Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,717
Au labda "hofu" is too strong a word?
Kwa sababu huu ndio Mkoa ambao mgombea wa CCM (Kikwete) alishambuliwa jukwaani na chizi. Huu ndio mkoa ambao TANU ilikuwa inaihitaji msaada wa Bomani kuingia na kutoka kule.
Sasa tunaona Makonda yuko Maswa,lakini huko si ndiko alikoenda miezi michache iliyopita,alipopanda mkokoteni kule? Yaani, safari ya Makonda kule ya sasa hivi inakuwa kama ni matayarisho ya Rais kwenda Mwanza.
I mean, kama rais yupo Mwanza kwa nini Makonda hakwenda kusini. Talking about the south,Rais Samia inaonekana kama vile anakwepa kwenda kusini. Lakini that is understandable, na wale wamakonde,waislamu wa chiacha Kali walioko Msumbiji.
Kwa sababu huu ndio Mkoa ambao mgombea wa CCM (Kikwete) alishambuliwa jukwaani na chizi. Huu ndio mkoa ambao TANU ilikuwa inaihitaji msaada wa Bomani kuingia na kutoka kule.
Sasa tunaona Makonda yuko Maswa,lakini huko si ndiko alikoenda miezi michache iliyopita,alipopanda mkokoteni kule? Yaani, safari ya Makonda kule ya sasa hivi inakuwa kama ni matayarisho ya Rais kwenda Mwanza.
I mean, kama rais yupo Mwanza kwa nini Makonda hakwenda kusini. Talking about the south,Rais Samia inaonekana kama vile anakwepa kwenda kusini. Lakini that is understandable, na wale wamakonde,waislamu wa chiacha Kali walioko Msumbiji.