Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,173
- 3,896
Tukiendelea kuzubaa tutakuja kuongozwa na watu wachovu kama huyu jamaa. Huyu jamaa si kiongozi. ni mganga njaa tu anayejifanya anajua kila kitu Tanzania hii. Sijui naye yuko kwenye ule ule ugonjwa unaoitwa "System", maana "watu wa system" nao wamekuwa wachovu kama system yenyewe. Wanakwenda kwenda tu kama vipofu wanaobahatisha njia.