EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Hapana, SUGU pia AMEFANYA KOSA hayo MAGWANDA ni ya BINAFSI hayakutolewa na SERIKALI YA JAMHURI ya TANZANIA; HILO NI KOSA PIA... na NAONA MAPOLISI wanamwangalia SUGU BILA kufanya CHOCHOTE
Msanii Rick Ross wa nchini Marekani ilimlazimu kuwakubali Watanzania kwa kukiri kwa maneno na kitendo cha kupiga saluti, kwani licha ya wapenzi wa burudani kuimba naye, msanii huyo alikutana na mapokezi na heshima ya hali ya juu ndani ya Tamasha kubwa la Burudani la Serengeti Fiesta 2012 viwanja vya Lidaz Club jijini Dar.