Ni zaidi ya miaka 20 sasa somo la Hisabati linakuwa la mwisho katika ufaulu shule za msingi na sekondari. Nani alaumiwe?

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,712
36,170
Habari!

Nilikuwa nikipiga survey matokeo darasa la saba . La haula , katika shule za setikali taktibani 6 nilizoangalia sijaona A ya hesabu.

Somo la Kiswahili kama kawaida yake ni miaka zaidi ya 40 ndilo linaongoza kufaulisha.
Sasa somo la Kiswahili la nini zama hizi?

Setikali imeshindwa kubuni mbinu ya kuwafanya watoto wapende na kuelewa somo la Hisabati?

Sasa ukitaka uchoke angalia matokeo ya kidato cha nne uone zero za hesabu zilivyojaa.

Tatizo ni nini?

Lishe duni?

Genetic factor (watoto wamerithi udumavu)?

Walimu?

Waziri wa elimu?

Sera ya elimu?

Mazingira duni?

Shule ya msingi siku hizi hesabu nasikia wanachagua majibu.

Sasa hesabu ya kucgagua mtoto anakosaje?

Maana unafanya unapolemewa unaangalia jibu linalokaribia na jibu lako unaweka.

Nikiwa darasa la 4 nilisikia nikisengenywa kuwa Mimi ni bunduki macho wakimaanisha kuwa nakodoa sana kwenye hesabu.

Niliingia darasa la 5 nikiwa na hasira ya hesabu. Mpaka nafika darasa la 6 hesabu yoyote ya primary nilikuwa naweza kuifanya kwa kichwa tu.

NECTA la saba nikapiga A nzuri ya hesabu huku wale walionisengenya la nne wakipata D na C .

Namaanisha nini hapa?
Namaanisha kuwa kila mtu anaweza kufanya vizuri kwenye Hesabu na masomo mengine.
Kuna mahali tunakosea.

Hizi F za hesabu ni janga kwa taifa
 
Hesabu inaongoza,linafuata somo la kiingereza kwa kufeli.Walimu baadhi hawana commitment katika ufundishaji na mazingira duni pia yanachangia,bila kusahau uchache wa walimu pia,hivyo teaching load inakua kubwa sana.Mbali na hayo yote,motisha kwa walimu hairizishi,hivyo mwalimu kuamua kutotilia mkazo ufundishaji wa somo husika,hasahasa akiona anaumia kufundisha kwa juhudi na naarifa halafu posho ya madaraka,anapokea mtu tu anayeitwa mwalimu mkuu,ilhali anayeumia ni mwalimu wa hesabu au kiingereza,ambaye hapati posho yoyote.
 
Tatizo ni walimu kuwa vilaza, unaajiri walimu vilaza unategemea nini?
Kwa minajiri hiyo tutarajie miaka michache ijayo mambo kubadilika?
Maana nyuma kidogo mtu akipata daraja la mwisho option yake ni ualimu.
Ndio hawa ambao wako wengi sasa
 
Kuna walimu ni vichwa maji shuleni, wanaweka msingi mbovu katika ufundishaji kutokana na wao wenyewe kufundisha somo hilo huku wakiwa hawana ueledi nalo. wanarukaruka mada ngumu na hakuna mpango endelevu wa semina za walimu kuhusu ufundishaji wa mada ngumu. Ni ubabaishaji mtupu unaofanyika madarasani huku wakaguzi wa elimu nao hawana ueledi wa somo wanalolikagua ufundishaji wake. Kuanzia darasa la tano hesabu zinaanza kuchangamka, mwanafunzi asipofundishwa vizuri hapo huku kwingine atakuwa anaona maluelue tu na kuliona somo hilo ni gumu
 
Takwimu zipi hizo.
20231125_081303.jpg
 
Habari!

Nilikuwa nikipiga survey matokeo darasa la saba . La haula , katika shule za setikali taktibani 6 nilizoangalia sijaona A ya hesabu.

Somo la Kiswahili kama kawaida yake ni miaka zaidi ya 40 ndilo linaongoza kufaulisha.
Sasa somo la Kiswahili la nini zama hizi?

Setikali imeshindwa kubuni mbinu ya kuwafanya watoto wapende na kuelewa somo la Hisabati?

Sasa ukitaka uchoke angalia matokeo ya kidato cha nne uone zero za hesabu zilivyojaa.

Tatizo ni nini?

Lishe duni?

Genetic factor (watoto wamerithi udumavu)?

Walimu?

Waziri wa elimu?

Sera ya elimu?

Mazingira duni?

Shule ya msingi siku hizi hesabu nasikia wanachagua majibu.

Sasa hesabu ya kucgagua mtoto anakosaje?

Maana unafanya unapolemewa unaangalia jibu linalokaribia na jibu lako unaweka.

Nikiwa darasa la 4 nilisikia nikisengenywa kuwa Mimi ni bunduki macho wakimaanisha kuwa nakodoa sana kwenye hesabu.

Niliingia darasa la 5 nikiwa na hasira ya hesabu. Mpaka nafika darasa la 6 hesabu yoyote ya primary nilikuwa naweza kuifanya kwa kichwa tu.

NECTA la saba nikapiga A nzuri ya hesabu huku wale walionisengenya la nne wakipata D na C .

Namaanisha nini hapa?
Namaanisha kuwa kila mtu anaweza kufanya vizuri kwenye Hesabu na masomo mengine.
Kuna mahali tunakosea.

Hizi F za hesabu ni janga kwa taifa
Waalimu!
 
Mimi kwa maoni YANGU na tafiti nilizofanya walimu WENGI watoto WAO hawasomi SHULE za serikali yaani KAZI ya mikono yao hawaiamini,pia swala la maslahi haliwezekani kuwa SAWA kwa KUWA cadre zingine wanamarupurupu Sana,Pia mikopo yenye riba KUBWA inawaumiza sana,bado Kuna mikopo ya kausha damu.MADHARA YA KUSOMESHA SEHEMU TOFAUTI NA PALE ULIPO MAANA YAKE HUNA IMANI NA ELIMU INATOLEWA HAPO,HUWEZI KUSIMAMIA USICHOKIAMINI, HIVYO ili watu hao waweze kufundisha VIZURI lazima wawe na amani na utulivu KUHUSU maisha halisi ya maokoto.Kwa hiyo ili masomo HAYO yapate ufaulu MKUBWA.
 
Habari!

Nilikuwa nikipiga survey matokeo darasa la saba . La haula , katika shule za setikali taktibani 6 nilizoangalia sijaona A ya hesabu.

Somo la Kiswahili kama kawaida yake ni miaka zaidi ya 40 ndilo linaongoza kufaulisha.
Sasa somo la Kiswahili la nini zama hizi?

Setikali imeshindwa kubuni mbinu ya kuwafanya watoto wapende na kuelewa somo la Hisabati?

Sasa ukitaka uchoke angalia matokeo ya kidato cha nne uone zero za hesabu zilivyojaa.

Tatizo ni nini?

Lishe duni?

Genetic factor (watoto wamerithi udumavu)?

Walimu?

Waziri wa elimu?

Sera ya elimu?

Mazingira duni?

Shule ya msingi siku hizi hesabu nasikia wanachagua majibu.

Sasa hesabu ya kucgagua mtoto anakosaje?

Maana unafanya unapolemewa unaangalia jibu linalokaribia na jibu lako unaweka.

Nikiwa darasa la 4 nilisikia nikisengenywa kuwa Mimi ni bunduki macho wakimaanisha kuwa nakodoa sana kwenye hesabu.

Niliingia darasa la 5 nikiwa na hasira ya hesabu. Mpaka nafika darasa la 6 hesabu yoyote ya primary nilikuwa naweza kuifanya kwa kichwa tu.

NECTA la saba nikapiga A nzuri ya hesabu huku wale walionisengenya la nne wakipata D na C .

Namaanisha nini hapa?
Namaanisha kuwa kila mtu anaweza kufanya vizuri kwenye Hesabu na masomo mengine.
Kuna mahali tunakosea.

Hizi F za hesabu ni janga kwa taifa
Kuna wakati nnahisi kitu

Isije kuwa baadhi ya hesabu ni uongo ndo maana watoto kiotomati wanazifeli.

Masomo mengine kuoenyeza uongo ni kazi sana maana kwenye sayansi mfano: huwezi kutunga tu kwamba mwanadamu ana vidole 15 kila mtoto atakataa!!
Lakini hesabu mmmmmh. Somo jingine maarifa ya jamii, hili pia ni ngumu mtu kusema uhuru tulipata mwezi wa nane kumbe sio. Lakini kuna urahisi wa kuwaambia watu Tuntemeke au Mbowe au Nyerere au Kambona alifaa kwa sera hizi..... eeeh achana na hili, turudi kwenye uongo wa hesabu;

Nani alisema ni sahihi zaidi 1 + 1 ni 2 kwa nini sio tatu kama tunavyoshuhudia kwenye asili?

Hesabu nyingi ni za kufikirika sana yaani abstract na hilo ndio linanipa wasiwasi kwenye ukweli wake🤔
 
Habari!

Nilikuwa nikipiga survey matokeo darasa la saba . La haula , katika shule za setikali taktibani 6 nilizoangalia sijaona A ya hesabu.

Somo la Kiswahili kama kawaida yake ni miaka zaidi ya 40 ndilo linaongoza kufaulisha.
Sasa somo la Kiswahili la nini zama hizi?

Setikali imeshindwa kubuni mbinu ya kuwafanya watoto wapende na kuelewa somo la Hisabati?

Sasa ukitaka uchoke angalia matokeo ya kidato cha nne uone zero za hesabu zilivyojaa.

Tatizo ni nini?

Lishe duni?

Genetic factor (watoto wamerithi udumavu)?

Walimu?

Waziri wa elimu?

Sera ya elimu?

Mazingira duni?

Shule ya msingi siku hizi hesabu nasikia wanachagua majibu.

Sasa hesabu ya kucgagua mtoto anakosaje?

Maana unafanya unapolemewa unaangalia jibu linalokaribia na jibu lako unaweka.

Nikiwa darasa la 4 nilisikia nikisengenywa kuwa Mimi ni bunduki macho wakimaanisha kuwa nakodoa sana kwenye hesabu.

Niliingia darasa la 5 nikiwa na hasira ya hesabu. Mpaka nafika darasa la 6 hesabu yoyote ya primary nilikuwa naweza kuifanya kwa kichwa tu.

NECTA la saba nikapiga A nzuri ya hesabu huku wale walionisengenya la nne wakipata D na C .

Namaanisha nini hapa?
Namaanisha kuwa kila mtu anaweza kufanya vizuri kwenye Hesabu na masomo mengine.
Kuna mahali tunakosea.

Hizi F za hesabu ni janga kwa taifa

MASHULENI HAKUNA WAALIMU WA KUFUNDISHA HESABU, WALIOPO PENGINE NI 15%
HIVYO TUNAVUNA TULICHOPANDA!!!
Nikupe mfano rahisi:
Hivi Mwalimu ambaye hana ufaulu wa somo la hesabu kidato cha nne, anaweza kuruhusiwa kufundisha somo la Hesabu kidato cha kwanza (form one?) Kama jibu ni hapana; Ujue tu kuwa, Hesabu ya darasa la tano, sita na la saba ndiyo Hesabu inayofundishwa kidato cha kwanza kinachobadilika ni lugha tu; Hebu hao wanao jiita watafiti watuambie , waalimu wenye sifa ya kufundisha Hesabu huko msingi ni asilimia ngapi?
TUNAVUNA TULICHOPANDA!!!
 
Niko huku wilayani GAIRO, mpakani kabisa na wilaya ya KONGWA .

Muingiliano wa wilaya hizi umesababisha mahitaji ya pande mbili hizi kuongiliana.

Binafsi Nasali kanisa KATOLIKI UPANDE WA KONGWA ila naishi upande wa GAIRO.

Wanafunzi wengi wanasoma KONGWA lkn wanatokea GAIRO, kuna shule ya msingi inaitwa MAJAWANGA.

Kwakuwa na mm ni mkazi wa eneo hili kwa sasa nimefuatilia matokeo ya darasa la saba 2023 ni mtoto 1 tu aliyepata ufaulu wa A.

HUYU somo la HESABU kapata daraja A sasa kama taifa HALIWEZI KUTIBU UGONJWA WA KUFELI kama halitawatambua watoto kama HAWA.

Nilifanya mahojiano na wanafunzi na watoto wengine kujaribu kuulizia kijana huyo kama labda ni mtoto wa Mwl ? Au mtumishi wakanijibu baba yake ni FUNDI BAISKELI kule kijijini .

Sijui Mzazi wake Ana MAONO kiasi gani juu ya MWANAE, sijui jamii yake ina MAONO GANI, vp TAIFA linawatazama watoto wa aina hii hapa NCHINI.?

MFUKO wa mbunge wa KONGWA ingekuwa vyema ukatumika KUKIENDELEZA kipaji HIKI ,

Msaidieni kijana huyu natambua mnaweza MKITAKA.

Mwenyezi Mungu Awaongoze.
 
Shida kubwa kwa watoto na walimu ni Mtazamo hasi juu ya somo, walimu wa hesabu wengi wanajiona bora.. Na kuwatisha watoto badala ya kuwatia moyo hata pale wanakosea... Matokeo yake wengi wanaiogopa na kukimbilia arts, matokeo yake tunawalimu wachache wa hesabu nchini....na wataendelea iwapo mitazamo haitabadilishwa
 
Shida kubwa kwa watoto na walimu ni Mtazamo hasi juu ya somo, walimu wa hesabu wengi wanajiona bora.. Na kuwatisha watoto badala ya kuwatia moyo hata pale wanakosea... Matokeo yake wengi wanaiogopa na kukimbilia arts, matokeo yake tunawalimu wachache wa hesabu nchini....na wataendelea iwapo mitazamo haitabadilishwa
Waalimu wa hesabu wamejaa mitaani hawana Ajira
Tangaza leo ajira ya waalimu kigezo kiwe ni pass ya hesabu (walau D) uone mafuriko ya waalimu wakiomba
By the way; hao wanaowatisha wanafunzi ukiwafuatilia hawana pass za Hesabu au pengine wanapass ya mwisho. Mwalimu anayefaham hesabu vizuri, hufundisha wanafunzi kwa uhuru na kuwafanya wafaulu vizuri.
 
Back
Top Bottom