Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Yaani huyu jamaa mtu wa ajabu sana! Yaani anawafanya wananchi hawajui wanachotaka!
Ni kweli ni ujinga kuwaambia wachague wanachotaka halafu unawapangia cha kuchagua.
Yaani huyu jamaa mtu wa ajabu sana! Yaani anawafanya wananchi hawajui wanachotaka!
Polisi hawataki wanachi wajuwe namna ya kususa na kuandamana.
Ndo maana unatumia avatar ya kijeba, kudhihirisha limitation ktk uoni wako, typical Chademu sapota.
Eeeh, jamani, kwani wewe hujuwi kuwa mswaada tuliupeleka kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri akausaini? na wale wa upinzani wamemuomba kukutana nae kabla hajausaini? Sasa saa nyingine mnapoteza wakati kwa miongozo, muda hauturuhusu.
Kwa iyo nia ya polisi ni kuwakataza wananchi wasijadili ibara inayowapa haki ya kuandamana??Polisi hawataki wanachi wajuwe namna ya kususa na kuandamana.
Bora ingekuwa mnajadili Mswaada, ngojeni sheria ya namna ya kuijadili katiba mpya Rais bado haja dondosha saini yake, msifanye haraka, mambo mazuri hayataki haraka, mnanchekesha.
Sawa, wewe ndo umesoma..na unasumbuliwa na akili nyingi mpaka unachamba kwa karatasi:biggrin1: na kutembea na keki makalioni.Hajasoma chochote huyo anasumbuliwa na stomach (tummy)
Magamba na CHADEMU inahusika vp na Dr. Abdulhaleem bin Juma bin Njelenje, who does NOT believe in politics? Unadhirisha fikra legevu na assumptions dhaifu, ndio yaleyale..signature ya CHADEMU sapota, fikra fupifupi na kutokuwajibika kimawazo.Magamba na chadema nani haoni mbali? Ndo tatizo lenu, ndoa yenu ya mkeka inatuletea matatizo jamani.
Katiba unaijua wewe peke yako na wanachademu wenzako tu, u should be proud of urselves.Hivi katiba ya sasa unaijua..? Huhitaji ruhusa ya mtu yeyote kuwa au kutoa maoni yako..? Hata kufikiri huhitaji ruhusa ya mtu..? Sasa unataka hao wananchi wasubiri ruhusa ya mtu mwingine ndio waanze kufikiri...! Anaglia sana usomi wako...??!!!
Dude I am so fly whether u like it or not..Hutaki meza nyembe.
Lol@this jackass..Faiza mwingine huyu hapa, anaitwa Abdulhalim, nahisi kiingereza chake hakikidhi viwango vyako.
Huyo mwache kama alivyo, hata Kiswahili kuna wakati huwa anaelewa mwenyewe tu anachoandika.Faiza mwingine huyu hapa, anaitwa Abdulhalim, nahisi kiingereza chake hakikidhi viwango vyako.
Katiba unaijua wewe peke yako na wanachademu wenzako tu, u should be proud of urselves.
nenda kalime, mvua za vuli zimeshaanza.. Hamna aliyekulazimisha kujibu watu JF.Wewe usitupotezee muda wetu hapa, unaulizwa kuhusu kondoo unaleta habari ya mbuzi. Kama umeajiriwa aliyekuajiri alitumia 'mananiliu' kukuchagua.
Magamba na CHADEMU inahusika vp na Dr. Abdulhaleem bin Juma bin Njelenje, who does NOT believe in politics? Unadhirisha fikra legevu na assumptions dhaifu, ndio yaleyale..signature ya CHADEMU sapota, fikra fupifupi na kutokuwajibika kimawazo.
NGO...Samahani maalim, what do you mean chademu?
Sawa, wewe ndo umesoma..na unasumbuliwa na akili nyingi mpaka unachamba kwa karatasi:biggrin1: na kutembea na keki makalioni.