COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Nilishasema nimeota zit.to amekufa tusubiri tuone!
Tema mate chini.....wewe siyo MUNGU angalia usije ukafa wewe.
Nilishasema nimeota zit.to amekufa tusubiri tuone!
Nilishasema nimeota zit.to amekufa tusubiri tuone!
wana maana gani, wanamuombea afe, wanamuombea atolewe uanachama au nini, mbona inaonyesha roho mbaya sana jamani hata kama tunatofautiana katika mwelekeo wa kisiasa, ndio uandike "BURIAN SOMEBODY" ambaye bado hajafa, its not fare.
Mzee umri wake kwa sasa ni zaidi mara tano ya umri wa ccm mpaka anachekesha akiwa jukwaani alivyochoka kisiasa.
Mtakufa nyinyi mzalendo Zitto atabaki tukajua wanazungumzia daftari kumbe bado wanapambana na jeshi la mto mmoja!
Mzee umri wake kwa sasa ni zaidi mara tano ya umri wa ccm mpaka anachekesha akiwa jukwaani alivyochoka kisiasa.
A fool can easily be identified by what proceeds from his/her mouth. (Adedayo kingjerry)Mkuu kwahiyo leo ni full gongo?
Mkuu kwahiyo leo ni full gongo?
yule babu kazidisha ngono