Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Aliahidi statement within siku tano au baada ya siku tano? Kuna tofauti kubwa hapo.
Kiranga,
unajua watawala wanafikiria Watanzania ni mabwege. Si kweli. FYI, kama ulimwengu ungekuwa unafanya longolongo kama Tz, ungekuta hadi leo motokaa haujavumbuliwa!!