Ukiuliza mambo haya utaambiwa unahatarisha AMANI NA MSHIKAMANO wa nchi. Utaanza kufuatwa akina Ramadhani Ighondu alias Abeid.
Mkapa wakati anaingia madarakani alitaja mali na peza alizonazo bank. Baada ya kutoka madarakani akakataa kata kutaja mali na pesa alizomiliki. Bado watanzania wanamuita mzee wa UWAZI NA UKWELI.
Nchi hii tumerogwa, amini usiamini!
Mkapa wakati anaingia madarakani alitaja mali na peza alizonazo bank. Baada ya kutoka madarakani akakataa kata kutaja mali na pesa alizomiliki. Bado watanzania wanamuita mzee wa UWAZI NA UKWELI.
Nchi hii tumerogwa, amini usiamini!