Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
zomba uliona project za huko thika Kenya zimesimama. Unafikiri miaka 2 iliyobakia inatosha kutimiza zile ahadi lukuki ikiwemo ile ya kubadilisha kigoma kuwa Dubai?Mkapa kajenga kilomita ngapi za reli? kaiwacha reli ya kati imekufa, iliyojengwa na mjerumani, Kikwete ndio anaifufua.
Ya barabara yamekushinda umerukia reli?