Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Inaweza kutokea, hata Tido Mhando siku zile aliteuliwa na hao hao, lakini alipoingia mzigoni akaaamua kutekeleza majukumu yake bila kuwajali sana wao. Japo mara moja moja alikuwa anakengeuka.Mkuu,
Hilo litawezekana tu kama uteuzi wake haujafanywa na mkiti wa ccm. Si unajua achebe aliwahi kusema mkono haujawahi kupata ajali ukielekea kinywani?