lol hayapungui wala usijali,naona mabadiliko makubwa ya avatar,nimeipenda sanaaaaaaaaaama bro usishtuke sana this is where we dare to speak it openly. lakini sikweli???? na narudia kauli yangua yapo 96 sasa yakipungua hata moja umefumua.
sioni kama kuna kitu mbadala
Young_Master, what is it? Au unataka nikuitie gfsonwin?
usiuchakachue kwa kuubadilisha dogo, si unaona wengine siku hizi marinda wanayafumua?
lol hayapungui wala usijali,naona mabadiliko makubwa ya avatar,nimeipenda sanaaaaaaaaaa
kuna gari,nyumba,bracelet,phone,clothes n so many!! yote hayo au hayakuvutii!!??sioni kama kuna kitu mbadala
anajua mwenyewe labda na wenzio ili asikuambukize je!
Duh!!! Mwenzako sijakaa uswahilini hicho kiswahili chako sikielewi kabisaaaaaa.
Naona muda wa kulala umefika...........haya nenda ndani shemeji anakuita
heri baiskelikuna gari,nyumba,bracelet,phone,clothes n so many!! yote hayo au hayakuvutii!!??
hehehehehe mi kupungua toka 99 ni kazi sana......mpaka yafike hata 50 mbona nitakuwa mwepesi sanaaah labda ya kwako kisa huyafumui ila wanao yafumua wengine wamebakiwa nayo 40 wengine hawana kabisa chezeya marinda lol!
mbandike kipipi!! af utampa zawadi gani akikubali!!??
hehehehehe mi kupungua toka 99 ni kazi sana......mpaka yafike hata 50 mbona nitakuwa mwepesi sana
hahahahhahhh!! c mbaka aweze kuiendesha!! na akiwa sister duh!! ndo utarudshiwa uendeshe mwenyewe!! lolest!!heri baiskeli
ma bro usishtuke sana this is where we dare to speak it openly. lakini sikweli???? na narudia kauli yangua yapo 96 sasa yakipungua hata moja umefumua.
duh ! pole aiisee miye wa tandika double cabin umeona tofauti sasa? BTW karibu nikuuzie mchele kg leo sh 1800
hahahahha,we unataka nipunguze au nibaki hapo hapo 99umeona eeh! wanaopunguza na kufika hata 60 tu wanapita wamevaa pampers kiunoni chezeya marinda weye!
kakimbiaje sasa!! we Young_Master njoo upigwe tattoo huku!!Nani atakubali kupigwa permanent tattoo na usawa huu yakhee?? Muone kwanza Young_Master mwenyewe alivyodoubt hapo! Lol
dogo ngoma hailali hii mpaka saa sita saba kama huamini fuatilia post za usiku zote zinazotumwaga lazima nicoment, imeandikwa apendaye usingizi hatashiba maongeo upo hapo? BTW karibu tule bukini wa kutokosa.