Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali

sijui kama ulishawahi kuvuka mipaka ya tanzania kwani hizo ni lami? unaelewa maana ya lami?hizo ni barabara za matope zipe 3years utanikumbuka ziko chini ya kiwango kwa aslimia 60 sasa ukijua maana ya barabara za lami rudi na hoja kwa sasa rudi polini ulipokulia ukachome mkaa zoba ni zoba tu
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.
 
Pascal Mayalla naona anaangalia mambo nusu nusu. Sasa hivi kila mtu analalamika, kuanzia waziri mkuu (Jairo gate) hadi wabunge. Arejee hansard ndio ataona ni jinsi gani wawakilishi wa wananchi wanalalamika, na wengi wao wanatoka chama kinachounda serikali. Kwa kifupi, mambo yanaenda kinyume na matarajio ya wananchi na ndio sababu watu wanalalamika.

Mkuu haya maisha ya hapa mjini lazima uishi kwa usanii haha msiojua mtakuwa mnalia kila siku ili kusavaive labda uwe mwanararakati wa kweli.
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

Unaweza kuzitaja hizo barabara tafadhali? CCM ni mabingwa wa kupika takwimu. Ninachojua ni kwamba miaka 5 ya kwanza ya JK hakuanzisha mradi wowote mpya wa barabara zaidi ya kuendeleza zilizokuwa zimeanzishwa na Mkapa, hata hivyo hakuzimaliza. Ana Makinda, akiwa naibu spika, aliwahi kuelezea jambo hili katika kumtetea JK.
 
Nilimskia leo na kampuni yake ya PPR kupitia ITV. Anailalamikia STAR TV KUTORUSHA MATANGAZO YAKE na hali ameyalipia. Ameonesha tabia ya kujikomba kwa wakubwa huyu.
 
Unaweza kuzitaja hizo barabara tafadhali? CCM ni mabingwa wa kupika takwimu. Ninachojua ni kwamba miaka 5 ya kwanza ya JK hakuanzisha mradi wowote mpya wa barabara zaidi ya kuendeleza zilizokuwa zimeanzishwa na Mkapa, hata hivyo hakuzimaliza. Ana Makinda, akiwa naibu spika, aliwahi kuelezea jambo hili katika kumtetea JK.

Ungewaambia wabunge wako wazitakatae hizo takwimu bungeni au wao ni wajinga kiasi hawalijui hilo? hakuna aliyezipinga. Na source ya nilikozisikia nimekuonesha.
 
DHAIFU...chochote kinachosemwa na fisadi magufuli siku zote kimejaa uongo wa hali ya huu.

Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.
 
sijui kama ulishawahi kuvuka mipaka ya tanzania kwani hizo ni lami? unaelewa maana ya lami?hizo ni barabara za matope zipe 3years utanikumbuka ziko chini ya kiwango kwa aslimia 60 sasa ukijua maana ya barabara za lami rudi na hoja kwa sasa rudi polini ulipokulia ukachome mkaa zoba ni zoba tu

Hata wewe binafsi kama ni Mtanzania uko chini ya kiwango, ushahidi:

Kabla ya Kikwete "life span" yako ilikuwa miaka 50.

Kikwete kaiongeza mpaka imefikia miaka 57.4 (ambayo ni rekodi nzuri sana kwa huduma za afya na kijamii kwa Mtanzania).

Licha ya Kikwete kukuongezea life span yako, bado upo chini ya kiwango kwa kuwa duniani kwenye nchi za viwango vya juu "life span inazidi miaka 80".

Tunajikuna tunapofikia kwa sasa, miaka ya karibuni utaona mambo yakibadilika, tukishaanza kuingiza michuzi ya gesi na mafuta na urani.

Upo hapo ulipo?
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.
Kikwete amejenga km ngapi za reli kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Ha au kajenga huko mabwepande ?
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

Kwa hizi 11,154km of paved roads ongeza: massive land grab + massive depletion of natural resources + massive squandering of public funds + wananchi wa maeneo ya Ziwa Victoria na hata sehemu zingine kula mapanki.
Hapo kwenye red haikuwa hivyo kwenye awamu zingine.
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

Bila magufuli kuwa machapa kazi bajeti yake ilikuwa imenasa.Pia wakati bunge linajibadili kuwa kamati ya bunge bila spika kuzuia wabunge wasizuie mshahara wa waziri wazungumzie sera huku wabunge wengi wakilalamikia barabara nyingi za vijijini kutoshughulikiwa bajeti ya magufuli ilikuwa imekwama.Ndugu yangu kama ulimsikiliza vizuri magufuli 3/4 ya barabara za vijijini ziko kwenye hali mbaya.na hizi barabara ndo chanzo cha mazo ya chakula kupanda kwa sababu ya gharama za usafirishaji kupanda.Hoja ya msingi unataka kusafirisha mazo yako kutoka vijijini kama nkasi kipili utafikaje kwenye barabara ya lami ?ni lazima mtandao wa barabara uwe mzuri kuwezesha usafirishaji mazo kuwa rahisi.
 
Nimemsikia vilivyo na anastahili pongezi kwa kuzidi kuinadi JF live ,alichosema ni kawaida kuwa hapa JF wale madhaifu wa CDM wanaona wale makobe waliomo bungeni wanaonewa ,jambo ambalo sio kweli ,makobe mnasema mpaka mnatolewa nje ,yaani huwa mnashika kasi mpaka mnashindwa kueleweka.
Ndo nini hii sasa?


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

Bila magufuli kuwa machapa kazi bajeti yake ilikuwa imenasa.Pia wakati bunge linajibadili kuwa kamati ya bunge bila spika kuzuia wabunge wasizuie mshahara wa waziri wazungumzie sera huku wabunge wengi wakilalamikia barabara nyingi za vijijini kutoshughulikiwa bajeti ya magufuli ilikuwa imekwama.Ndugu yangu kama ulimsikiliza vizuri magufuli 3/4 ya barabara za vijijini ziko kwenye hali mbaya.na hizi barabara ndo chanzo cha mazo ya chakula kupanda kwa sababu ya gharama za usafirishaji kupanda.Hoja ya msingi unataka kusafirisha mazo yako kutoka vijijini kama nkasi kipili utafikaje kwenye barabara ya lami ?ni lazima mtandao wa barabara uwe mzuri kuwezesha usafirishaji mazo kuwa rahisi.
 
Naanza kabla pasco hajaja:

Mkoloni + Nyerere + Mwinyi + Mkapa = 6,000Km of paved roads.

Kikwete = 11,154 KM of paved roads.

Source: Magufuli bungeni na hansard zipo na hakuna Mbunge aliyepinga kwa kuomba muongozo wala utaratibu.

1.Nyingi ya barabara hizo zilianza kipindi cha Mkapa
2.Pesa ya kujengea barabara hizo ameomba wakati amesamehe kodi ambayo ingetosha kujengea
3.Mfumko wa bei na kuanguka kwa shilingi kunafanya 180,000 ya 2005 kuwa kubwa kuliko. 900,000 ya leo kwa hiyo ameshusha living standard ya watu wengi
4.Kuna omba omba wengi leo kuliko 2005. Anyway labda wanaona viongozi wao wanavyotembeza bakuli nje na kuamini ndio njia ya maisha
5.Kuna bajeti ya wanasiasa kutalii! Mfano Lowasa na wenzake lakini hakuna bajeti ya Afya au tafiti za kisayansi
6.Wananchi walipopigwa risasi Arusha kwenye maandamano ya Chadema, aliita mabalozi akasema haitatokea tena Tz; imejirudia mara nyingi
Haya ni machache tu ya mambo yanayofanya wenye akili wakosoe
Tatizo lenu mkikosolewa mnadai watu wanalalamika
 
Back
Top Bottom