Hawakatazi mtu ukiwa na uwezo wa kulipia ada na huduma zingine za shule....unajua nyie wa swahili amchelewi ooh tunaomba serikali ingilie kati ada kubwa mara usafiri 2m.nkKuna mambo yananishangaza ni mara kadhaa maeneo ya kariakoo, Posta,upanga hadi mnazi mmoja nakutana na school bus za shule ambazo ni za wahindi watupu
Hii imekaaje shule kuwa ni za watu wa race aina moja tu?
Imenishangaza sana
Na pia sio kila mhindi anaziweza, wengi ni kabwera kama waswahili wako kwenye public schoolKuna mambo yananishangaza ni mara kadhaa maeneo ya kariakoo, Posta,upanga hadi mnazi mmoja nakutana na school bus za shule ambazo ni za wahindi watupu
Hii imekaaje shule kuwa ni za watu wa race aina moja tu?
Imenishangaza sana
unajua nyie wa swahili amchelewi ooh tunaomba serikali ingilie kati ada kubwa mara usafiri 2m.nk
Umechelewa sana.Kuna mambo yananishangaza ni mara kadhaa maeneo ya Kariakoo, Posta, Upanga hadi Mnazi mmoja nakutana na school bus za shule ambazo ni za wahindi watupu
Hii imekaaje shule kuwa ni za watu wa race aina moja tu?
Imenishangaza sana
Mbona hushangai wakatoliki kuwa na shule yao kwa wakatoliki pekee,waislamu vivo hivyo,watoto wa kiume kuaoma shule ya peke yao hawachqngamani na wa kike etc, hiyo ni jamii kama zilivyo jamii nyingine wana haki kufundisha watoto wao tamaduni zao zinazowahusu,Kuna mambo yananishangaza ni mara kadhaa maeneo ya Kariakoo, Posta, Upanga hadi Mnazi mmoja nakutana na school bus za shule ambazo ni za wahindi watupu
Hii imekaaje shule kuwa ni za watu wa race aina moja tu?
Imenishangaza sana
Hujui tu, ata ukimpeleka utajuta. Hao watu ni wabaguzi sana. Hujui wahindi wanapokuwa kwenye maeneo Yao wewe!Umepeleka mtoto hapo ukiwa tayari kulipia gharama zote za shule ukakataliwa?
Nafikiri tungeanzia hapo
Huku kimara bunyokwa nimekutana na school bus ina wanafunzi weusi wote,nimeshangaa sana
Hii ni kweli kabisaKwa ufupi tu ni kua baadhi ya wahindi wenye makazi yao hapa nchini ndo wameamua hilo.
Hao hukuti wanaongea kiswahili ni eidha kihindi au kingereza. Wanaishi kama wapo kwao India.