Mshana Nna shida kubwa mkuu! Nlikua nimepakua beat Fulani ya kufungua jicho la 3 nikakaa kwenye half posture huku naskiliza kwa headphone ilikua jumanne since then nyumba yangu naiona balaa, usiku naona kama watu wanatembea chumbani kwangu! Nkilala kuna mda naona rangirangi kuna mda naona 1111 ! Please help me nirudi kawaida, au naomba ni-pm namba yako nikupigie tuongee kwa kirefuMeditation...!
Endelea usiache tafadhali kisha naomba tuwasiliane kesho mchana nitakupm contact yanguMshana Nna shida kubwa mkuu! Nlikua nimepakua beat Fulani ya kufungua jicho la 3 nikakaa kwenye half posture huku naskiliza kwa headphone ilikua jumanne since then nyumba yangu naiona balaa, usiku naona kama watu wanatembea chumbani kwangu! Nkilala kuna mda naona rangirangi kuna mda naona 1111 ! Please help me nirudi kawaida, au naomba ni-pm namba yako nikupigie tuongee kwa kirefu
Kupitia mlango wa sita
Hizo beat ulizpata wap mkuu namm nizitafuteMshana Nna shida kubwa mkuu! Nlikua nimepakua beat Fulani ya kufungua jicho la 3 nikakaa kwenye half posture huku naskiliza kwa headphone ilikua jumanne since then nyumba yangu naiona balaa, usiku naona kama watu wanatembea chumbani kwangu! Nkilala kuna mda naona rangirangi kuna mda naona 1111 ! Please help me nirudi kawaida, au naomba ni-pm namba yako nikupigie tuongee kwa kirefu
Brada am waiting for your pmSixth sense
Sixth sense
Vizuri sana bado jicho la tatu lina nafasi kiroho kwakuwa tuna dili na mwili wenye damu ulio hai kwahiyo hilo haliwezi kukwepekasenses nazo si zinapeleka msg zake kwenye huu ubongo wa mwilini kupata tafsiri. Ni kifikiri jicho la tatu is more spiritual than kimwili.
Mkuu japo Mimi sio mtaalamu lakini hakikisha kwanza sio WOGA.Mshana Nna shida kubwa mkuu! Nlikua nimepakua beat Fulani ya kufungua jicho la 3 nikakaa kwenye half posture huku naskiliza kwa headphone ilikua jumanne since then nyumba yangu naiona balaa, usiku naona kama watu wanatembea chumbani kwangu! Nkilala kuna mda naona rangirangi kuna mda naona 1111 ! Please help me nirudi kawaida, au naomba ni-pm namba yako nikupigie tuongee kwa kirefu
Ukweli mtupu huu ulioandikaKwanza lazima ujue kuwa shetani anafanya mashindano na Mungu...kuna limitations nyingi sana amewekewa mwanadamu na Mungu wake ili abaki kumcha na kumwamini yeye tuu
Lakini shetani anazo siri nyingi za ufahamu wa juu zaidi na ndio hizo anazozitumia ili mwanadamu ajione ni zaidi na Mungu si chochote
Watu maarufu sana
Wachezaji maarufu sana
Watu matajiri sana
Waimbaji na hata waigizaji maarufu sana na watu wenye vipaji mbalimbali si wacha Mungu tena bali wanatumikia imani zenye mafundisho ya siri yanayokinzana na Mungu
Poa kaka hii kitu wanayofanya ni ya kiimani zaidi kumkinga na kumlinda mtoto na nguvu hasi zozoteMkuu mshana jr asante kwa hii nimechelewa kuiona...Nataka kujua Siri ya watoto wachanga kwa baadhi ya Jamii kuchora alama nyeusi kwenye Paji ..la USO wa mtoto pia maBANIANI huwa wanachora kiakama katikati ya macho mawaili hii maanake yake nini kwamba wanaliamini sana hilo jicho latatu?