Nataka PM ajue kuwa kauli yake ni mbaya sana kwa mustakabadhi wa Taifa letu.
Sasa ni dhairi wananchi watakuwa wanasusia mikutano ya MaDC wakidhani ni mikutano ya chama cha siasa.
Sasa haoni utendaje wake utakuwa mgumu? Duh! hii nchi kunahitajika jitihada za makusudi ili kuweza kuleta Utawala bora.
Pinda alijisemea kama mtu aliyekata tamaa "Na liwalo na Liwe" hii ni hatari kwa mstakabali wa Taifa.
Sasa ni dhairi wananchi watakuwa wanasusia mikutano ya MaDC wakidhani ni mikutano ya chama cha siasa.
Sasa haoni utendaje wake utakuwa mgumu? Duh! hii nchi kunahitajika jitihada za makusudi ili kuweza kuleta Utawala bora.
Pinda alijisemea kama mtu aliyekata tamaa "Na liwalo na Liwe" hii ni hatari kwa mstakabali wa Taifa.