Prof. Ndalichako fikiria mara mbili mbili katika mambo haya uliyoyaleta hayana tija ktk elimu yetu

vevenononombo

JF-Expert Member
Jun 19, 2015
1,289
420
Nianze kwakumpongeza waziri huyu kuteuliwa na mh Rais kuwa waziri wa wizara nyeti lakini nionyeshe masikitiko yangu nakuu mawili kwa maamuzi mabovu ya huyu profesa katika muelekeo wa elimu yetu hapa Tanzania.

1.Prof unaenda kuliua somo la hesabu kabisa mashuleni kwani kwa mujibu wa matokeo ya kidato cha nne2015 somo la hesabu halikupewa umuhim hivyo hakukuwa na adhabu yoyote(penalty) kwa mtu aliyepata alama F katika somo hilo na wala haikuathiri daraja la mtu huyo kama miaka ya nyuma kwa mazingira ya somo lenyewe taifa linakwenda kuwakosa wataalamu wa hisabati kwakua somo hilo halina mkazo tena

2.Kwa kitendo cha wizara kupitia baraza la mitihani kupandisha viwango vya ufaulu kwa kidato cha sita A kuanzia 80 badala ya 75 wakati hata hiyo 75 ilikuwa sio jambo la rahisi kupati.
 
Naunga mkono kupandisha viwango vya kufaulu, haviwezi kubaki kama zamani ilhali sasa hivi resource za kusoma ni nyingi na mazingira ya kusoma yamebadilika. Hapo kwenye hesabu Prof simuungi mkono
 
Tulia kwanza!, ngoja ifanye kazi kwanza ndipo baadae tutaona kama itaua au lah?!. Habadilishi milele yote, isipofaa atairekebisha mbele ya safari.
Tz hon presd; Magufuri 2016, Fanyeni maamuzi hata kama yakileta mkanganyiko mbeleni tutayarekebisha.

Namuunga mkono Prof.
 
Naunga mkono kupandisha viwango vya kufaulu, haviwezi kubaki kama zamani ilhali sasa hivi resource za kusoma ni nyingi na mazingira ya kusoma yamebadilika. Hapo kwenye hesabu Prof simuungi mkono
Mbona viwango vya alama kidato cha NNE vimebaki vile vile ?
 
kero ni nyingi ila iliyo kubwa zaidi na ambayo serikali inajifanya haiioni ni

MUWEZESHAJI MKUU AMBAYE NI MWALIMU.
Watazunguka mbuyu watatafuta mchawi ila kama hawatamjali mwalimu na kumpa stahiki zote(rejea walimu wa shule binafsi wanavyolipwa n.k)
na mwalimu huyo akijisemea NO kutoka ndani ya moyo wake hata alama "A" ikianzia na 61 nakuhakikishia kuna muda haitafikiwa na wanafunzi wanao pitia ktk mikono ya huyo mwalimu aliyejisemea no...
 
tanzania ina majinizi wengi sana mkuu na.wanaojua sana sema tu elimu yetu mbovu mbovu

A ya china inaanzia 91
A ya france inaanzia 90 na nchi zote zinazotumia mfumo wa france
A ya nchi za korea nasikia 95

tz 80 bado.ndogo sana.na.hii.itawapa wanafunz.wasome.kwa bidii

C waongeze isiwe 55 to 64 bali 65 to 75 afu B waipe 75 to 80 uone watu kama hawatasoma kwa juhudi
 
tanzania ina majinizi wengi sana mkuu na.wanaojua sana sema tu elimu yetu mbovu mbovu

A ya china inaanzia 91
A ya france inaanzia 90 na nchi zote zinazotumia mfumo wa france
A ya nchi za korea nasikia 95

tz 80 bado.ndogo sana.na.hii.itawapa wanafunz.wasome.kwa bidii

C waongeze isiwe 55 to 64 bali 65 to 75 afu B waipe 75 to 80 uone watu kama hawatasoma kwa juhudi
Elimu ya Tanzania inavitu vingi ambavyo waliosoma mitahala ya nje kama uchina ,ulaya na marekani vitu tunavyodoma sekondari wao wanavisoma vyuo vikuu mwaka wa kwanza na wapili lkn pamoja na hayo chukulia mfano Ufaransa wanatumia grading system ya 0 to 20 kutafuta grade lkn wanalinhanisha na nchi zingine ulaya kwa 70-80 kama A
 
Nianze kwakumpongeza waziri huyu kuteuliwa na mh Rais kuwa waziri wa wizara nyeti lakini nionyeshe masikitiko yangu nakuu mawili kwa maamuzi mabovu ya huyu profesa katika muelekeo wa elimu yetu hapa Tanzania.

1.Prof unaenda kuliua somo la hesabu kabisa mashuleni kwani kwa mujibu wa matokeo ya kidato cha nne2015 somo la hesabu halikupewa umuhim hivyo hakukuwa na adhabu yoyote(penalty) kwa mtu aliyepata alama F katika somo hilo na wala haikuathiri daraja la mtu huyo kama miaka ya nyuma kwa mazingira ya somo lenyewe taifa linakwenda kuwakosa wataalamu wa hisabati kwakua somo hilo halina mkazo tena

2.Kwa kitendo cha wizara kupitia baraza la mitihani kupandisha viwango vya ufaulu kwa kidato cha sita A kuanzia 80 badala ya 75 wakati hata hiyo 75 ilikuwa sio jambo la rahisi kupati.
Mimi sioni tatizo hapa.
Shida yako ni moja tu,unapenda kupanuliwa goli ili ufunge vizuri!
 
Elimu ya Tanzania inavitu vingi ambavyo waliosoma mitahala ya nje kama uchina ,ulaya na marekani vitu tunavyodoma sekondari wao wanavisoma vyuo vikuu mwaka wa kwanza na wapili lkn pamoja na hayo chukulia mfano Ufaransa wanatumia grading system ya 0 to 20 kutafuta grade lkn wanalinhanisha na nchi zingine ulaya kwa 70-80 kama A
Uzur wa mifumo kama ya China ina grading nyingi kuna A3.B3.C3
 
tanzania ina majinizi wengi sana mkuu na.wanaojua sana sema tu elimu yetu mbovu mbovu

A ya china inaanzia 91
A ya france inaanzia 90 na nchi zote zinazotumia mfumo wa france
A ya nchi za korea nasikia 95

tz 80 bado.ndogo sana.na.hii.itawapa wanafunz.wasome.kwa bidii

C waongeze isiwe 55 to 64 bali 65 to 75 afu B waipe 75 to 80 uone watu kama hawatasoma kwa juhudi
Unaweza ukawa sahihi, je umepitia na muundo wao wa elimu uko vp. Huko nako pia wanasoma masomo 11 kama kwetu au wanaspecialize tangu wakiwa chini??
 
Kama wewe ni mdau wa Elimu alafu unatoa mawazo kama haya basi wewe ni Jipu!
Ungekuwa umefanya comparison analysis ya mifumo ya elimu na kilichomo ndani yake usingejibu hoja yangu kishabiki nakuomba ukajielimishe kwanza na mifumo ya nchi zingine na yaliyomo na uchukue elimu ya Tanzania uje hapa jf kuweka ulichopata sio just kuangalia grading za nchi zingine nenda mbali. Zaid
 
Back
Top Bottom