Sasa tatizo hapo lipo wapi?..... endelea tu.
Haiui, kama unajisikia vibaya acha.
 
Mkuu acha akako katabia, maanake baada ya muda mrefu, hautaweza kusimamisha tena hata milele. kwani ulianza je mpaka kujichua mtoto wa kiume? Hii ni dalili ya ukosefu wa maadili, nenda kwa ndodi akakuombee mara moja.
 
ukiwa unaoga mkono ukifika sehemu nyeti tu unaanza kufanya mambo yko.
demu mkono hana likizo coz hableed si ndio
 
Kaka ongela sana kwahilo kwani unasaidia kutoongezeka watu(population growth) kitu ambacho ni poa lkn pia unajilinda dhidi ya maambukizi kama HIV,Kaswende,gono na dhambi ya uzinzi .keep it up!
 
Endelea kukung'uta tu ndugu yangu haina madhara yoyote kiafya na kimwili kwa ujumla, madhara ni ya kiasaikolojia tu.
 
Masturbation ni addiction kama vile sigara, pombe etc. watu wengi wamejaribu kuacha wameshindwa hadi wameoa bado wanajiraha tu. Ili uache kwanza anza kw kupunguza mf. kama ulikua unagonga daily inakua twice a week, then once a week huku ukiichukia tabia hiyo hadi inakwisha. Epuka upweke, acha kukaa maeneo hatarishi mf.room peke yako. sali sana kwa imani yako ukimwomba Mungu akuepushe na tabia hiyo na akupe mchumba uoe. Nadhani umenipata.
 
Sasa mkono wako ukipata mimba utafanyeje? loh acha ubakaji mkono una haki pia hadi ukubali wenyewe!!

pole kijana Punguza kuangalia Ngono!! delete porn zote kwenye PC yako,. ni hilo tu
 
utafakari ukuu wa mungu kwanza vidole vinakazi yake mkuu na kuna raha ya kuwa na mwanamke iambie nafsi yako utaweza
 
Safi sana karibu CHAWAPUTA mkuu kuna nafasi nzuri tu tunakuandalia ktk chama...karibu sana
 
Imeandikwa Ole wao wageuzao viganja vya mikono yao kuwa uchi wa mwanamke...maana watoto nusu uliowaua siku ya kiama watakulilia wakiwa viumbe ambavyo havijakamilika kwani manii hazikuungana na za mwanamke na ubinafsi wa kujifurahisha mwenyewe bila mwanamke(lwa of nature)itaandikwa kwenye paji la uso wako...Nzagamba 12:1-3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom