NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
mimi pia nafanyaga makosa ya kiuandishi kama hii lakini ni kutokana na 'udogo' wangu ila kwa taasisi kama hii ni aibu ya hali ya juu
Mkuu na tarehe je? 18/10/20121
mimi pia nafanyaga makosa ya kiuandishi kama hii lakini ni kutokana na 'udogo' wangu ila kwa taasisi kama hii ni aibu ya hali ya juu
Kwenye hiyo list ya wajumbe wa bodi, mbona namba (ii) haipo? Wamekosea kuweka namba ama kuna mjumbe wamesahau kumweka? Hii ndio Tanzania.
Mbona Mzanzibar ni mmoja tu!!.
Au hichi sio chombo cha muungano?
Namfahamu Prof. Possi kama ni mama mwadilifu na mwenye heshima kwa watu wa rika zote na mchapa kazi sana. Kwa kuzingatia hilo, naamini kwamba atakuwa ni agent mhimu wa mabadiliko ya TBC, maana kwa hivi sasa TBC ni kama shirika la utangazaji la CCM. So ni wakati mzuri wa kulifanya liwe la taifa badala ya kuendelea kuwa la chama.
Mkuu wa idara hii ya matangazo naye asimamishwe kazi kwa uzembe, maana mpaka hapo hili tangazo si halali kisheria, maana tarehe imekosewa na number mjumbe mmoja amefutwa kimakosa......Tanzania zaidi ya uijuayo...Mkuu na tarehe je? 18/10/20121
Well done, she is my Professor, she can deliver! Hongera mama.
Nadhani hiyo ndio changamoto kubwa alionayo, kuifanya kuwa ya Taifa, na kuifanya ikubalike kote koteTBC imepoteza sana mvuto tangu Tido aondolewe. Lets hope kuwa prof atairudisha kwenye mstari ili kiwe chombo cha taifa badala ya propaganda za ccm.
Who is Gachuma?