Kabla sijajibu akatuma ujumbe mwingine.
"uliomba namba,nimekupa,nikitegemea una kitu cha maana unataka kuuliza lakini matokeo yake,huulizi,husemi,Sasa Mimi nakuuliza shida yako unaniambia Mimi mkali,ulitaka niganueje labda?"
Lo! Nikapoteza mwelekeo,lakini nikawa neshajua kua huyu MREMBO niende na kwa umakini na tartibu.
Wakati tukiendelea kuwasiliana na huku nikitafuta hoja,huru Dada mkubwa nilie kaa nae hapa akawa anapitiwa na usingizi,akawa anapatwa na usingizi,akawa mara nyingine Kama akisinzia anataka Kama kuangukia mkono wa kulia halafu anashituka,anajiweka sawa na Safari inaendelea.Mimi nimekaa mkono wake wa kushoto,nimekaa upande wa dirishani.Wakati Safari ikiwa inaendelea mara nyingine usingizi ukiwa umempitia akawa anasinzia kuelekea kwangu,akishituka anajiweka sawa,aliendelea Sana kuteswa na usingizi,ilitokea akawa akisinzia akawa akimilalia upande wa bega langu la kulia,akishituka anaamka ghafla,ilitokea hivyo mara Kama tatu hivi akiniegemea akiwa na usingizi,Mimi sikujali Sana nilimhurumia tu,sikumwambia Wala sikutaka kumzuia asinilalie,Wala kumtoa,ukizingatia mtu mwenyewe ni dada halafu mzuri,angekua mwanaume ndio ananiegemea vile nakuhakikishia ningemuambia alale vizuri,kwani kwangu Mimi kuegemewa na mwanaume mwenzangu ni kinyaa na naona Kama mikosi tu.
Wakati hayo yakiendelea nami huku nikawa nimepata hoja,nikamwandikia yule mrembo ujumbe kwa kumtega kuwa "shida yangu ni kutaka kujua Kama unafika Mwanza na Mimi nafika Mwanza pia,nitafurahi Sana Kama tukifika, kesho tuonane,ili tufahamiane zaidi",
lakini pale mwanzo nilitamani Sana uhamie hapa nilipokaa ili tuwe tunazungumza,ni kiasi tu cha kuwaomba Hawa tuliokaa nao tubadilishane,hili ndio lilikua lengo lagu,samahani lakini Kama nimekukwaza".
Ukaingia ujumbe,"ha ha ha wewe,haiwezekani,hivyo unavyotaka haiwezekani",
Nikabaini Kama kawa mpole kidogo kwa ujumbe wake huo,nikaanza kuona kwa mwanga kwa mbali.
"Haiwezekani kivipi?" Nikamuuliza,
Akajibu,huyo uliekaa nae ni Nani kwani?"
"Ni abiria tu Kama Mimi",
"Sasa so uongee na huyo?" Alisema
Nikajibu,"huyu Ana roho mbaya",
Kwa jibu Hilo nilimuona kwa mbali akilipuka kwa kucheka Hadi kwa aibu akainama kujificha uso,kwani alitoa sauti peke yake ndani ya Basi.
Baada ya mda ujumbe ukaja,"Ana rohombaya au unamuogopa?"
Nikajibu,"AA wapi"
Akajibu,since uongee na huyo,kwa Nini mimi tu,wakati una jirani abiria mwenzio Tena Yuko vizuri tu?"
Nikajibu,"huyu anaonekana Ana hasira Sana ya maisha,Wala hatuwezi kuelewana,ila tu ninachoweza ni kumuomba aje happy naweza uje hapa,au huyo wako aje hapa nami Nike hapo".
Akajibu,"ha ha haa", haiwezekani kwa sababu Kwanza huyu nilienae ni dada yangu,na tayari amenionya kwa jinsi nilivyocheka peke yangu".
Nikamuuliza,"je tutaweza kuona a kesho?"
Akajibu,"kwa sababu namba ninayo,nitakupigia Kama nitapata nafasi,Nike nisikie unataka nikusaidie Nini".
Tukaendelea kuwasiliana kwa njia ya ujumbe wa simu.
Safari iliendelea,watu wengi walikua kimya,wengine wakilala,wengine wakitazama filamu,wengine wakisoma Mambo kwenye simu zao,Kila mtu alifanya Jambo lake.
Huyu Dada mzuri Sana kuliko Dada yeyote ndani ya Basi hili ambae nilipata bahati ya kukaa nae ambae Sina faida nae kwa sababu ya utulivu wake,ujivuni wake,Hali yake ya uzuri uliopitiliza na muonekano wake wa kuwa ni dada mwenye maisha ya Hali ya juu Sana kwa Mimi kuweza kuongea nae ilinifanya nisiwe na wakati nae,sikutaka kumsemesha Wala yeye pia hakutaka kunisemesha.
Hata hivyo siwezi kumlaumu kwa chochote,Bali ni Mimi mwenyewe tu mimejiongeza nikaona huyu ahatuendani,Yuko juu yangu Sana mara elfu,ntaishia kupoteza muda wangu to kuongea na mtu ambae najua Sina faida nae,au sintapata chchote,sio wa hadhi yangu,bora niwasiliane na yule msichana Alie mbali lakini naweza nikapata chochote,tutaweza tukaelewana,isitoshe hata na yeye ni mzuri,Tena kwa viwango vua kwangu.
Hata hivyo pamoja na kutojishughulisha na huyu niliyekaa nae lakini ukweli utabaki palepale kuwa huyu ni mdada mzuri kwelikweli,ni Moto wa kuotea mbali,ni maji marefu.Sifa zote za uzuri alikua nazo.
Safari iliendelea,ukimya ulitawala,nikiendelea kuwasiliana na dogo yule kwa Mambo ya kawaida tu.
Pamoja na yote hayo akili yangu ikaanza kumtathmini huyu Dada niliyekaa nae,alikua anateswa Sana na usingizi,aliendelea kuniegeme begani pale usingiIzi ulipomkolea,alikua hapendi happy hiyo,lakini unajua usingizi hauna heshima,alipokua akinilalia aliposhituka akawa anaamka na kuniomba samahani,nami nikimwambia,asjali ni Mambo ya Safari tu hayo,kwani mtu yeyote amaweza kupatwa na Hali hiyo.nilimweleza mara moja tu,nilaendelea kusoma Mambo ya Jamii Forums,baada ya kupumzika kutuma ujumbe.

Itaendelea...

Sehemu ya nne
Usingizi ulikua mzito Sana kwa jirani yangu,akawa amejiachia kabisa begani pangu,Hali hiyo ilinitoa kwenye Mambo yote niliyokua nayafanya,niliacha kutuma ujumbe Wala kusoma Mambo ya JF,nikiendelea kishika kifaa change ninachotumiaa kusoma,nikaanza kumtaza huyu Dada kwa kuibia,nilanza kumtaza a kwa kumkagua kill jicho langu lilipoweza kufika akiwa ameniegemea,niliangalia mapajani,matiti,vidole vya mikononi,nilinusa harufu yake,alikua ananukia vizuri Sana,nilianza kubadilika kihisia,ulijali ukaanza kinijia taratibu,mtu mwingine yeyote angekuja pale angeweza kugundua Hali ya ulijali ulionijia hata yet mwenyewe angeamka ghafla angekuata Hali hiyo,lakini nilijitahidi kufunika na kifaa nilichokua natumia kusoma.
Nilianza kuhisi Raha ya kuegemewa na huyu msichana mzuri zaidi ndani na nje ya Basi.Niliipenda Hali hiyo,nilitamani ingekua usiku ningeanza kumtomasatomasa,lakini baadae nikaogopa Sana kuwa pengine angeniabisha.Nilijituliza ili aendelee kunilalia.
Tulifika sehemu ambapo barabara haikuwa vizuri kidogo,ilikua ikirukaruka,Dada akaamka,akajikuta ameniangushia kabisa kichwa chake begani kwangu Kama vile ni Hali yake,au Mimi ni mtu wake ambae anastahili kuniegeme kiasi kill,hi kwake ilikua ni mbaya kiliko zote,alijiweka vizuri,Kisha akasema,"samahani Sana Kaka yangu,ninakusumbua Sana,nina usingizi mzito."
Baada ya kusema hayo nikajibu kihuni sana Tena kwa kujiamini kwa sauti ambayo aliweza kusikia yeye na Mimi tu huku watu wengine wasiweze kusikia kwa kwa sababu ya makelele ya filamu na muungurumo wa Basi.
Nilimjibu kiungwana lakini kihuni,"aisee Dada yangu usijali kabisa,wewe endelea kuniegeme tu,ni Nani asiejua adha ya usingizi?hata hivyo Mimi Sina tatizo kwa wewe kunilalia,natamani hata ungenilalia mapajani kabisa,ni mwanume gani atakataa kuegemewa na Dada mzuri Kama wewe?,kwangu Mimi dada kuegemewa na wewe ni faida zaidi kuliko hasara,ningeweza wapi maishani kupata bahati Kama hii ya kuegemewa na mwanamke mzuri wa kiwango chako? uwe na amani Dada yangu, wewe nilalie tu bwana,Mimi nimeridhia,na mini nimeweka rekodi amabyo sitaweza kuivunja ya kulaliwa na mrembo wa kiwango chako, sisi wengine pengine ndio bahati yet ya kuwa na wanawake wazuri imeishia hapo".
Wakati nikisema hayo,huyu msichana akiwa amekaa aligeuka mzima,akanikazia macho,akanitazama moja kwa moja,nilyaona macho yake mazuri,niliiona midomo yake mizuri,niliona akiwa Ana nywele fupi nimekaa kwa mtindo wa kuvurugika kidogo,akiwa amekaa vihereni vizuri shingo yake ya wastani lakini imekaa vizuri,Kisha akuguna tu kwa kwa sauti ya chini niliyoisikia Mimi tu kwa kufanya,"mhuu!!"
Baada ya kuguna akaendelea kutazama mbele bila kusema kitu chichote,Mimi nikaongeza,"Dada yangu niliyokuambia ninamaanisha,sisi wore ni wasafiri na msafiri kafiri,hiyo Hali uliyonayo naweza kuwa nayo hata Mimi,au mtu yeyoye,aliendelea kunisikiliza bila kujibu kitu,nikiendelea kwa kusema," wewe endelea kulala na ili ulale vizuri naomba uje ukae upande huu wa dirishani ili ukipatwa na usingizi usiweze kuanguka kwa sababu kushoto Kuna ukuta wa Basi na kulia nitakuzuia Mimi".
Akajibu tu mara moja,"Asante".
Alivyosema tu Asante,Mimi Wala sikuchekelewa nikashika vifaa vyangu nikasimama kumpisha,akaguna Tena Safari hii "mhuu" huku akitoa kitabasamu kidooogo.
Nilipoinuka kumpisha akaona hamna namna akasoge na kuketi upande wa dirikani,hivyo kwa upande wake wa kulia nikawa namkinga Mimi.Hakuongea chochote Tena,akaendelea kutazama mbele.Nami nikaendelae na Mambo yangu.
Pamoja na haiba nzuri ya huyu mdada niliekua nimekaa nae hapa,bado Wala sikua na mawazo nae kabisa,nikiendelea kumchokoza yule msichana aliekaa mbali nami,ingawa hakua akitoa ushirikiano vizuri,katkia mawasiliano yet aliniambia kua yeye ni mwajiliwa wa kampuni moja ya simu afisa mauzo,anakwenda Mwanza likizo,kabila lake ni kutoka Ukererewe Yuko na Dada yake,lakini makazi ya wazazi wake ni Buhangija Mwanza,kazi anafanyia Dar na anaishi na Dada yake huyo ambae ni Mwalimu wa Sekondari.
Aliendelea kunielezea no kuwa Kama nitakua na hoja za maana ataweza kunisikiliza ama kunisaidia,zaidi ya hapo utanisamehe,alinieleza kwa kujiamini.Hata hivyo nikaanza kujipa moyo Kama atakua anafanyia kazi Dar iko siku tutakutana tu midam amenipa namba yake ya simu,nikijiambia nisipompata Mwanza nitampata Dar,nilijisemea hivyo kwa kujipa moyo,nikiendelea kijipa moyo Tena kwa kusema,aah hata hivyo Mimi nilikua nataka tu msichana wa kukaa nae kwenye Basi ili kunogesha Safari,kuchombeza na ikiwezekana kutengeneza mahusiano,nikiendelea kujifariji kwa mtindo wa sizitaki mbichi hizi ikiwa nitakutana na pingamizi,nilianza kuhisi pengine,ni mchumba was mtu,au mpenzi wa mtu na ana malengo nae,nilianza kuwaza pengine ni MKE wa mtu ambae Hana mda mrefu ndani ya ndoa,nilijiuliza maswali mengi na kujijibu,yote hi ikiwa ni kuanza kukata tamaa na kujiandaa kisaikolojia.
Hata hivyo nikiendelea kujipa moyo Tena kuwa ninae mpenzi wangu ambae Yuko Chuo mwaka was tatu,akimaliza akirudi tukaendelea na mahusiano,niliendelea kukumbuka na kuwaza.

Itaendelea...

Sehemu ya tano

Pembeni yangu huyu mrembo aliendelea kujisinzilia tu kimagumashi.
Alishituka na kuanza kuangazaangaza baada ya kusikia kelele za abiria wakijiaandaa kushuka kwa akili ya kwenda kupata chakula,Basi lilikua limesha kata Kona kuelekea mahali ambapo abiria hupelekwa kwa ajili ya kujipatia chakula.
Nami Kama sehemu ya abiria niliinuka nikapanga foleni ya kushuka,nikaanza kutembea kidogokidogo kwa kufuatisha mwendo wa abiria waliokua wakishuka taratibu.
Wakati nikiendelea na msafara nilimuona yule dogo akiwa tayari ameshafika eneo la chakula na huduma nyinginezo akiwa ameongozana na Dada yake.
Niliposhuka chini nilitaka kuzunguka nyuma ya Basi ili Kwanza niende haja ndogo,nilisikia sauti ikitokea dirisha la gari upande ule nilikua nimekaa ikisema "Kaka naomba unisubiri",
Nilifatilia Kama ombi Hilo linanihusu Mimi,nilitazama sauti ilipotokea,nikamuona mtu aliekua akisema, na hapo ndipo nikatambua kua aliyekua akiombwa kisubiri so mwingine,Bali ni Mimi mwenyewe,na aliekia akiomba nimsubiri ni yule Mrembo niliekua nimekaa nae,mrembo wa Hali ya juu mwenye viwango vya kuwa mrembo wa dunia.
Nilisibiri huku nikiwa najiuliza ni kitu gani kimemfanya aniombe nimsubiri,niliwaza kidogo,lean sababu Dada huyu sikuwahi kuongea nae kitu chochote cha maana zaidi ya kuonesha kumhurumia wakati alipokua akiteseka na usingizi.
Nilifikiri pengine nimedondosha kitu au pengine nimeacha ama nimesahau kitu,hivyo anataka aniletee.
Nilisibiri,hatimae akawa amefika,huku nikimtumbulia macho,Kisha akasema,"naomba tuongozane Kama unakwenda kula",
Nilishusha pumzi kidogo Kisha nikajibu huku nikiwa na hofu Fulani,kwani sikutegemea hoja hiyo,nikaanza kuona haya kidogo,nilisema "sawa".
Niliona haya kidogo kuongozana nae kwani Kila tulipopita watu walikua wakimtazama yeye tu.
Hata Mimi pia nilitamani kuanza kumtazama vizuri inagawa Hadi hapo nilikua namtazama kwa kuibiaibia.
Ndugu msomaji,Mungu ni Fundi,mwacheni Mungu aitwe Mungu,huyu msichana alikua ni mzuri Sana lakini Wala hakua amejipamba,nilimwangalia kwa kuibia sehemu yake kwa nyuma,Ana makalio ya kistaarabu,sio makubwa Wala sio madogo,ni makalio ya wastani,alikua amevaa suruali lakini sio jinsi,alikua amependeza Sana,alionekana evaa kiheshima Sana ingawa umbo lake lilitamanisha.
Tulielekea mahali pa kujisitiri Kwanza,tulifika nje ya kijumba kimoja kizuri nje Kuna maandishi yaliyoelekeza kuwa kushoto ni wanaume na kulia ni wanawake,tulipofika hapo akaniomba nimshikie simu na kimkoba chake,nikajiuliza kimoyomoyo kulikoni,lakini nikatii,baada ya muda akatoka na Mimi bila kumueleza chochote nikaelekea upande wa wanaume,baada ya dakika chache nikatoka,lakini kwa mshangao mkubwa nikamkuta akinisubiri tukaondoka kuelekea wanapouza chakula,palikua panauzwa chakula ndani ya hoteli na nje,tulitazama nje tukaona wanauza nyama za kuchoma za ng'ombe,mbuzi kuku,ndizo choma na chipsi.
Nilishangaa Tena aliponishirikisha kwa kuniuliza ,"Kaka wewe uatakula Nini?"
Nilimjibu,"aah Mimi napenda nyama ya mbuzi na ndizi",
Nilimjibu huku nikiwahi kuomba mchoma nyama aniandalie.
Dada yule aliniambia,"aah Basi hata Mimi ntakula hivyo hivyo".
Kisha harakaharaka akamwamuru mchoma nyama atufungie mafungu mawili ya nyama na ndizi tatutatu,yaani nyama ya mbuzi ya kuchoma fungu moja na ndizi tatu,aweke hivyo mara mbili,alimaanisha fungu moja la kwake na jingine la kwangu,Kisha akalipia mafungu yote mawili yeye mwenyewe.
Wakati akitanya hivyo Mimi nikwahi kwenye vinywaji,nikaomba nipewe maji ya kunywa chupa kubwa mbili na box mbili za juice,wakati nataka kutoa hela mikamsikia akisema hela hii hapa alilipia vinywaji kabla yangu Tena,Hali hii ilinishangazq kidogo,hivyo kumfanya awe amelipia vyakula na vinywaji vyote kwa ajili yangu na yake.
Nilichokifanya ni kuwa mpole tu na kumuambia,"Asante",
Naye akajibu,"Asante kushukuru".
Tukaelekea kwenye Basi kwa ajili ya kujiandaa kuendelea na Safari.
Kumbe wakati hayo yote yakiendelea yule Dada mdogo mrembo akilikua akinifuatilia hatua kwa hatua Kila nilichokua nafanya na huyu Dada mrembo mkubwa,ilikua ni zamu yangu Sasa kuchunguzwa bill Mimi kujijua.
Alikua akinitathmini,akinichunguza na kunikagua huku akiwa mbali,alifanya makusudi kuwahi kushuka na kufanya Mambo yake mapema ili ibaki kazi ya kunifiatilia.

Itaendelea

Sehemu ya sita

Nilikua kufahamu kuwa Dogo ambae nilikua kujua jina lake alikua akiitwa Erica,kumbe alipata wasaa wa kunichunguza wakati tulipokua tukiongozana na Bidada Mkubwa
Nilikua jina lake baada ya kufanya Kama namtumia pesa kwa njia ya simu,baada ya kujaribu kutuma jina lililokuja ni Erica David,baadae nikaja kuthibitisha kwa kumtaja kwenye ujumbe wa simu,alishituka na kutaka kujua nimelijuaje jina lake,nilimweleza nilivyocheka hakua na namna,Bali alikubali,nae akafanya hivyo kujua jina langu na kujua kua naitwa Stain Antonio.
Erica alikuja kunza kunifatilia na kua making na Mimi zaidi mara tu tulipoongozana na huyu Bidada Mrembo,ambae kwa kweli Kila aliyemuona alishangazwa kwa uzuri ule,Hali hiyo ya uzuriiliwavutia wanaume na wanawake,mmoja wa waliovutiwa ni pamoja na Bi Erica,ambae tayari niliomba namba yake na kutaka ahamie kwenye kiti nilichokua ili tuwe tukiongea,ingawa kwa kweli,Nia ni kumtongoza,nilivutiwa nae na kwa vile ni wa hadhi yangu,ni wa hadhi yangu kuliko huyu ninae kaa nae,huyu namuona ni wa hadhi ya juu Sana kwangu,hata tu kumuoa siwezi,naona kuoana na huyu ni kukitafutia shinikizo la damu tu,simuwezi,simmudu,ni wa gharama Sana,atakua yeye kanioa Mimi,hata nikimuoa watu went nguvu za uchumi na mamlaka hawataniachia peke yangu,mbali na hayo Kwanza najua hawezi kunikubali,hivyo nikaona Sina haja ya kupoteza mda wa kumfikiria na kumfatilia.
Wakati nikitafakari yote haya Basi lilikua linaendela na Safari,watu walikua wakiendelea kula vyakula vyao walivyokua wamenunua kule tuliposhuka kwa ajili ya chakula,kwani watu walikua wamefungasha vyakula vyao.
Tulikua tunakula kimya kimya Mimi na huyu Bidada, ni m chache Sana wa maneno dada huyu,sijui ni maringo,dharau au kiburi,neno pekee alilosema baada ya kutoka kununua chakula aliseme hivi,"nyama hii imeiva vizuri",baada ya kua ameishakula finyango kadhaa,Mimi hapo sikujibu kitu.
Mimi ni muongeaji Sana,lakini kwa huju jirani yangu nimekwama,huyu haongei kabisa na hayuko tayari kuongea,aliponishirikisha twende pamoja kwenye chakula nikajua tukitoka huko ni mazungumzo kwa kwenda mbele,lakini sivyo.
Maswali mengi yakaja kichwani,kwa Nini aliniomba twende pamoja kutafuta chakula? Na kwa Nini baada ya kurudi haoneshi kutaka mazungumzo na mimi? Ni Mimi ndio simsemeshi? Namuogopa? Nina hofu? Sijiamini? Kama ni hayo mbona Erica nimemsemesha na angalau anaweza hata kujibu ujumbe wangu? Mbona aliweza kunipa namba yake ya simu?
Kwa maswali hayo machache nikahitimisha tu kua namuogopa,kwa Nini namuogopa? Mwonekano wake ni Msichana Mzuri kuliko viwango vyangu nilivyovizoea na isitoshe sio mtu wa kutoa mwanya wa kuzoeleka,pia ni wa hadhi ya juu ya uwezo wangu.
Baada ya kuyafikiria hayo nikaamua kuachana nae kimawazo na nikaanza kumuona Kama kikwazo cha mipango yangu ya kufahamiana zaidi na Erica.
Wakati Niko katikati ya tafakari ujumbe ukaingia kwenye simu yangu,"nadhani huhitaji Tena mtu wa kuongea nae,niliwaona mkitoka kununua chakuala"
Nikajibu,"aah huyu mtu niliekaa nae sijui ni bubu!"
Akiniuliza,"una maana gani kusema ni bubu?
Nikajibu,"ameongea maneno Saba tu tangu amekaa hapa"
Nikaongeza,"unajua Mimi napenda Sana kuongea Sasa mtu huyu sio wa hivyo,sijui Ana mawazo ya Nini"
Sikujua kuwa kitendo cha kwenda kula na huyu Mrembo mkubwa kilinipa daraja kubwa sana kwa huyu Mrembo mdogo,alikua Kama ananiona mhuni Fulani,lakini kwa kuongozana tu na huyu Dada kimemshitua kidogo Erica,niligundua kutokana na baadhi ya ujumbe zake,alionesha Nia Sasa ya kutaka kunisikiliza,alinihakikiahia kua kesho atatafuta nafasi ili aje tu kunisikiliza Nina shida gani nae au ninataka msaada gani nae.
Kwa mfano baadhi ya ujumbe zake moja iliuliza hivi,"bado utakua unahitaji kuongea na Mimi kwa Sasa?"
Mwingine aliuliza hivi,"Safari yako Sasa itakua fupi",
Mwingine aliuliza hivi,"umeshamuambia jirani yako aje kukaa huku na Mimi Nike huko?"
Kusema kweli ujumbe ulikua mwingine kidogo lakini jibu lake lilikua ni moja tu,kwamba huyu mtu niliekaa nae Hana faida Wala msaada kwangu,no hasara tu, nilimjibu pia kwamba ikiwa kesho atapata nafasi tutaongea,atanisikiliza na atanielewa zaidi.Nilimjibu kwamba huyu niliekaa nae hawezi kunisaidia kwa sababu haonekani kuwa mtu wa maaada Wala kusikiliza,anaonekana ni mchoyo na mbinafai,nilimponda bila kujali Kama kaninunulia nyama na ndizi,nilifanya hivyo ili kumuinua na kumsifu Erica ili kesho awezw kuja halafu nipate urahisi wa kumtongoza,kwa kifupi niliona Kama kumponda huyu na kumsifu yeye ndio njia ya kumlainisha,ili kesho kazi iwe rahisi.
Kwa ujumla tuliendelea kumteta huyu Dada bila yeye kujua.Mimi niliipenda hiyo Hali kwa sababu ilikua imanipa faida kwa matamanio yangu ya kumtongoza Erica,Erica umri wake ni Kati ya miaka ishirini Hadi ishirini na mbili,Mimi umri wangi ni miaka ishirini na nne, huyu dada yeye anaonekana ni Kati ya miaka ishirini na
nne Hadi ishirini I na Saba, Hivyo namuona Erica ni saizi yangu kuliko huyo Dada,achilia mbali muonekano na Tabia zake ndo zinanifanya nisiwe na hamu ya kuzoeana nae.
Safari yetu ilendelea,mida nayo iliziidi kupotea,tuliendelea kuacha mkoa mmoja baada ya mwingine,ukiondoa mida,hata majira Sasa yalikua yamekwisha badilika,maana tuliondoka Dar alfajiri,ikaja asubuhi,ikaja mchana,ikaja jioni,na Sasa ni usiku,Tena sio usiku tu,ni usiku wa saa nne,siku ya ijumaa, watu kwenye Basi wanaonekana kuwa wamechoka Sana,Wana hamu ya kufika makwao,hapa tulipofika Sasa ni maeneo ya Mkoa wa shinyanga,watu wachache sana wameshuka shinyanga wenge wamebaki,na Hawa wengi waliobaki watashuka Mwanza mjini,na ndio mwisho wa Basi,ingawa abiria wengine watatawanyika kuelekea wilaya na maeneo mengine,Mimi kesho nitakaa mpaka jioni nikimvizia Erica,baada ya kumalizana na Erica nitavuka kukatiza ziwa viktoria kwa kutumia kivuko,kwenda kwetu Sengerema.
Abiria wengi walionekana kuchoka,ilikua imeshafika saa tano kasoro dakika ishirini na tano,baadhi ya abiria walibashiri kuwa tutafika Mwanza Kati ya saa tano na nusu au saa sita kamili.
Jirani yangu,kwa maana ya abiria mwenzangu niliekua nimekaa nae kiti kimoja,alivunja ukimya akniuliza,"Safari yako itaishia Mwanza mjini?"
Nami nikajibu,"hapana,kesho asubuhi nikaanza Safari nyingine ya Kama robo saa kuvuka maji ya ziwa viktoria kwenda kwetu"
"Kwenu wapi",aliuliza,
"Wilaya ya Sengereama" nilijibu,
Aliuliza Tena ,"Kuna umbali gani kutoka Mwanza mjini na Sengerema?",
Nilijibu ,"niwendo wa dakika arobaini na tano ziwani,na nusu saa barabarani"
Aliuliza Tena,"usiku huu kuanzia saa sita hakuna usafiri wa kufika huko?"
Nikajibu,"hakuna",
Anauliza Tena,"Sasa una mahala pa kulala usiku huu wakati ukisubiri kesho kuendelea na Safari yako?"
Nikajibu,"wasafiri wengi wenye kuendelea na Safari siku inayofuata hulala kwenye mabasi kwa mda huu uliobaki,hata Mimi nitalala kwenye Basi"
Kabla hajauliza swali jingine nikaongeza maelezo,"wasafirishaji wengine wenye mabasi Wana sehemu maalum kwa abiria wao kulala,hata hivyo ni mda mfupi Sana ya kulala,kwani Hadi mtu ulale itakua imefika was Saba usiku,itakubidi uamke saa kumi na moja ujiandae na kuelekea kwenye vyombo vya usafiri,watu wengi hupenda kuanza Safari saa kumi na mbili alfajiri ingawa kwangu sio lazima,nioimaliza kufafanua"
Akakaa kimya kwa mda mrefu bila kuuliza kitu,kisha aliiniuliza tena ,"unaishia Dar au Mwanza"
Nikajibu,"Dar"
Aliuliza,"Dar sehemu gani"
Nikajibu,"Mwenge",
Kabla hajaendelea na maswali zaidi Basi likawa linakata Kona kuingia stendi kuu,stendi hii ndio mwisho wa Safari ya Basi hili,kwa maana nyingine tayari tulikua tumefika Mwanza.
Abiria walianza kukusanya mizigo yao,nasi pia tukafanya hivyo,Basi likasimama na abiria wakaa za kushuka.
Dada Mrembo akanitazama Kisha kwa sauti ya upole kabisa akaniambia hivi,"Kama hautajali naomba nikisaidie"
Niakamuuliza,"unisaidieje?"
Akajibu,"naomba unifuate",
Nikaanza kimya na kuanza kumfuata kuanzia alipokua akishuka kwenye Basi Hadi chini,tukaelekea moja kwa moja Hadi sehemu ambayo haikua na watu wengi happy kituoni.Akatoa simu yake akabonyeza atatafuta majina Kisha mikamsikia akisema tumeahafika,nipo hapa jaribu na huu mgahawa wanapouza chips.
Baada ya dakika chache nikamuona Kaka mmoja akija kumpokea,akatusalimia,Kisha akachukua mizigo yake tukaelekea sehemu ambapo kulikua kumeegeshwa gari dogo Aina ya "Ford double cabin"
Tukaingia ndani ya gari,na gari ikaanza kuondoka.
Nilikua kimya kwa upole,utulivu, tahadhari na umakini mkubwa Sana.


Itaendelea...

Sehemu ya saba
nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani wasomaji hadithi hii naiandika moja kwa moja kupitia simu,natambua Kuna makosa ambyo yanatokana na simu ilivyo setiwa, kuna kipindi nikiandika neno fulani lianjibadilisha lenyewe.
Mfano nikiandika neno "hapo" baadae linajibadilisha na kuwa "happy" imekua ikifanyika hivyo kwa maneno mengi.
Nitafanya editing.
Mara nyingine naandika nikiwa kwenye Basi.
Naomba mnisamehe.nilijaribu kuandika kupitia simu,nikaona ngoja niendelee.
 
Samahani wasomaji hadithi hii naiandika moja kwa moja kupitia simu,natambua Kuna makosa ambyo yanatokana na simu ilivyo setiwa, kuna kipindi nikiandika neno fulani lianjibadilisha lenyewe.
Mfano nikiandika neno "hapo" baadae linajibadilisha na kuwa "happy" imekua ikifanyika hivyo kwa maneno mengi.
Nitafanya editing.
Mara nyingine naandika nikiwa kwenye Basi.
Naomba mnisamehe.nilijaribu kuandika kupitia simu,nikaona ngoja niendelee.
Weka mzigo..
mineno miingi, kama Arap Moi (Rip)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari mambo naitwa Mr Equator Nimeandika ujumbe huu kuku omba swala moja tu!
Mimi nimetengeza website ya ku share story ambayo ni http://www.equatorstory.com/
Je umekuwa ukipata tabu kupost story zako hapa?
Hili ndo suluhisho lako.
Mimi nataka nkupe nafasi ya kuwa mmoja wapo wa kwanza kutumia hii website
unda account yako na uweze kupost story yako mpya.
 
Sehemu ya Kwanza



Nikiwa tayari nimekaa kwenye
kiti changu ndani ya Basi,nasubiri muda ufike tuanze Safari kuelekea jijini Mwanza,tukitokea jiji la Dar es salaam.
Natazama nje ya Basi naona abiria wakielekea maeneo tofauti tofauti hapa kituoni Ubungo kupanda mabasi m alimbali yanayoelekea nje ya mkoa huu.
Namuona msichana mmoja mzuri akipanda Basi nililopanda,akiongozana na Dada mmoja wa makamu hivi,natamani Sana yule Dada mzuri aliyeongozana na huyo Dada wa makamu aje kukaa nami,lakini bahati sio yangu anakaa kiticha tatu nyuma ya dereva,yaani baada ya dereva unahesabu viti vitatu nyuma inyake,hapo wanakaa na yule Dada,hapa bila kuhoji unafahamu tu kuwa Hawa ni ndugu ama wako pamoja.
Nakata tamaa,kwani hamu yangu ya kusafiri na msichana MREMBO inayeyeuka utadhani nilikubaliana muuza tiketi kua huyo MREMBO aje akae nami,kumbe ni tamaa zangu tu za kutaka kuifanya Safari ndefu inoge na iwe fupi.
Hata hivyo sikukata tamaa,nikapata wazo la kutafuta njia ya kumshauri ili aje akae pamoja nami,yaani ahamie kwangu.Ntaanzaje?,sijui.
Nikaanza kupata majibu mepesimepesi kwa swali gumu,kua akija mtu kukaa hapa nitamshauri wabadilishane nae,nitamweleza kua huyu ninaetaka aje kukaa nami ni mfanyakazi mwemzangu tuna Safari moja,isipokua tulikata tiketi kwa nyakati tofauti.Hii imekaa vizuri nilijisemea.
Sasa ntaanzaje kumshawishi yule MREMBO,hiyo ikawa changamoto nyingine,hatahivyo nikaanza mchakato wa kutafuta namba yake.
Nitaipataje namba yake,hiyo nayo ikawa changamoto nyingine.

Itaendelea....

Sehemu ya pili

Tafakari Kali zikaanza kinijia ni jinsi gani naweza pata namba ya simu ya huyu Bidada Kisha nikaanza kazi ya kumshawishi ahamie kwangu,Basi wakati nikiendela kuumiza kichwa mawazo yakaanza kuhama kidogokidogo huku nikiendelea kutazama nje, wasafiri wakihaha kutafuta mabasi yanayowahusu.
Nikiwa katika mtanziko wa mawazo yasiyo na nguvu kuhusu tamaa ya kuwa na yule binti ili kuepuka kukaa na mtu ambae atanifanya niione Safari kuwa ndefu na inayochosha ghafla natazama nje na kumuona Dada mmoja mzuri balaa,anaonekana mtulivu Fulani,sio mrefu sio mfupi,sio mweupe Wala sio mweusi sio mnene.ana wembamba wa wastani lakini Ana umbo zuri sana.
Huyu Dada akiwa nje ya Basi nilopanda amesimama na Kaka mmoja mtu mzima.wanaongea kwa mda mfupi Kisha anasogea kwenye Basi na kuanza kupanda,namuona kua huyu dada anaonekana ni mkubwa kidogo kuliko yule MREMBO aliye nipagawisha,anaanza kutafuta nafasi ya kukaa kwa kutazama namba ya kiti kwenye tiketi yake,wakati akiyafanya haya naanza kuuona uzuri wake usio na kifani,uzuri wake wa kimataifa,uzuri ambao anastahili kabisa kushiriki mashindano ya urembo was dunia na kuibuka katika nafasi tano bora,nami naendelea kumfuatilia hatua kwa hatua Kila anachokifanya bila yeye kujua Wala mtu mwingine yeyote yule kutambua kua namtathmini.
Amini usiamini Dada huyu anakuja kukaa kwangu,kitendo hicho kinanikera Sana kwa sababu anazima kabisa Nia yangu ya kutaka kumhamishia yule dogo mahala hapa,anaifanya kazi yangu kuonekana kuwa haiwezekani Tena.
Naanza kufikiria upya ntafanyaje,huyu dada aliekuja kukaa pamoja nami,ni mzuri Sana kumshinda yule dogo,lakini anaonekana Kama MKE wa mtu,anaonekana ni mkubwa kidogo kiumri kuliko yule dogo,anaonekana ni matawi ya juu Sana kwangu,anaonekana ni mjivuni Fulani hivi,sio mtu wa kuongeaongea,Wala sio mchangamfu, kwa kifupi sio mtu wa hadhi yangu,sio saizi yangu,simuwezi hata.
Ananisalimia Kisha anakaa anaweka kimkoba chake juu na mkoba mdogo anakaa nao,anatoa simu yake anaandikaandika kidogo Kisha anatulia na kutazama mbele akisubiri gari ianze Safari.
Napata hasira kidogo Kisha natoa simu yangu pana Sana Kisha nafungulia mtandao wa kijamii unaopendwa Sana hapa Afrika mashariki na Kati mtandao uitwao Jamii Forums,naanza kusoma vitu.
Simfatilii Tena Dada huyu akili yangu naielekeza sehemu mbili tu, Jamii Forums na kwa yule Dogo MREMBO aliyeivuruga akili yangu,kwani namuona huyokua ni was hadhi na saizi yangu.
Huyu mdada niliyekaa nae alionekana ni mtulivu utadhani anatazama filamu ya majonzi.
Tayari Safari ilikwisha Anza tumekwisha safiri umbali mrefu tu,hatimae tukawa tumefika mkoa wa Morogoro, na watu wakapewa dakika chache kuchimba dawa ndani ya stendi.
Watu walianza kushuka.
kwa mbali nilimwona yule dogo akishuka,huyu mdada niliyekaa nae Wala hakua na mpango wa kushuka,huku nikiwa namtazama yule dogo hatua kwa hatua akishuka nami nikaamua kushuka ili nijaribu tu, walau kuomba namba.
Basi bwana nikaenda nje ya mlango wa choo cha stendi nikaanza kumsubiri akitoka nimuombe. Akatoka,nikajitambulisha na kujieleza,natokea wapi,naenda wapi,gari nililopanda,nimeanza kumuona tangu wapi.
Dogo akanielewa,nikaomba namba,dogo akasita kidogo,Kisha akanitajia nikawa naandika,kumbuka abiria ni wengi na Kila mtu Ana Mambo yake,Wala hakuna aliyekua anatufatialia,sio walobaki kwenye Basi Wala walio nje.
Kwa kupewa namba nikawa nimepiga hatua muhimu Sana.

Itaendelea....

Sehemu ya tatu

Tayari Basi imekwisha ondoka Morogoro,nikiwa na furaha kidogo ya kupata namba yasichana yule niliyetamani kukaa nae kiti kimoja ili tuweze kuwa tunaongea,ili pia niwe nachombeza mawili matatu,lakini huku nikijua ugumu wa mpango mzima wa kuanza tu kumvamia mtu amabae hujui anatokea wapi na anakwenda wapi kuanza kumomba ahame mahala pake aje akae na wewe hiyo itakua sio akili ya kawaida,lakini hapa chini ya mbingu hakuna lisilowezekana kwani Kuna watu hujaribu kutanya kill kisichowezekana kwa wengine lakini kill ambacho my ataona kinamfaa,hatimae watu huja na uvumbuzi ama ugunduzi wa kipekee.Kujaribu katika Kila Jambo ndo njia yaafanikio.
Wakati mda ukienda tartibu hatimae nikaanza jaribu kuanza kuwasiliana na yule msichana niliyechukua namba yake,nilianza kuwasiliana na kwa njia ya meseji,nilianza kwa kumuuliza jina,
"Mambo,naitwa Stain,wewe unaitwa Nani"?
Akajibu,"unashida gani Kwanza"?
Nikajibu,"samahani naelekea Mwanza,wewe unaelekea Mwanza pia"?
Akajibu,"ndio ulikua una shid gani Sasa"?
Nikajibu,"nilikua napenda tufahamiane",
"Halafu tukishafahamiana,"
Nikashindwa kujua nimjibu Nini kwa haraka ikabidi,nitafakari haraka kidogo.
Nikaanza kutafuta hoja,
Nikamuuliza kiuchokozi
"Mbona mkali Sasa?"
Akajibu,"ukali wangu uko wapi?"
Kabla sijajibu akatuma ujumbe mwingine.
"uliomba namba,nimekupa,nikitegemea una kitu cha maana unataka kuuliza lakini matokeo yake,huulizi,husemi,Sasa Mimi nakuuliza shida yako unaniambia Mimi mkali,ulitaka niganueje labda?"
Lo! Nikapoteza mwelekeo,lakini nikawa neshajua kua huyu MREMBO niende na kwa umakini na tartibu.
Wakati tukiendelea kuwasiliana na huku nikitafuta hoja,huru Dada mkubwa nilie kaa nae hapa akawa anapitiwa na usingizi,akawa anapatwa na usingizi,akawa mara nyingine Kama akisinzia anataka Kama kuangukia mkono wa kulia halafu anashituka,anajiweka sawa na Safari inaendelea.Mimi nimekaa mkono wake wa kushoto,nimekaa upande wa dirishani.Wakati Safari ikiwa inaendelea mara nyingine usingizi ukiwa umempitia akawa anasinzia kuelekea kwangu,akishituka anajiweka sawa,aliendelea Sana kuteswa na usingizi,ilitokea akawa akisinzia akawa akimilalia upande wa bega langu la kulia,akishituka anaamka ghafla,ilitokea hivyo mara Kama tatu hivi akiniegemea akiwa na usingizi,Mimi sikujali Sana nilimhurumia tu,sikumwambia Wala sikutaka kumzuia asinilalie,Wala kumtoa,ukizingatia mtu mwenyewe ni dada halafu mzuri,angekua mwanaume ndio ananiegemea vile nakuhakikishia ningemuambia alale vizuri,kwani kwangu Mimi kuegemewa na mwanaume mwenzangu ni kinyaa na naona Kama mikosi tu.
Wakati hayo yakiendelea nami huku nikawa nimepata hoja,nikamwandikia yule mrembo ujumbe kwa kumtega kuwa "shida yangu ni kutaka kujua Kama unafika Mwanza na Mimi nafika Mwanza pia,nitafurahi Sana Kama tukifika, kesho tuonane,ili tufahamiane zaidi",
lakini pale mwanzo nilitamani Sana uhamie hapa nilipokaa ili tuwe tunazungumza,ni kiasi tu cha kuwaomba Hawa tuliokaa nao tubadilishane,hili ndio lilikua lengo lagu,samahani lakini Kama nimekukwaza".
Ukaingia ujumbe,"ha ha ha wewe,haiwezekani,hivyo unavyotaka haiwezekani",
Nikabaini Kama kawa mpole kidogo kwa ujumbe wake huo,nikaanza kuona kwa mwanga kwa mbali.
"Haiwezekani kivipi?" Nikamuuliza,
Akajibu,huyo uliekaa nae ni Nani kwani?"
"Ni abiria tu Kama Mimi",
"Sasa so uongee na huyo?" Alisema
Nikajibu,"huyu Ana roho mbaya",
Kwa jibu Hilo nilimuona kwa mbali akilipuka kwa kucheka Hadi kwa aibu akainama kujificha uso,kwani alitoa sauti peke yake ndani ya Basi.
Baada ya mda ujumbe ukaja,"Ana rohombaya au unamuogopa?"
Nikajibu,"AA wapi"
Akajibu,since uongee na huyo,kwa Nini mimi tu,wakati una jirani abiria mwenzio Tena Yuko vizuri tu?"
Nikajibu,"huyu anaonekana Ana hasira Sana ya maisha,Wala hatuwezi kuelewana,ila tu ninachoweza ni kumuomba aje happy naweza uje hapa,au huyo wako aje hapa nami Nike hapo".
Akajibu,"ha ha haa", haiwezekani kwa sababu Kwanza huyu nilienae ni dada yangu,na tayari amenionya kwa jinsi nilivyocheka peke yangu".
Nikamuuliza,"je tutaweza kuona a kesho?"
Akajibu,"kwa sababu namba ninayo,nitakupigia Kama nitapata nafasi,Nike nisikie unataka nikusaidie Nini".
Tukaendelea kuwasiliana kwa njia ya ujumbe wa simu.
Safari iliendelea,watu wengi walikua kimya,wengine wakilala,wengine wakitazama filamu,wengine wakisoma Mambo kwenye simu zao,Kila mtu alifanya Jambo lake.
Huyu Dada mzuri Sana kuliko Dada yeyote ndani ya Basi hili ambae nilipata bahati ya kukaa nae ambae Sina faida nae kwa sababu ya utulivu wake,ujivuni wake,Hali yake ya uzuri uliopitiliza na muonekano wake wa kuwa ni dada mwenye maisha ya Hali ya juu Sana kwa Mimi kuweza kuongea nae ilinifanya nisiwe na wakati nae,sikutaka kumsemesha Wala yeye pia hakutaka kunisemesha.
Hata hivyo siwezi kumlaumu kwa chochote,Bali ni Mimi mwenyewe tu mimejiongeza nikaona huyu ahatuendani,Yuko juu yangu Sana mara elfu,ntaishia kupoteza muda wangu to kuongea na mtu ambae najua Sina faida nae,au sintapata chchote,sio wa hadhi yangu,bora niwasiliane na yule msichana Alie mbali lakini naweza nikapata chochote,tutaweza tukaelewana,isitoshe hata na yeye ni mzuri,Tena kwa viwango vua kwangu.
Hata hivyo pamoja na kutojishughulisha na huyu niliyekaa nae lakini ukweli utabaki palepale kuwa huyu ni mdada mzuri kwelikweli,ni Moto wa kuotea mbali,ni maji marefu.Sifa zote za uzuri alikua nazo.
Safari iliendelea,ukimya ulitawala,nikiendelea kuwasiliana na dogo yule kwa Mambo ya kawaida tu.
Pamoja na yote hayo akili yangu ikaanza kumtathmini huyu Dada niliyekaa nae,alikua anateswa Sana na usingizi,aliendelea kuniegeme begani pale usingiIzi ulipomkolea,alikua hapendi happy hiyo,lakini unajua usingizi hauna heshima,alipokua akinilalia aliposhituka akawa anaamka na kuniomba samahani,nami nikimwambia,asjali ni Mambo ya Safari tu hayo,kwani mtu yeyote amaweza kupatwa na Hali hiyo.nilimweleza mara moja tu,nilaendelea kusoma Mambo ya Jamii Forums,baada ya kupumzika kutuma ujumbe.

Itaendelea...

Sehemu ya nne
Usingizi ulikua mzito Sana kwa jirani yangu,akawa amejiachia kabisa begani pangu,Hali hiyo ilinitoa kwenye Mambo yote niliyokua nayafanya,niliacha kutuma ujumbe Wala kusoma Mambo ya JF,nikiendelea kishika kifaa change ninachotumiaa kusoma,nikaanza kumtaza huyu Dada kwa kuibia,nilanza kumtaza a kwa kumkagua kill jicho langu lilipoweza kufika akiwa ameniegemea,niliangalia mapajani,matiti,vidole vya mikononi,nilinusa harufu yake,alikua ananukia vizuri Sana,nilianza kubadilika kihisia,ulijali ukaanza kinijia taratibu,mtu mwingine yeyote angekuja pale angeweza kugundua Hali ya ulijali ulionijia hata yet mwenyewe angeamka ghafla angekuata Hali hiyo,lakini nilijitahidi kufunika na kifaa nilichokua natumia kusoma.
Nilianza kuhisi Raha ya kuegemewa na huyu msichana mzuri zaidi ndani na nje ya Basi.Niliipenda Hali hiyo,nilitamani ingekua usiku ningeanza kumtomasatomasa,lakini baadae nikaogopa Sana kuwa pengine angeniabisha.Nilijituliza ili aendelee kunilalia.
Tulifika sehemu ambapo barabara haikuwa vizuri kidogo,ilikua ikirukaruka,Dada akaamka,akajikuta ameniangushia kabisa kichwa chake begani kwangu Kama vile ni Hali yake,au Mimi ni mtu wake ambae anastahili kuniegeme kiasi kill,hi kwake ilikua ni mbaya kiliko zote,alijiweka vizuri,Kisha akasema,"samahani Sana Kaka yangu,ninakusumbua Sana,nina usingizi mzito."
Baada ya kusema hayo nikajibu kihuni sana Tena kwa kujiamini kwa sauti ambayo aliweza kusikia yeye na Mimi tu huku watu wengine wasiweze kusikia kwa kwa sababu ya makelele ya filamu na muungurumo wa Basi.
Nilimjibu kiungwana lakini kihuni,"aisee Dada yangu usijali kabisa,wewe endelea kuniegeme tu,ni Nani asiejua adha ya usingizi?hata hivyo Mimi Sina tatizo kwa wewe kunilalia,natamani hata ungenilalia mapajani kabisa,ni mwanume gani atakataa kuegemewa na Dada mzuri Kama wewe?,kwangu Mimi dada kuegemewa na wewe ni faida zaidi kuliko hasara,ningeweza wapi maishani kupata bahati Kama hii ya kuegemewa na mwanamke mzuri wa kiwango chako? uwe na amani Dada yangu, wewe nilalie tu bwana,Mimi nimeridhia,na mini nimeweka rekodi amabyo sitaweza kuivunja ya kulaliwa na mrembo wa kiwango chako, sisi wengine pengine ndio bahati yetu ya kuwa na wanawake wazuri imeishia hapo".
Wakati nikisema hayo,huyu msichana akiwa amekaa aligeuka mzima,akanikazia macho,akanitazama moja kwa moja,nilyaona macho yake mazuri,niliiona midomo yake mizuri,niliona akiwa Ana nywele fupi nimekaa kwa mtindo wa kuvurugika kidogo,akiwa amekaa vihereni vizuri shingo yake ya wastani lakini imekaa vizuri,Kisha akuguna tu kwa kwa sauti ya chini niliyoisikia Mimi tu kwa kufanya,"mhuu!!"
Baada ya kuguna akaendelea kutazama mbele bila kusema kitu chichote,Mimi nikaongeza,"Dada yangu niliyokuambia ninamaanisha,sisi wore ni wasafiri na msafiri kafiri,hiyo Hali uliyonayo naweza kuwa nayo hata Mimi,au mtu yeyoye,aliendelea kunisikiliza bila kujibu kitu,nikiendelea kwa kusema," wewe endelea kulala na ili ulale vizuri naomba uje ukae upande huu wa dirishani ili ukipatwa na usingizi usiweze kuanguka kwa sababu kushoto Kuna ukuta wa Basi na kulia nitakuzuia Mimi".
Akajibu tu mara moja,"Asante".
Alivyosema tu Asante,Mimi Wala sikuchekelewa nikashika vifaa vyangu nikasimama kumpisha,akaguna Tena Safari hii "mhuu" huku akitoa kitabasamu kidooogo.
Nilipoinuka kumpisha akaona hamna namna akasoge na kuketi upande wa dirikani,hivyo kwa upande wake wa kulia nikawa namkinga Mimi.Hakuongea chochote Tena,akaendelea kutazama mbele.Nami nikaendelae na Mambo yangu.
Pamoja na haiba nzuri ya huyu mdada niliekua nimekaa nae hapa,bado Wala sikua na mawazo nae kabisa,nikiendelea kumchokoza yule msichana aliekaa mbali nami,ingawa hakua akitoa ushirikiano vizuri,katkia mawasiliano yet aliniambia kua yeye ni mwajiliwa wa kampuni moja ya simu afisa mauzo,anakwenda Mwanza likizo,kabila lake ni kutoka Ukererewe Yuko na Dada yake,lakini makazi ya wazazi wake ni Buhangija Mwanza,kazi anafanyia Dar na anaishi na Dada yake huyo ambae ni Mwalimu wa Sekondari.
Aliendelea kunielezea no kuwa Kama nitakua na hoja za maana ataweza kunisikiliza ama kunisaidia,zaidi ya hapo utanisamehe,alinieleza kwa kujiamini.Hata hivyo nikaanza kujipa moyo Kama atakua anafanyia kazi Dar iko siku tutakutana tu midam amenipa namba yake ya simu,nikijiambia nisipompata Mwanza nitampata Dar,nilijisemea hivyo kwa kujipa moyo,nikiendelea kijipa moyo Tena kwa kusema,aah hata hivyo Mimi nilikua nataka tu msichana wa kukaa nae kwenye Basi ili kunogesha Safari,kuchombeza na ikiwezekana kutengeneza mahusiano,nikiendelea kujifariji kwa mtindo wa sizitaki mbichi hizi ikiwa nitakutana na pingamizi,nilianza kuhisi pengine,ni mchumba was mtu,au mpenzi wa mtu na ana malengo nae,nilianza kuwaza pengine ni MKE wa mtu ambae Hana mda mrefu ndani ya ndoa,nilijiuliza maswali mengi na kujijibu,yote hi ikiwa ni kuanza kukata tamaa na kujiandaa kisaikolojia.
Hata hivyo nikiendelea kujipa moyo Tena kuwa ninae mpenzi wangu ambae Yuko Chuo mwaka was tatu,akimaliza akirudi tukaendelea na mahusiano,niliendelea kukumbuka na kuwaza.

Itaendelea...

Sehemu ya tano

Pembeni yangu huyu mrembo aliendelea kujisinzilia tu kimagumashi.
Alishituka na kuanza kuangazaangaza baada ya kusikia kelele za abiria wakijiaandaa kushuka kwa akili ya kwenda kupata chakula,Basi lilikua limesha kata Kona kuelekea mahali ambapo abiria hupelekwa kwa ajili ya kujipatia chakula.
Nami Kama sehemu ya abiria niliinuka nikapanga foleni ya kushuka,nikaanza kutembea kidogokidogo kwa kufuatisha mwendo wa abiria waliokua wakishuka taratibu.
Wakati nikiendelea na msafara nilimuona yule dogo akiwa tayari ameshafika eneo la chakula na huduma nyinginezo akiwa ameongozana na Dada yake.
Niliposhuka chini nilitaka kuzunguka nyuma ya Basi ili Kwanza niende haja ndogo,nilisikia sauti ikitokea dirisha la gari upande ule nilikua nimekaa ikisema "Kaka naomba unisubiri",
Nilifatilia Kama ombi Hilo linanihusu Mimi,nilitazama sauti ilipotokea,nikamuona mtu aliekua akisema, na hapo ndipo nikatambua kua aliyekua akiombwa kisubiri so mwingine,Bali ni Mimi mwenyewe,na aliekia akiomba nimsubiri ni yule Mrembo niliekua nimekaa nae,mrembo wa Hali ya juu mwenye viwango vya kuwa mrembo wa dunia.
Nilisibiri huku nikiwa najiuliza ni kitu gani kimemfanya aniombe nimsubiri,niliwaza kidogo,lean sababu Dada huyu sikuwahi kuongea nae kitu chochote cha maana zaidi ya kuonesha kumhurumia wakati alipokua akiteseka na usingizi.
Nilifikiri pengine nimedondosha kitu au pengine nimeacha ama nimesahau kitu,hivyo anataka aniletee.
Nilisibiri,hatimae akawa amefika,huku nikimtumbulia macho,Kisha akasema,"naomba tuongozane Kama unakwenda kula",
Nilishusha pumzi kidogo Kisha nikajibu huku nikiwa na hofu Fulani,kwani sikutegemea hoja hiyo,nikaanza kuona haya kidogo,nilisema "sawa".
Niliona haya kidogo kuongozana nae kwani Kila tulipopita watu walikua wakimtazama yeye tu.
Hata Mimi pia nilitamani kuanza kumtazama vizuri inagawa Hadi hapo nilikua namtazama kwa kuibiaibia.
Ndugu msomaji,Mungu ni Fundi,mwacheni Mungu aitwe Mungu,huyu msichana alikua ni mzuri Sana lakini Wala hakua amejipamba,nilimwangalia kwa kuibia sehemu yake kwa nyuma,Ana makalio ya kistaarabu,sio makubwa Wala sio madogo,ni makalio ya wastani,alikua amevaa suruali lakini sio jinsi,alikua amependeza Sana,alionekana evaa kiheshima Sana ingawa umbo lake lilitamanisha.
Tulielekea mahali pa kujisitiri Kwanza,tulifika nje ya kijumba kimoja kizuri nje Kuna maandishi yaliyoelekeza kuwa kushoto ni wanaume na kulia ni wanawake,tulipofika hapo akaniomba nimshikie simu na kimkoba chake,nikajiuliza kimoyomoyo kulikoni,lakini nikatii,baada ya muda akatoka na Mimi bila kumueleza chochote nikaelekea upande wa wanaume,baada ya dakika chache nikatoka,lakini kwa mshangao mkubwa nikamkuta akinisubiri tukaondoka kuelekea wanapouza chakula,palikua panauzwa chakula ndani ya hoteli na nje,tulitazama nje tukaona wanauza nyama za kuchoma za ng'ombe,mbuzi kuku,ndizo choma na chipsi.
Nilishangaa Tena aliponishirikisha kwa kuniuliza ,"Kaka wewe uatakula Nini?"
Nilimjibu,"aah Mimi napenda nyama ya mbuzi na ndizi",
Nilimjibu huku nikiwahi kuomba mchoma nyama aniandalie.
Dada yule aliniambia,"aah Basi hata Mimi ntakula hivyo hivyo".
Kisha harakaharaka akamwamuru mchoma nyama atufungie mafungu mawili ya nyama na ndizi tatutatu,yaani nyama ya mbuzi ya kuchoma fungu moja na ndizi tatu,aweke hivyo mara mbili,alimaanisha fungu moja la kwake na jingine la kwangu,Kisha akalipia mafungu yote mawili yeye mwenyewe.
Wakati akitanya hivyo Mimi nikwahi kwenye vinywaji,nikaomba nipewe maji ya kunywa chupa kubwa mbili na box mbili za juice,wakati nataka kutoa hela mikamsikia akisema hela hii hapa alilipia vinywaji kabla yangu Tena,Hali hii ilinishangazq kidogo,hivyo kumfanya awe amelipia vyakula na vinywaji vyote kwa ajili yangu na yake.
Nilichokifanya ni kuwa mpole tu na kumuambia,"Asante",
Naye akajibu,"Asante kushukuru".
Tukaelekea kwenye Basi kwa ajili ya kujiandaa kuendelea na Safari.
Kumbe wakati hayo yote yakiendelea yule Dada mdogo mrembo akilikua akinifuatilia hatua kwa hatua Kila nilichokua nafanya na huyu Dada mrembo mkubwa,ilikua ni zamu yangu Sasa kuchunguzwa bill Mimi kujijua.
Alikua akinitathmini,akinichunguza na kunikagua huku akiwa mbali,alifanya makusudi kuwahi kushuka na kufanya Mambo yake mapema ili ibaki kazi ya kunifiatilia.

Itaendelea

Sehemu ya sita

Nilikua kufahamu kuwa Dogo ambae nilikua kujua jina lake alikua akiitwa Erica,kumbe alipata wasaa wa kunichunguza wakati tulipokua tukiongozana na Bidada Mkubwa
Nilikua jina lake baada ya kufanya Kama namtumia pesa kwa njia ya simu,baada ya kujaribu kutuma jina lililokuja ni Erica David,baadae nikaja kuthibitisha kwa kumtaja kwenye ujumbe wa simu,alishituka na kutaka kujua nimelijuaje jina lake,nilimweleza nilivyocheka hakua na namna,Bali alikubali,nae akafanya hivyo kujua jina langu na kujua kua naitwa Stain Antonio.
Erica alikuja kunza kunifatilia na kua making na Mimi zaidi mara tu tulipoongozana na huyu Bidada Mrembo,ambae kwa kweli Kila aliyemuona alishangazwa kwa uzuri ule,Hali hiyo ya uzuriiliwavutia wanaume na wanawake,mmoja wa waliovutiwa ni pamoja na Bi Erica,ambae tayari niliomba namba yake na kutaka ahamie kwenye kiti nilichokua ili tuwe tukiongea,ingawa kwa kweli,Nia ni kumtongoza,nilivutiwa nae na kwa vile ni wa hadhi yangu,ni wa hadhi yangu kuliko huyu ninae kaa nae,huyu namuona ni wa hadhi ya juu Sana kwangu,hata tu kumuoa siwezi,naona kuoana na huyu ni kukitafutia shinikizo la damu tu,simuwezi,simmudu,ni wa gharama Sana,atakua yeye kanioa Mimi,hata nikimuoa watu went nguvu za uchumi na mamlaka hawataniachia peke yangu,mbali na hayo Kwanza najua hawezi kunikubali,hivyo nikaona Sina haja ya kupoteza mda wa kumfikiria na kumfatilia.
Wakati nikitafakari yote haya Basi lilikua linaendela na Safari,watu walikua wakiendelea kula vyakula vyao walivyokua wamenunua kule tuliposhuka kwa ajili ya chakula,kwani watu walikua wamefungasha vyakula vyao.
Tulikua tunakula kimya kimya Mimi na huyu Bidada, ni m chache Sana wa maneno dada huyu,sijui ni maringo,dharau au kiburi,neno pekee alilosema baada ya kutoka kununua chakula aliseme hivi,"nyama hii imeiva vizuri",baada ya kua ameishakula finyango kadhaa,Mimi hapo sikujibu kitu.
Mimi ni muongeaji Sana,lakini kwa huju jirani yangu nimekwama,huyu haongei kabisa na hayuko tayari kuongea,aliponishirikisha twende pamoja kwenye chakula nikajua tukitoka huko ni mazungumzo kwa kwenda mbele,lakini sivyo.
Maswali mengi yakaja kichwani,kwa Nini aliniomba twende pamoja kutafuta chakula? Na kwa Nini baada ya kurudi haoneshi kutaka mazungumzo na mimi? Ni Mimi ndio simsemeshi? Namuogopa? Nina hofu? Sijiamini? Kama ni hayo mbona Erica nimemsemesha na angalau anaweza hata kujibu ujumbe wangu? Mbona aliweza kunipa namba yake ya simu?
Kwa maswali hayo machache nikahitimisha tu kua namuogopa,kwa Nini namuogopa? Mwonekano wake ni Msichana Mzuri kuliko viwango vyangu nilivyovizoea na isitoshe sio mtu wa kutoa mwanya wa kuzoeleka,pia ni wa hadhi ya juu ya uwezo wangu.
Baada ya kuyafikiria hayo nikaamua kuachana nae kimawazo na nikaanza kumuona Kama kikwazo cha mipango yangu ya kufahamiana zaidi na Erica.
Wakati Niko katikati ya tafakari ujumbe ukaingia kwenye simu yangu,"nadhani huhitaji Tena mtu wa kuongea nae,niliwaona mkitoka kununua chakuala"
Nikajibu,"aah huyu mtu niliekaa nae sijui ni bubu!"
Akiniuliza,"una maana gani kusema ni bubu?
Nikajibu,"ameongea maneno Saba tu tangu amekaa hapa"
Nikaongeza,"unajua Mimi napenda Sana kuongea Sasa mtu huyu sio wa hivyo,sijui Ana mawazo ya Nini"
Sikujua kuwa kitendo cha kwenda kula na huyu Mrembo mkubwa kilinipa daraja kubwa sana kwa huyu Mrembo mdogo,alikua Kama ananiona mhuni Fulani,lakini kwa kuongozana tu na huyu Dada kimemshitua kidogo Erica,niligundua kutokana na baadhi ya ujumbe zake,alionesha Nia Sasa ya kutaka kunisikiliza,alinihakikiahia kua kesho atatafuta nafasi ili aje tu kunisikiliza Nina shida gani nae au ninataka msaada gani nae.
Kwa mfano baadhi ya ujumbe zake moja iliuliza hivi,"bado utakua unahitaji kuongea na Mimi kwa Sasa?"
Mwingine aliuliza hivi,"Safari yako Sasa itakua fupi",
Mwingine aliuliza hivi,"umeshamuambia jirani yako aje kukaa huku na Mimi Nike huko?"
Kusema kweli ujumbe ulikua mwingine kidogo lakini jibu lake lilikua ni moja tu,kwamba huyu mtu niliekaa nae Hana faida Wala msaada kwangu,no hasara tu, nilimjibu pia kwamba ikiwa kesho atapata nafasi tutaongea,atanisikiliza na atanielewa zaidi.Nilimjibu kwamba huyu niliekaa nae hawezi kunisaidia kwa sababu haonekani kuwa mtu wa maaada Wala kusikiliza,anaonekana ni mchoyo na mbinafai,nilimponda bila kujali Kama kaninunulia nyama na ndizi,nilifanya hivyo ili kumuinua na kumsifu Erica ili kesho awezw kuja halafu nipate urahisi wa kumtongoza,kwa kifupi niliona Kama kumponda huyu na kumsifu yeye ndio njia ya kumlainisha,ili kesho kazi iwe rahisi.
Kwa ujumla tuliendelea kumteta huyu Dada bila yeye kujua.Mimi niliipenda hiyo Hali kwa sababu ilikua imanipa faida kwa matamanio yangu ya kumtongoza Erica,Erica umri wake ni Kati ya miaka ishirini Hadi ishirini na mbili,Mimi umri wangi ni miaka ishirini na nne, huyu dada yeye anaonekana ni Kati ya miaka ishirini na
nne Hadi ishirini I na Saba, Hivyo namuona Erica ni saizi yangu kuliko huyo Dada,achilia mbali muonekano na Tabia zake ndo zinanifanya nisiwe na hamu ya kuzoeana nae.
Safari yetu ilendelea,mida nayo iliziidi kupotea,tuliendelea kuacha mkoa mmoja baada ya mwingine,ukiondoa mida,hata majira Sasa yalikua yamekwisha badilika,maana tuliondoka Dar alfajiri,ikaja asubuhi,ikaja mchana,ikaja jioni,na Sasa ni usiku,Tena sio usiku tu,ni usiku wa saa nne,siku ya ijumaa, watu kwenye Basi wanaonekana kuwa wamechoka Sana,Wana hamu ya kufika makwao,hapa tulipofika Sasa ni maeneo ya Mkoa wa shinyanga,watu wachache sana wameshuka shinyanga wenge wamebaki,na Hawa wengi waliobaki watashuka Mwanza mjini,na ndio mwisho wa Basi,ingawa abiria wengine watatawanyika kuelekea wilaya na maeneo mengine,Mimi kesho nitakaa mpaka jioni nikimvizia Erica,baada ya kumalizana na Erica nitavuka kukatiza ziwa viktoria kwa kutumia kivuko,kwenda kwetu Sengerema.
Abiria wengi walionekana kuchoka,ilikua imeshafika saa tano kasoro dakika ishirini na tano,baadhi ya abiria walibashiri kuwa tutafika Mwanza Kati ya saa tano na nusu au saa sita kamili.
Jirani yangu,kwa maana ya abiria mwenzangu niliekua nimekaa nae kiti kimoja,alivunja ukimya akniuliza,"Safari yako itaishia Mwanza mjini?"
Nami nikajibu,"hapana,kesho asubuhi nikaanza Safari nyingine ya Kama robo saa kuvuka maji ya ziwa viktoria kwenda kwetu"
"Kwenu wapi",aliuliza,
"Wilaya ya Sengereama" nilijibu,
Aliuliza Tena ,"Kuna umbali gani kutoka Mwanza mjini na Sengerema?",
Nilijibu ,"niwendo wa dakika arobaini na tano ziwani,na nusu saa barabarani"
Aliuliza Tena,"usiku huu kuanzia saa sita hakuna usafiri wa kufika huko?"
Nikajibu,"hakuna",
Anauliza Tena,"Sasa una mahala pa kulala usiku huu wakati ukisubiri kesho kuendelea na Safari yako?"
Nikajibu,"wasafiri wengi wenye kuendelea na Safari siku inayofuata hulala kwenye mabasi kwa mda huu uliobaki,hata Mimi nitalala kwenye Basi"
Kabla hajauliza swali jingine nikaongeza maelezo,"wasafirishaji wengine wenye mabasi Wana sehemu maalum kwa abiria wao kulala,hata hivyo ni mda mfupi Sana ya kulala,kwani Hadi mtu ulale itakua imefika was Saba usiku,itakubidi uamke saa kumi na moja ujiandae na kuelekea kwenye vyombo vya usafiri,watu wengi hupenda kuanza Safari saa kumi na mbili alfajiri ingawa kwangu sio lazima,nioimaliza kufafanua"
Akakaa kimya kwa mda mrefu bila kuuliza kitu,kisha aliiniuliza tena ,"unaishia Dar au Mwanza"
Nikajibu,"Dar"
Aliuliza,"Dar sehemu gani"
Nikajibu,"Mwenge",
Kabla hajaendelea na maswali zaidi Basi likawa linakata Kona kuingia stendi kuu,stendi hii ndio mwisho wa Safari ya Basi hili,kwa maana nyingine tayari tulikua tumefika Mwanza.
Abiria walianza kukusanya mizigo yao,nasi pia tukafanya hivyo,Basi likasimama na abiria wakaa za kushuka.
Dada Mrembo akanitazama Kisha kwa sauti ya upole kabisa akaniambia hivi,"Kama hautajali naomba nikisaidie"
Niakamuuliza,"unisaidieje?"
Akajibu,"naomba unifuate",
Nikaanza kimya na kuanza kumfuata kuanzia alipokua akishuka kwenye Basi Hadi chini,tukaelekea moja kwa moja Hadi sehemu ambayo haikua na watu wengi happy kituoni.Akatoa simu yake akabonyeza atatafuta majina Kisha mikamsikia akisema tumeahafika,nipo hapa jaribu na huu mgahawa wanapouza chips.
Baada ya dakika chache nikamuona Kaka mmoja akija kumpokea,akatusalimia,Kisha akachukua mizigo yake tukaelekea sehemu ambapo kulikua kumeegeshwa gari dogo Aina ya "Ford double cabin"
Tukaingia ndani ya gari,na gari ikaanza kuondoka.
Nilikua kimya kwa upole,utulivu, tahadhari na umakini mkubwa Sana.


Itaendelea...

Sehemu ya saba

Gari hii ilielekea nisikokujua sikua na wasiwasi juu ya usalama wangu,ila nilikua na maswali mengi juu ya huu msaada anaoelekea kunisaidia huyu mrembo.
Gari ilinyoosha,ikakata kushoto ikaingia kulia ikazunguka kwenye mzunguko wa barabarani ikaenda kulia kidogo mara nikaona inakata Kona kuelekea kilimani kidogo, mahala ambapo palikua Kuna miti mingi na mawe makubwa,nilishuhudia nyumba nzuri ikiwa imezungukwa na mawe makubwa na madogo pamoja na Miti ya asili na miti ya kupandwa.
Nje na ndani ya nyumba hii kulikua kunawaka taa.Baada ya dakika chache dereva akaegesha gari,kisha akashuka dereva Kwanza. Mrembo akageuka nyuma kwa sababu alikua amekaa kiti Cha mbele na Mimi nyuma yake,akaniambia,"tushuke timefika".
Nilishuka na kuanza kuangazaangaza na kimkoba changu cha kubeba mgongoni, ndipo nikaona maandishi yakionesha kuwa hapa ni hotelini.
Ilikua ni hoteli nzuri kwa kweli,ila sikuweza kutambua mara moja Kuwa ni hotel yenye hadhi ya nyota ngapi,lakini ilikua in muonekano mzuri sana.Yule dereva alibeba kimkoba kidogo cha huyu Mrembo chenye magurudumu, akaanza kukikokota kuelekea ndani ya hoteli,Mimi na huyu Dada tukawa tunamfuata kwa nyuma, wakati huo Dada huyu alikua ameweka kwapani mkoba wake mdogo na kimfuko kingine amekikamata.
Tulipofika mapokezi Mrembo alienda moja kwa moja kwa afisa mapokezi kwenye kaunta. Akaongea kidogo wakati huo Mimi na dereva tulikua tumekaa kwenye makochi kwa mbali tukitazama bila kujua anaongea Nini,waliongea kidogo wakamaliza, Dada akaja kwa dereva akamshukuru Kisha nikasikia akimwambia,"nitakupigia nikikuhitaji".
Dereva akasema,"sawa bosi",
Kisha akaondoka.
Mrembo akanifuata Mimi akaniambia," twende".
Akaja mhudumu akachukua baadhi ya mizigo yetu akapanda nayo ngazi Kisha tukawa tumefika ghorofani tukaelekea kushoto Hadi nje ya mlango wa chumba.Mhudumu akafungua mlango Kisha akatukaribisha ndani.
Tukaingia ndani ya hiki chumba,ambacho kwa kweli ni kizuri Sana. Kunana kitanda kimoja,kikochi kimoja TV na vitu vichache lakini vyote vilionekena Kama ni vipya.
Kwa hakika kilikua ni chuma cha gharama kubwa.
Wakati nikitazama yote hayo nilipatwa na mawazo milioni moja kwa sekunde,nilijiuliza Mambo mengi Sana, nilifikiri kuwa, huyu Mrembo huenda baada ya hapa atanipeleka na mimi kwenye chumba changu, ama pengine ni nje kwenye nyumba ya wageni huko mitaa mingine maana huko nje ya hoteli sikuona nyumba yeyote,nilijiuliza mengi Sana.
Baada Kama robo saa hivi mhudumu akabisha hodi,akafunguliwa,akaingia na chakula,akaondoka.Mrembo akanikaribisha chakula tukala, chakula ambacho kwa hakika kilikua kitamu Sana.
Aisee hapa nimapoongea ndugu msomaji nilikwisha poteza mwelekeo kabisa,nilikua Kama mateka huru,nilikua mtulivu huku nikijiweka tayari kupokea amri yeyote kutoka kwa Mremno huyu, nilijisemea moyoni siulizi chochote nitafuaya Kila kitu atakachoniamuru kufanya,.
Tukamaliza kula,akapiga simu ya humu chumbani,akaja mhudumu akatoa vyombo.
Mrembo akavunja ukimya akaanza kwa kusema,"Kaka,unakumbuka kwenye Basi pale Jana?",
Maana saa hizi ilikua imetimia takribani saa Saba na dakika ishirini na tano usiku,
Aliendelea kusema,"unajua Kwamba uliniambia maneno ya faraja na ya kiungwana Sana?,lakini kubwa ni jinsi ulivyoniruhusu nilale begani pako,kwa kweli nilikua na usingizi mzito Sana,ulinisaidia hata pale uliponipisha nikae upande wa dirishani,ilinisaidia nililala vizuri San.Sasa kitu kilichoniuma ni pale kwenye Basi uliposema ukifika wewe utalala kwenye Basi halafu kesho ndio uendelee na Safari yako,Mimi kwa kweli sikupenda,niliumia Sana,kwa sababu ulijitolea nikulalie,ili nisipate taabu naomba na Mimi nijitolee tubanane humuhumu chumbani halafu kesho uendelee na Safari yako."
Baada ya kumalizana tu kusema hivyo Mimi moyo wangu ukafa ganzi,nikajiuliza hivi Mimi huyu leo hii nalala hapa kitanda hiki kidogo cha futi tatu kwa sita na huyu Dada ambae kwa kweli ni Kama Mrembo wa Taifa,anastahili hata kutwaa taking la Urembo la Dunia?
Mungu wangu nitalalaje nae huyu,kutakucha salama kweli bila kugusana!Au pengine ameona ni Bora nilale kwenye hiki kikochi chumbani kuliko kulala kwenye kiti cha ndani ya Basi?
Nikasikia, "Kaka ngoja Basi Mimi nikaoge",
Nikajibu,"sawa",
Nilikua nimekaa kwenye hicho kikochi,nikaamua kuwasha TV, yeye akenda karibu na mlango wa kuingia bafuni na karibu na kabati ya kuwekea nguo na mizigo.
Akawa anavua nguo alizokua amezivaa toka asubuhi,sikuweza kumtazama kwa sababu nilimpa mgongo, na kugeuka nikawa naogopa,lakini maswali yanazidi kuongezeka.
Nadhani hata wewe msomaji utakua unajiuliza maswali mengi,nikasikia anarudisha kimkoba chake kabatini.
Baadae akaingia bafuni,nikaongeza sauti ya TV kidogo,baada ya dakika Kama ishirini hivi akawa ameshatoka bafuni,amejifunga khanga moja tu,kaifunga juu ya matiti hivyo ikawa imeishia juu ya magoti,Moyo wangu ulilipuka "paaa",baada ya kuiona migui yake kuanzia mogotini kushuka chini.
Miguu ilikua imejaza hatari,miguu ilionekana niikubwa na yenye kupendeza, migui mizuri utadhani huwa hatembei,imeshiba vizuri kuanzia mogotini Hadi chini.
Hayo yote nilyaona kwa sekunde chache kwa jicho la ndege tai.
Sikua namtazama moja kwa moja,nilitazama kwa kuibia huku nikijifanya natazama TV.
Hakika ndugu msomaji, kwa kutazama miguu tu nilihisi kitu kinainuka ndani ya suruali niliyokua nimeivaa,nilishitushwa Tena kwa sauti yake,"Kaka nenda ukaonge na wewe,Mimi tayari",
Nkajibu neno moja tu,"sawa".
Sasa kazi ikawa nitainukaje na huyu jamaa yangu kishasimama hatari.
Nikajibaraguza,nikajinyonganyonga Kisha nikainuka haraka na kugeuka,nikaelekea bafuni nikiwa tayari na mswaki na dawa yangu ndogo ya meno,nikajisafisha kinywa Kisha nikaoga,nikajikausha maji kwa kitaulo changu kidogo cha Safari,huku nikiendelea kujiulza hapa tutalalaje?
Nilipokua nikitoka bafuni nilijijipa moyo,kuwa ni yeye ndio alienialika kuja hapa na ni yeye ndiye atajua cha kufanya,Mimi sitasema chochote namuachia yeye ndio ataamua,nitatii Kila kitu atakachoniamuru kufanya, na sitafanya chochote kibaya kwa huyu dadakwani ni muungwana Sana,ameniamini,sitamuangusha,Wala sitamuudhi,kesho asubuhi ntajiendea kwetu.
Ndugu msomaji katika vitu ambavyo viliwahi kunipa mawazo na woga lakini sio woga wa kuumizwa mwili ni hiki.
Nilijiuliza huyu Dada mzuri namna hii anajiamini Nini kukubali kulala na Mimi kitanda kimoja?au Kuna sehemi ntaenda peke yangu kulala?Huyu dada kwa Nini kajiamini namna hii? Yuko sawa kweli huyu?,
Lakini kwa jinsi nilivyomuona Hadi kuingia hapa ni mtu makini sana,muungwana,mstaarabu anaejiheshimu na anaejua anachokifanya.
Nilipokua nageuka nikitokea bafuni, moyo wangu ulilipuka tena kwa mara nyingine baada y kumuona tayari mwenzangu alikua amekwisha lala kitandani,ingawa ni dhahiri hakua amesinzia,amelala kiubavu akiwa ameelekea ukutani,ubavu wa kulia uko chini ubavu wa kushoto uko juu.akiwa bado amevaa khanga yake moja tu.
Moyo wangu ulipasuka Tena baada ya kuona mapaja yake,kwani khanga ilikua imepanda juu.
Ndugu msomaji taa ya chumbani ilikua bado inawaka niliona mapaja mazuri,meupe, yameshiba vizuri.Nilianza kutetemeka,mashine yangu iliinuka kwa nguvu kubwa hadi nikaanza kuhisi maumivu.
Kwa kawaida huwa navaa bukta peke yake nikitaka kulala,lakini ilinibidi nivae bukta na boksa ndani ili kuizuia mashine isisimame zaidi ili asiweze kuiona.Lakini wapi,haikusaidia kitu,nilijaribu kutembea nikiwa nimeimana lakini wapi.
Wakati nikipambana na hiyo hali,nikaanza kujiuliza, Sasa nitalala wapi,sijakaribiahwa kulala kitandani na sijaambiwa kulala kwenye Kochi.
Nilijiuliza ndani ya sekunde moja hayo yote.
Kistaarabu kabisa nikaona ngoja nikae kwenye Kochi tu,Kisha nisubiri maelekezo.
Ningeweza kumfuta kitandani na pengine kuanza kumuomba penzi Mimi Kama mwanaume,lakini je akionekana kutokubaliana na hatua hiyo niliyochukua, Nini kitafuata?ataniondoa usiku chumbani kwake au itakuaje?,tutatazamanaje?
Nikajiuliza ninajuaje Kama huu ni msaada wa kulala tu?
Nikajiambia,kuna wanawake wengine wana misimamo,akikuambia ni msaada wa kulala ni kulala kweli na si vinginevyo,nikijifanya kidume naweza ingia kwenye kesi ya kubaka bure. Inawezekana Mrembo ana Tabia za kizungu ama ameish
i Ulaya,pengine ana matabia ya kizungu,anapokuambia nakupa msaada wa kulala anamaanIsha kulala.
Nilizima taa nikaenda kukaa kwenye Kochi kwa utulivu kabisa.
Baada ya Kama dakika tano nikasikia sauti ikinisemesha,"Kaka mbona hauji kulala?",
Nikashusha pumzi,nikamuuliza,"hapokitandani"?
Akajibu,"he, hapa hapa, wewe unataka kulala wapi Tena"?
Moyoni nikasema "Lohl mtihani mwingine huu"!
Nikaenda kitandani kwa heshima kabisa,kwa uaminifu mkubwa nami nikalala Kama yeye kiubavu lakini nikielekea upande ilipo TV na Kikochi.Yaani ubavu wa kushoto ukiwa chini na wa kulia ukiwa juu,kwa maelezo rahisi tulipeana mgogo.
Kwa kawaida vitanda vya hotelini hutandikwa kwa mtindo wa Kama mfuko fuiani hivi,yaani mtu huingia ndani ya shuka au shuka na blaketi kwa sehemu zenye baridi.
Lakini Mrembo alianza kulala kwa kulala juu bila kuingia ndani,nadhani alikua Ana maana yake,nami nikafanya Kama yeye.
Hakika ndugu msomaji mpaka hapo sikua na tone la usingizi.
Baada ya Kama dakika kumi hivi toka nimejilaza kitandani pembeni ya Mrembo,sijasinzia na yeye hajasinzia,nilihisi mkono wake wa kushoto ukitua kiunoni kwangu,akageuka mwili wake kutazama juu Sasa,akanipapasa kidogo Kisha akaacha.
Akageuka kuelekea Kama nilivyo lala Mimi,yaani wote tukiwa tumetazama upande mmoja,akawa nyuma yangu,mkono wake wa kulia akauleta kifuani kwangu,akaanza kunipapapsa kuku akishusha mkono wake chini,mapigo yangu ya moyo yaliongezeka mara dufu Hadi akagundua Hali hiyo,akagusa mnara wangu akagundua umesimama imara nilisikia maumivu Kama unataka kukatika,alipoona umesimama vile alicheka mara moja tu hivi,"mhuu,"
Kisha akaniambia ,"pole"
Halafu akaniacha huku na yeye akiwa anahema na kutetemeka kidogo,nami pia niliyasikia mapigo yake ya moyo,nadhani pengene yeye mapigo yake yalikua maradufu zaidi yangu,aliponiacha aligeukia Tena ukutani alipokua amegeukia mwanzo.
Na kuanzia hapo nikawa nimekwisha jua anachokitaka.
Niliona ni Kama ndoto, Yule Mrembo niliekua namwogopa Jana asubuhi Sasa hivi Niko nae kitandani,Tena kwa juhudi zake mwenyewe,woga wote ulinitoka,mawazo yote yalinitoka,nikaanza kupata mawazo mapya.
Nilifiurahi Sana kwa Mwanamke Mzuri wa kiwango hiki kuwa mikononi mwangu ,Tena kitandani na akiwa na khanga moja tu.
Nilianza kuwaza kumpa kichapo ambacho hata kaa anisahau maishani,na Kama Ana mtu wake amwache,niliwaza kumpa penzi ambalo litamfanya awe haoni Wala hasikii kwangu,niliwaza kuikamata akili yake,niliona itakua hasara Sana kwa Mwanamke Mzuri namna hii atoke kwangu,aende kwa mwanaume mwingine.Aniache.Niliwaza kumpa Raha ya kitandani na maneno ambavyo vitamfanya amsahau mtu wake.Niliwaza mengi.
Alipogeukia pembeni nilimuona Kama kaishiwa nguvu hivi,nami nikageukia kwake,upande aliokua akitazama,nami nikawa mgongoni kwake nikamwambia hivi,"samahana dada",
Akaitikia,"mmmh"
Nikamuuliza,"naweza nikapapasa mwili wako?"
Akanijibu,"ruksa".

Itaendelea....

Sehemu ya nane.

Nilisikia furaha Sana kupewa ruhusa kushikashika mwili wake,niliinua mkono wangu wa kushoto na kumshika kiunoni,alishituka Sana halafu akatulia,nikaanza kumpapasa taratibu bila kipngamizi kwa Kila sehemu ya mwili wake Kila nilipotamani kupapasa,nilimsogelea shingoni,nikambusu shingo,nikambusu sikioni,akasikika akitoa sauti ,"aaaah",
Nikaendelea kumbusu huku namshikashika,nilishusha mkono kutoka kiunoni Hadi matakoni,nilimshikashika matako Sana,Hadi nikaona anvuta pumzi nyingine na kushusha,nilianza kuyaminyaminya taratibu,nikamwona anaanza kusungua vidole vyake vya miguuni,vidole kirefu cha Kati cha mguu akikisugua na kidole gumba,alifanya hivyo kwa sababu alikua anasikia Raha ya kishikwa makalio,nikaanza kulamba lamba shingoni,mgongoni,mashavuni,mara nyingine nikimbusu mashavuni,nikaanza kukunakuna kwa mbali na vidole mgongoni,nikaona Kasi ya kupumua inaongezaeka,huku milio ya kimahaba ikiongezeka.
Nilitambua kuwa anasikia Raha Sana kufanyiwa hivyo.Nilimgeuza taratibu Hadi akawa ananitazama Sasa,ingawa alikua amefumba macho,niliyaona matiti yake.
Aisee huyu Mrembo ana matiti mazuri Sana,matiti laini sio makubwa Sana Wala sio madogo,vichuchu vimechongoka vizuri,niliyashikashika matiti yake taratibu,alisikika akimeza mafunda ya mate Kila sekunde,huku akikigeuzageuza kichwa chake,mara ageukie kulia mara kushoto.
Nikaacha kushika matiti Sasa, nikaanza kuvinyonya vi chuchu taratibu,mara kichuchu cha kushoto,mara cha kulia.
Nilimsikia akianza kulia kwa sauti ya chini,aah,aah,aah,mmm,mmm,aiiii,aii,ashii,aashii.
Aliendelea kuteseka kimahaba huku Mimi nikiwa makini kuvilamba vichuchu polepole bila kumsabibishia maumivu,hatimae nikaanza kumnyonyanyonya taratiiibu matiti yake sio kwa ajili ya kufyonza au kunyonya majimaji yaliyomo ndani yake yaani maziwa , la hasha,Bali kwa ajili ya kummpa Raha.
Wakati nilipokua nikimshikashika matako na kuyaminyaminya nikastaajabu kua kumbe alikua hajavaa chupi,aisee kwa Hali hiyo Mimi mnara wangu ulikua umeshasimama Kama kipande cha chuma,
Wakati wote huo nilikua sijafika mapajani.
Nilianza kupapasa mapaja.Mrembo Ana mwili laini utadhani huwa hatembei,mapaja laini Kama Nini,ngozi laini,nilimshikashika sehemu za tumboni kushuka chini,nikasikia ananiambia,"naomba Sasa,jamani nisaidie,nipe bwana,mie siwezi tena kuvumilia kaka,ai wewe nifanye Basi Kaka yangu,nateseka jamani,naomba mpenzi wangu",
Kusikia hayo maneno na neno mpenzi wangu,akili ndo ikaruka kabisa,nilikua tayari nimeshaitoa khanga,akawa Kama alivyozaliwa,wakati alipokua akiongea hivyo,mkono wake wa kushoto alikua ameupeleka kwenye uume wangu nae akawa anajaribu kuuminyaminya huku akihangaika kutaka kuutoa ndani ya bukta na boksa,lakini akashindwa,nikamsaidia,nikavua bukta na boksa, nikazivua zote kwa pamoja,lakini sikutaka kumpa Kwanza.
Niliendelea na zoezi la kumlamba sehemu mbalimbali kuanzia shingoni,masikioni,nilimlamba midomo yake, nilikutanisha ulimi wake na wangu,niliunyonya ulimi wake kidogokidogo,,nilinyonya mdomo wake wa juu Kisha nikanyonya wa chini,ana midomo laini halafu mitamu Sana,nilimlamba Tena kidevu,nikaa shuka kwenye matiti tena,nliiendelea kulamba vichuchu na kumnyonyanyonya vimatiti vyake.
Alijitahidi kwa shida Sana naye kunipapapsa mgongoni na sehemu chache alizoweza kufika,kwani nilionekana kutawala mchezo,sanasana aliishia kulialia na kutoa sauti za kimahaba.
Nilikua na hamu kweli kwa kumpata lakini sijui nilitoa wapi ujasiri wa kuvumilia hivyo bila kuingiza kwa mda mrefu.
Wakati huo yeye alikua anahangaika kunitaka niingize, lakini masikini nguvu hakua nazo kabisa kwa sababu ya michezo niliyokua namfanyia.
Baadae akaanza kuomba Tena kwa kusema,"kaka nihurumie,Kaka nisaidie Basi,mimi Niko tayari jamani,unanitesa jamani,ingiza Basi,huku nae akijaribu kunishika mashine yangu na kufanya Kama aniachua hivi ili kunipa hamu.
Akapata nguvu kidogo akaniletea mdomo wake,nikaanza tena kumnyonyanyonya midomo yake,niliendelea hivyo huku nampapasa kiuno,tumbo,mapajani.
Hatimae nikaona Sasa nishuke kwenye tunda,hapa sikukaa Sana,kwani nilipoanza kushika kwenye kiharage alianza kutetemeka na kuniambia,"usipoteze,usipoteze,Mimi ntamaliza,ingiza haraka,ntamaliza,ooh,aah,aah"
Alikua alimaanisha nisimwache amalize kwa kumchezea,Bali niingize ili ikiwezekana tumalize pamoja.
Wakati huo na Mimi Hali ilishaanza kuwa tete.
Nikamweka vizuri harakaharaka,nikamweka kwa mkao wa asili,maarufu kama kifo cha mende,nikaanza kumsugua juu ya kiharage kwa dushe Kama sekunde kumi hivi,alikua kalowana hatari,alisikia utamu Sana kwa kitendo hicho,alisikika akisema,"tamu,tamu,tamm.tam ingiza sasa, ingiza sasa"
Nikaona Sasa ni muafaka kuingiza nikaingiza dushe,sikuamini Kama nilikua naingiza kitu changu ndani ya kitu cha Mremb.,Mwanamke Mzuri ambae sikutegemea kulala nae kitandani.
Ijapokua alikua amelowa,lakini papuchi yake ilikua inabana Sana,hivyo nikawa naingiza taratibu,ana papuchi tamu Sana,nikawa naisikilizia dushe inavyomezwa ndani ya papuchi ndogo yenye joto Kali, inaingia hatua kwa hatua,mwanzo nilihisi nakula msichana bikira maana sio kwa udogo ule wa papuchi, kwa umri wake kuwa na papuchi ndogo Kama ya mtoto wa kidato cha kwanza.
Niliingiza taratibu Hadi ikaingia yote,nikaanza kusukuma ndani na nje huku nikiendelea kumlambalamba midomo na vichuchu na kumbusubusu masikioni.
Nikawa namsikia akisema,"Kaka unanipa Raha ambayo sijawhi kupewa hapa duniani.
Alilia,"Aah,ooh,Asante,polepole,tamu,tamu jamani,usimalize".
Baada ya misuguo Kama thelathini hivi nikamsikia akiliaa,"aaaah,iiiih,aaah,ntamaliza,namaliza,namaaliiiiiiiza,namaliiii."
Wakati huo na Mimi nikasikia vitu vinakuaja kwa mbali,"Ah,oh,oooh,oooooh,haaaaaaah,".
Tukamaliza pamoja,nikiendelea kumkumbatia kwa dakika chache,halafu nikageukia pembeni.Tukawa tunahema utadhani tulikua tumekimbizwa na Simba.

Itaendelea...
Sehemu ya Tisa.

Nilishitushwa baada ya kumulikwa na mwanga mwembamba wa just uliopenya kidogo kupitia kwenye kisehemu Cha dirisha ambapo pazia haikufunga vizuri.
Nilitazama huku na huko,huku dushe yangu ikiwa imesimama juu imara kabisa.
Mrembo alikua bado amelala,ilikua imekwisha fika saa mbili asubuhi,tulipitiwa na usingizi kutokana na mambo mazito tuliyoyafanya usiku wa manane,na ukichanganya na uchovu wa Safari,tumelala sana,nimepitiwa hata mda niliojipangia wa kuondoka saa Kumi na mbili alfajiri.
Nilimtazama Mrembo wangu,Looh! Aisee alikua amelala kifudifudi akiwa Kama alivyozaliwa,nilimwona vizuri Sana Sasa hivi kuliko usiku,mdada Ana umbo zuri sana,taking la kistaarabu,sio kubwa la aibu,lakini sio dogo pia,liko wastani.
Miguu ndo usiseme,imejaza vema kabisa.
Kiuno chembamba utadhani hua Hali.
Nilimkagua vizuri tu,sikuona kasoro hata moja.Dushe ilisimama kwa nguvu Sana.
Nikaona kwa vile alishaniruhusu nitanye nae mapenzi na mda wangu wa kuondoka umeshapita,nimechelewa,itaninibidi niondoke tu,lakini siwezi kumwacha hivi hivi,lazima tuagane.
Kumuamsha niliona huruma,kwani huwa sipendi kumkatishia mtu usingizi wake.
Nilipata wazo,niloamua ngoja nikaoge kwanza akiamka ntaomba mechi ya marudio.
Niliamkw nkaenda bafuni hivyohivyo bila kuvaa bukta.
Nilisafisha kinywa,nilijisafisha,Kisha nikaoga.Nilioga dushe likiwa bado limesimama.
Nilipotoka kuoga nikamkuta amegeuka akinitazama,kumbe pilikapilika za kuoga zilimwamsha,akatabasamu kunioma vile,nimetoka kuoga na dushe limesimama imara.
Nae akasimama akanikumbatia,akanibusu,kisaha nae akaingia bafuni kujiweka Safi.
Alipotoka bafuni akanikuta niekaa kitandani ili nimwambie mpango wangu wa safari.
Akiwa bado amesimama anajifuta maji na taulo,nikamfuata nikamkumbatia nikaanza kumbusu Kila sehemu huku nikimnong'oneza,"Dada naomba tufanye Cha kuagana,nimetoka kukupenda Sana,ntakukumbuka sana,Mwanamke mzuri sana wewe",
Akaniambia,"unataka kuondoka,
? aah usiondoke bwana,baki Kwanza na Mimi walau Hadi jumatatu asubuhi,nikiwa naenda kazini na wewe ndo uondoke,nakuhitaji Sana,nakuomba tafadhari usiondoke leo",alisisitiza.
Kabla sijajibu akaongeza,"kwani ni lazima na muhimu ufike huko leo?Kama sio muhimu kufika Leo naomba nibaki na wewe Hadi jumatatu asubuhi,sawa?
Nilifiurahi Sana kusikia kuwa anataka nibaki has jumatatu,nilijua ntakua nae jumamosi na jumapili.
Haraka haraka nikajibu,"aah naenda likizo ya kawaida tu,tena naenda kimsalimia Babu yangu,amabe ni rafiki yangu mkibwa.
Tuliongea yote hayo huku tukiwa tunashikana shikakana,nilifiurahi Sana kuminyaminya makalio yake laini,nilimbusu Kila sehemu,alianza kunishika mpini wangu Mambo yakazidi kunoga,tukapelekana kitandani,tukaendelea na vurugu ya kutiana nyege,aisee Safari hii na yeye alijitahidi,maana nae alianza kunishika sehemu muhimu zote,tuliendelea kushindana kunyegetushana,wore tukawa Moto kwelikweli,mchezo huu ulikua mkali kishinda wa usiku,hakuna sehemu sikumshika,nilikuala mate yake Sana,militia ulimi masikioni na puani,nilimlamba makalioni na mgongoni,wlipagawa kwelikweli,kwa sababu ilikua asubuhi,nilimuona vizuri maungo na yake na umbo lot,niliyaona vizuri matako na matiti,niliyaona vizuri mapaja na kiuno chake,niliyaona macho yake yalivyolegea.Hakika nilishindwa kuvumilia,hata yeye alishindwa kuvumilia,tulishindwa.
Nilimwomba apige magoti happy kitandani,nikamweka vizuri,nikamuomba ainame,alaze kichwa chake kwenye mto au kwenye godoro,awe Kama anasikiliza kitu kwenye mto au godoro,akafanya hivyo huku akiwa amepiga magoti,mtindo uliotokea akawa amebinuka huku nyuma,makalio you yalikua juu,huu mtindo wengine huuita chuma mboga,wengine huuita mbuzi kagoma.
Baada ya kumweka vizuri nikabusu makalio yake,nikamshika na kumpapasa kidogo makalioni,nikapitisha kidogo mkono kwenye papuchi,nikawa nsugua kidogo kwa kidole,akaanza kulalamika Tena Kama usikuu,huku akihema harakaharaka,akaanza kuniomba Tena niingize.
Nilipoona amekwisha lowana vya kutosha nikamsogelea mimi nikiwa nimepiga magoti,dushe imesimama thabiti,nikaanza kumsuguasugua kwa dushe kwenye papuchi yake kuanzia chini napandisha juu,nilifanya hivyo mara nyingi,nikaona anaongeza makele Hadi nje wakawa wanasikia.
Nikaona Sasa ni muafaka kuingiza,nikaingiza taratibu,hatua kwa hatua,ilipofika nusu nikaitoa nusu halafu nikawa nafanya juujuu tu bila kuingiza yote,alilalamika Sana akiniomba niingize yote,alilia,aliteseka,alinibembeleza hatimae nikaingiza yote kabisa,nikaanza kuizungusha kwa ndani alifurahia Sana utundu wangu,alinipa kila Aina ya sita,aliniitaajina yote ya kunisifia aliyoyajua,hatimae nikaacha kuizungusha kwa ndani,Sasa nikaanza kumfanya kwa kuingiza na kutoa.
Niliendelea hivyo Mara nyingi kadri nilivyoweza Hadi niksikia akipiga makelele akiashiria kufika kileleni,nami niliongeza kumsugua Hadi Mami nikasikia kumalizana.Hatimae tukawa tumaliza pamoja.
Akanyoosha miguu huku dushe bado imo,nami nikafanya Kama yeye ikatokea nikawa nimemlalia mgongoni,nikamkumbatia,tukapitiwa na usingizi mfupi Tena.Tukaamka saa tano kasoro robo.
Akanibusu,akaniahukuru,akanisifia kwa kumpa Raha amabayo kwa kauli yake anasama,hakuwahi kupewa Raha namna hii kitandani.
Anasema hakujua kuwa kumbe kufanya mapenzi ni moja ya starehe kubwa sana,hakujua kuwa kumbe wanaume wanatofautiana kustarehesha.
Akaniuliza," unaitwa Nani?"
"Stain Antonio"
"Unafanya kazi gani?"
"Benki"
"Kama Nani?",
"Mkaguzi wa ndani"
"Benki gani?",
"DB Bank"
"Dar ipi unatokea?",
"Mbezi temboni"
"Una rafiki wa kike?",
"Ndio"
"Yuko wapi?",
"Chuo"
"unampango wa kumuoa"?,
"hatujawahi kuzungumzia kuoana",
"Unampenda?"
"Ndio",
Aliishia hapo hakuuliza Tena.Nami nikapata fursa ya kumuuliza Kama yeye alivyoniuliza.
Alianza kwa kuniambia yeye amaitwa Kalunde Edom Mihayo
Anafanyia kazi Kampuni ya Kigeni ya EU inayo shirikiana naTanzania, ambapo EU inamiliki asilimia 51 na Tanzania asilimia 49.
Yeye Ni Mkurugenzi Mkuu.
Anaishi nyumba aliyopangishiwa na Kampuni,iliyoko maeneo ya Goba.
Ana rafiki wa kiume ambae hawajakutana kimwili kwa miaka miwili na miezi mitatu,

Hampendi huyo Mkaka.
Hana mpango wa kuendelea nae Wala kuoana.
Wala hana mpango wa kuolewa naye.
Nilistaajabua kusikia hampendi,nikamuuliza kwa Nini Kama ni mpenzi wako halafu hampendi,akaniambia ni hadithi ndefu iko siku tukibahatika kukutana Tena atanisimulia sababu za kutompenda.
Tulikua kimya kidogo huku tukibusiana na kusifiana kwa Mambo tuliyofanyoana.
Kisha akaniomba nitoke mgongoni kwake,akakaa kitandani kwa kukuja miguu kwa kuipishanisha Kama wafanyavyo watoto wakikaa kwenye mikaka kwa ajili ya kula ubwabwa au wali.
Akaniita,
"Stain"
"Naam"
"Unanipenda?"
Nikajibu,"da aisee!nawezaje kutokukupenda mwanamke mzuri namna hii?",
Akajibu,"tumefahamiana Jana tu?",
Niakamuuliza,"wewe hujanipenda kwani?"
Akajibu,"nimeshakupenda tayari",
Tukacheka kwa pamoja,"hahahahaa"
Akaniambia"kusema kweli maneno yako ya Jana ndani ya Basi wakati nateseka na usingizi yalinifikirisha Sana ni vile wewe tu hukujua,maneno uliyosema ni Kama ulinitongoza tu,yalinichoma,nikawa natafuta namna ya kukujibu,ingawa sikujua Kama tutafikishana hapa.Najua hukunitaka kimapenzi lakini ulivyosema kwamba uko tayari hata nikulalie,ukasema,na wewe hiyo ndio furaha yako ya kulaliwa na msichana mzuri wa kiwango changu,kuwa wewe bahati yako huenda ndio imeishia hapo you kulaliwa na Mrembo Mimi,kwamba kwa wewe kulaliwa na Mimi kwako wewe ni kumbusubusu tosha! Kwa kweli maneno hayo yalikua ni utongozaji wa Aina yake,niliumia Sana lakini sikua na neno la kumuambia,ila niliona ni Bora tukanunue chakula pamoja nami niwe nimeweka kumbukumbu ya kutambua heshima uliyonipa,alifafanua Kalunde.
Akanitazama Kisha Tukacheka Tena pamoja,"ahahahahaaa".
Akaniambia tuamke twende tukaoge halafu tukanywe chai.
Tukaamka tukaingia bafuni Kama tulivyokua kitandani,tukaanza kuoga,akaanza kuniogesha,Kisha ikaja zamu yangu kumuogesha.
Nilipata sabuni nikaanza kumsafiaha,nilisafisha kila sehemu ya nje ya mwili wake,nilisafisha mgongo,makwpani ambapo alianza kuchekacheka kwa mrekenyo,nilisafisha mbavuni,mapajani,matako,katikati ya mapaja,tumboni,mabegani,kila sehemu.Wakati niendelea kumsafiaha mwili wake ulikua unateleza vizuri Kama samaki kambale,sio Siri wakati huo dushe iko juu,juu,juu zaidi.Wala sikupata shida kujua kua alishalegea saa nyingi.
Bao la tatu tulilipigia hukohuko bafuni,Safari hii tulitiana tukiwa hukohuko bafuni,Safari hii mechi ilikua ya kusimama na kuinamishana tu,hakuna kulala.tulimaliza kuoga na mambo mengineyo tulitoka bafuni Tunacheka kwa furaha.
Tulivaa nguo,Kisha tukatoka chumbani kuelekea mgahawani kunyawa chai.
Wakati huo ilikua yapata saa tano na nusu asubuhi.

Itaendelea..

Sehemu ya kumi
Baada ya kumalizana kupata kifungua kinywa tukakubaliana twende kutembea kidogo.
Tukatoka nje ya hoteli,tukaingia mitaani,tukatembelea duka kubwa (super market) kubwa ya hapa mjini Mwanza.
Takanunua vitu kadhaa tulivyokua tunavihitaji.
Tulikwenda solo la samaki kutazama biashara ya samaki,tulikwenda mwaloni.
Tukaambizana twende tukaangalie wanyama katika kisiwa Cha Sanane,tukaona tutakua mizunguko mingi sana tukasitisha tamanio Hilo.
Mda wote huu tulikua tunafurahiana sana,tulitembea sambamba,Mara nyingine tukitaniana,Mara nyingine tulifanya Kama kununiana pale tulipotofautiana Jambo dogo tu.
Tuliombana samahani kiutaniutani.
Kila tulipopita watu wore waliotuona walitutazama,lakini aliyekua mlengwa wa kutazama ni Mrembo Kalunde,Kalunde alikua kivutio kwa kila aliemuona.
Nilimtania,"Kalunde",
"Abee"
"Unajua watu wanakuangalia Sana wewe,?je hawawezi kukuiba?"
"Aah unajua Mimi ndio naogopa zaidi,kwa jinsi mwanume wewe ulivyoniruhusu mzuri sijui Kama wanawake wa Mwanza hawatakuiba",
Tukacheka huku tulitembea.
Tulitembea sehemu mbalimbali tulizojaaliwa kufika,tukakubaliana Kama tukichoka kutembea tuchukue taxi.
Tukajipa Moyo kuwa sio lazima tupande taxi kwani kutembea ni kufanya mazoezi kwani sisi bado ni vijana.
Baada ya mizunguko mingi tukarudi Hotelini,na tayari I mida ilikuwa imeshakwenda.
Tulipofika hotelini hatukuenda chumbani moja kwa moja,tulivikabidhi mapokeI vitu tulivyo vinunua sisi tukaenda kukaa upande wa bar ndani ya hoteli hii.
Safari hii kila tulichotaka kununua tulishindana kulipa,nilimlazimisha nilipie kila kitu,lakini alikataa akaniambia kua Mimi bado Nina Safari ya kwenda kwa Babu.
Tulikua bar,kulikuabkuna watu wachache Sana wahindi,wazungu,waswahili na waarabu.
Wengine walikua wakitazama Luningabhuku wakinywa vinwaji, wengine wakinywa vinywaji mbalimbali huku wakiongea Mambo yao.
Tulichagua meza tukakaa,tukaagiza vinywaji tuvipendavyo,Mimi niliagiza bia yeye akaagiza sharubati.tukaanza kunywa,tukiongea,kucheka na kufurahi.
Tuliagiza nyama choma ya mbuzi na ndizi za kuchoma,tukala,tukanywa na kuongea.
Kalunde akaniambia,
"Stain"
"Naam"
"Uko mzuri"
Nikamjibu,
"Kalunde"
"Abee"
"Uko mzuri"
Akasema
"Asanteeee"
Akaniuliza,
"Mbona wewe hujaniambia asantee?"
Nikamjibu,
"Asantee?"
Tukacheka.
Itaendelea..
Sehemu ya kumi na moja.
Dah....ndefu si nikajua ni nuclear physics
 
Kama hajatingwa na kazi labda anahitaji abustiwe kidogo. Hizi story wakati Wa kuzisoma ni tamu ila ukishamalizaga tu unaona kama uchafu hauna mana yoyote ni sawa tu ukimaliza kugegeda unajiona kama fala na hakuna cha mana ulichoongeza kwenye mwili wako.
 
Sehemu ya Kwanza



Nikiwa tayari nimekaa kwenye
kiti changu ndani ya Basi,nasubiri muda ufike tuanze Safari kuelekea jijini Mwanza,tukitokea jiji la Dar es salaam.
Natazama nje ya Basi naona abiria wakielekea maeneo tofauti tofauti hapa kituoni Ubungo kupanda mabasi m alimbali yanayoelekea nje ya mkoa huu.
Namuona msichana mmoja mzuri akipanda Basi nililopanda,akiongozana na Dada mmoja wa makamu hivi,natamani Sana yule Dada mzuri aliyeongozana na huyo Dada wa makamu aje kukaa nami,lakini bahati sio yangu anakaa kiticha tatu nyuma ya dereva,yaani baada ya dereva unahesabu viti vitatu nyuma inyake,hapo wanakaa na yule Dada,hapa bila kuhoji unafahamu tu kuwa Hawa ni ndugu ama wako pamoja.
Nakata tamaa,kwani hamu yangu ya kusafiri na msichana MREMBO inayeyeuka utadhani nilikubaliana muuza tiketi kua huyo MREMBO aje akae nami,kumbe ni tamaa zangu tu za kutaka kuifanya Safari ndefu inoge na iwe fupi.
Hata hivyo sikukata tamaa,nikapata wazo la kutafuta njia ya kumshauri ili aje akae pamoja nami,yaani ahamie kwangu.Ntaanzaje?,sijui.
Nikaanza kupata majibu mepesimepesi kwa swali gumu,kua akija mtu kukaa hapa nitamshauri wabadilishane nae,nitamweleza kua huyu ninaetaka aje kukaa nami ni mfanyakazi mwemzangu tuna Safari moja,isipokua tulikata tiketi kwa nyakati tofauti.Hii imekaa vizuri nilijisemea.
Sasa ntaanzaje kumshawishi yule MREMBO,hiyo ikawa changamoto nyingine,hatahivyo nikaanza mchakato wa kutafuta namba yake.
Nitaipataje namba yake,hiyo nayo ikawa changamoto nyingine.

Itaendelea....

Sehemu ya pili

Tafakari Kali zikaanza kinijia ni jinsi gani naweza pata namba ya simu ya huyu Bidada Kisha nikaanza kazi ya kumshawishi ahamie kwangu,Basi wakati nikiendela kuumiza kichwa mawazo yakaanza kuhama kidogokidogo huku nikiendelea kutazama nje, wasafiri wakihaha kutafuta mabasi yanayowahusu.
Nikiwa katika mtanziko wa mawazo yasiyo na nguvu kuhusu tamaa ya kuwa na yule binti ili kuepuka kukaa na mtu ambae atanifanya niione Safari kuwa ndefu na inayochosha ghafla natazama nje na kumuona Dada mmoja mzuri balaa,anaonekana mtulivu Fulani,sio mrefu sio mfupi,sio mweupe Wala sio mweusi sio mnene.ana wembamba wa wastani lakini Ana umbo zuri sana.
Huyu Dada akiwa nje ya Basi nilopanda amesimama na Kaka mmoja mtu mzima.wanaongea kwa mda mfupi Kisha anasogea kwenye Basi na kuanza kupanda,namuona kua huyu dada anaonekana ni mkubwa kidogo kuliko yule MREMBO aliye nipagawisha,anaanza kutafuta nafasi ya kukaa kwa kutazama namba ya kiti kwenye tiketi yake,wakati akiyafanya haya naanza kuuona uzuri wake usio na kifani,uzuri wake wa kimataifa,uzuri ambao anastahili kabisa kushiriki mashindano ya urembo was dunia na kuibuka katika nafasi tano bora,nami naendelea kumfuatilia hatua kwa hatua Kila anachokifanya bila yeye kujua Wala mtu mwingine yeyote yule kutambua kua namtathmini.
Amini usiamini Dada huyu anakuja kukaa kwangu,kitendo hicho kinanikera Sana kwa sababu anazima kabisa Nia yangu ya kutaka kumhamishia yule dogo mahala hapa,anaifanya kazi yangu kuonekana kuwa haiwezekani Tena.
Naanza kufikiria upya ntafanyaje,huyu dada aliekuja kukaa pamoja nami,ni mzuri Sana kumshinda yule dogo,lakini anaonekana Kama MKE wa mtu,anaonekana ni mkubwa kidogo kiumri kuliko yule dogo,anaonekana ni matawi ya juu Sana kwangu,anaonekana ni mjivuni Fulani hivi,sio mtu wa kuongeaongea,Wala sio mchangamfu, kwa kifupi sio mtu wa hadhi yangu,sio saizi yangu,simuwezi hata.
Ananisalimia Kisha anakaa anaweka kimkoba chake juu na mkoba mdogo anakaa nao,anatoa simu yake anaandikaandika kidogo Kisha anatulia na kutazama mbele akisubiri gari ianze Safari.
Napata hasira kidogo Kisha natoa simu yangu pana Sana Kisha nafungulia mtandao wa kijamii unaopendwa Sana hapa Afrika mashariki na Kati mtandao uitwao Jamii Forums,naanza kusoma vitu.
Simfatilii Tena Dada huyu akili yangu naielekeza sehemu mbili tu, Jamii Forums na kwa yule Dogo MREMBO aliyeivuruga akili yangu,kwani namuona huyokua ni was hadhi na saizi yangu.
Huyu mdada niliyekaa nae alionekana ni mtulivu utadhani anatazama filamu ya majonzi.
Tayari Safari ilikwisha Anza tumekwisha safiri umbali mrefu tu,hatimae tukawa tumefika mkoa wa Morogoro, na watu wakapewa dakika chache kuchimba dawa ndani ya stendi.
Watu walianza kushuka.
kwa mbali nilimwona yule dogo akishuka,huyu mdada niliyekaa nae Wala hakua na mpango wa kushuka,huku nikiwa namtazama yule dogo hatua kwa hatua akishuka nami nikaamua kushuka ili nijaribu tu, walau kuomba namba.
Basi bwana nikaenda nje ya mlango wa choo cha stendi nikaanza kumsubiri akitoka nimuombe. Akatoka,nikajitambulisha na kujieleza,natokea wapi,naenda wapi,gari nililopanda,nimeanza kumuona tangu wapi.
Dogo akanielewa,nikaomba namba,dogo akasita kidogo,Kisha akanitajia nikawa naandika,kumbuka abiria ni wengi na Kila mtu Ana Mambo yake,Wala hakuna aliyekua anatufatialia,sio walobaki kwenye Basi Wala walio nje.
Kwa kupewa namba nikawa nimepiga hatua muhimu Sana.

Itaendelea....

Sehemu ya tatu

Tayari Basi imekwisha ondoka Morogoro,nikiwa na furaha kidogo ya kupata namba yasichana yule niliyetamani kukaa nae kiti kimoja ili tuweze kuwa tunaongea,ili pia niwe nachombeza mawili matatu,lakini huku nikijua ugumu wa mpango mzima wa kuanza tu kumvamia mtu amabae hujui anatokea wapi na anakwenda wapi kuanza kumomba ahame mahala pake aje akae na wewe hiyo itakua sio akili ya kawaida,lakini hapa chini ya mbingu hakuna lisilowezekana kwani Kuna watu hujaribu kutanya kill kisichowezekana kwa wengine lakini kill ambacho my ataona kinamfaa,hatimae watu huja na uvumbuzi ama ugunduzi wa kipekee.Kujaribu katika Kila Jambo ndo njia yaafanikio.
Wakati mda ukienda tartibu hatimae nikaanza jaribu kuanza kuwasiliana na yule msichana niliyechukua namba yake,nilianza kuwasiliana na kwa njia ya meseji,nilianza kwa kumuuliza jina,
"Mambo,naitwa Stain,wewe unaitwa Nani"?
Akajibu,"unashida gani Kwanza"?
Nikajibu,"samahani naelekea Mwanza,wewe unaelekea Mwanza pia"?
Akajibu,"ndio ulikua una shid gani Sasa"?
Nikajibu,"nilikua napenda tufahamiane",
"Halafu tukishafahamiana,"
Nikashindwa kujua nimjibu Nini kwa haraka ikabidi,nitafakari haraka kidogo.
Nikaanza kutafuta hoja,
Nikamuuliza kiuchokozi
"Mbona mkali Sasa?"
Akajibu,"ukali wangu uko wapi?"
Kabla sijajibu akatuma ujumbe mwingine.
"uliomba namba,nimekupa,nikitegemea una kitu cha maana unataka kuuliza lakini matokeo yake,huulizi,husemi,Sasa Mimi nakuuliza shida yako unaniambia Mimi mkali,ulitaka niganueje labda?"
Lo! Nikapoteza mwelekeo,lakini nikawa neshajua kua huyu MREMBO niende na kwa umakini na tartibu.
Wakati tukiendelea kuwasiliana na huku nikitafuta hoja,huru Dada mkubwa nilie kaa nae hapa akawa anapitiwa na usingizi,akawa anapatwa na usingizi,akawa mara nyingine Kama akisinzia anataka Kama kuangukia mkono wa kulia halafu anashituka,anajiweka sawa na Safari inaendelea.Mimi nimekaa mkono wake wa kushoto,nimekaa upande wa dirishani.Wakati Safari ikiwa inaendelea mara nyingine usingizi ukiwa umempitia akawa anasinzia kuelekea kwangu,akishituka anajiweka sawa,aliendelea Sana kuteswa na usingizi,ilitokea akawa akisinzia akawa akimilalia upande wa bega langu la kulia,akishituka anaamka ghafla,ilitokea hivyo mara Kama tatu hivi akiniegemea akiwa na usingizi,Mimi sikujali Sana nilimhurumia tu,sikumwambia Wala sikutaka kumzuia asinilalie,Wala kumtoa,ukizingatia mtu mwenyewe ni dada halafu mzuri,angekua mwanaume ndio ananiegemea vile nakuhakikishia ningemuambia alale vizuri,kwani kwangu Mimi kuegemewa na mwanaume mwenzangu ni kinyaa na naona Kama mikosi tu.
Wakati hayo yakiendelea nami huku nikawa nimepata hoja,nikamwandikia yule mrembo ujumbe kwa kumtega kuwa "shida yangu ni kutaka kujua Kama unafika Mwanza na Mimi nafika Mwanza pia,nitafurahi Sana Kama tukifika, kesho tuonane,ili tufahamiane zaidi",
lakini pale mwanzo nilitamani Sana uhamie hapa nilipokaa ili tuwe tunazungumza,ni kiasi tu cha kuwaomba Hawa tuliokaa nao tubadilishane,hili ndio lilikua lengo lagu,samahani lakini Kama nimekukwaza".
Ukaingia ujumbe,"ha ha ha wewe,haiwezekani,hivyo unavyotaka haiwezekani",
Nikabaini Kama kawa mpole kidogo kwa ujumbe wake huo,nikaanza kuona kwa mwanga kwa mbali.
"Haiwezekani kivipi?" Nikamuuliza,
Akajibu,huyo uliekaa nae ni Nani kwani?"
"Ni abiria tu Kama Mimi",
"Sasa so uongee na huyo?" Alisema
Nikajibu,"huyu Ana roho mbaya",
Kwa jibu Hilo nilimuona kwa mbali akilipuka kwa kucheka Hadi kwa aibu akainama kujificha uso,kwani alitoa sauti peke yake ndani ya Basi.
Baada ya mda ujumbe ukaja,"Ana rohombaya au unamuogopa?"
Nikajibu,"AA wapi"
Akajibu,since uongee na huyo,kwa Nini mimi tu,wakati una jirani abiria mwenzio Tena Yuko vizuri tu?"
Nikajibu,"huyu anaonekana Ana hasira Sana ya maisha,Wala hatuwezi kuelewana,ila tu ninachoweza ni kumuomba aje happy naweza uje hapa,au huyo wako aje hapa nami Nike hapo".
Akajibu,"ha ha haa", haiwezekani kwa sababu Kwanza huyu nilienae ni dada yangu,na tayari amenionya kwa jinsi nilivyocheka peke yangu".
Nikamuuliza,"je tutaweza kuona a kesho?"
Akajibu,"kwa sababu namba ninayo,nitakupigia Kama nitapata nafasi,Nike nisikie unataka nikusaidie Nini".
Tukaendelea kuwasiliana kwa njia ya ujumbe wa simu.
Safari iliendelea,watu wengi walikua kimya,wengine wakilala,wengine wakitazama filamu,wengine wakisoma Mambo kwenye simu zao,Kila mtu alifanya Jambo lake.
Huyu Dada mzuri Sana kuliko Dada yeyote ndani ya Basi hili ambae nilipata bahati ya kukaa nae ambae Sina faida nae kwa sababu ya utulivu wake,ujivuni wake,Hali yake ya uzuri uliopitiliza na muonekano wake wa kuwa ni dada mwenye maisha ya Hali ya juu Sana kwa Mimi kuweza kuongea nae ilinifanya nisiwe na wakati nae,sikutaka kumsemesha Wala yeye pia hakutaka kunisemesha.
Hata hivyo siwezi kumlaumu kwa chochote,Bali ni Mimi mwenyewe tu mimejiongeza nikaona huyu ahatuendani,Yuko juu yangu Sana mara elfu,ntaishia kupoteza muda wangu to kuongea na mtu ambae najua Sina faida nae,au sintapata chchote,sio wa hadhi yangu,bora niwasiliane na yule msichana Alie mbali lakini naweza nikapata chochote,tutaweza tukaelewana,isitoshe hata na yeye ni mzuri,Tena kwa viwango vua kwangu.
Hata hivyo pamoja na kutojishughulisha na huyu niliyekaa nae lakini ukweli utabaki palepale kuwa huyu ni mdada mzuri kwelikweli,ni Moto wa kuotea mbali,ni maji marefu.Sifa zote za uzuri alikua nazo.
Safari iliendelea,ukimya ulitawala,nikiendelea kuwasiliana na dogo yule kwa Mambo ya kawaida tu.
Pamoja na yote hayo akili yangu ikaanza kumtathmini huyu Dada niliyekaa nae,alikua anateswa Sana na usingizi,aliendelea kuniegeme begani pale usingiIzi ulipomkolea,alikua hapendi happy hiyo,lakini unajua usingizi hauna heshima,alipokua akinilalia aliposhituka akawa anaamka na kuniomba samahani,nami nikimwambia,asjali ni Mambo ya Safari tu hayo,kwani mtu yeyote amaweza kupatwa na Hali hiyo.nilimweleza mara moja tu,nilaendelea kusoma Mambo ya Jamii Forums,baada ya kupumzika kutuma ujumbe.

Itaendelea...

Sehemu ya nne
Usingizi ulikua mzito Sana kwa jirani yangu,akawa amejiachia kabisa begani pangu,Hali hiyo ilinitoa kwenye Mambo yote niliyokua nayafanya,niliacha kutuma ujumbe Wala kusoma Mambo ya JF,nikiendelea kishika kifaa change ninachotumiaa kusoma,nikaanza kumtaza huyu Dada kwa kuibia,nilanza kumtaza a kwa kumkagua kill jicho langu lilipoweza kufika akiwa ameniegemea,niliangalia mapajani,matiti,vidole vya mikononi,nilinusa harufu yake,alikua ananukia vizuri Sana,nilianza kubadilika kihisia,ulijali ukaanza kinijia taratibu,mtu mwingine yeyote angekuja pale angeweza kugundua Hali ya ulijali ulionijia hata yet mwenyewe angeamka ghafla angekuata Hali hiyo,lakini nilijitahidi kufunika na kifaa nilichokua natumia kusoma.
Nilianza kuhisi Raha ya kuegemewa na huyu msichana mzuri zaidi ndani na nje ya Basi.Niliipenda Hali hiyo,nilitamani ingekua usiku ningeanza kumtomasatomasa,lakini baadae nikaogopa Sana kuwa pengine angeniabisha.Nilijituliza ili aendelee kunilalia.
Tulifika sehemu ambapo barabara haikuwa vizuri kidogo,ilikua ikirukaruka,Dada akaamka,akajikuta ameniangushia kabisa kichwa chake begani kwangu Kama vile ni Hali yake,au Mimi ni mtu wake ambae anastahili kuniegeme kiasi kill,hi kwake ilikua ni mbaya kiliko zote,alijiweka vizuri,Kisha akasema,"samahani Sana Kaka yangu,ninakusumbua Sana,nina usingizi mzito."
Baada ya kusema hayo nikajibu kihuni sana Tena kwa kujiamini kwa sauti ambayo aliweza kusikia yeye na Mimi tu huku watu wengine wasiweze kusikia kwa kwa sababu ya makelele ya filamu na muungurumo wa Basi.
Nilimjibu kiungwana lakini kihuni,"aisee Dada yangu usijali kabisa,wewe endelea kuniegeme tu,ni Nani asiejua adha ya usingizi?hata hivyo Mimi Sina tatizo kwa wewe kunilalia,natamani hata ungenilalia mapajani kabisa,ni mwanume gani atakataa kuegemewa na Dada mzuri Kama wewe?,kwangu Mimi dada kuegemewa na wewe ni faida zaidi kuliko hasara,ningeweza wapi maishani kupata bahati Kama hii ya kuegemewa na mwanamke mzuri wa kiwango chako? uwe na amani Dada yangu, wewe nilalie tu bwana,Mimi nimeridhia,na mini nimeweka rekodi amabyo sitaweza kuivunja ya kulaliwa na mrembo wa kiwango chako, sisi wengine pengine ndio bahati yetu ya kuwa na wanawake wazuri imeishia hapo".
Wakati nikisema hayo,huyu msichana akiwa amekaa aligeuka mzima,akanikazia macho,akanitazama moja kwa moja,nilyaona macho yake mazuri,niliiona midomo yake mizuri,niliona akiwa Ana nywele fupi nimekaa kwa mtindo wa kuvurugika kidogo,akiwa amekaa vihereni vizuri shingo yake ya wastani lakini imekaa vizuri,Kisha akuguna tu kwa kwa sauti ya chini niliyoisikia Mimi tu kwa kufanya,"mhuu!!"
Baada ya kuguna akaendelea kutazama mbele bila kusema kitu chichote,Mimi nikaongeza,"Dada yangu niliyokuambia ninamaanisha,sisi wore ni wasafiri na msafiri kafiri,hiyo Hali uliyonayo naweza kuwa nayo hata Mimi,au mtu yeyoye,aliendelea kunisikiliza bila kujibu kitu,nikiendelea kwa kusema," wewe endelea kulala na ili ulale vizuri naomba uje ukae upande huu wa dirishani ili ukipatwa na usingizi usiweze kuanguka kwa sababu kushoto Kuna ukuta wa Basi na kulia nitakuzuia Mimi".
Akajibu tu mara moja,"Asante".
Alivyosema tu Asante,Mimi Wala sikuchekelewa nikashika vifaa vyangu nikasimama kumpisha,akaguna Tena Safari hii "mhuu" huku akitoa kitabasamu kidooogo.
Nilipoinuka kumpisha akaona hamna namna akasoge na kuketi upande wa dirikani,hivyo kwa upande wake wa kulia nikawa namkinga Mimi.Hakuongea chochote Tena,akaendelea kutazama mbele.Nami nikaendelae na Mambo yangu.
Pamoja na haiba nzuri ya huyu mdada niliekua nimekaa nae hapa,bado Wala sikua na mawazo nae kabisa,nikiendelea kumchokoza yule msichana aliekaa mbali nami,ingawa hakua akitoa ushirikiano vizuri,katkia mawasiliano yet aliniambia kua yeye ni mwajiliwa wa kampuni moja ya simu afisa mauzo,anakwenda Mwanza likizo,kabila lake ni kutoka Ukererewe Yuko na Dada yake,lakini makazi ya wazazi wake ni Buhangija Mwanza,kazi anafanyia Dar na anaishi na Dada yake huyo ambae ni Mwalimu wa Sekondari.
Aliendelea kunielezea no kuwa Kama nitakua na hoja za maana ataweza kunisikiliza ama kunisaidia,zaidi ya hapo utanisamehe,alinieleza kwa kujiamini.Hata hivyo nikaanza kujipa moyo Kama atakua anafanyia kazi Dar iko siku tutakutana tu midam amenipa namba yake ya simu,nikijiambia nisipompata Mwanza nitampata Dar,nilijisemea hivyo kwa kujipa moyo,nikiendelea kijipa moyo Tena kwa kusema,aah hata hivyo Mimi nilikua nataka tu msichana wa kukaa nae kwenye Basi ili kunogesha Safari,kuchombeza na ikiwezekana kutengeneza mahusiano,nikiendelea kujifariji kwa mtindo wa sizitaki mbichi hizi ikiwa nitakutana na pingamizi,nilianza kuhisi pengine,ni mchumba was mtu,au mpenzi wa mtu na ana malengo nae,nilianza kuwaza pengine ni MKE wa mtu ambae Hana mda mrefu ndani ya ndoa,nilijiuliza maswali mengi na kujijibu,yote hi ikiwa ni kuanza kukata tamaa na kujiandaa kisaikolojia.
Hata hivyo nikiendelea kujipa moyo Tena kuwa ninae mpenzi wangu ambae Yuko Chuo mwaka was tatu,akimaliza akirudi tukaendelea na mahusiano,niliendelea kukumbuka na kuwaza.

Itaendelea...

Sehemu ya tano

Pembeni yangu huyu mrembo aliendelea kujisinzilia tu kimagumashi.
Alishituka na kuanza kuangazaangaza baada ya kusikia kelele za abiria wakijiaandaa kushuka kwa akili ya kwenda kupata chakula,Basi lilikua limesha kata Kona kuelekea mahali ambapo abiria hupelekwa kwa ajili ya kujipatia chakula.
Nami Kama sehemu ya abiria niliinuka nikapanga foleni ya kushuka,nikaanza kutembea kidogokidogo kwa kufuatisha mwendo wa abiria waliokua wakishuka taratibu.
Wakati nikiendelea na msafara nilimuona yule dogo akiwa tayari ameshafika eneo la chakula na huduma nyinginezo akiwa ameongozana na Dada yake.
Niliposhuka chini nilitaka kuzunguka nyuma ya Basi ili Kwanza niende haja ndogo,nilisikia sauti ikitokea dirisha la gari upande ule nilikua nimekaa ikisema "Kaka naomba unisubiri",
Nilifatilia Kama ombi Hilo linanihusu Mimi,nilitazama sauti ilipotokea,nikamuona mtu aliekua akisema, na hapo ndipo nikatambua kua aliyekua akiombwa kisubiri so mwingine,Bali ni Mimi mwenyewe,na aliekia akiomba nimsubiri ni yule Mrembo niliekua nimekaa nae,mrembo wa Hali ya juu mwenye viwango vya kuwa mrembo wa dunia.
Nilisibiri huku nikiwa najiuliza ni kitu gani kimemfanya aniombe nimsubiri,niliwaza kidogo,lean sababu Dada huyu sikuwahi kuongea nae kitu chochote cha maana zaidi ya kuonesha kumhurumia wakati alipokua akiteseka na usingizi.
Nilifikiri pengine nimedondosha kitu au pengine nimeacha ama nimesahau kitu,hivyo anataka aniletee.
Nilisibiri,hatimae akawa amefika,huku nikimtumbulia macho,Kisha akasema,"naomba tuongozane Kama unakwenda kula",
Nilishusha pumzi kidogo Kisha nikajibu huku nikiwa na hofu Fulani,kwani sikutegemea hoja hiyo,nikaanza kuona haya kidogo,nilisema "sawa".
Niliona haya kidogo kuongozana nae kwani Kila tulipopita watu walikua wakimtazama yeye tu.
Hata Mimi pia nilitamani kuanza kumtazama vizuri inagawa Hadi hapo nilikua namtazama kwa kuibiaibia.
Ndugu msomaji,Mungu ni Fundi,mwacheni Mungu aitwe Mungu,huyu msichana alikua ni mzuri Sana lakini Wala hakua amejipamba,nilimwangalia kwa kuibia sehemu yake kwa nyuma,Ana makalio ya kistaarabu,sio makubwa Wala sio madogo,ni makalio ya wastani,alikua amevaa suruali lakini sio jinsi,alikua amependeza Sana,alionekana evaa kiheshima Sana ingawa umbo lake lilitamanisha.
Tulielekea mahali pa kujisitiri Kwanza,tulifika nje ya kijumba kimoja kizuri nje Kuna maandishi yaliyoelekeza kuwa kushoto ni wanaume na kulia ni wanawake,tulipofika hapo akaniomba nimshikie simu na kimkoba chake,nikajiuliza kimoyomoyo kulikoni,lakini nikatii,baada ya muda akatoka na Mimi bila kumueleza chochote nikaelekea upande wa wanaume,baada ya dakika chache nikatoka,lakini kwa mshangao mkubwa nikamkuta akinisubiri tukaondoka kuelekea wanapouza chakula,palikua panauzwa chakula ndani ya hoteli na nje,tulitazama nje tukaona wanauza nyama za kuchoma za ng'ombe,mbuzi kuku,ndizo choma na chipsi.
Nilishangaa Tena aliponishirikisha kwa kuniuliza ,"Kaka wewe uatakula Nini?"
Nilimjibu,"aah Mimi napenda nyama ya mbuzi na ndizi",
Nilimjibu huku nikiwahi kuomba mchoma nyama aniandalie.
Dada yule aliniambia,"aah Basi hata Mimi ntakula hivyo hivyo".
Kisha harakaharaka akamwamuru mchoma nyama atufungie mafungu mawili ya nyama na ndizi tatutatu,yaani nyama ya mbuzi ya kuchoma fungu moja na ndizi tatu,aweke hivyo mara mbili,alimaanisha fungu moja la kwake na jingine la kwangu,Kisha akalipia mafungu yote mawili yeye mwenyewe.
Wakati akitanya hivyo Mimi nikwahi kwenye vinywaji,nikaomba nipewe maji ya kunywa chupa kubwa mbili na box mbili za juice,wakati nataka kutoa hela mikamsikia akisema hela hii hapa alilipia vinywaji kabla yangu Tena,Hali hii ilinishangazq kidogo,hivyo kumfanya awe amelipia vyakula na vinywaji vyote kwa ajili yangu na yake.
Nilichokifanya ni kuwa mpole tu na kumuambia,"Asante",
Naye akajibu,"Asante kushukuru".
Tukaelekea kwenye Basi kwa ajili ya kujiandaa kuendelea na Safari.
Kumbe wakati hayo yote yakiendelea yule Dada mdogo mrembo akilikua akinifuatilia hatua kwa hatua Kila nilichokua nafanya na huyu Dada mrembo mkubwa,ilikua ni zamu yangu Sasa kuchunguzwa bill Mimi kujijua.
Alikua akinitathmini,akinichunguza na kunikagua huku akiwa mbali,alifanya makusudi kuwahi kushuka na kufanya Mambo yake mapema ili ibaki kazi ya kunifiatilia.

Itaendelea

Sehemu ya sita

Nilikua kufahamu kuwa Dogo ambae nilikua kujua jina lake alikua akiitwa Erica,kumbe alipata wasaa wa kunichunguza wakati tulipokua tukiongozana na Bidada Mkubwa
Nilikua jina lake baada ya kufanya Kama namtumia pesa kwa njia ya simu,baada ya kujaribu kutuma jina lililokuja ni Erica David,baadae nikaja kuthibitisha kwa kumtaja kwenye ujumbe wa simu,alishituka na kutaka kujua nimelijuaje jina lake,nilimweleza nilivyocheka hakua na namna,Bali alikubali,nae akafanya hivyo kujua jina langu na kujua kua naitwa Stain Antonio.
Erica alikuja kunza kunifatilia na kua making na Mimi zaidi mara tu tulipoongozana na huyu Bidada Mrembo,ambae kwa kweli Kila aliyemuona alishangazwa kwa uzuri ule,Hali hiyo ya uzuriiliwavutia wanaume na wanawake,mmoja wa waliovutiwa ni pamoja na Bi Erica,ambae tayari niliomba namba yake na kutaka ahamie kwenye kiti nilichokua ili tuwe tukiongea,ingawa kwa kweli,Nia ni kumtongoza,nilivutiwa nae na kwa vile ni wa hadhi yangu,ni wa hadhi yangu kuliko huyu ninae kaa nae,huyu namuona ni wa hadhi ya juu Sana kwangu,hata tu kumuoa siwezi,naona kuoana na huyu ni kukitafutia shinikizo la damu tu,simuwezi,simmudu,ni wa gharama Sana,atakua yeye kanioa Mimi,hata nikimuoa watu went nguvu za uchumi na mamlaka hawataniachia peke yangu,mbali na hayo Kwanza najua hawezi kunikubali,hivyo nikaona Sina haja ya kupoteza mda wa kumfikiria na kumfatilia.
Wakati nikitafakari yote haya Basi lilikua linaendela na Safari,watu walikua wakiendelea kula vyakula vyao walivyokua wamenunua kule tuliposhuka kwa ajili ya chakula,kwani watu walikua wamefungasha vyakula vyao.
Tulikua tunakula kimya kimya Mimi na huyu Bidada, ni m chache Sana wa maneno dada huyu,sijui ni maringo,dharau au kiburi,neno pekee alilosema baada ya kutoka kununua chakula aliseme hivi,"nyama hii imeiva vizuri",baada ya kua ameishakula finyango kadhaa,Mimi hapo sikujibu kitu.
Mimi ni muongeaji Sana,lakini kwa huju jirani yangu nimekwama,huyu haongei kabisa na hayuko tayari kuongea,aliponishirikisha twende pamoja kwenye chakula nikajua tukitoka huko ni mazungumzo kwa kwenda mbele,lakini sivyo.
Maswali mengi yakaja kichwani,kwa Nini aliniomba twende pamoja kutafuta chakula? Na kwa Nini baada ya kurudi haoneshi kutaka mazungumzo na mimi? Ni Mimi ndio simsemeshi? Namuogopa? Nina hofu? Sijiamini? Kama ni hayo mbona Erica nimemsemesha na angalau anaweza hata kujibu ujumbe wangu? Mbona aliweza kunipa namba yake ya simu?
Kwa maswali hayo machache nikahitimisha tu kua namuogopa,kwa Nini namuogopa? Mwonekano wake ni Msichana Mzuri kuliko viwango vyangu nilivyovizoea na isitoshe sio mtu wa kutoa mwanya wa kuzoeleka,pia ni wa hadhi ya juu ya uwezo wangu.
Baada ya kuyafikiria hayo nikaamua kuachana nae kimawazo na nikaanza kumuona Kama kikwazo cha mipango yangu ya kufahamiana zaidi na Erica.
Wakati Niko katikati ya tafakari ujumbe ukaingia kwenye simu yangu,"nadhani huhitaji Tena mtu wa kuongea nae,niliwaona mkitoka kununua chakuala"
Nikajibu,"aah huyu mtu niliekaa nae sijui ni bubu!"
Akiniuliza,"una maana gani kusema ni bubu?
Nikajibu,"ameongea maneno Saba tu tangu amekaa hapa"
Nikaongeza,"unajua Mimi napenda Sana kuongea Sasa mtu huyu sio wa hivyo,sijui Ana mawazo ya Nini"
Sikujua kuwa kitendo cha kwenda kula na huyu Mrembo mkubwa kilinipa daraja kubwa sana kwa huyu Mrembo mdogo,alikua Kama ananiona mhuni Fulani,lakini kwa kuongozana tu na huyu Dada kimemshitua kidogo Erica,niligundua kutokana na baadhi ya ujumbe zake,alionesha Nia Sasa ya kutaka kunisikiliza,alinihakikiahia kua kesho atatafuta nafasi ili aje tu kunisikiliza Nina shida gani nae au ninataka msaada gani nae.
Kwa mfano baadhi ya ujumbe zake moja iliuliza hivi,"bado utakua unahitaji kuongea na Mimi kwa Sasa?"
Mwingine aliuliza hivi,"Safari yako Sasa itakua fupi",
Mwingine aliuliza hivi,"umeshamuambia jirani yako aje kukaa huku na Mimi Nike huko?"
Kusema kweli ujumbe ulikua mwingine kidogo lakini jibu lake lilikua ni moja tu,kwamba huyu mtu niliekaa nae Hana faida Wala msaada kwangu,no hasara tu, nilimjibu pia kwamba ikiwa kesho atapata nafasi tutaongea,atanisikiliza na atanielewa zaidi.Nilimjibu kwamba huyu niliekaa nae hawezi kunisaidia kwa sababu haonekani kuwa mtu wa maaada Wala kusikiliza,anaonekana ni mchoyo na mbinafai,nilimponda bila kujali Kama kaninunulia nyama na ndizi,nilifanya hivyo ili kumuinua na kumsifu Erica ili kesho awezw kuja halafu nipate urahisi wa kumtongoza,kwa kifupi niliona Kama kumponda huyu na kumsifu yeye ndio njia ya kumlainisha,ili kesho kazi iwe rahisi.
Kwa ujumla tuliendelea kumteta huyu Dada bila yeye kujua.Mimi niliipenda hiyo Hali kwa sababu ilikua imanipa faida kwa matamanio yangu ya kumtongoza Erica,Erica umri wake ni Kati ya miaka ishirini Hadi ishirini na mbili,Mimi umri wangi ni miaka ishirini na nne, huyu dada yeye anaonekana ni Kati ya miaka ishirini na
nne Hadi ishirini I na Saba, Hivyo namuona Erica ni saizi yangu kuliko huyo Dada,achilia mbali muonekano na Tabia zake ndo zinanifanya nisiwe na hamu ya kuzoeana nae.
Safari yetu ilendelea,mida nayo iliziidi kupotea,tuliendelea kuacha mkoa mmoja baada ya mwingine,ukiondoa mida,hata majira Sasa yalikua yamekwisha badilika,maana tuliondoka Dar alfajiri,ikaja asubuhi,ikaja mchana,ikaja jioni,na Sasa ni usiku,Tena sio usiku tu,ni usiku wa saa nne,siku ya ijumaa, watu kwenye Basi wanaonekana kuwa wamechoka Sana,Wana hamu ya kufika makwao,hapa tulipofika Sasa ni maeneo ya Mkoa wa shinyanga,watu wachache sana wameshuka shinyanga wenge wamebaki,na Hawa wengi waliobaki watashuka Mwanza mjini,na ndio mwisho wa Basi,ingawa abiria wengine watatawanyika kuelekea wilaya na maeneo mengine,Mimi kesho nitakaa mpaka jioni nikimvizia Erica,baada ya kumalizana na Erica nitavuka kukatiza ziwa viktoria kwa kutumia kivuko,kwenda kwetu Sengerema.
Abiria wengi walionekana kuchoka,ilikua imeshafika saa tano kasoro dakika ishirini na tano,baadhi ya abiria walibashiri kuwa tutafika Mwanza Kati ya saa tano na nusu au saa sita kamili.
Jirani yangu,kwa maana ya abiria mwenzangu niliekua nimekaa nae kiti kimoja,alivunja ukimya akniuliza,"Safari yako itaishia Mwanza mjini?"
Nami nikajibu,"hapana,kesho asubuhi nikaanza Safari nyingine ya Kama robo saa kuvuka maji ya ziwa viktoria kwenda kwetu"
"Kwenu wapi",aliuliza,
"Wilaya ya Sengereama" nilijibu,
Aliuliza Tena ,"Kuna umbali gani kutoka Mwanza mjini na Sengerema?",
Nilijibu ,"niwendo wa dakika arobaini na tano ziwani,na nusu saa barabarani"
Aliuliza Tena,"usiku huu kuanzia saa sita hakuna usafiri wa kufika huko?"
Nikajibu,"hakuna",
Anauliza Tena,"Sasa una mahala pa kulala usiku huu wakati ukisubiri kesho kuendelea na Safari yako?"
Nikajibu,"wasafiri wengi wenye kuendelea na Safari siku inayofuata hulala kwenye mabasi kwa mda huu uliobaki,hata Mimi nitalala kwenye Basi"
Kabla hajauliza swali jingine nikaongeza maelezo,"wasafirishaji wengine wenye mabasi Wana sehemu maalum kwa abiria wao kulala,hata hivyo ni mda mfupi Sana ya kulala,kwani Hadi mtu ulale itakua imefika was Saba usiku,itakubidi uamke saa kumi na moja ujiandae na kuelekea kwenye vyombo vya usafiri,watu wengi hupenda kuanza Safari saa kumi na mbili alfajiri ingawa kwangu sio lazima,nioimaliza kufafanua"
Akakaa kimya kwa mda mrefu bila kuuliza kitu,kisha aliiniuliza tena ,"unaishia Dar au Mwanza"
Nikajibu,"Dar"
Aliuliza,"Dar sehemu gani"
Nikajibu,"Mwenge",
Kabla hajaendelea na maswali zaidi Basi likawa linakata Kona kuingia stendi kuu,stendi hii ndio mwisho wa Safari ya Basi hili,kwa maana nyingine tayari tulikua tumefika Mwanza.
Abiria walianza kukusanya mizigo yao,nasi pia tukafanya hivyo,Basi likasimama na abiria wakaa za kushuka.
Dada Mrembo akanitazama Kisha kwa sauti ya upole kabisa akaniambia hivi,"Kama hautajali naomba nikisaidie"
Niakamuuliza,"unisaidieje?"
Akajibu,"naomba unifuate",
Nikaanza kimya na kuanza kumfuata kuanzia alipokua akishuka kwenye Basi Hadi chini,tukaelekea moja kwa moja Hadi sehemu ambayo haikua na watu wengi happy kituoni.Akatoa simu yake akabonyeza atatafuta majina Kisha mikamsikia akisema tumeahafika,nipo hapa jaribu na huu mgahawa wanapouza chips.
Baada ya dakika chache nikamuona Kaka mmoja akija kumpokea,akatusalimia,Kisha akachukua mizigo yake tukaelekea sehemu ambapo kulikua kumeegeshwa gari dogo Aina ya "Ford double cabin"
Tukaingia ndani ya gari,na gari ikaanza kuondoka.
Nilikua kimya kwa upole,utulivu, tahadhari na umakini mkubwa Sana.


Itaendelea...

Sehemu ya saba

Gari hii ilielekea nisikokujua sikua na wasiwasi juu ya usalama wangu,ila nilikua na maswali mengi juu ya huu msaada anaoelekea kunisaidia huyu mrembo.
Gari ilinyoosha,ikakata kushoto ikaingia kulia ikazunguka kwenye mzunguko wa barabarani ikaenda kulia kidogo mara nikaona inakata Kona kuelekea kilimani kidogo, mahala ambapo palikua Kuna miti mingi na mawe makubwa,nilishuhudia nyumba nzuri ikiwa imezungukwa na mawe makubwa na madogo pamoja na Miti ya asili na miti ya kupandwa.
Nje na ndani ya nyumba hii kulikua kunawaka taa.Baada ya dakika chache dereva akaegesha gari,kisha akashuka dereva Kwanza. Mrembo akageuka nyuma kwa sababu alikua amekaa kiti Cha mbele na Mimi nyuma yake,akaniambia,"tushuke timefika".
Nilishuka na kuanza kuangazaangaza na kimkoba changu cha kubeba mgongoni, ndipo nikaona maandishi yakionesha kuwa hapa ni hotelini.
Ilikua ni hoteli nzuri kwa kweli,ila sikuweza kutambua mara moja Kuwa ni hotel yenye hadhi ya nyota ngapi,lakini ilikua in muonekano mzuri sana.Yule dereva alibeba kimkoba kidogo cha huyu Mrembo chenye magurudumu, akaanza kukikokota kuelekea ndani ya hoteli,Mimi na huyu Dada tukawa tunamfuata kwa nyuma, wakati huo Dada huyu alikua ameweka kwapani mkoba wake mdogo na kimfuko kingine amekikamata.
Tulipofika mapokezi Mrembo alienda moja kwa moja kwa afisa mapokezi kwenye kaunta. Akaongea kidogo wakati huo Mimi na dereva tulikua tumekaa kwenye makochi kwa mbali tukitazama bila kujua anaongea Nini,waliongea kidogo wakamaliza, Dada akaja kwa dereva akamshukuru Kisha nikasikia akimwambia,"nitakupigia nikikuhitaji".
Dereva akasema,"sawa bosi",
Kisha akaondoka.
Mrembo akanifuata Mimi akaniambia," twende".
Akaja mhudumu akachukua baadhi ya mizigo yetu akapanda nayo ngazi Kisha tukawa tumefika ghorofani tukaelekea kushoto Hadi nje ya mlango wa chumba.Mhudumu akafungua mlango Kisha akatukaribisha ndani.
Tukaingia ndani ya hiki chumba,ambacho kwa kweli ni kizuri Sana. Kunana kitanda kimoja,kikochi kimoja TV na vitu vichache lakini vyote vilionekena Kama ni vipya.
Kwa hakika kilikua ni chuma cha gharama kubwa.
Wakati nikitazama yote hayo nilipatwa na mawazo milioni moja kwa sekunde,nilijiuliza Mambo mengi Sana, nilifikiri kuwa, huyu Mrembo huenda baada ya hapa atanipeleka na mimi kwenye chumba changu, ama pengine ni nje kwenye nyumba ya wageni huko mitaa mingine maana huko nje ya hoteli sikuona nyumba yeyote,nilijiuliza mengi Sana.
Baada Kama robo saa hivi mhudumu akabisha hodi,akafunguliwa,akaingia na chakula,akaondoka.Mrembo akanikaribisha chakula tukala, chakula ambacho kwa hakika kilikua kitamu Sana.
Aisee hapa nimapoongea ndugu msomaji nilikwisha poteza mwelekeo kabisa,nilikua Kama mateka huru,nilikua mtulivu huku nikijiweka tayari kupokea amri yeyote kutoka kwa Mremno huyu, nilijisemea moyoni siulizi chochote nitafuaya Kila kitu atakachoniamuru kufanya,.
Tukamaliza kula,akapiga simu ya humu chumbani,akaja mhudumu akatoa vyombo.
Mrembo akavunja ukimya akaanza kwa kusema,"Kaka,unakumbuka kwenye Basi pale Jana?",
Maana saa hizi ilikua imetimia takribani saa Saba na dakika ishirini na tano usiku,
Aliendelea kusema,"unajua Kwamba uliniambia maneno ya faraja na ya kiungwana Sana?,lakini kubwa ni jinsi ulivyoniruhusu nilale begani pako,kwa kweli nilikua na usingizi mzito Sana,ulinisaidia hata pale uliponipisha nikae upande wa dirishani,ilinisaidia nililala vizuri San.Sasa kitu kilichoniuma ni pale kwenye Basi uliposema ukifika wewe utalala kwenye Basi halafu kesho ndio uendelee na Safari yako,Mimi kwa kweli sikupenda,niliumia Sana,kwa sababu ulijitolea nikulalie,ili nisipate taabu naomba na Mimi nijitolee tubanane humuhumu chumbani halafu kesho uendelee na Safari yako."
Baada ya kumalizana tu kusema hivyo Mimi moyo wangu ukafa ganzi,nikajiuliza hivi Mimi huyu leo hii nalala hapa kitanda hiki kidogo cha futi tatu kwa sita na huyu Dada ambae kwa kweli ni Kama Mrembo wa Taifa,anastahili hata kutwaa taking la Urembo la Dunia?
Mungu wangu nitalalaje nae huyu,kutakucha salama kweli bila kugusana!Au pengine ameona ni Bora nilale kwenye hiki kikochi chumbani kuliko kulala kwenye kiti cha ndani ya Basi?
Nikasikia, "Kaka ngoja Basi Mimi nikaoge",
Nikajibu,"sawa",
Nilikua nimekaa kwenye hicho kikochi,nikaamua kuwasha TV, yeye akenda karibu na mlango wa kuingia bafuni na karibu na kabati ya kuwekea nguo na mizigo.
Akawa anavua nguo alizokua amezivaa toka asubuhi,sikuweza kumtazama kwa sababu nilimpa mgongo, na kugeuka nikawa naogopa,lakini maswali yanazidi kuongezeka.
Nadhani hata wewe msomaji utakua unajiuliza maswali mengi,nikasikia anarudisha kimkoba chake kabatini.
Baadae akaingia bafuni,nikaongeza sauti ya TV kidogo,baada ya dakika Kama ishirini hivi akawa ameshatoka bafuni,amejifunga khanga moja tu,kaifunga juu ya matiti hivyo ikawa imeishia juu ya magoti,Moyo wangu ulilipuka "paaa",baada ya kuiona migui yake kuanzia mogotini kushuka chini.
Miguu ilikua imejaza hatari,miguu ilionekana niikubwa na yenye kupendeza, migui mizuri utadhani huwa hatembei,imeshiba vizuri kuanzia mogotini Hadi chini.
Hayo yote nilyaona kwa sekunde chache kwa jicho la ndege tai.
Sikua namtazama moja kwa moja,nilitazama kwa kuibia huku nikijifanya natazama TV.
Hakika ndugu msomaji, kwa kutazama miguu tu nilihisi kitu kinainuka ndani ya suruali niliyokua nimeivaa,nilishitushwa Tena kwa sauti yake,"Kaka nenda ukaonge na wewe,Mimi tayari",
Nkajibu neno moja tu,"sawa".
Sasa kazi ikawa nitainukaje na huyu jamaa yangu kishasimama hatari.
Nikajibaraguza,nikajinyonganyonga Kisha nikainuka haraka na kugeuka,nikaelekea bafuni nikiwa tayari na mswaki na dawa yangu ndogo ya meno,nikajisafisha kinywa Kisha nikaoga,nikajikausha maji kwa kitaulo changu kidogo cha Safari,huku nikiendelea kujiulza hapa tutalalaje?
Nilipokua nikitoka bafuni nilijijipa moyo,kuwa ni yeye ndio alienialika kuja hapa na ni yeye ndiye atajua cha kufanya,Mimi sitasema chochote namuachia yeye ndio ataamua,nitatii Kila kitu atakachoniamuru kufanya, na sitafanya chochote kibaya kwa huyu dadakwani ni muungwana Sana,ameniamini,sitamuangusha,Wala sitamuudhi,kesho asubuhi ntajiendea kwetu.
Ndugu msomaji katika vitu ambavyo viliwahi kunipa mawazo na woga lakini sio woga wa kuumizwa mwili ni hiki.
Nilijiuliza huyu Dada mzuri namna hii anajiamini Nini kukubali kulala na Mimi kitanda kimoja?au Kuna sehemi ntaenda peke yangu kulala?Huyu dada kwa Nini kajiamini namna hii? Yuko sawa kweli huyu?,
Lakini kwa jinsi nilivyomuona Hadi kuingia hapa ni mtu makini sana,muungwana,mstaarabu anaejiheshimu na anaejua anachokifanya.
Nilipokua nageuka nikitokea bafuni, moyo wangu ulilipuka tena kwa mara nyingine baada y kumuona tayari mwenzangu alikua amekwisha lala kitandani,ingawa ni dhahiri hakua amesinzia,amelala kiubavu akiwa ameelekea ukutani,ubavu wa kulia uko chini ubavu wa kushoto uko juu.akiwa bado amevaa khanga yake moja tu.
Moyo wangu ulipasuka Tena baada ya kuona mapaja yake,kwani khanga ilikua imepanda juu.
Ndugu msomaji taa ya chumbani ilikua bado inawaka niliona mapaja mazuri,meupe, yameshiba vizuri.Nilianza kutetemeka,mashine yangu iliinuka kwa nguvu kubwa hadi nikaanza kuhisi maumivu.
Kwa kawaida huwa navaa bukta peke yake nikitaka kulala,lakini ilinibidi nivae bukta na boksa ndani ili kuizuia mashine isisimame zaidi ili asiweze kuiona.Lakini wapi,haikusaidia kitu,nilijaribu kutembea nikiwa nimeimana lakini wapi.
Wakati nikipambana na hiyo hali,nikaanza kujiuliza, Sasa nitalala wapi,sijakaribiahwa kulala kitandani na sijaambiwa kulala kwenye Kochi.
Nilijiuliza ndani ya sekunde moja hayo yote.
Kistaarabu kabisa nikaona ngoja nikae kwenye Kochi tu,Kisha nisubiri maelekezo.
Ningeweza kumfuta kitandani na pengine kuanza kumuomba penzi Mimi Kama mwanaume,lakini je akionekana kutokubaliana na hatua hiyo niliyochukua, Nini kitafuata?ataniondoa usiku chumbani kwake au itakuaje?,tutatazamanaje?
Nikajiuliza ninajuaje Kama huu ni msaada wa kulala tu?
Nikajiambia,kuna wanawake wengine wana misimamo,akikuambia ni msaada wa kulala ni kulala kweli na si vinginevyo,nikijifanya kidume naweza ingia kwenye kesi ya kubaka bure. Inawezekana Mrembo ana Tabia za kizungu ama ameish
i Ulaya,pengine ana matabia ya kizungu,anapokuambia nakupa msaada wa kulala anamaanIsha kulala.
Nilizima taa nikaenda kukaa kwenye Kochi kwa utulivu kabisa.
Baada ya Kama dakika tano nikasikia sauti ikinisemesha,"Kaka mbona hauji kulala?",
Nikashusha pumzi,nikamuuliza,"hapokitandani"?
Akajibu,"he, hapa hapa, wewe unataka kulala wapi Tena"?
Moyoni nikasema "Lohl mtihani mwingine huu"!
Nikaenda kitandani kwa heshima kabisa,kwa uaminifu mkubwa nami nikalala Kama yeye kiubavu lakini nikielekea upande ilipo TV na Kikochi.Yaani ubavu wa kushoto ukiwa chini na wa kulia ukiwa juu,kwa maelezo rahisi tulipeana mgogo.
Kwa kawaida vitanda vya hotelini hutandikwa kwa mtindo wa Kama mfuko fuiani hivi,yaani mtu huingia ndani ya shuka au shuka na blaketi kwa sehemu zenye baridi.
Lakini Mrembo alianza kulala kwa kulala juu bila kuingia ndani,nadhani alikua Ana maana yake,nami nikafanya Kama yeye.
Hakika ndugu msomaji mpaka hapo sikua na tone la usingizi.
Baada ya Kama dakika kumi hivi toka nimejilaza kitandani pembeni ya Mrembo,sijasinzia na yeye hajasinzia,nilihisi mkono wake wa kushoto ukitua kiunoni kwangu,akageuka mwili wake kutazama juu Sasa,akanipapasa kidogo Kisha akaacha.
Akageuka kuelekea Kama nilivyo lala Mimi,yaani wote tukiwa tumetazama upande mmoja,akawa nyuma yangu,mkono wake wa kulia akauleta kifuani kwangu,akaanza kunipapapsa kuku akishusha mkono wake chini,mapigo yangu ya moyo yaliongezeka mara dufu Hadi akagundua Hali hiyo,akagusa mnara wangu akagundua umesimama imara nilisikia maumivu Kama unataka kukatika,alipoona umesimama vile alicheka mara moja tu hivi,"mhuu,"
Kisha akaniambia ,"pole"
Halafu akaniacha huku na yeye akiwa anahema na kutetemeka kidogo,nami pia niliyasikia mapigo yake ya moyo,nadhani pengene yeye mapigo yake yalikua maradufu zaidi yangu,aliponiacha aligeukia Tena ukutani alipokua amegeukia mwanzo.
Na kuanzia hapo nikawa nimekwisha jua anachokitaka.
Niliona ni Kama ndoto, Yule Mrembo niliekua namwogopa Jana asubuhi Sasa hivi Niko nae kitandani,Tena kwa juhudi zake mwenyewe,woga wote ulinitoka,mawazo yote yalinitoka,nikaanza kupata mawazo mapya.
Nilifiurahi Sana kwa Mwanamke Mzuri wa kiwango hiki kuwa mikononi mwangu ,Tena kitandani na akiwa na khanga moja tu.
Nilianza kuwaza kumpa kichapo ambacho hata kaa anisahau maishani,na Kama Ana mtu wake amwache,niliwaza kumpa penzi ambalo litamfanya awe haoni Wala hasikii kwangu,niliwaza kuikamata akili yake,niliona itakua hasara Sana kwa Mwanamke Mzuri namna hii atoke kwangu,aende kwa mwanaume mwingine.Aniache.Niliwaza kumpa Raha ya kitandani na maneno ambavyo vitamfanya amsahau mtu wake.Niliwaza mengi.
Alipogeukia pembeni nilimuona Kama kaishiwa nguvu hivi,nami nikageukia kwake,upande aliokua akitazama,nami nikawa mgongoni kwake nikamwambia hivi,"samahana dada",
Akaitikia,"mmmh"
Nikamuuliza,"naweza nikapapasa mwili wako?"
Akanijibu,"ruksa".

Itaendelea....

Sehemu ya nane.

Nilisikia furaha Sana kupewa ruhusa kushikashika mwili wake,niliinua mkono wangu wa kushoto na kumshika kiunoni,alishituka Sana halafu akatulia,nikaanza kumpapasa taratibu bila kipngamizi kwa Kila sehemu ya mwili wake Kila nilipotamani kupapasa,nilimsogelea shingoni,nikambusu shingo,nikambusu sikioni,akasikika akitoa sauti ,"aaaah",
Nikaendelea kumbusu huku namshikashika,nilishusha mkono kutoka kiunoni Hadi matakoni,nilimshikashika matako Sana,Hadi nikaona anvuta pumzi nyingine na kushusha,nilianza kuyaminyaminya taratibu,nikamwona anaanza kusungua vidole vyake vya miguuni,vidole kirefu cha Kati cha mguu akikisugua na kidole gumba,alifanya hivyo kwa sababu alikua anasikia Raha ya kishikwa makalio,nikaanza kulamba lamba shingoni,mgongoni,mashavuni,mara nyingine nikimbusu mashavuni,nikaanza kukunakuna kwa mbali na vidole mgongoni,nikaona Kasi ya kupumua inaongezaeka,huku milio ya kimahaba ikiongezeka.
Nilitambua kuwa anasikia Raha Sana kufanyiwa hivyo.Nilimgeuza taratibu Hadi akawa ananitazama Sasa,ingawa alikua amefumba macho,niliyaona matiti yake.
Aisee huyu Mrembo ana matiti mazuri Sana,matiti laini sio makubwa Sana Wala sio madogo,vichuchu vimechongoka vizuri,niliyashikashika matiti yake taratibu,alisikika akimeza mafunda ya mate Kila sekunde,huku akikigeuzageuza kichwa chake,mara ageukie kulia mara kushoto.
Nikaacha kushika matiti Sasa, nikaanza kuvinyonya vi chuchu taratibu,mara kichuchu cha kushoto,mara cha kulia.
Nilimsikia akianza kulia kwa sauti ya chini,aah,aah,aah,mmm,mmm,aiiii,aii,ashii,aashii.
Aliendelea kuteseka kimahaba huku Mimi nikiwa makini kuvilamba vichuchu polepole bila kumsabibishia maumivu,hatimae nikaanza kumnyonyanyonya taratiiibu matiti yake sio kwa ajili ya kufyonza au kunyonya majimaji yaliyomo ndani yake yaani maziwa , la hasha,Bali kwa ajili ya kummpa Raha.
Wakati nilipokua nikimshikashika matako na kuyaminyaminya nikastaajabu kua kumbe alikua hajavaa chupi,aisee kwa Hali hiyo Mimi mnara wangu ulikua umeshasimama Kama kipande cha chuma,
Wakati wote huo nilikua sijafika mapajani.
Nilianza kupapasa mapaja.Mrembo Ana mwili laini utadhani huwa hatembei,mapaja laini Kama Nini,ngozi laini,nilimshikashika sehemu za tumboni kushuka chini,nikasikia ananiambia,"naomba Sasa,jamani nisaidie,nipe bwana,mie siwezi tena kuvumilia kaka,ai wewe nifanye Basi Kaka yangu,nateseka jamani,naomba mpenzi wangu",
Kusikia hayo maneno na neno mpenzi wangu,akili ndo ikaruka kabisa,nilikua tayari nimeshaitoa khanga,akawa Kama alivyozaliwa,wakati alipokua akiongea hivyo,mkono wake wa kushoto alikua ameupeleka kwenye uume wangu nae akawa anajaribu kuuminyaminya huku akihangaika kutaka kuutoa ndani ya bukta na boksa,lakini akashindwa,nikamsaidia,nikavua bukta na boksa, nikazivua zote kwa pamoja,lakini sikutaka kumpa Kwanza.
Niliendelea na zoezi la kumlamba sehemu mbalimbali kuanzia shingoni,masikioni,nilimlamba midomo yake, nilikutanisha ulimi wake na wangu,niliunyonya ulimi wake kidogokidogo,,nilinyonya mdomo wake wa juu Kisha nikanyonya wa chini,ana midomo laini halafu mitamu Sana,nilimlamba Tena kidevu,nikaa shuka kwenye matiti tena,nliiendelea kulamba vichuchu na kumnyonyanyonya vimatiti vyake.
Alijitahidi kwa shida Sana naye kunipapapsa mgongoni na sehemu chache alizoweza kufika,kwani nilionekana kutawala mchezo,sanasana aliishia kulialia na kutoa sauti za kimahaba.
Nilikua na hamu kweli kwa kumpata lakini sijui nilitoa wapi ujasiri wa kuvumilia hivyo bila kuingiza kwa mda mrefu.
Wakati huo yeye alikua anahangaika kunitaka niingize, lakini masikini nguvu hakua nazo kabisa kwa sababu ya michezo niliyokua namfanyia.
Baadae akaanza kuomba Tena kwa kusema,"kaka nihurumie,Kaka nisaidie Basi,mimi Niko tayari jamani,unanitesa jamani,ingiza Basi,huku nae akijaribu kunishika mashine yangu na kufanya Kama aniachua hivi ili kunipa hamu.
Akapata nguvu kidogo akaniletea mdomo wake,nikaanza tena kumnyonyanyonya midomo yake,niliendelea hivyo huku nampapasa kiuno,tumbo,mapajani.
Hatimae nikaona Sasa nishuke kwenye tunda,hapa sikukaa Sana,kwani nilipoanza kushika kwenye kiharage alianza kutetemeka na kuniambia,"usipoteze,usipoteze,Mimi ntamaliza,ingiza haraka,ntamaliza,ooh,aah,aah"
Alikua alimaanisha nisimwache amalize kwa kumchezea,Bali niingize ili ikiwezekana tumalize pamoja.
Wakati huo na Mimi Hali ilishaanza kuwa tete.
Nikamweka vizuri harakaharaka,nikamweka kwa mkao wa asili,maarufu kama kifo cha mende,nikaanza kumsugua juu ya kiharage kwa dushe Kama sekunde kumi hivi,alikua kalowana hatari,alisikia utamu Sana kwa kitendo hicho,alisikika akisema,"tamu,tamu,tamm.tam ingiza sasa, ingiza sasa"
Nikaona Sasa ni muafaka kuingiza nikaingiza dushe,sikuamini Kama nilikua naingiza kitu changu ndani ya kitu cha Mremb.,Mwanamke Mzuri ambae sikutegemea kulala nae kitandani.
Ijapokua alikua amelowa,lakini papuchi yake ilikua inabana Sana,hivyo nikawa naingiza taratibu,ana papuchi tamu Sana,nikawa naisikilizia dushe inavyomezwa ndani ya papuchi ndogo yenye joto Kali, inaingia hatua kwa hatua,mwanzo nilihisi nakula msichana bikira maana sio kwa udogo ule wa papuchi, kwa umri wake kuwa na papuchi ndogo Kama ya mtoto wa kidato cha kwanza.
Niliingiza taratibu Hadi ikaingia yote,nikaanza kusukuma ndani na nje huku nikiendelea kumlambalamba midomo na vichuchu na kumbusubusu masikioni.
Nikawa namsikia akisema,"Kaka unanipa Raha ambayo sijawhi kupewa hapa duniani.
Alilia,"Aah,ooh,Asante,polepole,tamu,tamu jamani,usimalize".
Baada ya misuguo Kama thelathini hivi nikamsikia akiliaa,"aaaah,iiiih,aaah,ntamaliza,namaliza,namaaliiiiiiiza,namaliiii."
Wakati huo na Mimi nikasikia vitu vinakuaja kwa mbali,"Ah,oh,oooh,oooooh,haaaaaaah,".
Tukamaliza pamoja,nikiendelea kumkumbatia kwa dakika chache,halafu nikageukia pembeni.Tukawa tunahema utadhani tulikua tumekimbizwa na Simba.

Itaendelea...
Sehemu ya Tisa.

Nilishitushwa baada ya kumulikwa na mwanga mwembamba wa just uliopenya kidogo kupitia kwenye kisehemu Cha dirisha ambapo pazia haikufunga vizuri.
Nilitazama huku na huko,huku dushe yangu ikiwa imesimama juu imara kabisa.
Mrembo alikua bado amelala,ilikua imekwisha fika saa mbili asubuhi,tulipitiwa na usingizi kutokana na mambo mazito tuliyoyafanya usiku wa manane,na ukichanganya na uchovu wa Safari,tumelala sana,nimepitiwa hata mda niliojipangia wa kuondoka saa Kumi na mbili alfajiri.
Nilimtazama Mrembo wangu,Looh! Aisee alikua amelala kifudifudi akiwa Kama alivyozaliwa,nilimwona vizuri Sana Sasa hivi kuliko usiku,mdada Ana umbo zuri sana,taking la kistaarabu,sio kubwa la aibu,lakini sio dogo pia,liko wastani.
Miguu ndo usiseme,imejaza vema kabisa.
Kiuno chembamba utadhani hua Hali.
Nilimkagua vizuri tu,sikuona kasoro hata moja.Dushe ilisimama kwa nguvu Sana.
Nikaona kwa vile alishaniruhusu nitanye nae mapenzi na mda wangu wa kuondoka umeshapita,nimechelewa,itaninibidi niondoke tu,lakini siwezi kumwacha hivi hivi,lazima tuagane.
Kumuamsha niliona huruma,kwani huwa sipendi kumkatishia mtu usingizi wake.
Nilipata wazo,niloamua ngoja nikaoge kwanza akiamka ntaomba mechi ya marudio.
Niliamkw nkaenda bafuni hivyohivyo bila kuvaa bukta.
Nilisafisha kinywa,nilijisafisha,Kisha nikaoga.Nilioga dushe likiwa bado limesimama.
Nilipotoka kuoga nikamkuta amegeuka akinitazama,kumbe pilikapilika za kuoga zilimwamsha,akatabasamu kunioma vile,nimetoka kuoga na dushe limesimama imara.
Nae akasimama akanikumbatia,akanibusu,kisaha nae akaingia bafuni kujiweka Safi.
Alipotoka bafuni akanikuta niekaa kitandani ili nimwambie mpango wangu wa safari.
Akiwa bado amesimama anajifuta maji na taulo,nikamfuata nikamkumbatia nikaanza kumbusu Kila sehemu huku nikimnong'oneza,"Dada naomba tufanye Cha kuagana,nimetoka kukupenda Sana,ntakukumbuka sana,Mwanamke mzuri sana wewe",
Akaniambia,"unataka kuondoka,
? aah usiondoke bwana,baki Kwanza na Mimi walau Hadi jumatatu asubuhi,nikiwa naenda kazini na wewe ndo uondoke,nakuhitaji Sana,nakuomba tafadhari usiondoke leo",alisisitiza.
Kabla sijajibu akaongeza,"kwani ni lazima na muhimu ufike huko leo?Kama sio muhimu kufika Leo naomba nibaki na wewe Hadi jumatatu asubuhi,sawa?
Nilifiurahi Sana kusikia kuwa anataka nibaki has jumatatu,nilijua ntakua nae jumamosi na jumapili.
Haraka haraka nikajibu,"aah naenda likizo ya kawaida tu,tena naenda kimsalimia Babu yangu,amabe ni rafiki yangu mkibwa.
Tuliongea yote hayo huku tukiwa tunashikana shikakana,nilifiurahi Sana kuminyaminya makalio yake laini,nilimbusu Kila sehemu,alianza kunishika mpini wangu Mambo yakazidi kunoga,tukapelekana kitandani,tukaendelea na vurugu ya kutiana nyege,aisee Safari hii na yeye alijitahidi,maana nae alianza kunishika sehemu muhimu zote,tuliendelea kushindana kunyegetushana,wore tukawa Moto kwelikweli,mchezo huu ulikua mkali kishinda wa usiku,hakuna sehemu sikumshika,nilikuala mate yake Sana,militia ulimi masikioni na puani,nilimlamba makalioni na mgongoni,wlipagawa kwelikweli,kwa sababu ilikua asubuhi,nilimuona vizuri maungo na yake na umbo lot,niliyaona vizuri matako na matiti,niliyaona vizuri mapaja na kiuno chake,niliyaona macho yake yalivyolegea.Hakika nilishindwa kuvumilia,hata yeye alishindwa kuvumilia,tulishindwa.
Nilimwomba apige magoti happy kitandani,nikamweka vizuri,nikamuomba ainame,alaze kichwa chake kwenye mto au kwenye godoro,awe Kama anasikiliza kitu kwenye mto au godoro,akafanya hivyo huku akiwa amepiga magoti,mtindo uliotokea akawa amebinuka huku nyuma,makalio you yalikua juu,huu mtindo wengine huuita chuma mboga,wengine huuita mbuzi kagoma.
Baada ya kumweka vizuri nikabusu makalio yake,nikamshika na kumpapasa kidogo makalioni,nikapitisha kidogo mkono kwenye papuchi,nikawa nsugua kidogo kwa kidole,akaanza kulalamika Tena Kama usikuu,huku akihema harakaharaka,akaanza kuniomba Tena niingize.
Nilipoona amekwisha lowana vya kutosha nikamsogelea mimi nikiwa nimepiga magoti,dushe imesimama thabiti,nikaanza kumsuguasugua kwa dushe kwenye papuchi yake kuanzia chini napandisha juu,nilifanya hivyo mara nyingi,nikaona anaongeza makele Hadi nje wakawa wanasikia.
Nikaona Sasa ni muafaka kuingiza,nikaingiza taratibu,hatua kwa hatua,ilipofika nusu nikaitoa nusu halafu nikawa nafanya juujuu tu bila kuingiza yote,alilalamika Sana akiniomba niingize yote,alilia,aliteseka,alinibembeleza hatimae nikaingiza yote kabisa,nikaanza kuizungusha kwa ndani alifurahia Sana utundu wangu,alinipa kila Aina ya sita,aliniitaajina yote ya kunisifia aliyoyajua,hatimae nikaacha kuizungusha kwa ndani,Sasa nikaanza kumfanya kwa kuingiza na kutoa.
Niliendelea hivyo Mara nyingi kadri nilivyoweza Hadi niksikia akipiga makelele akiashiria kufika kileleni,nami niliongeza kumsugua Hadi Mami nikasikia kumalizana.Hatimae tukawa tumaliza pamoja.
Akanyoosha miguu huku dushe bado imo,nami nikafanya Kama yeye ikatokea nikawa nimemlalia mgongoni,nikamkumbatia,tukapitiwa na usingizi mfupi Tena.Tukaamka saa tano kasoro robo.
Akanibusu,akaniahukuru,akanisifia kwa kumpa Raha amabayo kwa kauli yake anasama,hakuwahi kupewa Raha namna hii kitandani.
Anasema hakujua kuwa kumbe kufanya mapenzi ni moja ya starehe kubwa sana,hakujua kuwa kumbe wanaume wanatofautiana kustarehesha.
Akaniuliza," unaitwa Nani?"
"Stain Antonio"
"Unafanya kazi gani?"
"Benki"
"Kama Nani?",
"Mkaguzi wa ndani"
"Benki gani?",
"DB Bank"
"Dar ipi unatokea?",
"Mbezi temboni"
"Una rafiki wa kike?",
"Ndio"
"Yuko wapi?",
"Chuo"
"unampango wa kumuoa"?,
"hatujawahi kuzungumzia kuoana",
"Unampenda?"
"Ndio",
Aliishia hapo hakuuliza Tena.Nami nikapata fursa ya kumuuliza Kama yeye alivyoniuliza.
Alianza kwa kuniambia yeye amaitwa Kalunde Edom Mihayo
Anafanyia kazi Kampuni ya Kigeni ya EU inayo shirikiana naTanzania, ambapo EU inamiliki asilimia 51 na Tanzania asilimia 49.
Yeye Ni Mkurugenzi Mkuu.
Anaishi nyumba aliyopangishiwa na Kampuni,iliyoko maeneo ya Goba.
Ana rafiki wa kiume ambae hawajakutana kimwili kwa miaka miwili na miezi mitatu,

Hampendi huyo Mkaka.
Hana mpango wa kuendelea nae Wala kuoana.
Wala hana mpango wa kuolewa naye.
Nilistaajabua kusikia hampendi,nikamuuliza kwa Nini Kama ni mpenzi wako halafu hampendi,akaniambia ni hadithi ndefu iko siku tukibahatika kukutana Tena atanisimulia sababu za kutompenda.
Tulikua kimya kidogo huku tukibusiana na kusifiana kwa Mambo tuliyofanyoana.
Kisha akaniomba nitoke mgongoni kwake,akakaa kitandani kwa kukuja miguu kwa kuipishanisha Kama wafanyavyo watoto wakikaa kwenye mikaka kwa ajili ya kula ubwabwa au wali.
Akaniita,
"Stain"
"Naam"
"Unanipenda?"
Nikajibu,"da aisee!nawezaje kutokukupenda mwanamke mzuri namna hii?",
Akajibu,"tumefahamiana Jana tu?",
Niakamuuliza,"wewe hujanipenda kwani?"
Akajibu,"nimeshakupenda tayari",
Tukacheka kwa pamoja,"hahahahaa"
Akaniambia"kusema kweli maneno yako ya Jana ndani ya Basi wakati nateseka na usingizi yalinifikirisha Sana ni vile wewe tu hukujua,maneno uliyosema ni Kama ulinitongoza tu,yalinichoma,nikawa natafuta namna ya kukujibu,ingawa sikujua Kama tutafikishana hapa.Najua hukunitaka kimapenzi lakini ulivyosema kwamba uko tayari hata nikulalie,ukasema,na wewe hiyo ndio furaha yako ya kulaliwa na msichana mzuri wa kiwango changu,kuwa wewe bahati yako huenda ndio imeishia hapo you kulaliwa na Mrembo Mimi,kwamba kwa wewe kulaliwa na Mimi kwako wewe ni kumbusubusu tosha! Kwa kweli maneno hayo yalikua ni utongozaji wa Aina yake,niliumia Sana lakini sikua na neno la kumuambia,ila niliona ni Bora tukanunue chakula pamoja nami niwe nimeweka kumbukumbu ya kutambua heshima uliyonipa,alifafanua Kalunde.
Akanitazama Kisha Tukacheka Tena pamoja,"ahahahahaaa".
Akaniambia tuamke twende tukaoge halafu tukanywe chai.
Tukaamka tukaingia bafuni Kama tulivyokua kitandani,tukaanza kuoga,akaanza kuniogesha,Kisha ikaja zamu yangu kumuogesha.
Nilipata sabuni nikaanza kumsafiaha,nilisafisha kila sehemu ya nje ya mwili wake,nilisafisha mgongo,makwpani ambapo alianza kuchekacheka kwa mrekenyo,nilisafisha mbavuni,mapajani,matako,katikati ya mapaja,tumboni,mabegani,kila sehemu.Wakati niendelea kumsafiaha mwili wake ulikua unateleza vizuri Kama samaki kambale,sio Siri wakati huo dushe iko juu,juu,juu zaidi.Wala sikupata shida kujua kua alishalegea saa nyingi.
Bao la tatu tulilipigia hukohuko bafuni,Safari hii tulitiana tukiwa hukohuko bafuni,Safari hii mechi ilikua ya kusimama na kuinamishana tu,hakuna kulala.tulimaliza kuoga na mambo mengineyo tulitoka bafuni Tunacheka kwa furaha.
Tulivaa nguo,Kisha tukatoka chumbani kuelekea mgahawani kunyawa chai.
Wakati huo ilikua yapata saa tano na nusu asubuhi.

Itaendelea..

Sehemu ya kumi
Baada ya kumalizana kupata kifungua kinywa tukakubaliana twende kutembea kidogo.
Tukatoka nje ya hoteli,tukaingia mitaani,tukatembelea duka kubwa (super market) kubwa ya hapa mjini Mwanza.
Takanunua vitu kadhaa tulivyokua tunavihitaji.
Tulikwenda solo la samaki kutazama biashara ya samaki,tulikwenda mwaloni.
Tukaambizana twende tukaangalie wanyama katika kisiwa Cha Sanane,tukaona tutakua mizunguko mingi sana tukasitisha tamanio Hilo.
Mda wote huu tulikua tunafurahiana sana,tulitembea sambamba,Mara nyingine tukitaniana,Mara nyingine tulifanya Kama kununiana pale tulipotofautiana Jambo dogo tu.
Tuliombana samahani kiutaniutani.
Kila tulipopita watu wore waliotuona walitutazama,lakini aliyekua mlengwa wa kutazama ni Mrembo Kalunde,Kalunde alikua kivutio kwa kila aliemuona.
Nilimtania,"Kalunde",
"Abee"
"Unajua watu wanakuangalia Sana wewe,?je hawawezi kukuiba?"
"Aah unajua Mimi ndio naogopa zaidi,kwa jinsi mwanume wewe ulivyoniruhusu mzuri sijui Kama wanawake wa Mwanza hawatakuiba",
Tukacheka huku tulitembea.
Tulitembea sehemu mbalimbali tulizojaaliwa kufika,tukakubaliana Kama tukichoka kutembea tuchukue taxi.
Tukajipa Moyo kuwa sio lazima tupande taxi kwani kutembea ni kufanya mazoezi kwani sisi bado ni vijana.
Baada ya mizunguko mingi tukarudi Hotelini,na tayari I mida ilikuwa imeshakwenda.
Tulipofika hotelini hatukuenda chumbani moja kwa moja,tulivikabidhi mapokeI vitu tulivyo vinunua sisi tukaenda kukaa upande wa bar ndani ya hoteli hii.
Safari hii kila tulichotaka kununua tulishindana kulipa,nilimlazimisha nilipie kila kitu,lakini alikataa akaniambia kua Mimi bado Nina Safari ya kwenda kwa Babu.
Tulikua bar,kulikuabkuna watu wachache Sana wahindi,wazungu,waswahili na waarabu.
Wengine walikua wakitazama Luningabhuku wakinywa vinwaji, wengine wakinywa vinywaji mbalimbali huku wakiongea Mambo yao.
Tulichagua meza tukakaa,tukaagiza vinywaji tuvipendavyo,Mimi niliagiza bia yeye akaagiza sharubati.tukaanza kunywa,tukiongea,kucheka na kufurahi.
Tuliagiza nyama choma ya mbuzi na ndizi za kuchoma,tukala,tukanywa na kuongea.
Kalunde akaniambia,
"Stain"
"Naam"
"Uko mzuri"
Nikamjibu,
"Kalunde"
"Abee"
"Uko mzuri"
Akasema
"Asanteeee"
Akaniuliza,
"Mbona wewe hujaniambia asantee?"
Nikamjibu,
"Asantee?"
Tukacheka.
Itaendelea..
Sehemu ya kumi na moja.
fanya uendelea basii mkuu
 
Kama hajatingwa na kazi labda anahitaji abustiwe kidogo. Hizi story wakati Wa kuzisoma ni tamu ila ukishamalizaga tu unaona kama uchafu hauna mana yoyote ni sawa tu ukimaliza kugegeda unajiona kama fala na hakuna cha mana ulichoongeza kwenye mwili wako.
Ha ha ha ha watu mna maneno sana.ntaendelea soon
 
Back
Top Bottom