cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
Naona ameanza kuvaa makofia na magwanda kama ya kina Wako J...
dressed by kidoti mkuu!!! lolest!
Naona ameanza kuvaa makofia na magwanda kama ya kina Wako J...
kuna kitu kimoja nimejifunza toka kwa watanzania wenzangu. Siku zote mtu akifanikiwa uwa watu wanakaa wakisubiri aanguke yani maombi yao na furaha yao ni pale atakapo anguka sijui nini uwa kinawauma.
Dogo hana shobo kivile na anajituma jukwaani so mimi naona poa tu anavyo shine anawapa challenge wasanii wengine wanaopga shoo kwa kushka sehemu nyeti na kutembea tembea toka kona moja ya stage mpaka nyinge yani show ya juzi leo na mwaka jana hazitofautiani.
I am sure ukiudhuria show ya diamond utakuwa unajiuliza leo atakuja vipi kwasababu anabadirika badirika.
La msingi na yeye awekeze asibweteke sana maana mziki hautabiliki.
Mtu mwingine ambaye nahisi atakuja fanya poa ni timbulo maana anaona naye kaamua kuwa na team yake ya madancer pia.
Helicopter ilitumika kama business technic ya kujaza watu wengi maana wabongo wengi wanapenda kushangaa helicopter si waona hata wanasiasa wanatumia hiyo technic kwenye kampeni zao.
maneno machache ila point kubwa sana kaka safi wewe ni great thinker wa ukweli..mungu ampe busara ya matumizi ya kipato chake, kwa mana usuper star "expayaga"
Haya ndo mambo yanayochelewesha ukombozi wa hii nchi, watu wanajali starehe zaidi kuliko kushiriki maswala yanalenga kubadili maisha yao na mstabali wa hii nchi! CCM wanafurahia sana watu wabobee kwenye haya maswala na wasiwaulize maswali magumu!
Uraisi wa masharobaro?Soon utasikia na yy anautaka urais.