jamani jamani jamani.yale yale yaliomkuta waziri wa ulinzi wa Ujerumani ana kashfa ya kukopi PHD thesis yake kwa mtu mwingine.Lakini nafuu yeye walau kasoma kakopi je mzee wa kaya za kupewa tu sidhani kama alishaandika thesis tofauti na dissertation yake ya kadigriiiiiiiiiii:mullet:
Ndiyo maana yake!!Ina maana na chuo kilichotoa hiyo Shahada ni mahili kwa Uchakachuaji???
precisely!!Pwagu na Pwaguzi wanatunukiana shahada!
...Nami piaHahahahahahaah nimeipenda hiyooooo