Polisi wazuia mdahalo wa Katiba Iringa

Bora ingekuwa mnajadili Mswaada, ngojeni sheria ya namna ya kuijadili katiba mpya Rais bado haja dondosha saini yake, msifanye haraka, mambo mazuri hayataki haraka, mnanchekesha.

Wewe ni nani mpaka utoe "mwongozo wa spika" wa namna ya kujadili mambo?
 
Mambo kama hayo ndiyo yanayotakiwa kurekebishwa kwenye katiba...sheria kandamizi! haiwezekani katiba hiyohiyo inatoa uhuru wa kujadili na kutoa mawazo yako na hapo hapo kuna some boot-lickers wanazuia haki halali!
 
Safi sana. Enzi ya nguvukazi irudishwe, hatuezi kuwa na taifa la watu wa manenomaneno tu ambao hawataki kufanya kazi! Wanataka kuficha uzembe wao kwa kisingizio cha katiba.



What a stupi d comment! Are U also call yourself a great thinker? What a loss!?

How can you talk of jobs without talking of a good katiba which makes good environment fo good job and right way of working and workers! You must be in scene!

Anyway, as long as you are working to Nape, Katiba has nothing to do with you!
 
What a stupi d comment! Are U also call yourself a great thinker? What a loss!?

How can you talk of jobs without talking of a good katiba which makes good environment fo good job and right way of working and workers! You must be in scene!

Anyway, as long as you are working to Nape, Katiba has nothing to do with you!

Are U = Do you
of = about
Hiyo kwenye blue hata sijui nianzie wapi niishie wapi.
in scene = insane

Na wewe nawe kwani lazima uandike Kiingereza kama hukijuwi? si ungeandika Kiswahili tu, mbona mnanipa kazi ya kuwapa darsa hapa.
 
Wewe ni nani mpaka utoe "mwongozo wa spika" wa namna ya kujadili mambo?

Eeeh, jamani, kwani wewe hujuwi kuwa mswaada tuliupeleka kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri akausaini? na wale wa upinzani wamemuomba kukutana nae kabla hajausaini? Sasa saa nyingine mnapoteza wakati kwa miongozo, muda hauturuhusu.
 
Eeeh, jamani, kwani wewe hujwi kuwa mswaada tuliupeleka kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri akausaini? na wale wa upinzani wamemuomba kukutana nae kabla hajausaini? Sasa saa nyingine mnapoteza wakati kwa miongozo, muda hauturuhusu.

FF,
Kuna ubaya gani wananchi wakajadili Muswada ili kujua Rais anaenda kusaini kitu gani? Au kuna Sheria inayozuia Muswada kujadiliwa kabla ya kusainiwa na Rais? Kumbuka kuwa Muswada uliposomwa kwa mara ya kwanza ulipelekwa Dar, Dodoma na Zanzibar. Kwa hiyo wananchi walidhani kwamba ungepelekwa maeneo mengi ya nchi na kujadiliwa kwa kina, lakini cha kushangaza Muswada ulirudishwa Bungeni na kupitishwa fasta. Sasa cha kushangaza ni pale wananchi wanapopigwa marufuku hata kujua kilichomo ndani ya Muswada. Kwa kweli Serikali ya JK haina nia njema na nchi yetu!
 
yaani mwajiri anazuiwa na mwajiriwa kujadili mustakabali wa kampuni yake? ama kweli hiki ni kishindo cha ushuzi!
 
Wewe kweli nihamnazo, ukiwazuia kufanya mdahalo ndio wataenda kufanya kazi? Kwanini usiwaambie hao mapimbi wenzako unaowatetea hapa kwa ufirauni wao wawapelekee pembejeo za kilimo za kutosha na kwa wakati muafaka wakulima hao ili wazalishe chakula cha kutosha.
Ndio matatizo ya wafuasi wa CHADEMU, fikra fupifupi na kutokuwajibika kimawazo.
Sasa hizo pembejeo zitatoka wapi wakati hamzalishi chochote cha maana na hamlipi kodi? Au dokta wenu wa canon law aliposema atatoa elimu ya bure, mlidhani pesa atatoa wapi?

Lolz @ this deluded fool.
 
Mbumbumbu wa mwisho we,nini maana ya kukusanya maoni kwa wananchi?au unalopoka tu.
Maoni hayo kawapa nani ruksa ya kuyatoa na nani atayapokea? Kwanini msisubiri kuyatoa kwene vyombo vya kiserikali ambavyo vina mandate ya kuyafanyia kazi?

Btw,Mimi ni mbumbumbu ila I am sure nimekuzidi elimu wewe na ukoo wako wote.
 
Nasita kutamuka nape at work ila tu unawaza kutumia masaburi
Kwa hiyo mtu anayeshauri watu wafanye kazi kwa juhudi na maarifa na kuacha kukalia politiki basi anafikiri kwa kutumia masaburi, wewe unayeshauri the opposite nadhani ndo wafikiri kwa kutumia kale orifice kanakokutikana ktk hayo masaburi, au nikosea yakhe?
 
Wewe kweli nihamnazo, ukiwazuia kufanya mdahalo ndio wataenda kufanya kazi? Kwanini usiwaambie hao mapimbi wenzako unaowatetea hapa kwa ufirauni wao wawapelekee pembejeo za kilimo za kutosha na kwa wakati muafaka wakulima hao ili wazalishe chakula cha kutosha.

Mkubwa usihangaike na w*****e hao.
 
Maoni hayo kawapa nani ruksa ya kuyatoa na nani atayapokea? Kwanini msisubiri kuyatoa kwene vyombo vya kiserikali ambavyo vina mandate ya kuyafanyia kazi?

Btw,Mimi ni mbumbumbu ila I am sure nimekuzidi elimu wewe na ukoo wako wote.

Kwani JK alipotoa maoni yake kwa vikongwe wa CCM wa DSM kuna mtu alimzuia? Amesahau kwamba anaowanyima uhuru wa kutoa maoni ni mwaka jana tu alikuwa anawapigia magoti kuomba kura? Sasa hivi ameshapata kibarua ndio anawaona wananchi hawana maana? Hofu yenu magamba ya kuogopa maoni ya wananchi ni nini hasa?
 
Maoni hayo kawapa nani ruksa ya kuyatoa na nani atayapokea? Kwanini msisubiri kuyatoa kwene vyombo vya kiserikali ambavyo vina mandate ya kuyafanyia kazi?

Btw,Mimi ni mbumbumbu ila I am sure nimekuzidi elimu wewe na ukoo wako wote.

wewe umesoma uelewa wa wenzako, huna unachokijua, kwa maandiko yako hata ungekuwa na phd, mbumbumbu mzungu wa reli, usomi wako kamuongope mkeo.
 
Kwa hiyo mtu anayeshauri watu wafanye kazi kwa juhudi na maarifa na kuacha kukalia politiki basi anafikiri kwa kutumia masaburi, wewe unayeshauri the opposite nadhani ndo wafikiri kwa kutumia kale orifice kanakokutikana ktk hayo masaburi, au nikosea yakhe?

Hata wewe unatumia hayohayo madude kufikiri, think twice.....
 
What a stupi d comment! Are U also call yourself a great thinker? What a loss!?

How can you talk of jobs without talking of a good katiba which makes good environment fo good job and right way of working and workers! You must be in scene!

Anyway, as long as you are working to Nape, Katiba has nothing to do with you!
Ndo think tank ya CHADEMU hii..lolz

Are U = Do you
of = about
Hiyo kwenye blue hata sijui nianzie wapi niishie wapi.
in scene = insane

Na wewe nawe kwani lazima uandike Kiingereza kama hukijuwi? si ungeandika Kiswahili tu, mbona mnanipa kazi ya kuwapa darsa hapa.
 
Back
Top Bottom