Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!

Wewe ulimuamini Mahita au uliamini maelezo ya CUF at that time??

Ukweli ni kwamba leo unajidai kwamba una sympathazy na CUF kumbe ulikuwa upande wa Mahita;

Kibao kilipoanza kugeuza kwenu....

Unatakiwa uwe consistent

Wewe ulimuamini nani kati ya CUF na Mahita?
 
Duh kaka! rudia kusoma hapo tena namaanisha jk sio ww lol! kwenye red inaonesha ww ndio uelewi mada! hakuna sehemu rais alipomtaja pengo yeye kasema kwa mafumbo ndio point yangu hapo juu jamani, rudi kwenye mchango wangu wa mwanzo kaka, nimesema jk alisema hizi tuhuma kwa mara ya kwanza kwenye baraza la maaskofu! vuta kumbukumbu na kanisa likaja juu kwa nini azungumzie issue kwao indirectly alikuwa akiwasema wao na ndio kwa usanii wa jk akaja kusema kwenye baraza la idd kuwa baadhi ya mashekh na watoto wao wanaingiza madawa kupitia mgongo wa dini? hope umenielewa usikurupuke kaka lo?
ahaaa ok kumbe ulikua unawasilisha hisia zako zaidi,poa sikuelewa,mi nikajua bado uko ndani ya mada ya pengo kujitaja kwamba yumo kwenye hiyo list "yake" ya wauza unga
 
Nani kakurupuka? Mimi au wewe? Soma uelewe nini kimendikwa siyo kukurupuka tu. Mimi wala gari analotumia Mhashamu Policarp Kadinali Pengo silijui. Mantiki ya post yangu ilikuwa kumdhihaki jamaa aliyejibu post yangu kuwa Vague. Mimi nikasema gari la kifahari? Nikiwa na maana hiyo vague alikuwa akimaanisha Vogue? Najue vague ni kwamba haieleweki nami nikajifanya sielewi! Wapi nimesema anatumia gari la kifahari? Acha kukurupuka na kujifanya wewe ndio mkatoliki namba one. Mimi mwenzio ni mwenyekiti wa baraza la walei parokiani kwangu.

Weka jina lako halisi sasa kama wewe ni mwenyekiti wa baraza la walei.Kuwa kiongozi wa dini ndio kujua mengi kuhusu dini!
 
Pengo ni mtu wa subira sana na hana kasi kama ya Kilaini. Mpaka kaamua kuongea hivyo kuna jambo....... Sasa Kwachokoza anawalazimisha wahusika wajibu mambo fulani.

Hii iisue kwa usaidizi wa Kilaini wakati ndio msaidizi wa Pengo wananchi tungejua ukweli zamani sana. Lakini kuna watawala hawakupenda kumwona Kilaini dar
 
mzee unajua unazidi kuchanganya taarifa licha ya jitihada za hali ya juu kukurudisha kwenye mstari,jk anahusika vipi hapa,issue iliyopo mezani ni kwamba BWANA PENGO anadai jina lake limo kwenye orodha ya wanaojihusisha kwa namna moja ama nyingine na dawa za kulevya,chanzo ni yeye mwenyewe sio polisi wala jk,kwanini unamuingiza jk wakati alijitaja ni yeye mwenyewe hakutajwa na jk na wala polisi hawajatumbia kwamba kuna list ya wauza madawa wamemkabidhi rais,jk ana mapungufu mengi tu lakini kwa sasa tunaijadili kauli ya pengo kujitaja,tunasema kwanini anaweweseka kama hausiki na mahakama zetu ziko huru,si angefanya subira kwanza tuone akitajwa then sisi ndio tushinikize apelekwe mahakamani kwenye haki?

kaka ulipost hivi "Na yeye jk kasema “Mimi mwenyewe nimewekwa katika orodha ya dawa za kulevya"?

ndio na mimi nikakujibu hivyo, nadhani hii mara ya pili unaninukuu vibaya labda sijui hujui au hukumbuki ulichokiandika nyuma

mara ya kwanza nimekujibu na kukueleza vizuri nijibu nijue kama umenielewa!, na hii mara ya pili nilikuwa nakuambia jk mnafiki sio pengo! na hii nijibu kama umenielewa!
 
ahaaa ok kumbe ulikua unawasilisha hisia zako zaidi,poa sikuelewa,mi nikajua bado uko ndani ya mada ya pengo kujitaja kwamba yumo kwenye hiyo list "yake" ya wauza unga

naaam mkuu, maana mie sioni shida pengo wala sioni kama anaweweseka kusema kuwa yupo kwenye list, na nijuavyo mimi kaka issue za upelelezi yawezekana alishawahi hojiwa sio?

mimi na ww tuna issue ngapi tushahojiwa na vyombo vya usalama lakini ikaishia kutoa our side of story kwa watu wetu tulionao karibu yaani ndugu na jamaa, sasa pengo is a public figure ndio maana anashare na public sio!
 
naaam mkuu, maana mie sioni shida pengo wala sioni kama anaweweseka kusema kuwa yupo kwenye list, na nijuavyo mimi kaka issue za upelelezi yawezekana alishawahi hojiwa sio?

mimi na ww tuna issue ngapi tushahojiwa na vyombo vya usalama lakini ikaishia kutoa our side of story kwa watu wetu tulionao karibu yaani ndugu na jamaa, sasa pengo is a public figure ndio maana anashare na public sio!

kuna kitu tunatofautiana,mimi huwa napenda ku deal facts zaidi not he said she said stories,huwa haziishi!polisi wapo kama list ipo tutajua,na rais kama mwanasiasa anaweza kulitumia jukwaa lolote lile kufikisha ujumbe anaokusudia kwa hadhira mradi awe na uhakika atakachokisema kitafika mbali,bahati mbaya sana siku ile pale songea ilikua ni kwenye jukwaa la maaskofu!
 
Utaratibu tuliojiwekea ni kwamba mtu ukitajwa tajwa basi unatakiwa kujivua gamba. Kwa hiyo Mhashamu Polycap Kardinali Pengo ametajwa tajwa kwenye madawa ya kulevya basi hana budi kujivua gamba asiendelee kulichafua kanisa la la mungu.

Wewe uvundo wa magamba usiulete kanisani huku kuna utaratibu wake
 
heee! cuf tena............imetokea wapi?wadau issue iliyopo mezani ni pengo kudai jina lake limo kwenye list ambayo polisi hawajaitoa ya wanojihusisha na madawa!polisi wala serikali hawajawahi kutoa list ya aina hiyo,tumhoji pengo kwanini anahisi ametajwa?


Soma vizuri, haakuna mahali pengo kasema yuko kwenye list ya polisi!
 
Inanikumbusha kule Marekani ya kusini ambako inasadikika kuwa kuna waamuni wengi wa dini ya katoliki.Pope alipofanya ziara yake miaka ya 1990-2010.Pope alikumbana na mabango yaliyoandikwa " Iweje munatuhubiria kuhusu maisha mazuru ya peponi hapo baadae wakati ninyi huko Vatcan mnaishi maisha mazuri ya peponi sasa?" . Watanzani/Waafrika tuamke tumefumbwa macho na hizi dini na tumeshindwa kujua hata mbivu na mbichi. D. Morgan aliwahi kusema " Kama kungekuwa na uchaguzi kati ya dini na siasa ningechagua siasa,kwa sababu nchi nyingi dunia huwezi kuta kuna vyama zaidi ya vitatu vya siasa .Hivyo mgawanyiko kutokana na siasa ni mdogo ukilinganisha na mgawanyiko unaotokana na madhehebu ya dini". Siwezi kumtetea am kumshambulia/kumshutumu Pengo ila yeye ni binadamu.Hizi dini zimetugeuza geuza hata hatutafakari tunapozichambua .Tumeaminishwa kuwa mtu akiwa kiongozi mkubwa wa dini basi yeye ni mtakatifu na ameondoka kwenye kundi la wanadamu-Tafakari.Ndio maana leo hii wadhalimu wanawatumia viongozi wa dini.
 
siku si nyingi mtasikia pengo si raia wa tanzania kama watashindwa hili la madawa. hii serikali kazi yao kupakazia watu kesi nashindwa kuiamini hii nchi yetu kwa sababu watu wakifichua uovu tu wanapakaziwa kesi naweza amini kweli pengo anasingiziwa kwa sababu ya 1.kuna kipindi ulimwengu aliongea ukweli juu ya uovu wa serikali akaambiwa sio raia wa nchi hii. 2. Jerry muro kafichua uovu wa polisi kuhusu rushwa kapaziwa kesi na polisi haohao 3.leo pengo kaongea ukweli kuhusu serikali sitashangaha kusikia anaambiwa anauza madawa ya kulevya.

ki ukweli upande wa pili wa dini ndio wahusika wakubwa wa madawa nina ongea hili sio kutoka kichwani kutokana na real research nilioifanya mimi kwenye nchi za europe
 
Naomba tu niharakishe kusema huu ni upuuzi na upumbavu wa viwango visivyopimika.
Serikali haina list yenye jina la Pengo, na wala Pengo hakutamka maneno hayo.
Ninachojiuliza ni nini dhamira ya Habari leo hata waandike habari ya kichochezi kiasi hiki?
Natamani kama ningekuwa na uwezo wa kuandika ilivyokuwa lakini bahati mbaya nipo maporini, laptop imekorofisha so natumia simu na haina memory card so ipo too slow when I type that I have to wait some seconds.
Right source but wrong contents.
 
kuna kitu tunatofautiana,mimi huwa napenda ku deal facts zaidi not he said she said stories,huwa haziishi!polisi wapo kama list ipo tutajua,na rais kama mwanasiasa anaweza kulitumia jukwaa lolote lile kufikisha ujumbe anaokusudia kwa hadhira mradi awe na uhakika atakachokisema kitafika mbali,bahati mbaya sana siku ile pale songea ilikua ni kwenye jukwaa la maaskofu!

this jk govt imekaa hivyo thats way people like she said he said! kwenye red ndugu yangu unafikiri ni bahati mbaya? hata siku moja he knows what he is doing! na ndio pia watu wanamjibu kwa hiyo hiyo style. nikukumbushe hata mimi mwenyewe binafsi nilikuwepo pale azania front siku hiyo kwenye jubillee ya kanisa. akazungumizia issue ya kadhi na akaanza kwa historia kuwa ilianzishwa na mrema bungeni na mrema ni mkristo, sasa kwa nini mulishupalie na akasema "nasema hapa kwa sababu ndio mahali pake na mimi ni mwanasiasa kicheko"
 
Utaratibu tuliojiwekea ni kwamba mtu ukitajwa tajwa basi unatakiwa kujivua gamba. Kwa hiyo Mhashamu Polycap Kardinali Pengo ametajwa tajwa kwenye madawa ya kulevya basi hana budi kujivua gamba asiendelee kulichafua kanisa la la mungu.

Kama sijakosea unaowasema wanatajwa tajwa na wanatakiwa kujivua gamba wote kunaushahidi wa kuaminika kiasi kuhusu yale wanayotajwa nayo. Mkuu, Je, Ushahidi wa kuaminika kumuhusisha Mhashamu Polycap Kardinali Pengo kuwa anahusika na madawa ya kulevya ni upi (kusema yumo kwenye list sio ushahidi wa kuhalalisha kuwa anahusika) mpaka alazimike kuvua hiyo unayoita 'Gamba'?
 
Mimi sio mkatoliki lakini ukweli ni kwamba kanisa katoliki ni miongoni mwa taasisi za kidini zilizo imara sana pamoja na uwezo wa kujua kinachoendelea katika nchi. Na mtu makini hawezi kulichukulia kirahisi hili tamko la kadinali Pengo.

Pamoja na kwamba sina uhakika kwamba Kadinali Pengo anauza madawa ama hauzi, nilicho na uhakika ni kwamba kutokana na uimara wa kanisa katoliki baada ya kauli hii hata kama serikali ilikuwa na mpango wa kumchunguza itabidi isitishe mpango huo.

Pia ikumbukwe kwamba kumekuwa na tuhuma toka upande mmoja wa imani kwamba serikali inaendeshwa kwa mfumo kristo na siku za hivi karibuni juhudi hizo zimepamba moto. Sasa hii inaweza kuwa ni mkakati wa kutaka kulitoa kanisa katoliki katika ''kumiliki'' siasa za nchi hii, na kuna waumini wake wawili wanaonekana kupania kuchukua uraisi wa nchi 2015. Imani yangu ni kwamba haitakuwa kazi rahisi kiasi hicho.
 
masabuda sio masaburi! nimekuelewa ila ulimhukumu pengo kwa kulizungumzia hilo jambo ambacho mi niliona sio sahihi mwache abwabwaje atakavyo mbona jk nae anamisemo ya kuwa "uongo ukisemwa semwa sana hua ukweli nimeona hilo nilizungumzie"

mimi serikali yake imeprove failure kwenye mafisadi papa, drug dealers wanabaki kukimbizana na wale walio meza pipi airport! je wanaoingiza makontena na yanapita! wea is the government? vyombo vya dola polisi, tiss, takukuru? yote ni jk ndio anayalea na kuyaendekeza

mimi ningefurahi sana kusikia pengo kakamatwa kafikishwa kwenye vyombo husika na sio kumsema kwa mafumbo utafikiri ww mwanamke kumbe rais wa nchi!

tunakazi ya kuweka haki sawa kwa wote, na hapa lazima tuzichape kwanza yaani tupigane vita siku moja ndio tutaheshimiana na kutengeneza system kama rwanda, mambo ya kulindana yamepitwa na wakati

HAKI SAWA KWA WOTE, FULSA SAWA KWA WOTE, MKONDO WA SHERIA SAWA KWA WOTE!
Masabuda, vita sio kitu cha kukitamani hata kidogo. Najua amani ikidumu ianakuwa kama pombe watu hulewa, lakini wenye akili hulewa na kuendelea mbele bila kuleta uharibifu.
 
kuna kitu tunatofautiana,mimi huwa napenda ku deal facts zaidi not he said she said stories,huwa haziishi!polisi wapo kama list ipo tutajua,na rais kama mwanasiasa anaweza kulitumia jukwaa lolote lile kufikisha ujumbe anaokusudia kwa hadhira mradi awe na uhakika atakachokisema kitafika mbali,bahati mbaya sana siku ile pale songea ilikua ni kwenye jukwaa la maaskofu!
Mkuu nimepitia sredi zako, naomba unisaidie kidogo. Je wewe huwezi kumpa benefit of doubt Pengo ukaamini kuwa yawezekana hiyo list ipo na yeye yumo? If you are critical thinker and devoid of any bias ofcourse!!
 
Kanisa lina hela nyingi sana hadi za anasa? wakati waumini wake kule sumbawanga wanakanisa la makuti

Lipi pale Sumbawanga kati ya haya ni la makuti, Kristu Mfalme?( Hapa wana kituo kikubwa cha afya), Kantalamba?(Baadhi ya majengo wameiachia serikali), Jimbo kuu karibu na pale Libori center??????????????? Sijui umetoka usingizini, labda.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom