Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,279
- 105,481
Usilazimishe mtu afanye utakavyo.... Axha upuuzi wewe
Mbona Mimi nimepiga salute na si mwanajeshi
Tumeishiwa hoja sasa tunajilengesha kwa wanaume
Mkuu,
Tatizo watu wanatafuta kuwa argumentative bila ya kuwa na merit. It takes work to be argumentative correctly.
nngu007
Lawrence Masha kama mnamtaka kumsema jamani mbona kuna mengi tu ya kumsema legitimately? Au mkiona kichaka tu mshabanwa haja?
Ila mjue mkitaka kuwa critics mjiandae kwa kila neno moja mtakaloandika, muwe mshasoma maneno mia moja kutoka sources mia moja nzuri, kwa kila neno moja mtakalosema, muwe mshasikiliza maneno mia moja kutoka kwa wanazuoni mia moja wazuri, juu ya suala hilo. Msikilizeni mtume wa criticism.
Ndo kadiri ya "rule of thumb" of good criticism.
Sio mtu unajisikia tu kusema, mara leo mbona Kikwete kashika mwenge kwa mkono wa kushoto, ooh Masha kapiga saluti.
Hata gazeti la Shigongo husomi, achilia mbali kutafuta informative sources.
Watu wa aina hii watawafanya hata wenye malalamiko ya kweli waonekane wana "cry wolf" tu sasa.
JF ionekane ya wazushi waliojaa gubu tu.
Huyo Masha akikwambia kampata Guru , alikuwa anapiga Namaste, utasemaje?