Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
CAG ilikuwepo awamu zote lakini kumbuka kamati hizi za bunge ambazo zina wapinzani ndani yake zinasaidia sana kuibua uozo ambao kwasasa CAG akiucha hizi kamati zitaunasa tu hivyo zimemfanya CAG kaongeza makali ingawaje pia JK kaisapoti sana office hii kwa kuiongezea wataalamu na burget ila sasa ikibaini uoza yeye hachukui hatua au akichukua anachukua nusunusu hapa ndio msingi wa tatizo ulipo maana taarifa zipo wazi tu.- Kwani CAG imekuwepo kwa muda gani? Maaana hii ni mara yangu ya pili kuisikia, mara yangu ya kwanza ilikuwa Dr. Kikwete aliposhika utawala mambo ya mabalozi walioiba, wengine wakafikishwa kwenye Sheria na wengine walilazimishwa ku-retire na kulipa walizoiba.
- Hii ni mara ya pili nawasikia tena CAG, naomba kukuuliza walianza lini hawa CAG? Mbona huko nyuma kwenye awamu zingine hatukuwahi kuwasikia?
William.