EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Well done, she is my Professor, she can deliver! Hongera mama.
Simply b'se she is your professor?
Well done, she is my Professor, she can deliver! Hongera mama.
Mkuu its more than that...Simply b'se she is your professor?
TBC imepoteza sana mvuto tangu Tido aondolewe. Lets hope kuwa prof atairudisha kwenye mstari ili kiwe chombo cha taifa badala ya propaganda za ccm.
Gachuma moja ya wanaccm nambari 1 kanda ya ziwa akiwa na hisa nyingi kwenye kampuni ya coca cola mwanza na hotel ya New mwanza hotel
Kwenye hiyo list ya wajumbe wa bodi, mbona namba (ii) haipo? Wamekosea kuweka namba ama kuna mjumbe wamesahau kumweka? Hii ndio Tanzania.
Who is Gachuma?
Gachuma,ama kweli hii nchi ina wenyewe
Gachuma of all the people..
Who is Gachuma?
Nimjuavyo huyu mama (Prof) hana affiliation ya kisiasa and she is confident. Hongera sana Prof.
Ni juhudi na kazi uliyofanya kuifikisha Mlimani TV and Radio ndizo zilizoku-expose kwenye orodha ya wanaostahili.
Hivi kumbe Rweyemamu wa ikulu ni mjumbe bodi ya TBC..basi tutegemee kifo cha TBC soon.
Nadhani hiyo ndio changamoto kubwa alionayo, kuifanya kuwa ya Taifa, na kuifanya ikubalike kote kote
Masuala ya Habari hayapo katika mambo ya muungano. Mjumbe namba (viii) Mkurugenzi wa habari idara ya Zanzibar anateuliwaje kuwa kwenye chombo/bodi ambayo haihusiki na mambo ya Muungano?
Na jamaa is one of them.....HAhahahahahaaaa
Yes... Of all people GACHUMA... Sababu ni moja tu... Jamaa ana mawe ya kufa pipo... So shida ndogondogo atamaliza......Si lazima mpaka serikali iingilie kati....Kielimu...I dont know...
Ni mkurya wa TARIME anaeishi Mwanza... Mmiliki wa Mwanza Hoteli na Nyanza Bottlers (watengenezaji wa Vinywaji baridi vya Cocacola). Vilevile ni mmiliki wa hoteli ya CMG iliyopo pale TARIME. Kifupi he is a among of biggest business Tycoons on Lake zone..... Kesha changia sana chama cha mapinduzi tangia enzi za bia za magendo kule SIRARI.....
pia ni mjumbe wa NEC ccm, na alipigana kufa na kupona ili Makongoro Nyerere ashindwe uenyekiti wa ccm Mara, halafu "nasikia" hafahamu kiingereza lazima kuwe na mkarimali/mkarimani (mtafsiri wa lugha hata ya kiswahili), Tumuombee alifikishe hili gurudumu
Namfahamu Prof. Possi kama ni mama mwadilifu na mwenye heshima kwa watu wa rika zote na mchapa kazi sana. Kwa kuzingatia hilo, naamini kwamba atakuwa ni agent mhimu wa mabadiliko ya TBC, maana kwa hivi sasa TBC ni kama shirika la utangazaji la CCM. So ni wakati mzuri wa kulifanya liwe la taifa badala ya kuendelea kuwa la chama.
Mkuu MD anareport kwa nani? MD anaweza fanya amabadiliko bila Bodi?Jaman profesa amekuwa mwenyekiti wa bodi sio mkurugenzi mtendaji,, yeye anakuwa passive member na sio passive member sawa sawa na kina mboma walivyokuwa tanesco,, so hawez kuibadili tbc kwa chocote zaidi ya mkurugenzi mtendaji wa tbc as ye ndo active member... So yeye sio employee wa tbc... Anakuja kwenye vikao tu, wakat wa recruitment ya director nae anashiriki mchakato wa mzima,,,, so angekuwa managing director wa tbc hapo ndo tungejua uwezo wake