SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,259
- 6,903
Kuumbe!Narudia tena Bila Polisi , ccm ni wepesi kuliko Pamb
Huo wepesi wao ndio ulifanya haya yatokee?
Haya
Kuumbe!Narudia tena Bila Polisi , ccm ni wepesi kuliko Pamb
Njoo kwenye maandamano madhumuni na faida utavikuta huko, usisahau kuja na bango lakoNaomba mtu anisaidie kunielezea dhumuni ya hayo maandamano na faida yake.
Serikali ijenge miundombinu bora ndio maana tunaandamanaMtego huo...! Unaaandamanaje wakati watu Wana kadhia ya mAfuriko?
Yes, kama kufunga ndoa vile, wawe wengi au wachache ndoa itafungwa tuu.Mkuu kwa wenzetu walio vizuri kwa demokrasia maandamano ni kufikisha ujumbe hivyo hata wakiwa watu 10 tu wanatosha.
Ila kuwa wengi ni kupamba na kuongezea vionjo
Ninyi mnahitaji maendeleo ya vitu mara hii Tena. Si Mlisema mnahitaji maendeleo ya watu mpaka mkamuombea mabaya aliyekuwa anahimiza sana maendeleo ya miundombinu!!!Serikali ijenge miundombinu bora ndio maana tunaandamana
Kuna viji threads threads huwa vinapanda humu JF, wengi wakividharau na kuviona ni vi thread tuu vya kawaida, kumbe sio vi thread vya kawaida, ni vi thread umba!.SlIASA: Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limetoa kibali kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya Maandamano yaliyotangazwa kufanyika Januari 24, 2024 katika baadhi ya Mitaa ya Jiji la Dar