this is great ila hujamalizia jibu lako ivo limekua na mapungufu kiasi flankwa upande wangu mimi ningempa zawadi ya upendo na mapenzi yangu ya dhati ambayo hatoyapata kutoka kwa mtu mwingine yoyote zaidi yangu mimi...na hiyo ndio itakuwa zawadi yangu special kwa ajili ya huyo msichana ambayo ni jinsi gani nampenda, namheshimu, namthamini na jinsi gani alivyo wa muhimu katika maisha yangu.
mambo!
mara nyingi waschana huwa tunavikwa pete wakati wa engagement!! sasa endapo itatakiwa mvulana umpe mschana ktu kingine tofauti na pete!! je utampa nini mschana!!?? na endapo mschana itakuwa ni lazima umpe mvlana zawadi baadaya kuvshwa pete au kupewa mbadala wa pete!! utampa zawadi gani!!?? this is for all!!
this is great ila hujamalizia jibu lako ivo limekua na mapungufu kiasi flan
sasa akishakupa ho gari kama na wewe hujampa zawadi utapokonywa shost!!dah! me kutoa co siri mgumu kiaina labda anipe mimi tena anipe gari coz am crazy of the cars lol!
teh! teh! kumbe sikujua miekwa hesabu ya haraka haraka kutoka kwa mkemia mkuu ni 96! lol! nawasilisha madame!
kwa hesabu ya haraka haraka kutoka kwa mkemia mkuu ni 96! lol! nawasilisha madame!
Khaaaaa!
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:mbona unaguna???? waumwa meno?
umeshikwaje pabaya? jana ulitoka na mgeni ama?
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
hiyo s maana yake Princessteh teh teh!! akikuambia umkatie je!!??
haya nijuze maana yake!!hiyo s maana yake Princess