Huwa hazina logic quote zake .
Roho mbaya tuuu, lakini JK is best.
Jahazi Modern Taarab - Roho Mbaya Haijengi - YouTube
Huwa hazina logic quote zake .
Kwa hiyo tunamsifia kwa kutumia miaka saba kuweka ripoti ya CAG hadharani? Na hii ni performance indicator ya Rais? Kuweka ripoti ya CAG hadharani??? C'mon guys, we can do better than this! To me this is tooooooooooooo low a bar for a presedential performance indicator.
Sikufananisha nani "better" kuliko mwenzake. Ninachosema ni kuwa sidhani kama kuweka hadharani ripoti ya CAG ni perfomance indicator against which we can measure the President's achievements. Kwangu mimi nitapima utendaji wa Rais katika kuchukua hatua dhidi ya wezi na sio katika kushabikia wezi kutajwa hadharani. Kwangu mimi huo ni upuuzi tu!
Sikufananisha nani "better" kuliko mwenzake. Ninachosema ni kuwa sidhani kama kuweka hadharani ripoti ya CAG ni perfomance indicator against which we can measure the President's achievements. Kwangu mimi nitapima utendaji wa Rais katika kuchukua hatua dhidi ya wezi na sio katika kushabikia wezi kutajwa hadharani. Kwangu mimi huo ni upuuzi tu!
Uwazi wake unaanzia wapi? ndiye aliyeagiza ripoti ipelekwe bungeni? ndiye aliyeagiza wale jamaa wa epa wale warudishe kwa kificho? Labda cjaelewaMkuu ni JK anatisha sana, majambazi na wezi wanamuogopa sana.
Ila naona tatizo anafight alone maana huku kwenye maidara kuna mchwa