Wewe ni janjaweed lazima upige salute nduguUsilazimishe mtu afanye utakavyo.... Axha upuuzi wewe
Mbona Mimi nimepiga salute na si mwanajeshi
Tumeishiwa hoja sasa tunajilengesha kwa wanaume
Wewe ni janjaweed lazima upige salute nduguUsilazimishe mtu afanye utakavyo.... Axha upuuzi wewe
Mbona Mimi nimepiga salute na si mwanajeshi
Tumeishiwa hoja sasa tunajilengesha kwa wanaume
IVI HESHIMA ZA MWISHO KWA ALOUWAWA AKIWA KICHAKANI NA DADAKE? ALIJIFICHA NA DADAKE KWELI? ACHENI IZO UYU ACP KAUWAWA AKIWA KTK HARAKAT ZA KUMSINDIKIZA HAWALAKE, AKIWA KTK TENDO LA UASHERATI, HAINA TOFAUTI NA ALOKUFA AKIWA KIFUANI KWA HAWALA AKIBEMENDA, JAMANI TOENI UO MSALABA KUUDHALILISHa
Naona unanipa salute kiana. Wewe at least ni Chipukizi? Maana tumeambiwa hapa raia haruhusiwi kumpigia salute raia mwenzake.
Kiranga katuambia tukitaka kuwa critics tujiandae kwa kila neno moja tutakaloandika, tuwe tumeshasoma maneno mia moja kutoka sources mia moja nzuri, kwa kila neno moja tutakalosema, tuwe tumeshasikiliza maneno mia moja kutoka kwa wanazuoni mia moja wazuri, juu ya suala hilo.
Naamini neno/maneno include(s) picha pia. Bado natafuta picha za raia wanaopiga salute mpaka zifike mia. lol
Kwani uongo kuwa Kikwete alikosea kushika mwenge, au nawe unaamua kutetea tu hata pasipoteteeka?
Au ulitaka asisemwe kwa hilo, kisa tutaonekana "cry wolves!"
Hoja pale ilikuwa ni taratibu kukiukwa, km taratibu ndogo km ile kaikiuka hadharani, ni taratibu ngapi kubwa anazikiuka sirini?
Sorry kama sikukuelewa, lakini nina imani kabisa kwamba siko peke yangu ninayeamini ninachoamini kuhusu msimamo wako kwenye salute ya Laurence....
Just follow the whole story, see where you leaned towards niaminicho
thanks and Goodbye
Sorry kama sikukuelewa, lakini nina imani kabisa kwamba siko peke yangu ninayeamini ninachoamini kuhusu msimamo wako kwenye salute ya Laurence....
Just follow the whole story, see where you leaned towards niaminicho
thanks and Goodbye
I don't agree with you. Before JFK they said a Catholic will never rule America. Before Obama they said a black will never rule America. The world is still very very young. Anyhting is possible.
Kumbe umeleta ili upewe msaada, sasa unachowabishia watu wanakupa msaada nini? Nadhani umeileta ukitegemea raia watapiga madongo kumbe sio..Watu wanamaliza shule hawajui kusoma na kuandika, sishangai pamoja na wewe kupitia JKT haukujua hata kupiga hiyo salute.
Kama ni ulinzi shirikishi, na kama ni dhana ya polisi jamii Mh. Liberatus L. Burlow alifanikiwa kwa kiasi kikubwa. Kwa kuwa na mimi nilikuwa huko ngoja tujikumbushe yaliyojiri wakati msafara ukikaribia na wakati ulipoingia uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza:
Lawrance Masha ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC - CCM) wilaya ya Nyamagana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.
Lawrance Masha ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC - CCM) wilaya ya Nyamagana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.
Hapana, SUGU pia AMEFANYA KOSA hayo MAGWANDA ni ya BINAFSI hayakutolewa na SERIKALI YA JAMHURI ya TANZANIA; HILO NI KOSA PIA... na NAONA MAPOLISI wanamwangalia SUGU BILA kufanya CHOCHOTE
huyo amesavaive kwa siasa na bado yupo kwenye sias kwanini alikasirika mpaka akaumwa baada ya kushindwa siasa kwa mtu mwenye hela za kutosha sio sehemu ya kuwepo.Tunaaibisha sometimes
Not everyone survives kwa siasa
Nadhani nungu007 ungeanzia kwenye wikipedia ujue maana ya neno salute, baada ya hapo pitia dikshenari then unapotaka wewe... these days guugo helps solving simple arguments
Hakuna sehemu iliyokataza watu kupiga saluti, the only thing some soldiers find kwenye civian salute ni ile kuona kwamba civilian cant do it like they do, but it is not prohibited anywhere
Hiyo ni ishara ya msalaba, usipotoshe watu namimi pia nilikuwepo eneo la tukio.
Lawrance Masha ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC - CCM) wilaya ya Nyamagana akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza marehemu Liberatus Barlow.
Mkuu naomba unisaidie kujibu swali langu, Hivi wakati Rais Benjamin Mkapa alipokuwa anawasalimia wananchi kwa salamu ya "Mambo", ilikuwa inamuondolea sifa yake kama Rais au la?Unamlazimisha sasa?
Kwa taarifa yako, Mkristo ambaye si Mkatoliki anaweza kwenda kwenye shughuli ya Wakatoliki na kupiga alama ya msalaba kama Wakatoliki kuonyesha ushirikiano na imani kwa Kristo mmoja.
Huyu kamanda alikuwa Mkatoliki na anazikwa Kikatoliki ona hapa Mzee wa Mshitu
Ibada ya kuuaga mwili Marehemu, Kamanda Liberatus Barlow kama ilivyoongoza na Watumishi wa Kanisa la Roman Catholic maana kamanda alikuwa muumini wa kanisa hilo.
There is your answer, acha kukurupuka.