Tanzania ni giant how? Ethiopia wanaikimbia nchi yao. Tuache utani ..tafiti za kibeberu

Mama Edina

JF-Expert Member
Dec 18, 2022
748
1,816
Yaan hii imenishangaza sana.
Screenshot_20231013-210501.jpg

Angalia hapa
 
Yaan hii imenishangaza sana.
Ungeeleza kilicho kushangaza, huenda ungepata msaada wa maelezo ili usibaki unashangaa tu.

Lakini sioni ajabu kwa wewe kushangaa, baada ya kuambatanisha na picha isiyokuwa na uhusiano wowote na hicho unachokishangaa wewe

Hii nchi mbona ujinga umekuwa mwingi sana siku hizi?

Aaaahaaaa, Kumbe?

Nilikuwa sijasoma vyema mada yako, hasa kuhusiana na hayo mapicha yaliyobandikwa hapo.

Kumbe wewe siyo mjinga, bali ni mpumbavu mmoja tu hivi?
Kwa kawaida huwa sisome mada za aina hii.
 
 
Matunda ya Royal Tour kuutangaza utalii Tanzania.
Shukran mama Samia, Tanzania sasa kumekucha kiuchumi. Malizia miradi yako tanzania ipae.
2025 ni wewe tu, 2030 ni wewe tu Mungu akipenda
Riyo tua haijasaidia chochote. Hujamsikia mwenyewe rais juzi anasema katumia hela nyingi kujitangaza na kuibrand Tanzania lakini hakuna matokeo yoyote?
 
Yaan hii imenishangaza sana.
View attachment 2781206
Angalia hapa
Imekushangaza nini? Ethiopia kukimbia Nchi yao inahusikaje na Tanzania kuwa giant?

Afrika Kusini hawamuani Kila siku Kwa sababu za umaskini? Lakini si wengine nao wanakimbilia huko South kwamba Kuna nafuu?

Mwisho Kwa hiyo wewe ndio unajua Leo hii kwamba Tanzania ni Kati ya Nchi 10 Zenye uchumi mkubwa Afrika au? Mbona mada ziko humu jf kibao za Ukubwa wa Tzn? Ni wewe tuu usieelewa ndio unaichukulia poa Tanznaia.

View: https://twitter.com/IMFAfrica/status/1711801484457746840?t=-f_5R1lOCp6ifA2r5KOEAg&s=19
 
Ungeeleza kilicho kushangaza, huenda ungepata msaada wa maelezo ili usibaki unashangaa tu.

Lakini sioni ajabu kwa wewe kushangaa, baada ya kuambatanisha na picha isiyokuwa na uhusiano wowote na hicho unachokishangaa wewe

Hii nchi mbona ujinga umekuwa mwingi sana siku hizi?

Aaaahaaaa, Kumbe?

Nilikuwa sijasoma vyema mada yako, hasa kuhusiana na hayo mapicha yaliyobandikwa hapo.

Kumbe wewe siyo mjinga, bali ni mpumbavu mmoja tu hivi?
Kwa kawaida huwa sisome mada za aina hii.
Nawakumbusha tuu Samia amekuza Uchumi kutoka 67b Hadi 75b na mwa taarifa yenu projection za 2023 tunaweza fika 85b.
IMG-20230920-WA0072.jpg
 
Wivu wako haibadili kitu,kama una kichefu chefu katapike manaa utakipata sana Hadi 2030 huko.
Hayo mengine ni wivu na chuki.
Nina "wivu" mkubwa sana na Tanzania yetu, ninapoona watu wa aina yako na huyo unayemnyonya damu mnalifanya taifa hili kuwa miongoni mwa nchi za vichekesho duniani, siwezi kamwe kuyanyamazia hayo.

Faidini hizo pesa za waarabu (wajomba), lakini nchi hii itakombolewa tu, hilo halina mjadala tena. Hiyo 2030 itabaki tu akilini mwako, usifikiri hii nchi imeishiwa wazalendo.
 
Nina "wivu" mkubwa sana na Tanzania yetu, ninapoona watu wa aina yako na huyo unayemnyonya damu mnalifanya taifa hili kuwa miongoni mwa nchi za vichekesho duniani, siwezi kamwe kuyanyamazia hayo.

Faidini hizo pesa za waarabu (wajomba), lakini nchi hii itakombolewa tu, hilo halina mjadala tena. Hiyo 2030 itabaki tu akilini mwako, usifikiri hii nchi imeishiwa wazalendo.
Kunywa maji ya betri wivu utaisha
 
Yaan hii imenishangaza sana.
View attachment 2781206
Angalia hapa

Ukihusianisha na Picha uliyowekwa Hapo wanamaanisha Giant wa uchumi.
Wameangalia nchi kumi Africa zenye uchumi mkubwa ndo wanachomaanisha
Giant= Mkubwa/Kubwa

Lakini pia kwa upande wa pili
Tanzania huitwa sleeping Giant. syo giant ila ni sleeping giant wakimaanisha Ina kila kitu kuwa Nchi yenye uchumi kama Nigeria lakin bado haivitumii au haijafunguka.
Kiasi kwamba siku ikiamka na kutumia chance bas itakua na uchumi mkubwa balaa.

Sababu za kuitwa sleeping giant
-Population kubwa
-Ardhi kubwa ya kilimo si jangwa kama kenya
-Madini
-Wanyama/vivutio lukuki vya utalii
-Bahari ( ukanda mkubwa wa bahaari kwa ajili ya bandari lakin vile vile Uvuvi
-Maji ( fresh water kila kona) -umwagiliaji ,kilimo na shuguli zingine za uchumi
-
-
list inaendelea
 
Back
Top Bottom