Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Saa nane mchana tayari, jamaa kala kona nini?
Navyosikia hakulala vizuri, tumbo lilimuweka macho usiku kucha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa nane mchana tayari, jamaa kala kona nini?
Naomba up to dates za matokeo ya pingamizi la CHADEMA dhidi ya CCM
Yaani wewe post ya kwanza unaanza na kuomba updates kuna mtu humu ulimtuma be serious mpigie simu Tendwa atakuwa nazoNaomba up to dates za matokeo ya pingamizi la CHADEMA dhidi ya CCM
hakuna mahali palipoandikwa jinsi wafanyakazi watakavyolipwa,hakuna hansard yoyote bungeni inayotamka mishahara ya wafanyakazi,kwa hiyo hakuna ushahidi wowote endapo mishahara haitaongezwa,changa la macho kama la mahakama ya kadhi,kwahiyo ahakuna sababu yoyote ya kutetea rushwa ya mishahara ya wafanyakazi,wataalam na wasomi wote wanasema hiyo ni test capability ya hon tendwa.namuonea huruma sana,kwasababu ni mtu wa watu na ni mchapa kazi mzuri sana kutoa uamuzi kwake utakuwa ni kumtundika kitanzi shingoni. asilaani hawezi hata kidogo kumpiga chini tajiri yake.
Jamani mnasubiri nini, Tendwa alisema jibu lake la kukataa pingamizi la Chadema atawapelekea NEC na kwenye vyama husika, vyama ndivyo vitakavyotoa taarifa kama vitapenda, kwa sasa anaendelea na mkutano wa Baraza la ushauri la vyama vya siasa, habari ndiyo hiyo.
Yaani wewe post ya kwanza unaanza na kuomba updates kuna mtu humu ulimtuma be serious mpigie simu Tendwa atakuwa nazo
Ringmaster
Join Date Mon Sep 2010
Posts 1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0
Yaani wewe post ya kwanza unaanza na kuomba updates kuna mtu humu ulimtuma be serious mpigie simu Tendwa atakuwa nazo
Ringmaster
Join Date Mon Sep 2010
Posts 1
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power 0
Mbona unaingia bila hodi? Umetumwa? Jitambulishe halafu tujue uko upande gani -- wa mafisadi au wale wanaofisidiwa?
Either you are with us (indigenous) or with them mafisadi.Inabidi kusupport upande fulani ili uwe member hapa? Na sisi tusiofungamana na upande wowote inakuwaje?
Kaka mbona unamtisha mwenzio?!Mbona unaingia bila hodi? Umetumwa? Jitambulishe halafu tujue uko upande gani -- wa mafisadi au wale wanaofisidiwa?