LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Kandambili!
Hoja yako ni ya msingi achana na huyo lazy dog hajui nyuma wala mbele!
Sikumbuki mahala nimeashiria au kuonyesha kwamba hoja ya Kanda-2-2 sio ya msingi.
Kandambili!
Hoja yako ni ya msingi achana na huyo lazy dog hajui nyuma wala mbele!
Swali lako lilishajibiwa.
Ikiwa nusu ya waajiriwa watahamia kwenye ujasiriamali, nafasi zao zitafidiwa na graduates. Kanda2 uking'ang'ania hiyo comfort zone, ajira zitazidi kuwa ngumu zaidi kwa vijana.
Sikumbuki mahala nimeashiria au kuonyesha kwamba hoja ya Kanda-2-2 sio ya msingi.
nadhani anamaanisha hapo........
Wote tukiwa wajasiriamali nani atakuwa mfanyakazi????
Tena mkuu??.........simple, that's what we are praying for? hapo ndipo serikali itambua umhimu wa kuwiden tax base na kuingia kutax effectively wajasiriamali ambao for now are not taxed effectively!
Wakuu nilikua napitia pitia sheria za kodi ya Mapato Tanzania na hasa kodi inayotozwa kwenye pato la mfanyakazi. Kwa ujumla kodi (PAYE) hii ni kubwa Mno kulinganishwa na kozi zinazotozwa biashara za ubia (partnership), binafsi (sole proprietorship), kampuni (Corporation). Nasema hii kwa sababu zifuatazo
1.0 Makampuni hutozwa kodi kwenye faida au kinachobaki baada ya kuchukua mauzo/mapato na kutoa matumizi yote. Kinachobaki kinatozwa kodi. Kama matumizi yatazidi mapato basi hamna kodi itakayotozwa hapo.
2.0 Wafanya biashara binafsi hutozwa kodi kwenye faida kama wanaweka rekodi vizuri au hukadiriwa kama hawaweki rekodi vizuri.
3.0 Mshahara kwa mfanyakazi ni sawa na mapato yaani sales. Lakini serikali badala ya kutoza kodi kwenye faida wanatoza kodi ya juu kwenye mapato moja kwa moja. Kama kampuni inatoa matumizi yanahusu biashara, kwa nini na mfanyakazi asiruhusiwe kutoa matumizi yanayohusiana na mshahara wake? Mfanyo Mfanyakazi anapokea Gross Salary ya TZS 1,000,000 kwa mwezi, hizi ni sawa na TZS 12,000,000 kwa mwaka. Kodi itatozwa kwenye 12,000,000 moja kwa moja na ni 30%. Lakini ingekua kampuni au mfanyabiashara angeruhusiwa kutoa matumizi yote yaliyomwezesha kupata hiyo 12M. Mfanyakazi analipa nauli au mafuta kwenda kazini, anajitibu ili kuhakikisha anakua na afya nzuri ya kufanya kazi, analipa kodi ya nyumba kwa usalama wake, ananunua nguo za kazini, yaani isingekua kazi asingenunua nguo hizo, inabidi ale diet ya ziada ili aweze kufanya kazi, umeme, maji. Hivi vyote havitolewi ili kupata kinachobaki kwaajili ya kutozwa kodi.
Je kwa hali hii tunaomba serikali itupunguzie mzigo wa kodi sisi wafanya kazi. Unakuta mtu unafanya kazi hauendelei hata siku moja lakini mfanyabiashara anaendelea sana. Hii ni kutokana na serekali kuwapunguzia mzigo wa kodi lakini sisi wafanyakazi unaumia kila mwezi kwa PAYE kubwa.
Jamani naomba tuchangie hii topic kwa hoja za nguvu kwa kuzingatia uzito wa swala hili.
Mramba ndo aliiongeza hiyo PAYE na akaintroduce hata ile ishu ya kukata kodi all the benefits. Inauma sana PAYE is so great. Wakati huo mbunge ambaye analipwa milion 7+ anakatwa kodi only kwenye 1.5mn. Hao hawawezi hata kutetea chochote.
Only solution ni kama tungekuwa na very strong labor union then wangeweza negotiate na hii serikali. On top of that kodi yenyewe hatuoni inafanya nini sana sana utakuta ni UFISADI in it. Ukifika hapo unachoka then unaconclude kwamba this is a stupid country ever.
Achilia mbali ukubwa wa kodi bado ela unayokatwa haitumiki ipasavyo.
Ukienda hospital wakamuliwa,trafic nao zengwe on the road,police ndo usiseme wala hawajui kuwa kodi yangu inatumika kuwalipa mshahara na mengineyo mengi ambayo badala ya kutupunguzia ukali wa maisha inafanya maisha yawe magumu.
Kwa kweli inaoneka PAYE ndio uti wa mgongo wa TRA bse ata ukwepaji wake ni issue,mbaya zaidi uku kwetu mpaka allowance wanazilima kodi jamaniiiii.
..tusisahau huko nyuma tuliambiwa nchii ni ya wakulima na wafanyakazi, sasa kilimo kinachechemea na kubaki wafanyakazi kubeba mzigo wote. Pengine ndiyo kisa ha serikali kuwa na mkono ktk uundaji wa vyama vya wafanyakazi..
Hivi ni kwa nini masurufu hayakatwi kodi?? Kama mbunge anapata 7m na masurufu ni 5m (tax free)..is it fair? kumbuka pia mmbunge anapata 105,000 kaama posho kwa siku akiwepo Dodoma nje ya mshahara!
Hivi posho ni % ngapi ya budget ya serikali??
Hata hivyo baada ya mfumo wa vyma vingi kuanza Julai 1992 said:... kwa mantiki nyingine ukombozi wa wafanyakazi uko mbali kwani waliounda trade unions walikuwa na malengo yao ambayo yanatimia. Nadhani ukombozi wa kweli utakuja baada ya kuvikana vilivyopo vilivyo undwa kwa wenyenavyo kusema .. naviwe vyama vya wafanyakazi, .. nakiwe chama cha waalimu nk na kuunda vya kwao kwa matakwa yao/yetu.
Mramba ndo aliiongeza hiyo PAYE na akaintroduce hata ile ishu ya kukata kodi all the benefits. Inauma sana PAYE is so great. Wakati huo mbunge ambaye analipwa milion 7+ anakatwa kodi only kwenye 1.5mn. Hao hawawezi hata kutetea chochote.
Only solution ni kama tungekuwa na very strong labor union then wangeweza negotiate na hii serikali. On top of that kodi yenyewe hatuoni inafanya nini sana sana utakuta ni UFISADI in it. Ukifika hapo unachoka then unaconclude kwamba this is a stupid country ever.