Elections 2010 Pingamizi la CHADEMA latupwa

Labda kwa wananchi kuacha kufanya mambo yao ya msingi na badala yake kujadili juu ya pingamizi. Mjadaala haukuwa hapa JF tu bali hata mitaani kwetu madongo kuinama na huku kijijini kwetu.

Sasa toka lini watu kujadili kukawa ni usumbufu? Mbona mijadala ipo kila siku tu. Hawa CCM wachunge kauli mtu zao maana hazina kichwa wala miguu
 
Kesi ya Pundamilia:

Hakimu Simba
Mwendesha Mashtaka: Fisi
Advocate wa Mlalamikaji: Chui
Wasikilizaji waliohudhuria: Tai
Askari Police na Magereza: Mbwa Mwitu

Kama Pundamilia ataokoka ni kwa maajabu tu ya Mungu Mwenyewe

Umemaliza --mjadala zaidi wa nini?
 
Mimi nilichokuwa nasubiri si ruling ya Tendwa kwa sababu hilo ilikuwa obvious itakuwa hivo nachotaka kujua ni plan B ya Chadema kwa sababu zilizo wazi kabisa hii ni strategy iliyopangwa.

Labda cha zaidi kujua kwenye hiyo ruling ni kilichomo mfano mashahara aliotangaza JK kule Mwanza ulikuwa umeshapitishwa na bunge. Tukishajua hivo sasa tujue na utaratibu uliotumika kuongeza mishahara haya ndiyo nafikiri mambo ya msingi katika shauri hili. Nafikiri baada ya kujua hayo hakuna mtu atakayeuliza tena.
 
Makamba akinukuu barua ya msajili alisema:
- Pingamizi la CHADEMA halina msingi wowote
- Msajili ametupilia mbali pingamizi hilo
- Pingamizi limeleta usumbufu kwa Wananchi.

Katika hatua nyingine, Bw. Mahimbo, amewaagiza wanasheria wake, wawafungulie kesi ya Madai Dr. Wilbrod Slaa na Josephine kwa kuishi na mke wake wa ndoa. Amedai fidia ya TZS 1 Billion na pia kuna mambo mengine yanayohusiana na watoto:

Sorece: News Bulletin - Channel 10
Makamba siku zote hawezi kutolea ufafanuzi wa kitu bila kuchapia upuuzi. Sasa ina maana wananchi kujadili masuala ya sheria za nchi ni usumbufu, anataka wajadili mambo gani ya kina Mahimbo kwenda mahakamani.

Kwake lipi bora kuzungumzia sheria za nchi zilizopo au kuzungumzia mambo ya ndoa za watu this is very low kwa kiongozi wa chama tawala kuongea nonsense kama hizi, ni Tanzania tu inayokubali viongozi wapuuzi kama hawa.
 
Pingamizi limetupwa na Makamba amehojiwa na VOA pia Prof.Baregu.
Nimesikiliza BBC na ilikuwa kama Tendwa anawaomba radhi wa CCM kwa usumbufu uliotokea pamoja na mgombea wao.
Baregu amesema wanasheria wanakutana na watawajulisha wananchi.
Kama kawaida Makamba ilikuwa ni majigambo.
SIAMINIs sana utabiri lakini nahisi kuna jambo litatokea,si bure.
 
Yakhe naona hili neno umelipenda sana maana katika siku za hivi karibuni umekuwa ukilitumia sana kila upatapo upenyo :becky::becky:


hahaha nafanya applied linguistics (isimu) baada ya darsa la nguvu hapa (wapi Kiranga):becky:
 
haaaa...Makamba anadai kuwa pingamizi limeamsha chuki baina ya Chadema na CCM,,, (ndo akiita bugudha)

kwamba 'kukosoana kukite katika sera sio tuhuma"


Mnyika anasema hawezi kutoa barua kwa wanahabari kwa sababu ni 'confidential' (vimegogwa muhuri wa siri) Lakini amammtaka msajili kutangaza hadharani for the sake ya Umma kufahamu,


Thats according to TBC1 news bulletin
 
Hivi hawa watu wanafikiria hii nchi ni ya kwao peke yao? mgombea ni mgombea wa Taifa zima, chama ni chama cha taifa zima lakini wanagonga mihuri ya siri ati ni confidential.. screw 'em!
 
Mr. Tendwa hakuwa overly confident kama siku zote alipokutana na waandishi wa habari, thats very interesting to me. Makamba amejitahidi sana kutokutaja sababu za kisheria za kwenye barua ya msajili.

Mnyika ameshauri msajili awaambie wananchi sababu za kutupilia mbali pingamizi hilo na kwamba barua ni confidential.

The race has started all over again.
 
Mr. Tendwa hakuwa overly confident kama siku zote alipokutana na waandishi wa habari, thats very interesting to me. Makamba amejitahidi sana kutokutaja sababu za kisheria za kwenye barua ya msajili.

Mnyika ameshauri msajili awaambie wananchi sababu za kutupilia mbali pingamizi hilo na kwamba barua ni confidential.

The race has started all over again.


kombora limedakwa na kumezwa
 
Hivi wanaposema ni confidential wana maana nini hakiwezi kufanywa juu ya hizo Barua
 
Mr. Tendwa hakuwa overly confident kama siku zote alipokutana na waandishi wa habari, thats very interesting to me. Makamba amejitahidi sana kutokutaja sababu za kisheria za kwenye barua ya msajili.

Mnyika ameshauri msajili awaambie wananchi sababu za kutupilia mbali pingamizi hilo na kwamba barua ni confidential.

The race has started all over again.
jamani mnataka mjue ili iweje?
maana walalamikaji Chadema nakala ya maamuzu wanayo kama hawajaridhika waende kortini
mnyika anataka kutuambia haruhusiwi kutoa hadhsrani maamuzi kwakuwa katumiwa kwa barua? nijuzeni
 
Ina maana kama ni konfidential Mnyika haruhusiwi kuisoma hadharani, hivyo atakua amevunja sheria? au nayo kusema majibu ni konfidential nayo ni mbinu za ccm?
 
jamani mnataka mjue ili iweje?
maana walalamikaji Chadema nakala ya maamuzu wanayo kama hawajaridhika waende kortini
mnyika anataka kutuambia haruhusiwi kutoa hadhsrani maamuzi kwakuwa katumiwa kwa barua? nijuzeni

Hivi ndugu yangu huwa unafikiria kwanza kabla ya kuandika?Unauliza tunataka tujue ili iweje!Kwani wewe unataka tusijue ili iweje?

Kwani Tendwa alipoahidi last week kuwa ataongea na waandishi wa habari alikuwa na malengo gani kama sio kutujulisha maamuzi yake?

Kama wewe hutaki kujua,fine.Just leave us alone tunaohitaji kujua.It's just like education,hulazimishwi kuitafuta.Let those who need it have it,please!
 
Back
Top Bottom