Pombe imekuletea madhara gani maishani mwako?

Katika rehab kuna kipengere flani ambacho kinaelezea unapojaribu kuacha kitu usiache kwasababu kimekuletea madhara bali uache kwasababu umeamua kuacha

Ukipima uzani wa faida na hasara ya pombe nadhani faida inaweza kuwa kubwa kuliko hasara sababu mnywaji ndiye anayefiri ile andasi na inawezekana hakuna sehemu nyingine anayoweza kuipata

Hasara zipo katika kila jambo maishani (inategemea na jinsi unavyo tafsiri) na mara nyingi jamii ndio inayo jaji sana na kupanga mfumo wa maisha

Mie binafsi pombe haijakawai kuniretea hasara kubwa kama ilivyokuwa kwa mambo mengine
 
pombe ni mbaya ukizidisha ila ni poa ukinywa kwa kiasi, inakupa mzuka wa kusaka pesa.
 
Ifanye pombe ikupende ila si wewe kuipenda pombe kupitiliza..kama mimi nakunywa ila kiasi siyo mtu mpaka unashindwa kujielewa iyo inakuwa too much...Kunywa lakini usilewe
 
Mbona me ndo nataka kuanza??? Haya nambien faida zake bas....hasara nnayoogopa ni kitambi...na je inaleta kitambi tu au unanenepa mwil mzima..mana kitambi naeza vumilia
 
Hasara zisizo na maana, magonjwa ya zinaa na kugombana bila sababu za msingi ...
 
Hamna madhara inanipa zaid yakuamka asubuh nimebakiwa na hela ya supu thn maisha yanasonga" nakamata zingne
#GambeSiachiNtapunguza2
 
Wanasema kwamba huwezi kuacha pombe bila kukutwa na matukio,
Na Wanaume wengi walioacha basi ujue kuna siku walilewa mpaka wakazima kisha wakatatuliwa marinda,,,,
Yani wote wanaojifanya wameacha pombe tambua wamekumbwa na mkasa huo...
 
Wanasema kwamba huwezi kuacha pombe bila kukutwa na matukio,
Na Wanaume wengi walioacha basi ujue kuna siku walilewa mpaka wakazima kisha wakatatuliwa marinda,,,,
Yani wote wanaojifanya wameacha pombe tambua wamekumbwa na mkasa huo...
Allah, tuepushie...
 
kuna siku ukilewa vizuri unakumbuka list ya wanawake wote waliokukataa

Yote kunywa kistaarabu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom