Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Ni kweli yameanza wakati wa KIKWETE ila nafikiri kwa asilimia kubwa sana hili litakuwa limechangiwa na UMATONYA wetu/wake huko anakopita kutembeza bakuli, wanamuwekea masharti.
Kama hizi kamati za Bunge kuwa chini ya upinzani, ni hao Wafadhili waliweka hilo. Kama Tanganyika ingelikuwa na Mafuta kama Angola, sidhani kama haya tungeyaona maana wangelikuwa wakali wakijringia hela za mafuta. Ila kwa sababu sasa tumeshikwa pabaya, ngoja tuadhirike tu na Kikwete apewe HONGERA kwa KUTIMIZA masharti ya Wafadhili na sisi hapa nyumbani tubaki kumsifia kwa kubadili utaratibu.
HONGERA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Wafu?)..................
Kama hizi kamati za Bunge kuwa chini ya upinzani, ni hao Wafadhili waliweka hilo. Kama Tanganyika ingelikuwa na Mafuta kama Angola, sidhani kama haya tungeyaona maana wangelikuwa wakali wakijringia hela za mafuta. Ila kwa sababu sasa tumeshikwa pabaya, ngoja tuadhirike tu na Kikwete apewe HONGERA kwa KUTIMIZA masharti ya Wafadhili na sisi hapa nyumbani tubaki kumsifia kwa kubadili utaratibu.
HONGERA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Wafu?)..................
- Mnyonge mnyongeni baba, one step kwanza mimi nilidhani hawa CAG wameanza kwenye Awamu yake tu, kumbe mnasema walikuwepo siku zote, duh!
- Mkuu Rome haikujengwa siku moja!
William.