Kwa hiyo mshahara wa Kikwete ni shi'ngapi kwa mwezi?
Kwa nini ujifananishe na udhaifu?Hivi wewe mwanao anayesoma Kinondoni muslim akipata zero utamwambia its ok mbona na wanafunzi wote wa Masjid Quba wamepata zero au utamwambia mbona wenzio wa Maua Seminary wamepata div one?wamarekani wote wanajua ni wajibu wao kulipa kodi, je wabongo wangapi wanalipa kodi. Jifananishe na Kenya wewe sio kurukia America.
Kwa nini ujifananishe na udhaifu?Hivi wewe mwanao anayesoma Kinondoni muslim akipata zero utamwambia its ok mbona na wanafunzi wote wa Masjid Quba wamepata zero au utamwambia mbona wenzio wa Maua Seminary wamepata div one?
The president of Tanzania Kikwete salary per annum is Tsh 300,000,000/= three hundred million of which if convert to USD is $187,500/ the president gets many benefits free accomodations at resident all food and loundry and transportations is fully paid the president gets full medical including all his family members president also gets clothing allowance, travel and enteratiainment allowance
hapo sasa kwenye huo mfano mimi sipo subiri vijana wa ustadhi ponda n co. Waje kukushikia na hoja za mfumo kristo
Rais dhaifu hawez kutuambia kuhusu mapato yake
JK yuko juu ya sheria , na state inamhudumia kwa kila kitu , hivyo hakuna taxable income anayopata ila ni marupurupu tu anayoyopata katika kusaidia wa tz wapate wawekezaji ajira zipatikane .Ndugu wana JF,
Ni jambo la kawaida kwa wananchi kujua mapato ya Viongozi wa nchi hususani the highest office in the land, Viongozi wengi ambao hawana nia ovu huweka hadharani mapato yao na kodi walizolipa na wananchi wao kujua na tena kuonyesha mfano wa kuigwa kwamba hata raisi wa nchi analipa kodi na hatumii nafasi yake ya uraisi kwa manufaa yake na familia yake, kujilimbikizia mali na kutolipa kodi kwa kipato anachopata.
Hapa chini ni mfano wa Raisi wa Marekani Barack Obama ambae alitoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mapato yake kwa mwaka na kodi anayolipa bila kujali nafasi aliyonayo. mapato na kodi ya raisi obama na mkewe kwa mwaka ni:
Obama Taxes & Income: President & First Lady Paid $453,770 In Taxes On $1.7 Million Income
soma zaidi kwa kufuata link hii Obama Taxes & Income: President & First Lady Paid $453,770 In Taxes On $1.7 Million Income
Je ni kwa nini viongozi wa kiafrika wanakuwa na usiri sana kuhusu mapato yao na kodi wanazolipa, kwa nini viongozi wetu wasiwe wanatoa taarifa za mapato na malipo ya kodi kwa vyombo vya habari ili kuonyesha mfano? Na wananchi kujua vyanzo vya mapato ya raisi.
Je ni watanzania wangapi wanaojua mshahara wa raisi Jakaya Kikwete na marupurupu yote na posho ni kiasi gani? Je raisi JK na familiya yake wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?
Lazima tujenge uwazi na kujua mambo muhimu kama mshahara wa raisi na kama raisi wetu analipa kodi au la! Ningependa kuwakilisha hoja yangu ili tuweze kudadisi na kujua mapato na malipo ya kodi kwa raisi wetu.
Natoa shukrani kwa Zitto Kabwe kwa kutufahamisha mapato ya wabunge na posho zote but tunataka kujua wabunge wetu pia wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka?