Simu yangu haina uwezo wa kuaccess yahoo. Siwezi kusoma mails, hata nikifungua web ya yahoo pia inagoma.
Je, kuna namna ya kufanya ili niweze kuaccess email zangu za yahoo kupitia simu yangu??
NISAIDIENI TAFADHARI.
Kama unataka kupata emails zako like sms kwa chat@222 ni ngumu bt unaeza uka configer gmail ukapata emails kama cmc.Na kusign in kwa yahoo unaeza kuzixoma na zisiwe na any attachment
Kama unataka kupata emails zako like sms kwa chat@222 ni ngumu bt unaeza uka configer gmail ukapata emails kama cmc.Na kusign in kwa yahoo unaeza kuzixoma na zisiwe na any attachment
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.