Wakuu PAYE ni kitu ambacho kinaumiza lakini hatuna budi kufahamu brackets zake ndipo kisha tuseme kuwa maumivu yake ni makali kiasi hicho ua tuna exagerate.
.Kama pato la mtu (Kwa maana ya Gross ukitoa nssf etc) halijazidi 100,000 Tshs hutakatwa PAYE
.Kama pato litazidi 360,000 lakini halizidi 540,000-Utakatwa 39,000Tshs jumlisha na 20%a kiasi kilichozidi kutoka 360,000
.Kama pato litazidi 540,000 lakini si zaidi ya 720,000-Utakatwa 75,000Tshs jumlisha na
25% ya kiasi kilichozidi kutoka 540,000 Tshs
.Kama pato litazidi 720,000 na kuendelea-Utakatwa 120,000 jumlisha na 30% ya kiasi kilichozidi kutoka 720,000 Tshs.
Huu ndio mgawanyiko wa kodi amabyo mafanyakazi hutakiwa kulipa kila pato lake la mwezi linapoingia....
Hapa ndipo wafanyakazi huuliza ni kwa kiasi gani wanaichangia serikali lakini serikali haitaki kuonyesha ni jinsi gani inavyothamini mchango huu kwa kuleta maendeleo thabiti..... Halafu mnashangaa kwa nini wafanyabiashara wanakwepa kodi.Kama wafanyakazi wangeambiwa wachague i bet 80% wangesema hawaoni faida ya wao kuwa deducted hii kodi.
.Kama pato la mtu (Kwa maana ya Gross ukitoa nssf etc) halijazidi 100,000 Tshs hutakatwa PAYE
.Kama pato litazidi 360,000 lakini halizidi 540,000-Utakatwa 39,000Tshs jumlisha na 20%a kiasi kilichozidi kutoka 360,000
.Kama pato litazidi 540,000 lakini si zaidi ya 720,000-Utakatwa 75,000Tshs jumlisha na
25% ya kiasi kilichozidi kutoka 540,000 Tshs
.Kama pato litazidi 720,000 na kuendelea-Utakatwa 120,000 jumlisha na 30% ya kiasi kilichozidi kutoka 720,000 Tshs.
Huu ndio mgawanyiko wa kodi amabyo mafanyakazi hutakiwa kulipa kila pato lake la mwezi linapoingia....
Hapa ndipo wafanyakazi huuliza ni kwa kiasi gani wanaichangia serikali lakini serikali haitaki kuonyesha ni jinsi gani inavyothamini mchango huu kwa kuleta maendeleo thabiti..... Halafu mnashangaa kwa nini wafanyabiashara wanakwepa kodi.Kama wafanyakazi wangeambiwa wachague i bet 80% wangesema hawaoni faida ya wao kuwa deducted hii kodi.