tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,362
Nimeota nimekutana na malaika watu, hilo halikunishutua sana mimi ni mpentecostal safi. Cha ajabu hawa malaika walisema wanatoka kwa suba(Mungu wa Islam) na wametumwa kwa baba yangu?
Hii inaweza kuwa na maana gani? Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo. Je, hawa malaika ni akina nani?
Hii inaweza kuwa na maana gani? Kwa kifupi kabisa mimi sijawahi hata kuwaza kuwa kwenye Imani hiyo. Je, hawa malaika ni akina nani?