Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wanatambua Sana; na WENGI Hawajui ISHARA ya MSALABA hata KIDOGO
As you know in US the highest percentage of christians are Protestants and not Catholics
Catholics are minority; Ndio Maana Rais Mkatoliki pekee wa US ni John F Kennedy na Sijui kama watapata Mkatoliki Mwingine... In Short Protestants in US are not that much fond of Catholics...
Lawrance Masha ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC - CCM) wilaya ya Nyamagana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.
Lawrance Masha ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC - CCM) wilaya ya Nyamagana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.
ivi heshima za mwisho kwa alouwawa akiwa kichakani na dadake? Alijificha na dadake kweli? Acheni izo uyu acp kauwawa akiwa ktk harakat za kumsindikiza hawalake, akiwa ktk tendo la uasherati, haina tofauti na alokufa akiwa kifuani kwa hawala akibemenda, jamani toeni uo msalaba kuudhalilisha
... ndio Maana nimeweka JAMII FORUMS kupata Msaada...
...
alikuwa anaweka ishara ya msalaba
Lawrance Masha ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC - CCM) wilaya ya Nyamagana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.
JF ishavamiwa.Kwani kupiga saluti lazima uwe umekanyaga JKT?
naona haikuwa saluti bali alikua anaanza ama katikati ya kuweka alama ya Msalaba
Kwa waluoishi Marekani wanatambua kuwa si lazima uwe mkatoliki kupiga ishara ya msalaba.