Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,758
Ccm na tendwa wamechokoza manyigu yaliyolala, tena mchana wa saa 7
i knew it Tendwa ni kilaza flani hivi...Sasa sheria waliitunga ya nini kama wao wenyewe wanajua hawawezi kuitekeleza.this country bana yaani utumbo mtupu
Msajili wa vyama vya siansa amelitupa rasmi pingamizi la chadema dhidi ya mgombea urais wa CCM. Makamba amelizungumzia hilo kutokana na barua aliyoipata toka kwa msajili
Msajili amesema hana mamlaka ya kutangaza bali kuwatumia barua wahusika yaani CCM na CHADEMA
tatizo sio tendwa hoja za chadema hazina mashiko, mbona kule nyamagana wamepewa?
tatizo sio tendwa hoja za chadema hazina mashiko, mbona kule nyamagana wamepewa?
tatizo sio tendwa hoja za chadema hazina mashiko, mbona kule nyamagana wamepewa?
wakati wa chadema kwenda mahakamani sasa
i knew it Tendwa ni kilaza flani hivi...Sasa sheria waliitunga ya nini kama wao wenyewe wanajua hawawezi kuitekeleza.this country bana yaani utumbo mtupu
we unaongea nini bana..hebu tupishe hapa ..
kwani Tandwa katoa hoja gani katika kuinyima haki CHADEMA ?
wakati wa chadema kwenda mahakamani sasa