Mwananchi Mtanzania
Member
- Jul 3, 2012
- 92
- 13
POMPO
naamini unampongeza kwakuwa tu ni prof wako.
LAKINI huyu ni mtu bogus, mwoga haina mfano. Alikuwa SJMC kwa zaidi ya miaka sita lakini alikuwa anashindwa kutoa arguments kwa wakubwa UDSM ili kuiboresha SJMC. Walau kale ka mama kengine Dr Kilian kalisaidia kuibadili SJMC.
Prof Possi ni mzuri katika kuandika academic papers tu. Lakini katika kukaa chini kjenga hoja na kuitetea hadi kuhakikisha inakuwa implemented, huyu mama ni ZIRO>
Kama huniamini, mpe mwaka mmoja utaona kama TBCCM haitazidi kuzama na kuwaudhi watanzania. Mbaya zaidi Mkurugenzi wa hiy TBCCM mwenyewe naye BOGUS mwingine Clement Mshana.
Tuna kazi kubwa sana watanzania
haya na wewe tuambie umefanya nini ili tusikuita bogus... au tupe mtu unayetaka akae hapo... watanzania maneno meeengiiiii............