BadoNipo
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 170
- 28
mimi naona hilo linaukweli kabisa, ikiwa mwanzo wa uhusiano wenu mlikuwa wawazi haswa kwenye simu, mwenza wako alikuwa na uhuru wa kupokea simu zako na kusoma msg lakini baadae anakuwa mkali pindi utakapokushika simu yake basi ujue kuna kitu hapo.
lakini hili lipo kwa pande zote yaani kwa msichana na mvulana.
lakini hili lipo kwa pande zote yaani kwa msichana na mvulana.