Collins
Senior Member
- Jul 19, 2012
- 145
- 48
ila unalo hakuna haja ya kumaintainheheheh kama ananipenda atajifunza kuendesha,mbona kuendesha baiskeli ni kama zoezi la kumaintain figure
ila unalo hakuna haja ya kumaintainheheheh kama ananipenda atajifunza kuendesha,mbona kuendesha baiskeli ni kama zoezi la kumaintain figure
kakimbiaje sasa!! we Young_Master njoo upigwe tattoo huku!!
umejtahd kutumia tafsida next of kin Big juu!!princess enny na Kipipi hivi si mwajua kwamba nyumba yeyote lazima iwe ina mlango na dirisha? so mtu anapita dirishani pamoja na vitu kama samani za ndani zapitia mlangoni siyo? dirisha kazi yake ni kupitisha hewa na mwanga ndani siyo? sasa ili mtu apite dirishani inamaana lazima uliharibu siyo yaani uchane wire mesh na nondo pia uzivunje siyo...........kwaherini
dahh!!! Mwenzangu yaani umeniacha katikati ya traffic lights halafu mbaya zaidi sijui hata niende njia gani.
teh teh teh!! ataendesha tu usijal hata guta atendesha!!ila unalo hakuna haja ya kumaintain
Muhimu kumkumbusha dada unaempenda...........hujui tuliku-send off na si on, kwa hiyo lazima kuhakikisha unabaki hukohuko.......nani anataka mbanano nyumbani, hapa story tu kula kwako ulikoenda kwa mbwembwe.......
Halafu umenikaribisha wapi?
ushanchoma kisu cha moyoni mtoto wa mwanamke mwenzio..ngoja nkalale..heeeeeh!! mi ndio bibie kumbe!!!!!!!????????
hahahha hata mi tafsida yake siifaham
worry not shostito!! nlikuwa namjoke huyo mfano wako!! ukimwambia mtu umpige tattoo atakukimbia sku hyohyo!!Hapana, huyo nilikuwa namtolea mfano tu....dah Enny you are too fast!!!
kwa pm hata usitumie tafsidabasi nimewaambia kwa mfano wasopoelewa basi tena wanichek kwa pm
hahahahaha!! usiku mwema!! msalmie bibie!! lolushanchoma kisu cha moyoni mtoto wa mwanamke mwenzio..ngoja nkalale..
basi tulia ivo ivo. hayo ndo mambo ya tandale DC
JAMANI DOGO USINGIZI UNMEKUJAZA MACHO YAANI SI NIMEKWAMBIA KARIBU TULE BUKINI WA KUTOKOSA? ama hukuelewa?
Kuhusu utaratibu! Wewe jibu lako analo KAIZER , mi nipo kunako Malazani .
Kaizer jibu hawa makitu !
teh teh teh!! akikuambia umkatie je!!??young mster has said it all,on top of that give her him nyama ya ulimi
haya nakusalimia bibie..mmwahhahahahaha!! usiku mwema!! msalmie bibie!! lol