shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Pengo ni mtu wa subira sana na hana kasi kama ya Kilaini. Mpaka kaamua kuongea hivyo kuna jambo....... Sasa Kwachokoza anawalazimisha wahusika wajibu mambo fulani.
Hii iisue kwa usaidizi wa Kilaini wakati ndio msaidizi wa Pengo wananchi tungejua ukweli zamani sana. Lakini kuna watawala hawakupenda kumwona Kilaini dar
Wewe hasa ndio unamjua Kardinali Pengo. Sio huyu kijamaa anayejiita mwenyekiti wa baraza la walei.