Ebu cheki umma ulivyo kubali yaani CHADEMA kuitoa CCM madarakani ni sawa na kuku kuzaa ndama na ng'ombe kutanga mayai....
Hii ni pamoja na kuwalazimisha waajiri wote kuhakikisha wafanyakazi wao wanaenda kwenye mkutano huo la siyo biashara zao zitapigwa panga na kupoteza ajira kwa viongozi wa uma
Watu wameandaliwa kutoka mikoa jirani hawa.......
Siyo wengi ki vile,,,ukizingatia kuna show za bure,nguo za bure,n. k
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
Mh hapana mkuu, kwa nini wahangaike na watu wa kutoka mikoa jirani wakati kuna lundo la watu Mwanza mjini? Gharama yote ya nini wakati wa Mwanza wanapatikana kwa buku 5 tu?
Mzee Mwanakijiji;
"Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye...."
Hilo halina ubishi.
umechapia,,,,Ebu cheki umma ulivyo kubali yaani CHADEMA kuitoa CCM madarakani ni sawa na kuku kuzaa ndama na ng'ombe kutanga mayai....
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
Jamani hayo malori ni watu wenyewe ndo walijipanga na kuyakodi ili kwenda msikiliza raisi wao mpendwa. Kwani kuna shida gani kupanda malori???
Mi sioni hiyo kama ni sababu ya msingi.
JK anapendwa jamani...
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
Tuseme kweli hata pamoja na malori bado JK anamvuto na yeye....
akiwa kama mkuu wa nchi lazima awe na mvuto kaka. kila mtu hupenda kumwona mtawala na kujihisi ameona nyota njema.
But tutayaona haya kwenye ballot box jumapili