Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu una maana gani?Hivi Peter Serukamba hakua na tuhuma kua sio rizki?
Mkuu una maana gani?Hivi Peter Serukamba hakua na tuhuma kua sio rizki?
Naanza kuwatafutia uraia wa nchi nyingine ndugu zangu wote. Kama kuna kitu nimejifunza nchi inayoitwa Tanzania basi ni kutodharau mambo yanayoonekana they are so ridiculous that they can never happen. Wana JF wenzangu, naomba tuilinde nchi yetu kwa kuwa hatutapewa nchi nyingine.
Na kwenu nyie wote mnaowapigia debe kina Lowassa na Serukamba, jueni kuwa mnaiweka rehani nchi yetu sote!
Naanza kuwatafutia uraia wa nchi nyingine ndugu zangu wote. Kama kuna kitu nimejifunza nchi inayoitwa Tanzania basi ni kutodharau mambo yanayoonekana they are so ridiculous that they can never happen. Wana JF wenzangu, naomba tuilinde nchi yetu kwa kuwa hatutapewa nchi nyingine.
Na kwenu nyie wote mnaowapigia debe kina Lowassa na Serukamba, jueni kuwa mnaiweka rehani nchi yetu sote!
Huyo bado na ataendelea kulamba Miguu ya EL kwakuwa ndiye aliyemsaidia kupatahuo ubunge wake. Pamoja na El na RA kutumia pesa nyingi kumsaidia ashinde, hakushinda mpk wakaiba kura za mgombea wa CDM.
BTW: Stori za chini ya kapeti zinadai "anatumiwa" na wanaume wenzake. Itakuja kuwa aibu kwa taifa zima kuwa na PM "anayetumiwa"
Hivi Peter Serukamba hakua na tuhuma kua sio rizki?
Kwani ukishakuwa rais wa wanafunzi IFM ni lazima uwe Rais au waziri mkuu wa Tanzania? Who is this guy and anything special which makes him to be considered a prominent person now, to run the show after 2015?hii nchi ina laana hiii
sio bure
Peter hastahili hata huo ubunge alio nao. Itaja kuwa u'PM? Hebu uliza watu wa Kigoma kuhusu utendaji/uwajibikaji wake! Bure kabisa
Kuna wengine ndani ya CCM wameamua kuwa, ashakum si matusi, mahayawani. Hayawani ni mtu ambaye pamoja na kupewa uwezo wa kutafakari na kuchanganua mambo tofauti na wanyama, lakini wenzetu hawa hawataki kabisa kuutumia uwezo huo waliotunukiwa na Muumba. Kwa wao chama cha mafisadi siku zote ni nambari one, pamoja na madudu yote yanayofanywa na viongozi wa juu ndani ya chama hicho na serikali hawataki kabisa kuyaamini au kuyatafakari madudu hayo. Wamekuwa kama kasuku kuendelea kuimba nyimbo za nambari one na kidumu chama cha mapinduzi.
Kasuku huweza kutamka maneno yanayotamkwa na binadamu pamoja na kuwa hajui maana ya maneno hayo. Wenzetu hao pia kama kasuku wanaendelea kuimba nyimbo hizo na kuudumaza uwezo wao wa kutafakari na kuchanganua mambo kwa uwezo ambao mwenyezi mungu ametupa wanadamu. Hivyo huyu Serukamba naye ni hayawani ambao ameamua kutotumia uwezo huo na kuendelea kuimba kama kasuku. Kwake yeye chama cha mafisadi ni nambari one na kamwe kwenye uchaguzi ujao Watanzania hawatauliza madudu ya EPA, Kiwira, Richmond, mikataba mibovu ya madini bali watataka kujua CCM ni nambari ngapi!!!? Tumshinikize hayawani huyu ili aelewe kwamba Watanzania tulio wengi hatukubaliani na uhayawani wake.