Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
Nashukuru.Nainusuru nchi na watu wenye matatizo ya akili na kukurupuka.That's all.
Acha upunguani punguani wewe! jinusuru mwenyewe kwanza kwa ufisadi uliokithiri kabla ya kutaka kuinusuru nchi.
Nashukuru.Nainusuru nchi na watu wenye matatizo ya akili na kukurupuka.That's all.
Nashukuru.Nainusuru nchi na watu wenye matatizo ya akili na kukurupuka.That's all.
Huwezi kuinusuru nchi kwa kuendelea kuwatetea mafisadi mkubwa!
Nimesoma kwenye ilani yenu mmeandika mnataka taifa liwe na uzalendo,maadili na uadilifu na mmeandika mtarudisha haya mambo.Doh!Ndani ya chama mnayo???
wanayo ya matusi, kejeli, na kuchukua wake za watu na kuwachukua makapi
Jana niliuliza swali mkalikimbia.Mngekuwa mmelijibu usingethubutu kuniita fisadi leo.:becky:
Huwezi kuinusuru nchi kwa kuendelea kuwatetea mafisadi mkubwa!
madrassa al sul
Mwafrika!!!Kitambo bro.Bado uko palepale??Vipi lile fungu ulipata?
madrassa al sul
madrassa al sul,
kitambo wapi? "umejiunga" septemba 2010, mimi na wewe wapi na wapi mr fisadi?
Si kule kwenye ile forum nyingine???Au umesahau???
HILI LIMESHITUA WATU LEO!
Marekani na Umoja wa Nchi za Ulaya wamekemea vikali kitendo cha Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya ....!!!!!
Huyu mheshimiwa hivi u Dr.wake ni wa kupora wake za watu, du hii ni kali ya mwaka. yeye si Dr. Makombora si angetungua kitu kipyaa????? sasa akina OBAMA wa USA halahala kuja TZ na ma firstlady wenu atakapoingia hekaluni kwani watatunguliwa kwa staili ya B52.